DW mnachekewa sana kuzitoa khabari zeno mtandaoni, zinatukatisha tamaah.
@zebedayokatamaduni9676Сағат бұрын
Dw tuko pamoja sana
@DanjeseGaaray8 сағат бұрын
Mnanini lakini mashariki ya lati
@amirisaid634112 сағат бұрын
Maswali magumi majibu mepesi 😢
@user-is6ms3sv2d14 сағат бұрын
Kwa kweli DW Ni Mambo yote
@AzizaSleman-s7gКүн бұрын
Ni lazma mama mwenye kisukari cha mimba kutumia dozi au atumie tu baadhi ya vyakula ili kupunguza kisukari icho?
@jafariHabibu-jc9zfКүн бұрын
Poleni ndugu zàngu wa hezibola
@mtzhalisi2232Күн бұрын
Wamesharusha rockets 100 huko Israeli.. Hawa hawawezi kutangaza labda Aljeeza tu
@SalumSalim-ss5meКүн бұрын
PAMOJA XN DW NAWAPATA MUBAASHARA AU LIVE BILA CHENGA NIKIWA NDUMISTAN,PEMBA NDUMISTAN ¹1¹😮😮😮😮😮😮😮😮
@user-cn1ft8sx2qКүн бұрын
Viva Israel
@ezekielezekiely8476Күн бұрын
Polisi wapumbavu,wanafanya kazi za kipumbavu.
@KukuainayakuchinabeizakeКүн бұрын
Politics is a day to day activity. mitindoyanywele.blogspot.com.
@zebedayokatamaduni9676Күн бұрын
Nina wapata vyema
@enatharweyemamu3688Күн бұрын
Asante kwa elimu
@MathewNathan-yb2bzКүн бұрын
Hilo jeshi la congo liko hovyo sana,yaani liko lege lege,hovyo sana.Waende tu urusi wakachukue mamluki wa wagner.
@user-mh9hj3lx7q2 күн бұрын
Hamas ndo wakulaumiwa
@EzekielTipaa2 күн бұрын
OMBI LETU WAFUGAJI WA KIJIJI KWEDIGOLE KATA KWEDIBOMA WILAYA KILINDI MKOA TANGA SISI WAFUGAJI WA KWEDIGOLE WANAOMBA DW SWAHILI ATUSAAIDIYE KURUSHA HEWANI MALALAMIKO YETU KUHUDHU UFAMISI WA ENEO LA MALISHO KWEDIGOLE AMBAO NIKITENGO HALALI LAKINI WAKI.A WAKUTOKA MUKOA M BALIMBALI KUFAMIA MALISHO KINYUME NA UTARATIBU
@phestostanley40192 күн бұрын
Hamas ndo wamewasababishia hawakuwa na ngao nyingine isipokuwa kukaa kwa wananchi
@Kiswahili2 күн бұрын
Ahsante kwa kuchagua DW Kiswahili, kwa kutuamini kutupasha habari za ulimwengu na tunakushukuru kwa kutoa maoni yako.
@hamadsaid22322 күн бұрын
Poleni sana Wana Gaza Kwa yote magumu na mazito yanayowafokieni. Hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.
@Kiswahili2 күн бұрын
Tunakushukuru kwa kutizama vidio zetu na kwa kuchangia kwa kutoa maoni
@HamisMghuna-fj3vz2 күн бұрын
Israel hatoboi ishaalah
@Kiswahili2 күн бұрын
La muhimu ni upatikanaji wa amani na usalama wa kudumu
@ezekielezekiely84762 күн бұрын
Rutoo muongo kama mwendazake kwetu hapa.
@HamisMghuna-fj3vz2 күн бұрын
Yule.mwenndake,ali kua haambiliki mze baba, bunge likawa la makofi mpaka leo,ubabe,
@ezekielezekiely84762 күн бұрын
Watangazaji muwe wa kweli.ruto.hana uwezo wa kutupilia mbali huo msaada,kwa mujibu wa katiba ya Kenya.
@Kiswahili2 күн бұрын
Bila shaka hana uwezo huo lakini kwa alisema ameurudisha bunge ambalo ndilo lina uwezo wa kuufanyia marekebisho
@ezekielezekiely84762 күн бұрын
Wewe waziri,badala ya kuongea na purtin.unaongea na zelensiki aliyevammiwa,amwambie nini sasa,au na wewe ni mtekaji tu
@Kiswahili2 күн бұрын
Njia ni nyingi za kutafuta suluhisho
@user-ct9fb5or2n2 күн бұрын
WAKENYA wamechanganyikiwa baada ya kumtoa RUTO nani kaandaliwa kuwa RAIS
@Kiswahili2 күн бұрын
Rais William ruto ndiye rais wa Kenya hadi sasa, wala hakuna suala la nani kaandaliwa kwa sasa
@dominicksangu89342 күн бұрын
Good wana kenya na poleni sana wana halakati waliokua wameuawa Mungu atatenda sawasawa na haki tz na sisi tuamke kamahivi.
@Kiswahili2 күн бұрын
Ahsante kwa kuwa nasi kwenye chaneli yetu ya KZfaq. Tunathamini maoni yako pia.
@NeemaKarisa-oq6yp3 күн бұрын
I'm your voting President trump win President trump strong ⭐💪💯💯
@NeemaKarisa-oq6yp3 күн бұрын
I'm your support jay z ⭐💯💪💪💯💪⭐
@Kiswahili2 күн бұрын
Zidi kuwa nasi 💌
@NeemaKarisa-oq6yp3 күн бұрын
President ruto must go jay z❤❤❤💪💯⭐
@Kiswahili2 күн бұрын
Tunakushukuru kwa maoni yako
@sarhayeabdisarhaye65483 күн бұрын
Dw ❤
@MuseeTabithaTabithaMusee-er4qr3 күн бұрын
Sasa maandamano hiko safi 👍
@Kiswahili2 күн бұрын
Ahsante kwa maoni yako japo hatujakuelewa vyema kabisa
@SabraNassor-hv1xi3 күн бұрын
Tanzania haina upinzani mkweli
@RosefridaJuma-gs2ou3 күн бұрын
Habr doctor naweza kuku pataje
@prospermiraji84733 күн бұрын
Sudi Mnete wewe ni mwandishi msomi. Mchumia tumbo kashindwa kujibu maswali yako. Tumtakie la heri huko aendAko
@Kiswahili2 күн бұрын
Ahsante kwa maoni yako. Mbona wadhani ni suala la kujali tumbo kuliko kitu tofauti mfano taifa?
@BruceJames-mm7nx3 күн бұрын
Tumbo
@DanjeseGaaray3 күн бұрын
Dw
@malkiawagiza13273 күн бұрын
Sijali wala sibali.
@Kiswahili2 күн бұрын
Basi wewe si shabiki wa soka, maana kwa mashabiki sugu, tambo zao ni sehemu ya kunogesha ushabiki wao😄
@user-jc8vt7ct9t3 күн бұрын
Hao ndo wanasiasa na njaa zao
@Kiswahili2 күн бұрын
Ahsante kwa kuichagua DW na kwa kutoa maoni yako. Je unaamini kweli kwamba hatua yake imechochewa na njaa?
@mohammed-_-home-_-boy00183 күн бұрын
😢😢😢
@SalumSalim-ss5me4 күн бұрын
PAMOJA XN DW NAWAPATA MUBAASHARA AU LIVE BILA CHENGA NIKIWA NDUMISTAN,PEMBA NDUMISTAN ¹1¹
@HamisMghuna-fj3vz4 күн бұрын
I blame ruto killed civil
@Kiswahili2 күн бұрын
Tutumai suluhisho la mgogoro huo litapatikana
@HamisMghuna-fj3vz4 күн бұрын
Israel hatoboi ishaalah
@Kiswahili2 күн бұрын
La muhimu ni amani na usalama wa kudumu upatikane
@ezekielezekiely84764 күн бұрын
Ruto,kwenye hili huwezi kukwepa.mkono wako unahusika,
@Mumewangu4 күн бұрын
Israil wakipigana na Hizbullah watapata maafa
@JohnCage-we6tp4 күн бұрын
Hilo ni kwel ndugu Hizbullah sio Hamas na wan jiweza kisilaha na pia wansema Hizbullah Vita yake dhidi ya Isreal haitachagua Nana wa kupiga hivo Isreal wajipange kuwaingiza Raiya wake kwenye maafa
@Mumewangu4 күн бұрын
@@JohnCage-we6tp na watakufa raiya wengi
@IsayaKenedy5 күн бұрын
❤❤❤
@user-bl3rq8fj9u5 күн бұрын
Mungu nisaidie niko katika hali ya mwanzo hapa leo 28 -09-2024 hapa nishapiga nusu lita na naona freshii ila kuna muda vinatibuka maumivu nimakali sana kesho mapema naingia hospital ila jamaa atafanya haya maziwa nimwage