No video

Vita Vimekoma

  Рет қаралды 382,421

Tumaini Shangilieni Choir

Tumaini Shangilieni Choir

7 жыл бұрын

Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Пікірлер: 158
@JohnThadayo
@JohnThadayo 3 ай бұрын
Toka mdogo nilikuwa naupenda huu wimbo mpaka leo 2024 mpaka sasa na miaka 38
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Amen Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu
@petermatonya6890
@petermatonya6890 6 жыл бұрын
hizi nyimbo ni nzuri sana sababu zina nguvu ya Mungu naamini hamkutumia akili kuzitunga bali Roho Mtakatifu aliwaongoza, naomba Mungu azidi kuwaongoza mtunge nyimbo nzuri zaidi na zenye nguvu ya Mungu pasipo kutegemea akili zenu,, barikiwa sana,, natamani kuona nyimbo kama hizi tena, God bless you..
@isabokehillary1914
@isabokehillary1914 2 жыл бұрын
I still don't understand why this of our generation can't sing such spiritual songs.personally listened to this song since I was young and not stopping anytime soon.
@sanfordkway435
@sanfordkway435 4 ай бұрын
Nimeanza kusikiliza wimbo huu tangu 1999 hadi leo ninaukubali
@naomiphares4263
@naomiphares4263 4 жыл бұрын
2020❤️ like hapa
@mussamohamedi8581
@mussamohamedi8581 2 жыл бұрын
Toka mdogo nilikua naipenda Sana huu wimbo mpaka sasa 2022 mbarikiwe Sana waimbaji wote.
@napendamunisi9354
@napendamunisi9354 Жыл бұрын
2023 bado tuko hapaaa
@richardmlingi2746
@richardmlingi2746 3 жыл бұрын
Vita imekoma hakika ' nyimbo hii itadumu vizazina vizazi waimbaji mtunzi nlishukiwa narohomtakatfu wakat wakatunga nakuimba hi nyimbo
@mercynadia3140
@mercynadia3140 11 ай бұрын
Anayetizama hii video 2023 ubarikiwe sana ,wimbo unagusa moyo wangu huu
@jkanumba
@jkanumba 5 ай бұрын
Hivi hii album ilitoka lini maana mie nakumbuka nimeanza kuiona na kuisikiliza mwaka 2002 mwanzoni!
@dorcasshoo2405
@dorcasshoo2405 4 жыл бұрын
My sister Beatrice Muhone kumbe umetoka mbali Mungu akutunze milele
@DivineModesty
@DivineModesty 2 жыл бұрын
Amen.
@littlemissearthkenya9115
@littlemissearthkenya9115 Жыл бұрын
Is Beatrice Muhone the lead singer????
@geitandelwa299
@geitandelwa299 4 ай бұрын
Hapa ndo kuna nyimbo za dini sasa suluali mawigi kucha haaa hizi ndo nyimbo
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 ай бұрын
Na mme wake yupo hapo umemwona??
@soomoche
@soomoche 2 ай бұрын
Mtumishi kama ulikuwa hujalijua hilo basi Beatrice atakuwa your mother instead of your sister. Anyway, Jina la Bwana lizidi kuhimidiwa kwa ajili yake na yako pia.
@geraldsanga7261
@geraldsanga7261 7 жыл бұрын
Haleluya! Kwa kweli natamani siku zirud nyuma. Mungu awainue watumishi wa Bwana mzidi kushikamana na muepuka migawanyo ili kwaya hiyo idumu daima. Tambueni kuwa mnawaponya na kuwavuta wengi kwa Kristo. Fanyeni kama kwa Kristo!
@victormethod1062
@victormethod1062 3 жыл бұрын
Kabisa hawa watu wanaimba sana 👏👏👏🙌
@luisojr3480
@luisojr3480 Жыл бұрын
Dada Angu Beatrice Na Waimbaji wote mbarikiwe Sana nimekumbuka mbali Sana Aisee Ni mda now tushakua watu wazima saivi Ni kwa Neema tu My all time Choir of all time🙏
@AgnesMuyinga-k5e
@AgnesMuyinga-k5e 13 күн бұрын
Kuna mpiga gitaa ya rithim anacheza Hadi mabega safi sana kaka mungu awape maisha marefu
@MSOMBAAlon-gh3ps
@MSOMBAAlon-gh3ps 11 ай бұрын
Hakika nyimbo hizo Zina upako wa Hali ya juu .lihimidiwe jina lako bwana Yesu na Dunia yote na isudu jina lako maana ni jina lipitalo majina yote.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 4 ай бұрын
Mmmh miaka hiyo wakati hatujachakachua miili yetu
@divinajoseph2760
@divinajoseph2760 3 жыл бұрын
Ahsante sana Bwana Yesu kwa kunikomboa kutoka katika utumwa wa dhambi
@petermagosho50
@petermagosho50 3 ай бұрын
Daaa nakumbuka mbali sana. Wimbo mtamu sana, yaani unajikuta tayari uko mbinguni!
@muhubirirwesapaul3150
@muhubirirwesapaul3150 Ай бұрын
Wimbo wakiroho kweli. Waimbaji hawa Mungu awabariki
@sovajulius3870
@sovajulius3870 5 ай бұрын
The Great Singers of all Times I see Beatrice with her natural beauty till now keep up with your hubby.Sweet voice as always.
@justinmurwanashyaka148
@justinmurwanashyaka148 3 жыл бұрын
Who is still watching this wonderful album in August 2021
@emmanuelokivuyo5976
@emmanuelokivuyo5976 2 жыл бұрын
I do.....very good
@annethmmari6603
@annethmmari6603 Жыл бұрын
2023... still listening 🎶 👌 ❤️
@peterelisha4058
@peterelisha4058 5 жыл бұрын
nyimbo haziishi utukufu
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 Жыл бұрын
Nilikuwa naupenda huu wimbo sana mbarikiwe miaka hiyo nskumbuka mbali nikiwa napita kwenye dhiki nikiimba huu wimbo nafarijika
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Mungu awabariki waimbaji na wanamuziki wa kwaya hii popote walipo, Ameni.
@sebimalaki6686
@sebimalaki6686 Жыл бұрын
Naupendaga sana winbo huu hakika utaishi mile huu wimbo
@dru1215
@dru1215 6 жыл бұрын
CHILDHOOD TREASURE hunt
@shumbushowakabutaigi4756
@shumbushowakabutaigi4756 4 жыл бұрын
The same to me!
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 7 ай бұрын
Huzi ndo nyimbo Hadi kwenye kilindi cha moyo siyo za sasahivi pamoja na mavyombo ya kisasa hazifui dafu hii CD mkiweka kwenye Makitaba hii inatafutwa sana
@rogartlema5120
@rogartlema5120 5 ай бұрын
Natatamani kuwabariki na big lunch...35 yrs listening to this album
@jacobmugga3273
@jacobmugga3273 7 ай бұрын
Natamani Sana majira haya yangerudi tena
@JohnThadayo
@JohnThadayo 3 ай бұрын
Kwakweli
@grahammgongo6319
@grahammgongo6319 Ай бұрын
Kabsaa
@grahammgongo6319
@grahammgongo6319 Ай бұрын
The best tz
@Kishala-dd4on
@Kishala-dd4on 3 ай бұрын
Dah upako ulitiririka sana mpk leo yunabarikiwa kwa nyimbo hii
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu
@JasminiMsafiri
@JasminiMsafiri 3 ай бұрын
Amina Beatrice mhone nakupenda sana
@boniphacewambura2042
@boniphacewambura2042 7 жыл бұрын
my favourite song ever,i can watch more n more blessed a lot
@nditchienditchie5533
@nditchienditchie5533 4 жыл бұрын
boniphace wambura Wimbo Mzuri una Maana Kubwa , Vita Vimekwisha , vimeshindwa na Uzima Huu 💪
@Richardkithome472
@Richardkithome472 8 ай бұрын
Nice 👍 one,,Kwanza io combination ya guitar,,,❤
@estherkwamboka4173
@estherkwamboka4173 2 жыл бұрын
Lead singer such a beautiful voice
@charlesmnkama4611
@charlesmnkama4611 2 жыл бұрын
Huu wimbo hauchuji...
@stephanokabaka7288
@stephanokabaka7288 Жыл бұрын
Hakika hizi nyimbo zinanikumbusha mbali sana
@luthermajoji7300
@luthermajoji7300 4 жыл бұрын
Nakumbuka mbali kwa kweli, nabarikiwa sanaa, tangu 1996,7,8. Dah!! Mbarikiwe sana, Mungu awakumbuke kwa kazi hii kubwa 🙏🙏
@emanueldodoma3172
@emanueldodoma3172 7 жыл бұрын
Hallelujah, long time ,mbarikiwe
@wildejohnson9282
@wildejohnson9282 7 жыл бұрын
waaau sifa na utukufu tunamrudishia Bwana yesu.Mungu awabariki sana na kuwainua viwango vingine.asanteni kutuwekea albamu hizi kwa u tube.mimi ni mkereketwa wenu tangu zamani sana niko msa kenya.Naombeni muwekehata ile albamu yenu ya audio toleo la kwanza njoni njoni.naipenda sana sana inanikumbusha mbali na matendo makuu ya Mungu.
@jenniferngarama7713
@jenniferngarama7713 4 жыл бұрын
Hiz zilikuw nyimbo za ukwel
@AgnesMuyinga-k5e
@AgnesMuyinga-k5e 14 күн бұрын
Wimbo mtam sana huu!❤❤
@mazirungufelix2933
@mazirungufelix2933 2 жыл бұрын
Thing song blessed me when i was still young, I would like to meet them and tell them how much i love them
@mtutamajala4767
@mtutamajala4767 6 жыл бұрын
Vita vimeshindwa kweliii....
@nelsonlema4330
@nelsonlema4330 4 жыл бұрын
01.08.2020 ( 01:00 am) nipo Iringa kwa sasa, Nimepata msukumo wa sauti iliyonijia mara kadha, iliyokuwa ikiimba nyimbo za Kwaya hii usiku huu, imenibidi nianze kuzitafuta na kuanza kusikiliza. Nipo namwimbia Bwana kwa sauti usiku huu wa manane.zinanibariki sana na zinanikumbusha nilipokuwa mtoto. Mungu mwema sana.
@nelsonlema4330
@nelsonlema4330 4 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amina Kubwa!
@felixmutunzi8582
@felixmutunzi8582 3 жыл бұрын
2021 mnipe like
@benedictdingobenedictdingo4037
@benedictdingobenedictdingo4037 3 жыл бұрын
Jamanii walimu wa kwaya wa zamani wako wapi watusaidi mahali tulipo kwama?? Asante Mungu kwa utume huu
@omegamwaikuju9467
@omegamwaikuju9467 2 жыл бұрын
Wapo Ila tatizo hawapewi nafasi wanambiwa wamepitwa na wkt, saizi ni mwendo wa singeli na viduku
@kelvinaikona1269
@kelvinaikona1269 Жыл бұрын
I was young now I'm aging but this is music I will choose any day because it is pure encouragement, pure truth and pure gospel. Keep singing great choir.
@jiscantala3573
@jiscantala3573 3 ай бұрын
Apewe Sifa BWANa YESU 🙏🏼
@TumainiShangilieniChoir
@TumainiShangilieniChoir 3 ай бұрын
Amen Amen
@elijahaywago7274
@elijahaywago7274 7 жыл бұрын
Amina.....all the way from Nakumbuka babangu akituletea mkanda huu nikiwa mdogo. mungu apewe sifa
@sarahyateri6794
@sarahyateri6794 4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri Sana inaleta upako hongereni Sana Tumaini kwaya
@sarahyateri6794
@sarahyateri6794 4 жыл бұрын
Betrice muhone hongera Sana kwa sauti tamu
@emmakosta2467
@emmakosta2467 7 жыл бұрын
its so fantastic sana, naipenda sana kwaya hii kwani inanikumbusha mbali sanaaaaaaa, sifa na utukufu ni kwa Bwanaa
@MartinMartin-km3fs
@MartinMartin-km3fs 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema natamani na mimi siku moja niwe apoo🙏🙏🙏
@francisgervas6656
@francisgervas6656 3 жыл бұрын
2021 feb 28 be blessed
@josephatmwanga
@josephatmwanga 7 ай бұрын
Nakumbuka nikiwa Arusha usariva
@Israel-2493
@Israel-2493 3 жыл бұрын
My song in 1997
@mercychelimo2771
@mercychelimo2771 4 ай бұрын
Nipo 2024
@rodriguendoole9675
@rodriguendoole9675 9 ай бұрын
I wish could turn the clock back to those days where gospel used to be gospel. May God bless this choir, I was a little boy when this song or album came out but I still have with him, I listen to changilieni choir wherever I'm. To me this song will never get older.
@johnobed5838
@johnobed5838 5 жыл бұрын
bado naangalia 2019. John Mtango
@wemacs
@wemacs 5 жыл бұрын
Nyimbo hizo kutoka kwa kwaya hii ya Tumaini Shangilieni,, nikizisikia sasa najisikia kulia maana zinanikumbusha mbali sana,, jamani kweli muda unakwenda tumrudie tu Mungu,,maana yote ni ubatili mtupu,, me ni msabato lakini Hakuna kwaya naipenda hapa Tanzania kama Shangilieni,, nawapenda na mkitaka kuamini mnialike hata kwenye harambee zenu lazima nifanye kitu,,wasalimie wanakwaya wote
@petermbuja3783
@petermbuja3783 2 жыл бұрын
jamani tunaomba na wimbo unaitwa ee bwana uni rehemu sikumbuki ni Albamu gani
@mishlay8164
@mishlay8164 2 ай бұрын
Hii Albam kati ya mwaka 1997 au 98
@juliustalita5693
@juliustalita5693 2 жыл бұрын
MUNGU azidi kuibariki huduma yenu na kuiinua kwa viwango vya juu zaidi
@budgeter4807
@budgeter4807 4 жыл бұрын
Aisee mimi ni kijana lakini hizi nyimbo, album yote pleaseeeee... naitafuta sana
@preneruth5110
@preneruth5110 3 жыл бұрын
June 2021 my favorite always....
@shaapedtreasure4197
@shaapedtreasure4197 2 жыл бұрын
🙏
@pacifiquematabishimakuru7868
@pacifiquematabishimakuru7868 7 ай бұрын
From Goma DRC, this song reminds me past years! May God bless the choir. Hope singers are still alive and happy❤
@eliazaripro5532
@eliazaripro5532 5 жыл бұрын
John . Beatrice muhone yuko wapi sik hizi?
@henrychaula1174
@henrychaula1174 11 ай бұрын
Hao waliopiga magitaa ya solo, rythm na bass katika wimbo huu wamenibariki sana, nami naomba Mungu awabariki wao mara elfu moja, ameni
@kibetkirui5157
@kibetkirui5157 6 жыл бұрын
my favorite album from its days
@kelvinaikona1269
@kelvinaikona1269 Жыл бұрын
Same here. Listened to this on a DVD deck growing up. Great music, great memories.
@bigmowo9
@bigmowo9 6 жыл бұрын
Naikubali kinouma na sijaona kama hii..
@asueddy1465
@asueddy1465 6 жыл бұрын
Big Mowo pamoja sana big
@co-architectureltd2689
@co-architectureltd2689 3 жыл бұрын
Aleluya Bwana amefufuka kwelikweli
@perucebuhomaosward8512
@perucebuhomaosward8512 Жыл бұрын
Hizi nyimbo huwa zinanikumbusha mbali sana miaka karibia 25 iliyopita lkn bado nazipenda sana. Siku noja muungane tena mtoe nyimbo pamoja jamani. Tunawapenda sana
@user-ev4xi5uk2q
@user-ev4xi5uk2q 7 ай бұрын
Old is gold
@blandinalukindo372
@blandinalukindo372 6 жыл бұрын
Mungu awabariki sana...my fav choir!😚😚😚
@victormethod1062
@victormethod1062 3 жыл бұрын
Yaani nyie ndo waimbaji haswa, naomba mfike mbinguni 👏👏👏👏👏🙌
@loimuigai4646
@loimuigai4646 8 ай бұрын
Basically songs i grew up litsening to. And i always litsen now that im older and i pray to God that i may plant such songs to my children and their generation. This song is so good. Bwana amefufuka 🎉
@hastingsndonye4900
@hastingsndonye4900 4 жыл бұрын
Vizuri sana. Kwa ile cassette ya silaha ya ushindi, kuna wimbo kama wanafunzi chomboni na pia samson, mjaribu kuweka kwa youtube asante
@obedidamasi3537
@obedidamasi3537 2 жыл бұрын
Tumain st james choir Arusha nawakubali sana Mungu azidi kuwatunza. Nakumbuka nikiwa mdogo nilikua namuibia mama 50 naenda kulipia video ili niwaone. Nawapenda sana. Natamani siku moja niwaone kwa macho ya nyama
@Johnmiruka
@Johnmiruka 4 жыл бұрын
Ujumbe murwa kwelikweli. Utunzi unaozingatia neno la Bwana. Mungu ainuliwe.
@user-nt6hq9tl7b
@user-nt6hq9tl7b 7 ай бұрын
Mnanibariki tangu utotoni
@estertujji6657
@estertujji6657 5 жыл бұрын
Nakumbuka 1998 nipo arusha
@anahkambelenje8438
@anahkambelenje8438 4 жыл бұрын
Bado uu wimbo unibariki namuona betrice enzi izo
@josephkinunda4211
@josephkinunda4211 4 жыл бұрын
Hivi vita vimekoma sasa,vimeshindwa na nguvu ya uhai.Bwana Yesu amenitendea.Namsifu yeye tu.
@chanceedward6294
@chanceedward6294 6 жыл бұрын
Mungu awbariki sana
@christinamsuya5492
@christinamsuya5492 2 жыл бұрын
2022🙏🙏🙏
@tinazaru8206
@tinazaru8206 3 жыл бұрын
Ni siku nying Sana hakika kwaya za zamani zilikua Tamu,barkiwen Sana watumish wa mungu
@dvosokoloo2948
@dvosokoloo2948 5 жыл бұрын
One of the best choir sichoki sikiliza hii albamu
@atienojacqueline9106
@atienojacqueline9106 10 ай бұрын
Love this song
@hudsonmafusa
@hudsonmafusa 4 жыл бұрын
Huu wimbo Unanikumbusha mbali sana. Kwakweli wimbo huu uko na mguso mkuu wa kiroho
@jeremiahmunyoki1686
@jeremiahmunyoki1686 Жыл бұрын
Niko hapa 2022
@fandeyh.mashimba156
@fandeyh.mashimba156 4 жыл бұрын
Muhone, where are you?
@preneruth5110
@preneruth5110 3 жыл бұрын
October 2020 still my favorite
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 4 жыл бұрын
Daa natamani kulia 1999 ndio niliitazama hii nyimbo kwa mara ya kwanza 20 years ago.Huyo jamaa anaepiga gita ya bezi siku hizi ni kibonge hatari. Sjui wengine wapo wapi?
@edwardchiwuyo6843
@edwardchiwuyo6843 7 жыл бұрын
sijaona nyimbo za zamani katika toleo katika kanda iliitwa "tukisoma mathayo"
@isackkurubhone2819
@isackkurubhone2819 4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri zenye sifa zote: 1,zina upako 2,zina ujumbe unao eleweka 3, ni fupi 4,zina bariki
@emmanuellazaro5155
@emmanuellazaro5155 5 жыл бұрын
Who is watching this 2018
@rachelissa115
@rachelissa115 5 жыл бұрын
Jamani duuuuh!!!???? Mmenikumbusha mbali sanaaaaaaa,Mungu awabariki sanaaaaa,natamani miaka irudi nyuma
@webingogo3633
@webingogo3633 4 жыл бұрын
The brother with glasses enjoyed the song so much,:
@lilianclemence5362
@lilianclemence5362 2 жыл бұрын
October 2021 Hallelujah
@kiplangatkorir1388
@kiplangatkorir1388 4 жыл бұрын
Great song. Inspired by South Africa's 'Thul'ulalele' by Amaswazi Emvelo
@HumanBeing-pj4hm
@HumanBeing-pj4hm 4 жыл бұрын
My favourite! Mkiufanyia remix huu wimbo mkatuwekea video yake ya kisasa kama zile nyingine mtakuwa mmetisha
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 27 күн бұрын
🎉❤☑️✍️👏
@plaxedamazimba5578
@plaxedamazimba5578 6 жыл бұрын
Sifa na utukufu ni kwenu. Mnaimba kwa kuimanisha sio za siku hizi...barikiweni
@nmbatsi
@nmbatsi 4 жыл бұрын
Thank you for uploading this song. #2020
@batsebasizya3092
@batsebasizya3092 3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana since day one mpaka 2020 nawakubali
Mwana Mpotevu
6:20
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 538 М.
Meli Imengo'a Nanga   Sengerema Kwaya360p
3:54
AMANI TV
Рет қаралды 24 М.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 26 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 44 МЛН
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 3,3 МЛН
Nuhu
4:56
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 476 М.
Golgotha sda choir~Nuhu alijenga Safina
5:19
GOLGOTHA SDA CHOIR NYARUGUSU sda choir
Рет қаралды 63 М.
ASANTE SANA-UPENDO CHOIR ST.JAMES ANGLICAN  CHURCH ARUSHA
7:40
UPENDO CHOIR ST.JAMES ARUSHA OFFICIAL
Рет қаралды 75 М.
AICT Chang'ombe Choir (CVC) -USIKU WA MANANE-Original
6:48
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 112 М.
Naona Fahari
6:39
Mamajusi Choir - Topic
Рет қаралды 306 М.
SAUTI YA JANGWANI NIHURUMIE
7:48
OPENMIND Tv
Рет қаралды 181 М.
Duniani Shangilieni
3:24
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 284 М.
Ilikuwa Alfajiri
5:17
Tumaini Shangilieni Choir
Рет қаралды 446 М.
TUNAYE MUNGU - Ann Annie (Official Video)
5:53
Ann Annie Official
Рет қаралды 493 М.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 26 МЛН