Huyu ndio mmiliki wa Gugu Beauty Salon, alivyoanza utashangaa, ana wateja balaa! Hii ni siri yake

  Рет қаралды 13,017

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

5 ай бұрын

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 35
@aminashayo9263
@aminashayo9263 5 ай бұрын
Huyu dada anajali hata wale walio nyuma yake si wa kawaida ana roho wa Mungu ndani yake, wengine wamebarikiwa ila hawawajali watu wanao wafanyia kazi, be blessed more and more - ameeeen
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ninavyo waza kupambana kufungua kitu changu kumbe nita weza ngoja nikaze
@oman1oman179
@oman1oman179 4 ай бұрын
Ni hivi unapotaka kufanya jambo njema usimwambie kila mtu sio vizuri ya takiwa ufanye kila kitu kwasiri ,nime jifunza mengi kupitia huu dada
@user-ji1bc5ti8r
@user-ji1bc5ti8r 5 ай бұрын
Gugu ni mrembooo alafu anaongea vizuriii Mungu azidi kukubariki ktk biashara zako
@lilyanmongi4545
@lilyanmongi4545 5 ай бұрын
Hii ndio interview sky m2 anajitafuta mwenyewe anaanzisha biashara kwa hela yake sio biashara ya family au capital kapewa na wazazi
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 5 ай бұрын
Napenda rafiki yangu awe mwajuma jaman usimuache ata akuuzi vipi nirafikibwa kweli
@Norahskitchen
@Norahskitchen Ай бұрын
So inspirational 🎉nimejifunza uthubutu ndo kila kitu Kama unawazo lako kuliko kulifungia ndani we thubutu hujui ni Wazo lipi litakutoa
@hellenmwasalwiba6555
@hellenmwasalwiba6555 25 күн бұрын
Gugu nakuelewa sana. Mungu akuzidishie
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 5 ай бұрын
Nime furaia sana mahojiani yako na uyu dada tena dada ana ongea kweli ya kumfanya mtu asiogope majaribu ata akianguka malangapi
@lucybatista2631
@lucybatista2631 4 ай бұрын
Gugu nilijieleza hukunielewa nilipokuwa na matatizo ila yote yalikuwa ya Mungu...ila una roho nzuri. Na pia leo nimekuelewa leo
@ruthmukami7573
@ruthmukami7573 5 ай бұрын
Very nice interview. Dada have you ever thought of opening a beauty school? Think about it. Just a recommendation. Diversify your brand. You would be great. The sky is the limit.
@annajoseph907
@annajoseph907 5 ай бұрын
thanx dear ila beauty shool ipo dear nimesahau tu kuitaja ni @gugubeauty_trainingcentre
@lnspirational2
@lnspirational2 5 ай бұрын
Ooh My God!, wow , price-skimming Strategy… mfano wa kuigwa, big up sana sister, & thank you always Bro kwa kutupa productive Interviews.. Gid bless you 🙏🏾
@lnspirational2
@lnspirational2 5 ай бұрын
Njoo UK @gugu beauty utapata sana
@annajoseph907
@annajoseph907 5 ай бұрын
Kabisa dear very soon
@lucybatista2631
@lucybatista2631 4 ай бұрын
Ohooo my dear tunasuka sana ila connection za mbele hatuna tunaomaba msaada wenu
@annekamugisha4194
@annekamugisha4194 4 ай бұрын
Safi sana Anna. Ni muda sahihi kukuona na strategies zako ni kabambe. Hongera sana
@deboramsuya2940
@deboramsuya2940 5 ай бұрын
Ni kweli unachesema karibu sana 😊
@LilianFelix-my1ew
@LilianFelix-my1ew Ай бұрын
Nimeipenda iyo naomba kujua hao wadada anawalipa mshahara au wanajilipa wenyewe
@babel4862
@babel4862 5 ай бұрын
Safi sana nimekupenda bure gugu wangu
@oman1oman179
@oman1oman179 4 ай бұрын
Na penda sana sauti ya huu mtangazaji
@fatmamayunga6250
@fatmamayunga6250 Ай бұрын
nimekupenda bure
@gladnessfinda7534
@gladnessfinda7534 5 ай бұрын
duuuuuuhhhh waaaaooooh
@user-lv8pu9fn4x
@user-lv8pu9fn4x 4 ай бұрын
Daah nmekupenda dada gugu naomba namba ako bas
@rithaalberto7521
@rithaalberto7521 5 ай бұрын
Hivi hakuna interview ya watu wanaopambana , ila bado hawajajipata? Naona interview nyingi dunia, waliojipata tuu
@lucympelembwa7836
@lucympelembwa7836 5 ай бұрын
Wanaleta waliojipata ili tujifunze ,wasio jipata watatuvunja moyo
@evergreenmushi2171
@evergreenmushi2171 5 ай бұрын
Utajifunza nini kwa ambao hawajajipata, hao ambao bado hajajipata saiv tutawaona baadae wakijipata
@velurakawiche5338
@velurakawiche5338 3 ай бұрын
Hahaha
@lucybatista2631
@lucybatista2631 4 ай бұрын
By the way ukwel tunavo vyakuelezea ila tu hatuna nafas
@user-du4yg5cj3v
@user-du4yg5cj3v 4 ай бұрын
Mwanzo mgumu dah😢
@guccij6236
@guccij6236 5 ай бұрын
Kuna watu wanakojoa pazuri😢
@velurakawiche5338
@velurakawiche5338 3 ай бұрын
Mwanzo mgumu ila yajayo yanafurahishaaa
@HipHop_2024
@HipHop_2024 5 ай бұрын
Biashara n kuni2ma na kuto kula kula hela hovyo utajikuta kijijin 😂
@manumeni5057
@manumeni5057 4 ай бұрын
Huyu dada mbona sauti yke ni kma yule mwenye hu advice jinsi yaku care nywele kwa tiktok na ako na saloon,she might be the one kma sikosei
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 18 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Mkasi | S13E10 with Ruge Extended Version
40:28
MkasiTV
Рет қаралды 531 М.
Radmiru small or big? 🤔 #shorts
0:18
radmiru
Рет қаралды 14 МЛН
NEW MAFIA EPISODE INCOMING 🖤
0:34
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 8 МЛН
Джеки Чан лишил наследства всех своих детей! Что акажете?
0:41
Симуляция: МАТРИЦА МИРА
Рет қаралды 8 МЛН