VIDEO: TAZAMA SHANGWE LA NAIBU WAZIRI MKUU 'BITEKO' BAADA YA KUINGIA BUNGENI DODOMA

  Рет қаралды 14,261

Millard Ayo

Millard Ayo

11 ай бұрын

Пікірлер: 26
@user-qy5yl7eo3l
@user-qy5yl7eo3l 4 ай бұрын
Huyu namwelewa sana, Mungu akubariki 🎉
@user-kq1rt7ur5l
@user-kq1rt7ur5l 11 ай бұрын
Kwa uteuzi huu mama kacheza sana hii nimashine
@Deboracharles-pw6wg
@Deboracharles-pw6wg 9 ай бұрын
Yani nampenda huyu waziristan namwombea mema
@mustaphersamson6174
@mustaphersamson6174 11 ай бұрын
HONGERA SANA, N WAZIRI MKUU HAKIKA UTAUPIGA MWINGI KAMA HAYATI MAGUFULI.,
@sylvanusrwechungula5383
@sylvanusrwechungula5383 11 ай бұрын
🎉hongeraa
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 11 ай бұрын
Mh. Biteko hongera sana sana
@benjaminnickson349
@benjaminnickson349 11 ай бұрын
binafsi huyu mwamba hua namkubali sana
@Deboracharles-pw6wg
@Deboracharles-pw6wg 9 ай бұрын
Raisi samia kwa kumteua huyu waziri nakupa heko na hongera
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi 11 ай бұрын
Kodi za Watanzania masikini
@ezekielmichael9431
@ezekielmichael9431 11 ай бұрын
Daah siielewi ata maana ya naibu waziri mkuu
@jacksonmtonyore9871
@jacksonmtonyore9871 11 ай бұрын
Uyu jamaa namuelewaga sana . Hongera Sana Mama kachagua mtu sahihi sana
@user-er3bq7fr7f
@user-er3bq7fr7f 11 ай бұрын
Katiba ni hii hii nayo ijua mimi au kuna kifungu kimeongezwa? Kumpata naibu waziri mkuu.
@samsonsamson9811
@samsonsamson9811 11 ай бұрын
naona walikoswa nafasi ya kuipiga nchi Hadi wameamuliwa kupewa cheo ambacho zamani hakikuwepo Ili aingie nae kwenye sakata la kuichalaza hii nchi na wabunge wetu nao wapo kw ajili ya kutoa shagwe tu lakini matokeo hamna
@ntegrity277
@ntegrity277 11 ай бұрын
Shangwe la kinafki!
@MaryamMaryam-gi9zw
@MaryamMaryam-gi9zw 11 ай бұрын
Kodi zetu zina wapa nguvu za kupiga menza tuuuu na kupeyana pongezi tu ila iko siku yenu mjuwe watu wata choka mjuye ndo mtajuwa ss
@ramadhanimustafa1885
@ramadhanimustafa1885 11 ай бұрын
Kwahiyo atapakina Ofisi ya waziri mkuu au ofisi ya wizara ya nishati???...Nina hongera zake nikampatie.
@user-on9cs6yd6g
@user-on9cs6yd6g 11 ай бұрын
Wagombea usupika
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 11 ай бұрын
Mheshimiwa Rais Dokta Samia ametoa nafasi kwa Viongozi vijana ili waweze kukimbia kasi zaidi katika Maendeleo. Tuseme ukweli kwenye Wizara ya Madini Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko amefanya kazi nzuri. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 11 ай бұрын
Sijawahi sikia naibu waziri mkuu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 11 ай бұрын
Awamu ya 2 ya Rais Mwinyi alimteua Naibu Waziri Mkuu Augustino Mrema huku akibaki na Cheo cha Waziri wa Mambo ya Ndani. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 11 ай бұрын
@@Hillary_Daudi_Mrema yaani huu ni upuuziii lokhooo
@VITALS-cx6hk
@VITALS-cx6hk 11 ай бұрын
Umeona
@user-cw7fn4zz2z
@user-cw7fn4zz2z 11 ай бұрын
Hii Nchi bana raisi anajiamulia tu ,kuna cheo cha naibu waziri????
@user-cw7fn4zz2z
@user-cw7fn4zz2z 11 ай бұрын
Kuna cheo cha naibu waziri mkuu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 11 ай бұрын
Awamu 2 ya Rais Mwinyi alimteua Naibu Waziri Mkuu Augustino Mrema huku akibaki na Cheo cha Waziri wa Mambo ya Ndani. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 11 ай бұрын
Kuwa mzalendo kwa Nchi yetu Tanzania na tuendelee kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Samia kutekeleza Maendeleo Nchini. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 29 МЛН
JPM: Biteko alikuwa anaichachafya serikali
1:47
Azam TV
Рет қаралды 6 М.
UTACHEKA: RIOBA CHACHA Alivyoongea KIKULIYA Mbugeni leo
10:57
Global TV Online
Рет қаралды 4,6 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН