Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.co...
Пікірлер: 159
@zeinababdi47577 ай бұрын
I stand with Faiza, she is real
@claudiajames20037 ай бұрын
Faiza huwa yuko real! Kusema kweli Zamaradi anaonekana ana roho ya korosho sana! Ingawa kanavyojiweka huwezi kukadhania
@landmadvdmbeyacity95617 ай бұрын
Achen ujinga uyo c kahachika kwasugu mdaaa
@sophiasophia97137 ай бұрын
I think Faiza is telling the truth
@zariadunia63287 ай бұрын
Zama ana damu ya kinyarwanda upande wa mama yake usnitch ni jadi yao ni kanyoka flani hivi na ndo mana ali match sana na Ruge mana Ruge akikuandama utaomba ufe alikuwa mtu wa visasi kukomeshana lait Diamond angeamua kusema aliyomfanyia Ruge utabaki mdomo wazi kwa hiyo zama mdogo wangubleo Sigu ndo kawa brother? Muogope mungu zama
@florencemeza65407 ай бұрын
Mambo mengine ni kuomba Mungu hongera faidha uliona mbali hukutaka kumuharibia baba mtoto wako, ila najiuliza kwa nini Zamaradi anagombana na watu wengi
@atutweve41607 ай бұрын
Sababu wanamuonea wivu 🤪
@fbr51137 ай бұрын
ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU. NA PIA ANA MAUMIVU YA KUPOTEZA WAZAZI MAPEMA KWAHIYO HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA. AJITAHIDI KUWA MWEMA WA KWELI. SIO KISNEMA
@marymanoni55367 ай бұрын
Mtu mwenye maendeleo lazima apigwe mawe
@user-xz8xu1is3f7 ай бұрын
Wanawake acheni wivu
@faidhamyovela1797 ай бұрын
Mm kwa hili siamin kama zama alitaka kumuharibia sug uchaguz kwakwel bado sijaamin
@dhhccfgui94007 ай бұрын
Zama wanamuona mtu mwema sna ila ogopa mtu anae jionyesha mwema kwa watu ila ndan n nyoka sna😂
@citymwacheo44977 ай бұрын
Kiukweli zama huwa ni nyoka sema upole na face yke ndio inamficha
@stn48737 ай бұрын
Faiza yuko real. Zama alitumiwa na Ruge kumuharibia Sugu.
@Adje2447 ай бұрын
Zamarandi ni yuda sana yani ni anakuua huku anacheka
@rerisamba7 ай бұрын
🤣🤣🤣
@homeandaway28117 ай бұрын
💯 na ni kinyonga
@ibrahimkibira99437 ай бұрын
Zamaradi anaroho mbaya sana sema tukimuona social media mnamuona mtu mwema ...nilimchukia kipind kile cha dinnar Mario's alivyoondolewa clouds fm zama hafai hata kidogo
@FatumaIssa-kw3vv7 ай бұрын
Faiza Queen herself I love you sister ❤
@heriethkusigwa72097 ай бұрын
Faiza needs a therapist,She must heal Abeeeeg😮
@homeandaway28117 ай бұрын
That therapist should start with Zama first then he or she can go help Faiza. Humjui Zama vizuri,
@user-mb3xq1do3s7 ай бұрын
Huyu bibi faiza nae atulie alee wajukuu
@rukiamziwanda74587 ай бұрын
Zama ni mbaya mnoooooooooo nyokaaaaa
@Mkombozi2557 ай бұрын
I stand with Faiza
@hallykanze66937 ай бұрын
Zamaridi Ni narcissist she knows how to pretend 😂
@sheilaally94907 ай бұрын
siyo narcisst,
@BossLady-cq2xp7 ай бұрын
Big narcissist
@eben_ezer88537 ай бұрын
A very Huge narcissist I've seen
@antipascann27977 ай бұрын
@@eben_ezer8853PhD holder😂
@neemayatosha16187 ай бұрын
The girl screems Narc so loud,yaani huhitaji tochi. Very self centered ,with ego na anawaburuza wengi especially Bongo movies artists. And it seems that,If you refused to be used for her gaining au ukimchalenge kimawazo ,things go sour😂
ZAMA IS SMART AND BLESSED LAZIMA ACHUKIWE,,,, UZURI SIO MAISHA
@Mariam-fm8vq7 ай бұрын
😂😂😂😂😂pole sana zama maana huna bahati wanja mzima wamekuchoka eti😂😂😂😂😂
@chany99507 ай бұрын
Thx bro👍🏽
@ashurajengela39267 ай бұрын
Zama ni nyoka tena nyoka mwenye sumu kali 😢😢😢😢
@iantussa90647 ай бұрын
Mnafahamiana na zamaradi au faiza??
@atutweve41607 ай бұрын
Wivu jamani dada yupo smart huyo lazima watu wamchukie, ana maendeleo yake wakati wengine bado na miaka 40 wanajitafuta
@ashurajengela39267 ай бұрын
@@atutweve4160 wivu gani bwana weee kwann kila mtu amlalamikie yy ?!
@pendojeremiah10237 ай бұрын
@@atutweve4160hujawajua watu dear watu kama faidha wako real sana ndo maana wanaonekana wabaya ogopa Sana mtu anayejua kupretend tena public zamaradi ni mwigizaji sana
@janethjonas17007 ай бұрын
Faiza hasemagi uongo..
@OmanOman-dn6dj7 ай бұрын
Zamaradi hawezi kumkubali faiza kwakuwa analipiza kisasi kwa ruge
@lindambilinyi62537 ай бұрын
Zamarad hafai niliwah sema na nitaendelea kusema,,,usoni mtu lkn moyoni bundi😂😂
@fbr51137 ай бұрын
SISHANGAI WANYARWANDA NDIVYO WALIVYO.
@spreadlove53007 ай бұрын
Sasa Zama ni mnyarwanda au ndo gari imewaka 😢
@sarahmcharo15487 ай бұрын
@@spreadlove5300 hahah
@user-wp2uj7wt1i7 ай бұрын
Huyo Faiza nae mswahili kwann..asingepita kule angeacha..kwani ni lazima uongezee jambo. Zama might be a good person in one way lakn kwasababu anajulikana ana mambo meusi wanachukulia advantage.
@chainbre2757 ай бұрын
Faiza might be right kwa anavyo mpenda bby daddy sidhn ka anasema urongo😂😂hu ndonmutazamo wangu
@marymanoni55367 ай бұрын
Faiza sijui yukoje
@rajabdibwa64157 ай бұрын
They always say 'Still water runs deep!'
@user-eo4hd8xu6d7 ай бұрын
😂😂😂faidha yuko km gigymoney au Rubí wakikasirika tuu siri zote nje
@PhyinaElias-mu4wf7 ай бұрын
😂😂 kabisa
@vennyrichard21397 ай бұрын
Hahaaa n huw za kwel
@rerisamba7 ай бұрын
🤣🤣🤣
@user-yh2gy1lp7w7 ай бұрын
Watuwace tuko busy na manara❤
@fatmaallyabdul17327 ай бұрын
Shida yetu viewers yaani wa kwanza akianza kuponda au kusifia basi wote tunafuatisha hilo hilo ediots!!! Ooh!!Zama nyoka,sijui muuaji sijui nini wakati wakielewana tulikuwepo?! Shida kuna mtu hakubali kuachika ndio maana kila siku yupo kwenye page ya ex wake 😂kujichoresha na kujidhalilisha tu...mtu aliyekua kiakili ikitokea umegombana nae wala hahangaiki kufichua siri zako hadharani huo ni utoto!!!
@hidayaswai31197 ай бұрын
Mbona na wewe unaonesha una chuki na faiza? Tuacheni u follower kwenye magomvi yasiyotuhusu. Wanajuana hao
@faridanurdin96357 ай бұрын
Nakuelewa sana,nakumbuka marehemu baba yangu aliniambia chagua Rafik mwenye hekima na jizuie kugombana nae,na mkikwaruzana usiongee lolote..kila utakachoongea kitaaminiwa..kifupi ogopa ugomvi na rafiki yako.
@rahmaabdallah45147 ай бұрын
Mimi sijaona sababu ya kushambuliana ule mda zama alikua hajakomaa ki akili na maanisha hajajitambua sasa anajielewa vzuri..binaadamu hufika wakati akajutia makosa yako aliyoyatenda nyuma sasa ameona hakuna sababu au uhasama au uadui amejitakasa moyo na kusamehe yalopita kuelewana na kila mtu.... maisha ni mafupi samehe hapa duniani
@najmasalim-rg6ow7 ай бұрын
Fact
@iantussa90647 ай бұрын
Hongera uko sawa mumy❤
@magretangel52427 ай бұрын
7:33 "Suge na Rugu" 😂😂😂
@pantaleomcha17957 ай бұрын
😂😂😂
@fauziasultanikilewa76027 ай бұрын
Faiza anampenda saaaaaaaaaaanaaaaa sugu sasa quona hasimu waqe anashiriqiana na sugu anataqa quharibu 😂😂aisee faiza unataqiwa ququbali qwamba hutaqiwi
@umfahad26097 ай бұрын
Huyu Zama aliwahi kugombana ht na Hamisa. Na akamtangaza vibaya mwenzake. Halafu anajidai kwa vile csemi nakaa kimya. Ukimta gani huo?
@stonetown5787 ай бұрын
Zama this, Zama than, I like it.
@hopechidera7 ай бұрын
Zama that not than🧐
@stonetown5787 ай бұрын
@zimuzorchidera6077 typing error my friend
@ilynpayne74917 ай бұрын
Zamaradi mimi siku nyingi nnajua kwamba ana roho mbaya sana hiyo ina julikana
@atutweve41607 ай бұрын
Ili ufanikiwe lazima uwe wa pekee sana kitabia na kila kitu, ukiwa mtu wakuchekacheka sio rahisi kufika malengo, ao matajir walofanikiwa wote utaambiwa wana roho mbaya sababu wapo determined,,,,, sasa yeye ndo mjinga alifunzwa kumharibia baba mtoto ake akakubali? Ndo ujue Zama yupo smart sana kumzidi, hata hakujua nani anathamani Kati ya baba mtoto na rafiki tu 👁👀👀👀🤔
@neemayatosha16187 ай бұрын
@@atutweve4160 its ok to be smart,ila si vema kuutumia usmart wako to manipulate people and situations for your interests. Huyu anaonekana ana mengi anafanyia watu ila wanaogopa kusema,ndio kama hivyo ukisema unaishia kawe police station.
@atutweve41607 ай бұрын
@@neemayatosha1618 hao walikua marafiki ndugu yangu, katika urafiki watu mnasimuliana vitu vingi sana mkikosana ndo kama hivo mnatoleana Siri, mwanamke ukimkingia kifua mumeo hakuna mtu wa nje atakuja kuku manipulate yani ubaya uliaza kwa mwenye mume mwenyewe alimteta na kumsema mumewe ndomana zama akapata njia ya kuingilia,,,,, very logical mbona
@marymanoni55367 ай бұрын
Mnamuonea wivu zamaradi kisa anamaendeleo
@emmasonanjawe90427 ай бұрын
Ndomana kila siku Huwa nawaambia wanawake ni nyoka hatari sana hivyo umakini zaidi unahitajika kwenye baazi ya Siri zetu wanaume
@nancyg86647 ай бұрын
😂 😂aya mtoto wa nyoka
@umfahad26097 ай бұрын
Km wanawake ni nyoka. Bac ht mamaako ni nyoka?
@aishaabdul92877 ай бұрын
Ugomvi wa watu wazima wataumaliza wenyewe
@edakilibika59357 ай бұрын
Siku zote walikuwa wapi zama songa mbele na yako watumie akili zao na wao zama zama
@ramadhanseleman42767 ай бұрын
Hivi vibibi vinapenda kutrend
@zainabwage46587 ай бұрын
😂😂tena mpk kero
@fridageorge28097 ай бұрын
Wanaubibi gani!? 40’s ndio kwanza wameanza maisha!❤
@priscajube42397 ай бұрын
Wana ubibi gani. Wasichana wabichi hawajachakaa kuliko walio 30.
@Mariam-fm8vq7 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-vy2bc6xg3i7 ай бұрын
Acha zako wee unaenda juu au chini miaka 40 bibi
@saumusalimuhassan24997 ай бұрын
Jamani mbona hivi 😢
@Shehasweet-hy6xn7 ай бұрын
Lazima akatae..maana watanzania wote wamejionee..zama huwa anatabia mbaya..kila rafiki lazima anamlalamikia..niko na faiza inauma saana...zama hamalizanagi vizur na marafiki lazima anawapigaga kitu kizito
@leilamohamed9507 ай бұрын
Alyesikia suge na rugu nani 😅😅😅
@TaarabChannel7 ай бұрын
Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
@shanimbaruku20717 ай бұрын
Safi zama ww ni mti wenye matunda🎉
@maryamtanzania97437 ай бұрын
Zamaradi anaakili sana ndo mana wanamchukia pole zama wangu labda usiwe unaongea chochote manake ukiongea ni sumu inakuwa yani huyu faidha kwanza niliwahi kujiuliza huyu zama inakuaje anakuwa na urafiki na faidha sababu namuonaga analopakaga tu afu yeye hivi ndi anapenda ili aongelewe
@johasaeed3917 ай бұрын
Weee usiseme hivyo binadama wanamazito sana tena hawo wakimya ni balaa sana ndugu mwisho wa siku huwa hamna sili tena utajulikana tu kitabia chako yaani ni bora linaloongea ovyo huwa ndani ya roho yake ni safi
@chanceB987 ай бұрын
@@johasaeed391kweli ❤
@marymanoni55367 ай бұрын
Ndioooooo
@zariadunia63287 ай бұрын
Ana GPA ya ngapi watu wqnquza unga mnawaita wana akili😊😊😊
@sarahmcharo15487 ай бұрын
mh sugu ukute hta hajui haya yote
@merrynancesimon15627 ай бұрын
Pole faiza binadamu marafiki wabaya mnooo
@lilianjeremia10247 ай бұрын
Kwaiyo ngapi uko kati ya faiza au zama
@shabanponera28957 ай бұрын
Mtangazaji umetisha SUGE na RUGU 7:30
@ashurahatibu50697 ай бұрын
😅😅😅😅😅suge na rugu
@hanifamziray2777 ай бұрын
Tafuten pesa banaaa
@RandB_Channel7 ай бұрын
Sasa jamani kama Zamaradi amekomenti vile kwa Sugu kuna shida gani?? Sioni shida labda kulikuwa bifu nzito kati yawo
@fatmaallyabdul17327 ай бұрын
Alikuwa anaafta saabu si unajua hakubali kuwa aliachwa na sugu
@fatumahashimmcheni96107 ай бұрын
Taabu ya Umaruifuuu hiii
@debbiethomas98257 ай бұрын
SUGE NA RUGU......Chriss😂😂😂😂😂😂
@agathamwageni50167 ай бұрын
😅😅😅
@marymanoni55367 ай бұрын
Wivu nenda uko anakuzidi maendeleo wivuuuuuuuu
@homeandaway28117 ай бұрын
Zamaradi ni mshenzi sana 💯
@tecratzmwakyambomwakyambo72437 ай бұрын
Na wengi wanamsema
@homeandaway28117 ай бұрын
Yaani Faiza ana mapungufu kama binadamu wote tulivyo, najua sometimes Faiza mambo yake ni shida 😅 lakini Zama ni NYOKA mwenye sumu kali!@@tecratzmwakyambomwakyambo7243
@maryamconstantine22327 ай бұрын
Daima ukiwa mwema utachukiwa mnoooooooo
@marymanoni55367 ай бұрын
Wewe huna akili faiza
@beatricehenry67767 ай бұрын
Watu hugombana na kusameheana sioni shida ya Zama ya kale yamepita ila mwenye shida Ni Faizer mwenye sumu ya nyongo
@HappinessNess-dj6rt7 ай бұрын
Dada kashindwa kumuv
@user-nq4md3sj6d7 ай бұрын
huyu Faiza daah 🤣
@mohamedibwatamu7 ай бұрын
NAN KASKIA SUGE NA RUGU MWISHONI MWISHONI 😅😅
@jordanmwamlima75797 ай бұрын
Ashamuharibia na kumchafua sana Sugu, hana chochote cha kueleza they're all snitches...
@augustinemainde27307 ай бұрын
Subirini midoli ya Kichina iingie wanaume wahamie huko ugomvi utaisha😊😅😊😅
@fatmaallyabdul17327 ай бұрын
😂😂😂
@samwa94967 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@OG_207 ай бұрын
waendelee kutupa burudani
@pulikisia79637 ай бұрын
Hahahahaaaa mtangazaji kachapia majina ya Sugu na Ruge,eti Suge na Rugu😂😂😂
@user-eo4hd8xu6d7 ай бұрын
😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf7 ай бұрын
Hahah😂
@judyngowi3917 ай бұрын
Safi sna
@umfahad26097 ай бұрын
Majina yenyewe ni yakiajabu ndio mana.😂😂😂
@peninashungu66337 ай бұрын
Watu mwembamba uwa WAONGO WAONGO Sana ndo havinenepi kabisaaa
@muzafarsharif94657 ай бұрын
vinanepa huko Chini Tu
@fridageorge28097 ай бұрын
Kama waongo waongo mbona mnashinda gym na madayati kibao na nyie mnataka kuwa waongo!!?
@neemayatosha16187 ай бұрын
@@fridageorge2809🤣🤣🤣 akikujibu nishtue
@umfahad26097 ай бұрын
@@fridageorge2809😂😂😂😂
@mauakiza22957 ай бұрын
Awajapigana
@user-pu6pr5jt4n6 ай бұрын
Faizaa😂😂😂😂hakopeshiii
@neemanziku54037 ай бұрын
Ww faiza ww ni mtu mzima vingine uweunanyamaza,yann kutoana siri?
@khadijarashidy93047 ай бұрын
I'm from Cuba and I don't understanding Swahili but hii imeenda 😂😂😂
@swabramohammad44877 ай бұрын
😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf7 ай бұрын
You don't understand Swahili but hii imeendaa umeielewa🤣🤣
@marynjuka7 ай бұрын
itakuwa zama anamatatizo
@queenmilan20247 ай бұрын
Zamaradi ni muuaji wa chini
@AllyJuma-zp9nw7 ай бұрын
Nyie ni wazazi acheni kina zuchu hizo drama
@MwanaishaShattry7 ай бұрын
Watu wazima ovyooo.
@rerisamba7 ай бұрын
Vile umetaja Mangi nimekuja
@faidhakikoba53997 ай бұрын
😅😅😅zamaaaa maji
@PhyinaElias-mu4wf7 ай бұрын
Me nikajua zamaradi n mstarabu,mpole hadi nampendaga sanaaaa had wasani baadhi huwa wanasema zamaradi anajua kutuza siri anajua kushauri khaa kumbe ndivyo alivyooo 😮
@jescanicodemus7 ай бұрын
ana roho mbaya wasanii wengi huwa wanamlalamikia
@PhyinaElias-mu4wf7 ай бұрын
@@jescanicodemus Mmmh madogo,, khaaa uzaniae sie Kwa kwel
@rerisamba7 ай бұрын
@@PhyinaElias-mu4wf🤣🤣🤣waa wacha tushangae jamani
@yunaisamidd75877 ай бұрын
Yan ukisoma comment ndo unajua watu wana magonjwa ya wivu na akili pia yan mnavo muattak zama utafikir mna ujua ukwel wivu Uta wauwa mbwa nyie 😅😅😅😅😅😅😅
@judyngowi3917 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@MNHAMAOFICIAL7 ай бұрын
naoba number ya faiza tafadhali
@user-fy9pw2zr8l7 ай бұрын
si uende kwenye bio ya insta
@MNHAMAOFICIAL7 ай бұрын
SI TUMIII VP UNAWEZA NI HELP@@user-fy9pw2zr8l
@marymanoni55367 ай бұрын
Faiza jitulize jitulize acha roho mbaya unaroho mbaya sn ww faiza ally ww kakuzidi kila kitu kwanza umekomaa ww faiza jitulize