"Mnawezaje kuwafundishia wanafunzi vitabu vyenye makosa?" - Doto Biteko

  Рет қаралды 9,136

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Mbunge wa Bukombe Doto Biteko amehoji ndani ya Bunge sababu ya Serikali kuendelea kukaa kimya baada ya kubainika kuwa kuna baadhi ya vitabu vilivyotolewa kwenye shule nchini wakati vikiwa na mapungufu ya kitaaluma.

Пікірлер: 3
@peterherman4279
@peterherman4279 7 жыл бұрын
mh umenena kwel
@kechbowkech9138
@kechbowkech9138 5 жыл бұрын
Mh. Dotto Biteko.. Nimesoma nae Chuo cha walim morogoro ( morogoro Teacher's College) MOTCO.... Alikuwa Rais wangu na Mimi nilikuwa ni waziri wake wa Habari kweli kipaji ni kipaji Mheshimiwa nitafute facebook nimeweka picha yangu na picha yako
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
KWELI JAMANI HATA KITAALUMA SIYO,MF KITABU CHA ENGLISH DRS LA TATU,MTOTO WA ELIMU BURE HAJAANZA KITABU CHA KWANZA KWA SABABU DRS LA KWANZA NA LA PILI HAWAFUNDISHWI KIINGEREZA,SASA MTOTO ANAANZA KIINGEREZA DRS LA TATU NA BOOK 3 AMBAPO 1 NA 2 HAJASOMA,NDO MAANA WANAONA MARUERUE ,HILI NALO LIANGALIWE MPANGILIO WA UWEZO WA KITAALUMA MAANA HII JAMANI KICHEKESHO KWA KUFIKIRIA UTUNZI WA VITABU VYA KIADA
'Hatukubali udhalilishaji unaofanywa kwa walimu''-Doto Biteko
12:19
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3,3 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 120 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
Loh!! Alichozungumza Biteko mbele ya aliyepambana na pacha wake
9:49
JPM: Biteko alikuwa anaichachafya serikali
1:47
Azam TV
Рет қаралды 6 М.
"KUPATA MADARAKA AU CHEO HAKUKUFANYI KUJUA KILA KITU" DKT. BITEKO
1:59
Это реально работает?!
00:33
БРУНО
Рет қаралды 3,3 МЛН