Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like
@user-es4uf6gj7uАй бұрын
Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
Sisi na wazungu ni tofauti kabisa sisi ndio Wana wa Muumba wa kweli SEMA tumepoteza asili kupitia dini
@cryptoboy-5Ай бұрын
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
@AwateeАй бұрын
@@cryptoboy-5jidanganye siku ukifa utajua vzr
@AwateeАй бұрын
@@francejuya1248hakuna mzungu wala china sie sote ni wa Mwenyezi Mungu lkn wazungu wanajiona wao wajuzi
@zuricakes6817Ай бұрын
@@cryptoboy-5 sasa hapa dini imeingiaje? Watu waliozoea kwenda kwa waganga utawajua tu!😅
@carolmuchiri9921Ай бұрын
Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡
@kassimabussa6583Ай бұрын
Nikweli kabisa wazungu hawawezi kutupenda kamwe inatia uchungu huyo binti
@jeanpierrekwizera6400Ай бұрын
Nikweli haujakosea
@minazsaid2470Ай бұрын
Never happen
@abuusufian6506Ай бұрын
Siyo wote
@salumchande2702Ай бұрын
Kwaiyo jaymondi anabaguliwa kumbe😂
@Chettymlambalipsi-lb9kmАй бұрын
Aki nimeumia roho 😢😢😢
@user-ly9lp2ed4mАй бұрын
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
@user-nb2jw4km6fАй бұрын
Yaani nilikua nasikiaga ubaguzi leo nimeuona live
@moseskulola6913Ай бұрын
Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi
@user-dx6dm6lh1iАй бұрын
Wazungu hawawapendi hata waarabu sio muafrika tu
@auntiemylee3157Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@auntiemylee3157Ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i🎉🎉🎉🎉kabisaaa
@user-es7jn7cp5dАй бұрын
Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane
@user-pj7ng8il4t15 күн бұрын
@@user-es7jn7cp5d inashangaza aisi waafrika tunabaguana wenyewe kwa wenyewe tunaitana wahamiaji haramu ndani ya afrika.
@andrewokbazil1018Ай бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.
@vanessalaizer4363Ай бұрын
Sasa eti ata Biden mwenye upungufu wa kumbukumbu analeta ubaguzi duuh. Mbona rais mwenyewe mgonjwa jmn
@user-el6mm4lh4mАй бұрын
Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala
@HamadKhamis-l9eАй бұрын
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
@frocoissango8973Ай бұрын
Acha kwenda kwenye makanisa na misikiti yaho kwaza
@sylvestercameo6263Ай бұрын
@@frocoissango8973Makanisa yao yako wapi?
@KASSIMMHILU-oh5chАй бұрын
Kinachotakiwa ni kujikomboa kifikra Kwanza...Ukipenda kusaidiwa ujiandae na kibaguliwa
@jumashedafaАй бұрын
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
@rajah9328Ай бұрын
Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi
@HappyatHome-bn8wmАй бұрын
mbaguz huyu jamaaa. ameisha
@vailetheanyambilile974929 күн бұрын
kabisa
@user-jd6vr9xw1oАй бұрын
Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana
@fahadhassan1714Ай бұрын
Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome
@DaudiHamisi-un2uuАй бұрын
Kweli huwa wanajishauwa sana
@ThobiasMaranduАй бұрын
kzfaq.info/get/bejne/d5xloLR3u9-uqo0.html HUYU ANADANGANYA UKWELI NI HUU, WATANZANIA WAPUMBAVU UNAVAMIA KIPANDE CHA VIDEO CHA PROPANGANDA ZA TRUMP...
@andrewokbazil1018Ай бұрын
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,, una historia yake
@izenjafar80507 күн бұрын
Hii inaumiza sana tujifunze kupitia hili na inshallah mwenyezi Mungu analiona hili
@wallaceexpert4081Ай бұрын
Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.
@salhawaziri1668Ай бұрын
Yani i feel her pain mim peke nimeumia utadhan ni mim kampa mfadhaiko mbele za watu…. Ila na wao wakome
@pauldotto7868Ай бұрын
Kwa kweli imeniuma hadi machozi
@worldhappiness1181Ай бұрын
Yaah ,its not their home, Africa is, Africa is the paradise, Black is beauty always.
@nassormessi-zk5czАй бұрын
Hata Trum mbaguz na hata huku kwetu pia kuna ubaguz wabongo hujifanya wako juu na wapemba na wao usiseme waunguja tuko kimya tunawatizama tu
@AbumishAbu-cz9suАй бұрын
Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
Kabisa tuna roho ya upendo❤
@Brunotarimo10Ай бұрын
Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns
@allahisone6386Ай бұрын
VIPI GEN-Z KESHO WATAKIWASH🔥?
@Brunotarimo10Ай бұрын
@@allahisone6386 hapana Kesho ni sikuku ya sabasaba
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
@user-pj7ng8il4t15 күн бұрын
Sisi wenyewe waafrika tunabaguana tunaitana wahamiaji haramu ndani ya afrika!! Na wazungu Wana furahia sisi kubaguana ili kwao iwe rahisi kuingia afrika kwa kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka wao kwa maslahi yao. Ni lini afrika tutapendana na kuwa kitu kimoja? Labda afrika tupate viongozi Kama akina ibrahimu Traore wa bukina faso, asimi goita wenye uchungu na afrika.
@MahdouMombaАй бұрын
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao. "If one day the Europeans praise me, know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
@santinoplacid7571Ай бұрын
tutafanyaje sasa wakati ndio wametufanya tuwategemee kwa kila kitu😢😢
@MahdouMombaАй бұрын
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
@fetychina3969Ай бұрын
Dah!nimejisikia vibaya sana
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
@AbdulraufSalumАй бұрын
Na yy kafat nn apo
@hopechideraАй бұрын
🤣🤣🤣hapo sasa,hata nami najiuliza hivo...
@star_wizard2792Ай бұрын
😂😂😂 kapata alichokifuata
@user-kx5oc7nt5p28 күн бұрын
Daah, kweli bhana hawa watu hawatupend. Imenihuzunisha
@GiftAbdulyАй бұрын
Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾
@hanifa9153Ай бұрын
😢😢😢😢😢
@AmusedCatfish-hd8woАй бұрын
Nipo Dubai mwaka 7 sijaona Hilo
@abdulrazackabbas2634Ай бұрын
Tembea kweny matamasha sio upo dubai unalal kwenye kochi siku nzima
@GiftAbdulyАй бұрын
@@AmusedCatfish-hd8wo hayajakukuta tulia
@GiftAbdulyАй бұрын
@@abdulrazackabbas2634 mwambie huyo haya mamb yapo ukisikia mwenzio unaona n uzishi likikukuta sasa
@frankvianey2438Ай бұрын
Aisee sns mpo vizur sana
@ThobiasMaranduАй бұрын
You Make Me Sick, Promoting Falsehood, Wakati Unaweza Kutafuta Kujua Ukweli... Umeniambia Nikuambie Mtazamo Wangu.. Mtazamo Wangu ni Kuwa TUMIA AKILI TAFITI KITU KWANZA.
@mancholotrasco8350Ай бұрын
Is not a first time from him
@abuukajembe-to6sdАй бұрын
Mungu anawaumbua 2
@abuumohamed709017 күн бұрын
So proud of you my African queen
@christophermsekena616Ай бұрын
Baguzi halitoboi this time
@aliyageorge6794Ай бұрын
Hata huyo trump mbaguzi waamerika their in trouble 😂
@mtzhalisi2232Ай бұрын
Kababu kasenge haka!
@hanifa9153Ай бұрын
Ucjali kana kufa tu kesho kakaktane na adhabu za mungu kibri chote kitaisha😢😢😢
@ramadhankhatwib856129 күн бұрын
Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu
@eestermos9933Ай бұрын
Dah inauma sana
@nickalreadyknowsАй бұрын
Shenzi huyu mzee 🚮
@alexmahenge3817Ай бұрын
4:16 Hafai kua Rais tena Hana Maana kwa kizazi Cha sasa. Nimemfuta Kuanzia sasa. Aibu imrudie Biden mara 100
@user-sn4iq6cu1fАй бұрын
Ndo mjioneee uko waaafrika mnaojipendekeza na wazungu eakati wala hawawapendi
@MathewNathan-yb2bzАй бұрын
Ubaguzi uko kila sehemu na kila kabila duniani.Hapa hapa Tanzania tunabaguana sembuse huko Marekani.Hebu angalia hapo kenya wanavyobaguana,ww mbara nenda zanzibar au nende arabuni huko kote kuna ubaguzi.
@user-sn4iq6cu1fАй бұрын
@@MathewNathan-yb2bz ni lini ww ulishawahi kwenda zanzibar ukabaguliwa au unaushahidi wwte wa video au audio ikimuonyesha mtu wabara au ww mwenyew ukibaguliwa? Usiongee kwahisia ongea kiuhalisia usiongee kwa chuki mm nimeshaenda znzibar na nimeshakaa zaidi ya miaka miwili na hawaja wahi kunibagua na sijawahi kusikia kma kuna mtu wa bara amebaguliwa labda tuseme2 kua ss wabara tumetokea kuwachukua wazanzibali huo ndio ukwel tunawatengenezea chuki ila wale watu ni watofauti kabisa kwanza hawana habal kabisa na mtu kule kila mtu anaangalia maisha yke aisee kwakwl wale jamaa ni haki yao wakatae muungano mana kwanza hatufanani nao kwachochote nikimaanisha maadili yao hayaendani kabisa na yakwetu
Hapo nuksi kaanza hicho kibibi kichawi , kushoto mwa huyu msichana, innalillah wainna illaihu raajiun" msiba mkubwa kwa joe
@ramadhanisalum389818 күн бұрын
Toka lini mzungu akawa na mapenzi na langi nyeusi wao wapo kwajili ya mali zetu sio mtu mweusi pia shobo zetu muda mwingine zinatuponza Ndio maana mimi sjaenda kwenye uo mkutano
@lordsm.k-db3wyАй бұрын
Watu weusi bwana munaniudhi Kila kitu kwenu ni ubaguzi
@sebastianalbert285729 күн бұрын
ubajuzi unakera na unahuzunisha
@SaidiAmiri-qv5edАй бұрын
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
@shijandobehe4953Ай бұрын
aisee kaka wewe ni mbunifu Sana kwenye Sanaa umeiwasilisha vizur Sana
@RamaMikidad-vm3weАй бұрын
Inakeraa aricho kifanya biden. Ila kama irivyo kawaida wachafu wengi ndiyo wanavaaga nguo safi nakuaminika kiulaisi ishakua kawaida2 vitukama ivyo ugenini kule. Unakuta hao hao wa wanaobaguriwa ndiyo wanao mumarizia kula ya ushindi haanhahahaha
@BenjaminMetanyauАй бұрын
Kama Zanzibar tu wana amini waarabu ni ndugu zao 😏 sisi wabongo😢 et ni wanyamwezi wakuja ww unashangaa bieden😂😂 hakuna jipya hapo mbona trump alishawahi kusema nikipata uraisi ✊ nitahakikisha wa Africa wote waishio marekani wanaludi kwenye nchi zao za asiri🧐 na bado kwenye uchaguzi lily wayne akampigia kampeni😭 waafrika sisi huwa hatupendani tunabaguana wabinafsi 🎉 sasa nani atatupenda😭😭😭😭
@tensotvАй бұрын
Daah so sad.. nimelia sana
@rogersiddy19 күн бұрын
Imenikwsza kwakweli 😢✌️
@nobleafrikaАй бұрын
Ni muda sasa watu weusi warudi AFRIKA ✍️✍️✍️✍️
@zuricakes6817Ай бұрын
Kufanya nini? huku huku tutabanana nao tu. Mpaka kieleweke
@hopechideraАй бұрын
@@zuricakes6817 🤣🤣🤣
@nobleafrikaАй бұрын
@@zuricakes6817 😁 ila wewe
@furahamwangosi3896Ай бұрын
@@zuricakes6817😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yirgayemyirgah7820Ай бұрын
Wabaki ukouko wakija uku watatuharibia nchi zetu na mambo yao ya ajabu #Gun violence
@Antelius-ew6it25 күн бұрын
Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤
@ramadhaninyangasa7275Ай бұрын
Anayempenda Allah tu ndio kafaulu, Allah hambagui mtu ila kwa madhabi yake usipotubu
@abaabelard9668Ай бұрын
Inaumiza sana😢
@aboudasilver6541Ай бұрын
Si warudi kwao Africa
@sonnyr1899Ай бұрын
Wapi?
@abelimwakijungu1226Ай бұрын
Jielimishe!
@hopechideraАй бұрын
Kufanya nini...
@mohamedaley5632Ай бұрын
Hao wazungu wenyewe sio asili yao huko
@FaridaMoses20 күн бұрын
Hakuna kiumbe au mjayeyte aliye umba mbigu na ardhi aludi Africa!!!!
@MzeeNdalooАй бұрын
Hii inafunzokubwa kwa viongozi machawa wawa zungu wanaokula pesa zawazungu wajuwe wana wauza nduguzao kwa watu ambao hawawapendi Nandiomaana viongozi wa kiafrika wenye msimamo huwa wanawauwa R.i.p magufuli
@user-yk8em1bh8gАй бұрын
Mimi hata nkiambwa jckie kama upo nyumban lakn cjsahau mimi n Nan 😂😂😂😂
@raissafabien4285Ай бұрын
😢😢😢😢Be strong my girl✊✊and be courage. We will win as the black😍
@bigirumanalululouise4540Ай бұрын
Daah😢😢😢😢😢
@gilbertkalanda9354Ай бұрын
Nimeumia sanaaa sitaki hata kutazama
@mariamfritsi4943Ай бұрын
Kweli mschana kajisikia vibaya sana, inasikitisha sana amemdhalilisha kiukweli, mwanzoni nilimpenda Biden, ila kwa hili simpendi tena.
@hkaniuguАй бұрын
Waafrika wenyewe hawapendani
@timothkaunda371717 күн бұрын
Da kawaida kwa wazungu ila wija Africa tuna washibokea sana
@saimongilala8938Ай бұрын
Nimeumia sana jaman
@hellennehemia9269Ай бұрын
Yaan ingekua ni Mimi,huyo mbibi kwanza ningemtia ngumi ya uso ..
@starjay3052Ай бұрын
dah 😢
@user-nz8ly5sr3oАй бұрын
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
@salehkhamis-ob8ln21 күн бұрын
Ubaguzi sio kwa wazungu2 hata sisi wa Tanzania tunabaguana Tz kuna makabila wanajiona bora kuliko wenziwao
@digital21.13Ай бұрын
Nyoooo. Kutwa kuzungumzia uchaguz wa Marekan.. Wa Tanzania aaah
@user-jh9yv1zp1lАй бұрын
Sis wabong wenyew tunabaguan ten zaid ya wazung wanvyotubagua ss
@goodlegacytv5068Ай бұрын
Anajipendekeza
@francomwacha2262Ай бұрын
Aisee imekaa vibaya..
@godymaster8727Ай бұрын
Haya makuma yalija kwenu mnawaona malaika kumazenu
@mohammedkombo9798Ай бұрын
Very Sad 😢, Namkumbuka Jk Nyerere alisema… wazungu ni….ma….bwa! Kwa kweli
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
@allyhasani37503 күн бұрын
Nimejiskia vibaya uyo kitmoto alicho kifanya, na Mimi kiukweli ngozi ya mzungu siipendangi hasa mzee Kama baiden Wana ngozi mbaya ukimkalibia
@omarymwaluko9765Ай бұрын
Machoko yatakuja hapa kumtetea choko mwenzao
@lastkinglastking3326Ай бұрын
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye Kwa mtazamo huu Mimi naamini Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
@ebengapierre8826Ай бұрын
Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢
@Legends_InterviewsАй бұрын
Noma😢
@superhemed7590Ай бұрын
Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake
@computerjoshua96Ай бұрын
Daah inauma sana wahuni
@crisndembwele4016Ай бұрын
Ilibidi sisi tuwachukie wazungu na tuwabague ila kuna mahali wametuwahi ila katika kuumbwa sisi tumebarikiwa sana trust
@BertrandNiyomwungere-fs9xiАй бұрын
😭😭😭
@gervasshepi6351Ай бұрын
Inauma sana
@user-vi7ly9zh1qАй бұрын
Wazungu toka lini wakawàpenda watu weusi 😢😢
@shijandobehe4953Ай бұрын
😢😢😢 ubaguzi ni kama maji ya moto ukimwagiwa kwenye ngozi
@DivinelinnaАй бұрын
😂😂ndo sawa si afazali trump anaye sema kweli nakuonyesha hazarani lakini uyo Biden munafkiiii ohooo
@RyannkaeАй бұрын
Mimi uwa nawaambia aleyefanya wanzi na kuhonyesha uma au ajipendekezi huyo ndo mtu mzuri ata ukiwa job sisi weusi tukihona wanatushekea first day juwa aukai apo bro wanahesabu weeks tu na wakufukunze ila ukimkuta anafunga sura juwa unakaa pakanzi kama hakufukuza siku hile ya kwanza kunja kutafuta kanzi juwa umedumu apo atokutowa kame kabda mwenyewe ukatoke
@DivinelinnaАй бұрын
@@RyannkaeKabisaa
@user-sc5gt6gs3sАй бұрын
Inauma ila mm nikizani mtu akiwa na umri uyo sasa anajuwa kama akuna tofauti wa mtu na ungine kumbe ukubwa njinga 😢😢
@user-td4le3xf7hАй бұрын
Sio kama amemubagua sema amemubagua nyosha maelezo
@hustlerchembes786Ай бұрын
Vizee vimezeeka vinaenda kufa ndomana havijali watu sey no to rashizim lachesism
@FredrickMatiku-xf2ukАй бұрын
Ndio maaana wanamshambulia p.didy
@GoodchanceViolethАй бұрын
Ana ubaguzi
@renatuswilson1577Ай бұрын
Hata mimi binafsi imeniumiza sana. Hata mdada mwenyewe anaonesha hadharani kabaguliwa. Waafrica kwann hatubadiliki???? Hawa nyang'au hawajawahi kutupenda. Tunajipendekezea nn!?????? Tubadirike. Nimeumizwa sana na Crip hii . Tukome
@yvesgrace_z7152Ай бұрын
Dah
@pauldotto7868Ай бұрын
BINTI HUYO NI MZALIWA WA USA HANA HATIA...
@shijamohamed369Ай бұрын
@@pauldotto7868 maji na mafuta hayachanganyiki atafute asili yake na akaishi
@star_wizard2792Ай бұрын
😂😂😂 apunguze shobo kwani lazma aende kubeba Bango la biden angeendelea na shughuli zake
@user-zc1hq7dz6tАй бұрын
😂😂😂😂😂@@star_wizard2792
@guledomary281229 күн бұрын
😮
@roudhamahmoud763Ай бұрын
Pole dada najuwa unajiskiyq vibaya hata sisi website wenzio tumeumiya mno hicho kitendo 😢😢😢😢😢
@user-in4kg3kj8xАй бұрын
Daaaah maskin na bango lake kubwa lkn wapiiii wengne hawana hta mabango lkn hug za kutosha