HONGERA SANA, N WAZIRI MKUU HAKIKA UTAUPIGA MWINGI KAMA HAYATI MAGUFULI.,
@sylvanusrwechungula538311 ай бұрын
🎉hongeraa
@jamesukombozi521611 ай бұрын
Mh. Biteko hongera sana sana
@benjaminnickson34911 ай бұрын
binafsi huyu mwamba hua namkubali sana
@Deboracharles-pw6wg9 ай бұрын
Raisi samia kwa kumteua huyu waziri nakupa heko na hongera
@siamuchunguzi11 ай бұрын
Kodi za Watanzania masikini
@ezekielmichael943111 ай бұрын
Daah siielewi ata maana ya naibu waziri mkuu
@jacksonmtonyore987111 ай бұрын
Uyu jamaa namuelewaga sana . Hongera Sana Mama kachagua mtu sahihi sana
@user-er3bq7fr7f11 ай бұрын
Katiba ni hii hii nayo ijua mimi au kuna kifungu kimeongezwa? Kumpata naibu waziri mkuu.
@samsonsamson981111 ай бұрын
naona walikoswa nafasi ya kuipiga nchi Hadi wameamuliwa kupewa cheo ambacho zamani hakikuwepo Ili aingie nae kwenye sakata la kuichalaza hii nchi na wabunge wetu nao wapo kw ajili ya kutoa shagwe tu lakini matokeo hamna
@ntegrity27711 ай бұрын
Shangwe la kinafki!
@MaryamMaryam-gi9zw11 ай бұрын
Kodi zetu zina wapa nguvu za kupiga menza tuuuu na kupeyana pongezi tu ila iko siku yenu mjuwe watu wata choka mjuye ndo mtajuwa ss
@ramadhanimustafa188511 ай бұрын
Kwahiyo atapakina Ofisi ya waziri mkuu au ofisi ya wizara ya nishati???...Nina hongera zake nikampatie.
@user-on9cs6yd6g11 ай бұрын
Wagombea usupika
@Hillary_Daudi_Mrema11 ай бұрын
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ametoa nafasi kwa Viongozi vijana ili waweze kukimbia kasi zaidi katika Maendeleo. Tuseme ukweli kwenye Wizara ya Madini Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko amefanya kazi nzuri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
@rithadonatus811011 ай бұрын
Sijawahi sikia naibu waziri mkuu
@Hillary_Daudi_Mrema11 ай бұрын
Awamu ya 2 ya Rais Mwinyi alimteua Naibu Waziri Mkuu Augustino Mrema huku akibaki na Cheo cha Waziri wa Mambo ya Ndani. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@rithadonatus811011 ай бұрын
@@Hillary_Daudi_Mrema yaani huu ni upuuziii lokhooo
@VITALS-cx6hk11 ай бұрын
Umeona
@user-cw7fn4zz2z11 ай бұрын
Hii Nchi bana raisi anajiamulia tu ,kuna cheo cha naibu waziri????
@user-cw7fn4zz2z11 ай бұрын
Kuna cheo cha naibu waziri mkuu
@Hillary_Daudi_Mrema11 ай бұрын
Awamu 2 ya Rais Mwinyi alimteua Naibu Waziri Mkuu Augustino Mrema huku akibaki na Cheo cha Waziri wa Mambo ya Ndani. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@Hillary_Daudi_Mrema11 ай бұрын
Kuwa mzalendo kwa Nchi yetu Tanzania na tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia kutekeleza Maendeleo Nchini. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿