Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
@johasaeed391Ай бұрын
Aisee kwakweli nimelia
@hildajoel5Ай бұрын
Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
@augustinesombi6285Ай бұрын
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
@audaxbizimana8084Ай бұрын
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
@kulwankuba2785Ай бұрын
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
@susanwambui6361Ай бұрын
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
@jumapiliissa4835Ай бұрын
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
@mwanakombopopo5117Ай бұрын
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
@rehemaadam410229 күн бұрын
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
@christainc.521728 күн бұрын
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
@neemanziku540329 күн бұрын
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
@user-sx1xi4yb2zАй бұрын
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
@muniraahmed62429 күн бұрын
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
@malietamalieta965829 күн бұрын
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
@ireneimbuhira7759Ай бұрын
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
@fatmamati524626 күн бұрын
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
@ElihurumaThomas-kz8nqАй бұрын
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
@janetchinga69527 күн бұрын
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
@ashuramuhammed3257Ай бұрын
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
@Natashawaziri-bv2xl28 күн бұрын
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
@mahmoudhamisi673Ай бұрын
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
@mr.yahzadochuno7914Ай бұрын
I love this man
@StellaWaillu29 күн бұрын
Mungu akulinde mh Jerry
@boniventurehussein7276Ай бұрын
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
@RASHIDMOHAMMEDIАй бұрын
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
@naigeorge776529 күн бұрын
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
@OllerDesononline633318 күн бұрын
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
@ruthleonard295813 күн бұрын
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
@THOMASMAYOGU-vu5ny22 күн бұрын
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
@vickyshayo788022 күн бұрын
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
@rewardyesse731429 күн бұрын
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
@user-cb5zb3fy8y28 күн бұрын
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
@njuka3515Ай бұрын
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
@safiaothman517528 күн бұрын
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
@JosephineexsuperАй бұрын
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
@neemaneychricious649327 күн бұрын
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
@ahmesaofficial961117 күн бұрын
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
@eddietaxidriverzanzibar4395Ай бұрын
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
@johasaeed391Ай бұрын
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
@SaadiyaMohammad-og5bg27 күн бұрын
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
@christaoman8890Ай бұрын
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
@suleymanimixkatafighter266929 күн бұрын
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
@mwantumuhassani508626 күн бұрын
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
@fifo26224 күн бұрын
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
@MonicaDamsoniMonikaDamsoni20 күн бұрын
Mungu akubari sana kaka
@karolikisaka8991Ай бұрын
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
@joycekisamo4896Ай бұрын
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
@nassercurtis9579Ай бұрын
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
@KS-iw7qvАй бұрын
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
@paulinakiria7918Ай бұрын
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
@ramadhanisalum3898Ай бұрын
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
@MrishoHussein-oz9nr29 күн бұрын
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
@LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
@PASCHAL-kh8qpАй бұрын
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
@ajaykilawah2622Ай бұрын
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
@LudovickTibakyenda-gs2wh29 күн бұрын
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
@JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын
Pole Sana
@mswadikinamambo2276Ай бұрын
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
@abedysteven4930Ай бұрын
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
@user-gr6wb9oq1nАй бұрын
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
@user-vf5gs7ik7wАй бұрын
Kbs
@judyngowi39129 күн бұрын
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
@user-yp8vt8ni8eАй бұрын
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
@user-pd1kt3xr3s26 күн бұрын
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
@reginamtitu559226 күн бұрын
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
@LeonardChacha-it2pb27 күн бұрын
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
@eddytheophil762627 күн бұрын
Pole sana brother..
@giftyjohn3852Ай бұрын
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
@babazungu318028 күн бұрын
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
@user-kt1vy1wf7d27 күн бұрын
Ooh lord, it's so painful, but God is good
@zabibubashiri303428 күн бұрын
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
@thomastemu333226 күн бұрын
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
@denisrukangula222721 күн бұрын
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
@KassianChengo25 күн бұрын
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
@chany995022 күн бұрын
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
@MagdalenaMatikoАй бұрын
Mungu hajaruhusu kifo chako
@user-cz5oy1od5dАй бұрын
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
@honoratusmodest285Ай бұрын
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
@MariaChiwaligo26 күн бұрын
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
@ismailchibonda500527 күн бұрын
Aise dah! Inauma sana
@frankazalia5985Ай бұрын
Polèe sanaaa aseeee
@NixonJohnson-zn8nk21 күн бұрын
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
@imanimussa625625 күн бұрын
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema
@EsterMbise-pj4vd27 күн бұрын
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
@kamrudinelias392217 күн бұрын
2025 nje nje au!!!!!
@jabirpombe133326 күн бұрын
Sema mheshimiwa huku kwetu majoe dar mnatusahau kuhusu barabara hebu tusaidie kiongozi wewe unaweza
@AllybinamourАй бұрын
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
@ChemworldTV29 күн бұрын
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
@SKY-fk3fzАй бұрын
Arusha kumezidi kwa dhulma
@teddyndungurusabnu479229 күн бұрын
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
@jareengeorge547825 күн бұрын
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
@mohamedkitemwe3569Ай бұрын
Inaumiza sana
@fifo26224 күн бұрын
Da ! Mambo magumu
@stevenemwakasimba-pt8er26 күн бұрын
Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi
@julius_wankyoАй бұрын
Nimegundua Kwa miaka ya hivi karibuni Kumekuwa na wimbi la viongozi wa tanzania kumwaga machozi, hii ina ishara gani?
@Rahima-kv6mnАй бұрын
Akuna ishara yeyote Bali Mungu tu amewabariki kuwa na nyoyo za. Huruma maana nawao binadam km sisi tofauti yetu ni vyeo tu walivyonavyo kikubwa Tuwaombee tu
@julius_wankyoАй бұрын
@@Rahima-kv6mn je viongozi wa miaka ya zamani hawakubarikiwa mioyo ya huruma?? Maana Kwa kumbukumbu zangu vilio vya viongozi vimeanza tu miaka ya juzi juzi hapa.
@Rahima-kv6mnАй бұрын
@@julius_wankyo Zamani pia walikuwepo walifanya vzr wengi tu sema media zilikuwa sio nyingi km Sasa mpk sisi walala hoi tunaona nani mzr nani mbaya Lakini akuna kizazi kisicho kuwa kizr abadani asilani kikubwa tuzidi kuwaombea na wanao jiona wanatabia sizo ndo wakati wa kubadilika huu maisha yenyewe mafupi haya unakusanya Mali unadhurumu kila kona mwisho wa siku kifo tu aina faida 😭😭😭😭
@frankdablacknation205728 күн бұрын
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
@SayiMadaha-fq7tu28 күн бұрын
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
@youngtomuller-vh2pu27 күн бұрын
Sinto muito mas Allah vai ti perdoar insha-Allah 😢😢😢
@lusajomwaipopo504227 күн бұрын
Huyu jamaa kitaifa yuko vzur kijimbo yuko hovyo kabisa namfananisha na harson mwakyembe wa kyela zamani
@bensonwissa577729 күн бұрын
Kuna wananchi wanateseka Sana so sad😢
@lvanyDaniel_pw7kk26 күн бұрын
Mimi sio nabii ila huyu alie shika maic ata kuwa shabiki wa utopolo
@ramadhanmahongole929328 күн бұрын
SHIDA NI KATIBA HII MBOVU INAYO FUGA WEZI NA WALA RUSHWA NDOMANA KERO HAZIISHI NA BADO KWA KATIBA HII KERO ZITAZIDI KUONGEZEKA SIKU HADI SIKU
@hamzafishten956028 күн бұрын
Nilijua kama kwetu ndio tunamatatizo ya ivo kumbe africa nyingi matatizo yapo sehem zote africa
@barakadaprince374229 күн бұрын
So painful 💔 😢
@maryamtanzania9743Ай бұрын
Hivi jamani saa zingine muww mnaangalia kama hivi ninavopambana hivi jasho linatoka mpaka linauka tena linatoka yani kiufupi ni mateso afu leo mtu aje anivunjie
@Zainab-sq1tc28 күн бұрын
Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona
@OmanOman-dd5qkАй бұрын
Pole sana ila kujiua sio jibu sahihi kaka kwanza unawatoto hiyo lroho yamauwaji kemea kaka
@joycekisamo4896Ай бұрын
Inaitwa DEPRESSION. Stresss ni kitu kibaya sana.
@subrynerysegerow1323Ай бұрын
Depression hiyo kuwa na watoto sio kigezo
@dinosiasa5600Ай бұрын
ogopa mtu akikata tamaa liwalo na liwe, si ulimsikia kabla kunywa sumu alitaka aondoke na mtu alimfanyia apotee kwny njia
@OmanOman-dd5qkАй бұрын
@@dinosiasa5600niile ishu yahamza yanini yote hayo vitu tutaviachatu siku moja