Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 35
@aminashayo92635 ай бұрын
Huyu dada anajali hata wale walio nyuma yake si wa kawaida ana roho wa Mungu ndani yake, wengine wamebarikiwa ila hawawajali watu wanao wafanyia kazi, be blessed more and more - ameeeen
Ni hivi unapotaka kufanya jambo njema usimwambie kila mtu sio vizuri ya takiwa ufanye kila kitu kwasiri ,nime jifunza mengi kupitia huu dada
@user-ji1bc5ti8r5 ай бұрын
Gugu ni mrembooo alafu anaongea vizuriii Mungu azidi kukubariki ktk biashara zako
@lilyanmongi45455 ай бұрын
Hii ndio interview sky m2 anajitafuta mwenyewe anaanzisha biashara kwa hela yake sio biashara ya family au capital kapewa na wazazi
@judithkatabaro32945 ай бұрын
Napenda rafiki yangu awe mwajuma jaman usimuache ata akuuzi vipi nirafikibwa kweli
@NorahskitchenАй бұрын
So inspirational 🎉nimejifunza uthubutu ndo kila kitu Kama unawazo lako kuliko kulifungia ndani we thubutu hujui ni Wazo lipi litakutoa
@hellenmwasalwiba655525 күн бұрын
Gugu nakuelewa sana. Mungu akuzidishie
@judithkatabaro32945 ай бұрын
Nime furaia sana mahojiani yako na uyu dada tena dada ana ongea kweli ya kumfanya mtu asiogope majaribu ata akianguka malangapi
@lucybatista26314 ай бұрын
Gugu nilijieleza hukunielewa nilipokuwa na matatizo ila yote yalikuwa ya Mungu...ila una roho nzuri. Na pia leo nimekuelewa leo
@ruthmukami75735 ай бұрын
Very nice interview. Dada have you ever thought of opening a beauty school? Think about it. Just a recommendation. Diversify your brand. You would be great. The sky is the limit.
@annajoseph9075 ай бұрын
thanx dear ila beauty shool ipo dear nimesahau tu kuitaja ni @gugubeauty_trainingcentre
@lnspirational25 ай бұрын
Ooh My God!, wow , price-skimming Strategy… mfano wa kuigwa, big up sana sister, & thank you always Bro kwa kutupa productive Interviews.. Gid bless you 🙏🏾
@lnspirational25 ай бұрын
Njoo UK @gugu beauty utapata sana
@annajoseph9075 ай бұрын
Kabisa dear very soon
@lucybatista26314 ай бұрын
Ohooo my dear tunasuka sana ila connection za mbele hatuna tunaomaba msaada wenu
@annekamugisha41944 ай бұрын
Safi sana Anna. Ni muda sahihi kukuona na strategies zako ni kabambe. Hongera sana