No video

VIDEO: MAAMUZI YA WAZIRI SILAA YALIVYOMTOA MACHOZI MZEE HUYU "ASITISHA KUFUTIWA HATI YA UMILIKI".

  Рет қаралды 121,651

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 230
@ramadhanhassan5285
@ramadhanhassan5285 5 ай бұрын
Huyu ndio kiongozi ambae nimeanza kumkubali mungu akusimamie kwenye haki uweze kuifuata
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 5 ай бұрын
Tuna mshukuru mama alie kuzaa jaman wanawake wenzangu msitoe mimba mnaona vichwa hivyo je angetolewa akatupwa, Mungu awalinde sana ww na Makonda Mungu amuongezee umri Mama yetu Samia kwa kuwaona vijana mnafaa
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 5 ай бұрын
Umefanya la mana .ingekua sio vizuri kumnyang'anya kiwanja chake.mungu akulinde
@edwingideon3606
@edwingideon3606 5 ай бұрын
Safi sana, ukimaliza hii kazi wakupe uwaziri wa madini, Alafu waziri Mkuu, makamu wa rais
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 7 ай бұрын
Walio fanikiwa kimaisha wanaonekana wanaroho mbaya kumbe wanapitia mitihani migumu sana🙏🙏🙏🙏
@danieldm92
@danieldm92 7 ай бұрын
Hakika!
@BienvenueBisimwa-rn9rn
@BienvenueBisimwa-rn9rn 7 ай бұрын
Kweli
@petertemba9048
@petertemba9048 3 ай бұрын
Kweli kabisa..
@oscarmkumbo7451
@oscarmkumbo7451 7 ай бұрын
Hongera sana Mh. Slaaa kwa Hekima kubwa inayoonesha kwenye maamuzi magumu, kuna sehemu nakuona ni muda tu Mungu akubariki sana.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
Hingera gani hao nguruwe uyo jamaa awatoe tuu ,kama hawakupuliziwa sumu sijui,,sasa serkar ya eneo husika,,wananchi uyo atahama baada hasara,
@user-qf3so2qk6l
@user-qf3so2qk6l 7 ай бұрын
Silaa Mungu akubariki kwa busara ulio itumia kwa Mzee kajuna umeonyesha utu hata Mimi nakupongeza maana umeonyesha uwezo wako na huruma zako navilevile Mzee huyu moyo umejaa unyenyekevu
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
Wewe kinyesi cha nguruwe hasa wakati wa mvua hukijui ,hatufu yake siii mchezo ila kwa vile uko mbali utafulai ,lakini uyo mzee awe makini hao nguruwe atawakosa wote na huyo wazili hato msaiidia kitu ,,,cha msingi awahamishe tu
@shamimukanju8402
@shamimukanju8402 5 ай бұрын
Hongera mh.Rais mama yetu Samia umetulelea jembe .mh.Jerry anatumia busara nyingi na hekma Mwenyeeezi Mungu awape maisha marefu
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 5 ай бұрын
mashalllah mungu azidi kumpa afya na hekima zaidi anaubinadamu amempa coice ya kubadilisha biasara haja mfutia hati miliki
@benlaizer9936
@benlaizer9936 7 ай бұрын
Hekima ya Jerry ni tofauti sana!! Mungu akulinde kiongozi wetu
@nicksontweve9528
@nicksontweve9528 7 ай бұрын
Very humble, Mzee anabusara sana,
@sangajaffar7419
@sangajaffar7419 5 ай бұрын
Big up mheshimiwa silaa kazi yako nzuri sana mwenyezi mungu akubariki sana
@yasiniselemani8672
@yasiniselemani8672 7 ай бұрын
safi sana waziri pia mzee anabusara sana mungu mbariki waziri wetu aendelee kuwa na busara kama hizi 🙏☝️
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 25 күн бұрын
Mzee ana busara kanifanya nmejisikia amani😊
@kayombotv9758
@kayombotv9758 5 ай бұрын
Mheshimiwa Waziri hongera sana na Mungu Baba akulinde uje na huku Tabata wengine maeneo ya makazi ya watu wamebadilisha matumizi na kujenga shule na viwanda ni makelele tuu mtu akilalamika kuhusu makelele wanamwona mkorofi na matusi juu. Wenye viwanja huwapangisha wengine na siyo wenye viwanja. Kwa kweli Mheshimiwa tunaomba Wizara yako ifanye ukaguzi wa kupitia viwanja hivyo muone jinsi vinavyotumika. Mara nyingi watendaji wa Mitaa na Kata hawatimizi wajibu wao kiuaminifu wanakuwa wagumu kutoa maamuzi sahihi utaona mara nyingi wanawaunga mkono wanaovunja sheria hapo ndipo ninaposhindwa kuelewa sasa tutafika wapi maana hakuna sehemu pa kukimbilia.
@dennishyera5448
@dennishyera5448 3 ай бұрын
Mungu akulinde waziri. Uschoke kutusaidia wanyonge.
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 7 ай бұрын
Mzee Ana busara wazir Ana busara ndomana muafaka umekuwa mzr.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 7 ай бұрын
Asante sana kiongozi, mtu abaki na umiliki wake, atajua la kufanya
@jamesalbert7435
@jamesalbert7435 6 ай бұрын
Kiongozi ameonyesha uwezo wake wenye kujali utu lakini pia anazo busara nyingi. Mungu ambariki.
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 6 ай бұрын
Mungu mb'arik sana uyu waziri dogo umpe Longlife slaa..tunataka viongozi hawa.. kujenga taifa n cyo ubavu .. wisdom it's hard to b,, gombea urais 2030 na nakupa urais wa Tanzania 2030 .Makonda wazri mkuu 2025.na makam rais 2030.tundu lisu waziri mkuu.zotto waziri fedha.etc..ni mda tuijenge Tanzania kwa umoja dam changa.. Magufuri yupo hai ndani ya vjana wenye thamana ya nchi
@user-en9iz1vs5h
@user-en9iz1vs5h 2 ай бұрын
Waziri Silaa Mungu akubariki kwa kazi yako iliyotukuka na Mungu akuepushe na maadui katika kazi yako unayoifanya kutoa haki za Wa Tanzania
@SaidiMninga
@SaidiMninga 3 ай бұрын
mheshimiwa silaa nimekukubali sana karibu nadodoma tunazulumika nahatuna pakukimbilia njoo utusaidie ndanci tunashida sana namigogoro yaaridhi
@kennedykassian5269
@kennedykassian5269 5 ай бұрын
Kiukweli nimependa unyenyekevu wa huyo mzee kuna somo la kujifunza kwake inaonekan ni boss mzuri San kw wafanyakazi wake..Mungu ambariki tuzidi kutenda wema jamani hata kama kw kiasi kidogo
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 25 күн бұрын
Hekima za ajabu kabisa,,, Sasa jamani mama tuachie huyu kwenye ardhi jmnii, huku kwenye ardhi inahitaJika mtu wa namna hiii,, hongera Sana HON JS
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 5 ай бұрын
Mzee kakiri kosa japo alifanya makosa, waziri muungwana sana tena sana, kwa hii familia wote kura kwa mama samia❤
@mangiclaus
@mangiclaus 6 ай бұрын
Tangu tumekua na mawaziri huyu ndio waziri niliyemkubali na ninakupa nyota 5 waziri slaaa
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 3 ай бұрын
Kbsaa
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 7 ай бұрын
90 days is reasonable. 30 days sio fair hata kama kakiuka mkataba but ni mfanya biashara mzuri
@bakarithegeoinformatician7406
@bakarithegeoinformatician7406 7 ай бұрын
Hujui kitu
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 7 ай бұрын
ungeishi karibu na hiyo harufu usingesema hivyo
@caltongenmercantile4651
@caltongenmercantile4651 7 ай бұрын
@@sakinaomary7207 nadhani hata hazitoshi kugharimia ujenzi wa mabanda na miuondo mbinu ya kutosha hiyo mifugo sio mchezo kwa bajeti ambayo hukuwa na mpango nayo ... tunaijua adha lakini myonge mnyoneni...................
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 5 ай бұрын
umelszimishwa kuishi hapo? kama unaona busara za waziri hazifai basi hama wewe, msitusumbue na mambo ya udini​@@sakinaomary7207
@jastinmkandala5620
@jastinmkandala5620 5 ай бұрын
Saiv huyu jamaa ndo icon yangu
@julianapeason6254
@julianapeason6254 5 ай бұрын
huyu mwenye koti jeusi kafanana na Waziri, atakuwa ndugu yake ila WAZIRI YOU ARE THE GREAT
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 3 ай бұрын
Wamefanana vichwa makomwe wapo vzr
@user-li2el5vb8w
@user-li2el5vb8w 5 ай бұрын
WAZIRI SLAA! WEWE MUNGU AKUJAALIE KUTENDA HAKI. HAKIKA WEWE NIKIELELEZO CHA KIONGOZI BORA. SIO BORA KIONGOZI. MUNGU AKUPE AFYA In Shaa Allah.
@MakalaPlus
@MakalaPlus Ай бұрын
Rais Samia Anajua watu wanaoweza ndio maana akamteua Mbobezi J. Slaa. Mama Samia you're the best president
@edwinmbelle4207
@edwinmbelle4207 5 ай бұрын
Waziri hongera sana kwa msimamo wako , karibu yambo vituka mzambarauni Temeke kuna kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu tunakuomba mheshimiwa.
@martinchambala9399
@martinchambala9399 7 ай бұрын
Nguruwe ni watamu sana jamani tuacheni utani
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 7 ай бұрын
Kwenye makaz ya watu ni mateso wallahi
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 7 ай бұрын
Watamu ww acha mateso kila mtu anauhuru wa eneo lake
@martinchambala9399
@martinchambala9399 7 ай бұрын
Kwakweli kwenye makazi ya watu n mateso sana kelele na harufu acha kabisa lakini nyama yake sasa ule sio utamu weee
@asifreds8787
@asifreds8787 7 ай бұрын
haram. faida yake ukishakufa
@binseif2216
@binseif2216 7 ай бұрын
Makafari wanakula nguruwe
@emanuelkilangilo5585
@emanuelkilangilo5585 7 ай бұрын
Huyu waziri namuombea MUNGU ajekuwa hata Raisi kumbe viongozi Bado tunao🙏👍
@judicalosika7642
@judicalosika7642 7 ай бұрын
Yaani Nami naamini hivyo, WAPO, WAPO, WAPO. HUYU JAMAA AKIENDELEA HIVI, ATAFIKA MBALI KIUONGOZI
@ellyitete938
@ellyitete938 7 ай бұрын
Unakuta kajirani kanakereka mwenzie kupata maokoto kenyewe kana mbuzi mbili
@desolz3809
@desolz3809 7 ай бұрын
Nini mbuzi pengine kana paka shume jeusiiii
@JennyJma
@JennyJma 7 ай бұрын
​@@desolz3809😂😂😂😂😂eti kana paka shume jeusi
@desolz3809
@desolz3809 7 ай бұрын
@@JennyJma 🤣🤣🤣
@anithiajohn9209
@anithiajohn9209 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@naimatemba8061
@naimatemba8061 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-ey8hh7ce9w
@user-ey8hh7ce9w 7 ай бұрын
Wa kwanzaaa nipeni like
@mweyoms5548
@mweyoms5548 7 ай бұрын
Waziri wa namna hii ni nadra sana nchi.Jambo limeisha kirahisi tu.HEKIMA tu.
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 7 ай бұрын
Hongera sana MH Jerry slaaa yaani inaboa hata mbezi Luis watu wanafuga mikuku sehemu zenyewe ndugo yaani magonjwa kila siku
@daniel.shao.9028
@daniel.shao.9028 5 ай бұрын
Busara na hekima mingi mingi.....Mwenyezi Mungu akuzidishie hekima ktk kazi zako muheshimiwa waziri....viongozi waelewe kila jambo liamuliwe kulingana na mazingira yake.
@elianifammari3212
@elianifammari3212 7 ай бұрын
Asante doctor slaaaa
@alloycejames5285
@alloycejames5285 5 ай бұрын
Kazi nzuri ngeshimiwa
@kashindemohamed3924
@kashindemohamed3924 7 ай бұрын
Very diplomatic 👏👏👏
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 5 ай бұрын
Pana udini hapo ubalikiwe sraa uko vizuri mawazili igeni hii
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 4 ай бұрын
Fafanua udini gani???
@davidsebastian661
@davidsebastian661 7 ай бұрын
Kama tatizo harufu hata hapa mazizini harufu mbaya sana aseey pande za Dar salamu mliangalie ngozi zinatema sana aseey hamulioni dah😢😢😢
@froma3732
@froma3732 7 ай бұрын
Harufu ni tattoo lkn kubwa ni kuwa Sehemu sio ya kufuga mtu anakosa hlf Sheria ikiamua unasema umeonewa
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
MAMA SAMIA ASIKUBADILISHE KABISA.
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 7 ай бұрын
Utajiri simchezo nivita kubwa
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 4 ай бұрын
Yani Jerry nimejikuta nampenda kwa ungwana wake yani kazi yake ansitendea haki kwakweli
@petermboje5839
@petermboje5839 5 ай бұрын
Jerry unaongea kaka kwa makini kweli nakupenda sana yaani wewe umesoma kweri jimbo lako limepatia sasa
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 5 ай бұрын
Tukipata watu 100 kama silaa na 100 kama makonda basi tutanyooka zaidi ya rula!
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r 5 ай бұрын
Huyo wazir ndie alikuwa ahitajika tangus siku nyingi Mungu akubariki wazir . Ameonyesha njia hata kwengine
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 7 ай бұрын
nguruwe hawana muda wanainjo tuu kwa raha zao
@hildagabriel1003
@hildagabriel1003 4 ай бұрын
😂😂sio shida zao
@evaemil856
@evaemil856 5 ай бұрын
Waziri Slaa yuko makini sana na anatumia haki na sheria. Pia ni pole hatumii kiburi kutatua mambo. Anafaa kuendelea na uwaziri hata katika serikali mpya itakayoongozwa na CHADEMA or any other chama kama itatoka 2025.
@benedictmgale264
@benedictmgale264 5 ай бұрын
Katika Waziri ambaye Raisi yoyote atakayekuwepo madarakan hatakiwi kufanya kosa la kumtoa ni Jerry Silaa,ana hekima sana huyu mtu,mchapakazi na hana tamaa na hela!
@faridhassan6834
@faridhassan6834 7 ай бұрын
Hapo sawa mheshimiwa,aanza saa hii usifukue makaburi utaharibu sifa yako,ulianza vibaya kutaka kufufua makaburi,ila nakupongeza ni kama umesoma upepo ulivyo,huu ndio uongozi bro,sio kuwa harsh na vitu ulivyovikuta
@goodlucknnko5493
@goodlucknnko5493 5 ай бұрын
Viongozi kama hawa ni wachache sana Tanzania, endelea mkuu, Mungu ndo peke take atakayekulipa
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 5 ай бұрын
Tunao mkubali Waziri slaa gonga like hapa🎉🎉🎉❤
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 3 ай бұрын
Ila kiukweli nguruwe na hata kuku wengi wa biashara wana harufu mbaya sana. Awapeleke mbali tu huko
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 7 ай бұрын
Aweke chokaa kwenye mabanda harufu itaisha. Wivu tuu mnataka akaibe?? Kila mtu afuge nguruwe bana. Alaa!!!
@robertphilip385
@robertphilip385 7 ай бұрын
Kuda kudo mnama
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 ай бұрын
Umeongea kama watu mia
@goodlucknnko5493
@goodlucknnko5493 3 ай бұрын
Bila shaka we ndo waziri pekee wananchi wanaoona unachokifanya
@user-gy3dv3tq8d
@user-gy3dv3tq8d 3 ай бұрын
Sijui uzazi bado ninao nibahatishe kuzaa uenda nikapata mtoto wa kiume nimuite jerry
@ibrahimkhamis7010
@ibrahimkhamis7010 3 ай бұрын
Muheshimiwa tunakupenda sana kwa utendaji wako,lkn kuna ambao wanakurejesha nyuma wako,hasa kadhia ya pale kariakoo kitalu 8 nyumba no.4 kiwanja no. 10 mtaa wa manyema inakuchafua sana kwayale yanayotendeka pale,Wanasema bila kujali kwamba kauli zako nisiasa
@RojahKamalza-lw3ls
@RojahKamalza-lw3ls 7 ай бұрын
Barikiwa mh
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 7 ай бұрын
Huyu slaa huyu ni kiongozi kwelikweli
@kambamazig02024
@kambamazig02024 4 ай бұрын
Huyu afisa mpuuzi, ina maana ufugaji ama kilimo siyo biashara? Kasomea wapi huy? Asante waziri kwa kuliona hili. Huo ulikuwa ni wivu tu na wala sio kitu iingine, wanataka biashara yake ikwame!
@lukemelyemwenga2910
@lukemelyemwenga2910 25 күн бұрын
Huyu mzee ni msstaarab na mnyenyekevu
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 3 ай бұрын
Huyu mtumishi wa serikali anaetoa maelezo anaonekana anawivu tuu😅😅😅 udini😅😅
@davidsebastian661
@davidsebastian661 7 ай бұрын
Machinjio nazo zikae kando na makazi maana harufu mbaya sana aseey
@Omarjumanne-zm9zh
@Omarjumanne-zm9zh 7 ай бұрын
Safi sana Waziri wapo wengi kama hao apeleke polini huko
@silvesterrichardhelenya1319
@silvesterrichardhelenya1319 3 ай бұрын
HUYU ANATAKIWA AWE WAZIRI MKUU
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 ай бұрын
Waziri Silaa ana utu ni muungwana
@NINOTv_tz
@NINOTv_tz 2 ай бұрын
Msaada no ya waziri
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 7 ай бұрын
Mbunge wangu na Waziri Mungu aendelee kukutunza na kukuongoza Amina
@temiluyangi6343
@temiluyangi6343 6 ай бұрын
Kwani nguruwe wenyewe wanasemaje
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 ай бұрын
😂😂 Kama watashindwa kijieleza jee Sijui itakuwaje
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 2 ай бұрын
Zitungwe sheliya huu ni sawa na ubakaji
@morjanoman5181
@morjanoman5181 7 ай бұрын
Ivo kwenye ufugaji kibari Chann. Mimi. Sijui chochote
@SalmaBinyaga
@SalmaBinyaga 5 ай бұрын
Tulia bac
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 7 ай бұрын
Lugha ya taifa kiswahili hati ni ya kingereza
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 7 ай бұрын
Lugha ya kingereza bado ni lugha ya kiutendaji serikalini, sheria nyingi na nyaraka nyingi bado zimeandikwa kingereza
@Respicius
@Respicius 5 ай бұрын
Safi sana nyote mmeongea kwa Busara sana
@LevinaMichael-oy8cu
@LevinaMichael-oy8cu 7 ай бұрын
Mm ninajilani yangu alikuwa ananguruwe wawili tu walikuwa nishida asikwambie mtu tena kama kipindi cha mvua nihatari
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 3 ай бұрын
Mimi nak uombea tu uishi miaka 10000😊
@zainabramadhani9838
@zainabramadhani9838 5 ай бұрын
Ni sehemu nyingi ya makazi ya watu wanafuga hao wanyama katikati ya jamiii inakera saana harufu nyingi ukiwa nyumbani lazima ufunge MILANGO na madishira ukuongea unaonekana una wivu
@julianamasato5655
@julianamasato5655 7 ай бұрын
Ukweri nguruwe wanakera jamani
@morjanoman5181
@morjanoman5181 7 ай бұрын
Nchi yetu popote tunaishi ujirani mzina baa utasikia mtaa ule umechangamka😂😂😂😂
@anithiajohn9209
@anithiajohn9209 7 ай бұрын
😅😅😅kabisaa
@HashimYahya-ic2wn
@HashimYahya-ic2wn 3 ай бұрын
Uyo mfugaji mpumbav kwer yani kwenye makaz yawatu unafuga nguruwe una adabu
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu 3 ай бұрын
Mungu akubariki
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 5 ай бұрын
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI NA TAPELI WA NYUMBA ZA WATU
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 7 ай бұрын
SHERIA Z NCHI HAZIRUHUSU UFUGAJI MIJINI.
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 7 ай бұрын
​@Maneno2023ukishakuwa mji yeye ndio anatakiwa ahame na wala c wakazi coz yy anakiwanja kimoja wakati maeneo yalibaki ni mengi na mji umeshakuwa mkubwa, kunamaenei zamani yalikuwa madampo lkn baada ya mji kukuwa ilibidi yafukiwe kuendane na mjini na dampo kusogea mbele zaidi
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 7 ай бұрын
@Maneno2023 kariakoo pale big bon.mtu aweke zizi la ng'ombe mia 500
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 7 ай бұрын
huyo kajuna mfuga maguruwe ni kibri na kuwaudhi majirani zake!!
@apolleorevocatus8577
@apolleorevocatus8577 7 ай бұрын
Shaikh Kimario siku ukija kuonja nyama ya 🐖🐖 ilivyo tamu hautakaa tena kumsema mzee Kajuna ana Roho mbaya
@benlaizer9936
@benlaizer9936 7 ай бұрын
Tafuta pesa wivu utakuua
@banguha
@banguha 7 ай бұрын
Wew una wivu tu ndiyo maana maskin siku zote maskin anamchukia tajir Yan badala awe rafiki yake amuulize mbinu anamchukia umaskin ni laana sana
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
​@apolleor😂😂😂😂😂😂😂evocatus8577
@vincentvitalius9346
@vincentvitalius9346 5 ай бұрын
Kama tungekuwa na mawaziri wa namna hii nchi ingesongambele sana
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 7 ай бұрын
Kazi iendelee
@user-zx4zr3hc7y
@user-zx4zr3hc7y 7 ай бұрын
Waziri Bora Tanzania
@emmabrownmissana6996
@emmabrownmissana6996 7 ай бұрын
Tusaidie maana kuna baadhi ya makanisa yako sehemu sio sahihi yanatupigia Sana kelele.
@demicratia4071
@demicratia4071 5 ай бұрын
Sasa BAR SI BIASHARA. BASI nyumba nyingi zitafutiwa umiliki maana never music halls nyingi kwenye makazi yenye watoto na familiar wagonjwa hawalaliiii he nazo zitachukuliwa hatuna gani
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 ай бұрын
Majirani acheni chuli mifugo ipo ndani kwa ndani nn kero na nyumba zenu zipo mbali uko umbea tu
@ignatusrogerslema8650
@ignatusrogerslema8650 7 ай бұрын
Mfugaji anahitaji msaada wa namna ya kufuga nguruwe bila kutoa harufu akijenga mabanda ya kisasa na njia sahihi ya kuosha mabanda harufu itaisha
@aminimushi6945
@aminimushi6945 7 ай бұрын
Na kelele nazo,tuelekeze pia njia za kuondoa kelele.
@mahijayusuph8186
@mahijayusuph8186 5 ай бұрын
Mheshimiwa slaa naomba uje kiwalani kwa dingu kzna watu wameweka. kanisa katikati ya kiwanja cha makazi kelele masaa yote watoto hawalali
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 3 ай бұрын
Muheshimiwa tunaomba uende sanya juu watu wamejenga barabarani
@elvisikimaro1178
@elvisikimaro1178 5 ай бұрын
Mnamkosea mzee wawatu afuge eneo ni lakwake
@davidkorduni6176
@davidkorduni6176 7 ай бұрын
Nimefurahisana mh waziri Kwa hatua uliyochukua, ubarikiwe Kwa hekima uliyotumia.
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 7 ай бұрын
Hata maamuzi yetu kwenye uwekezaji kwenye nchi makosa yake ni sawa na hayo hayangalii kizazi kijacho kitaishije kiakili kitechnoloji tumekazana na kupata kodi na ajira,tuwe macho
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 7 ай бұрын
Anafuga vipenzi vyetu ndio maana msamaha umetoka Kwa udhamini wa ndizi rost😂
@zonko0488
@zonko0488 7 ай бұрын
Huyu jamaa kiongozi mzuri eh?
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 7 ай бұрын
Sanaaaaaaa
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 38 МЛН