Mimi naona mafundisho yako si ya kisaikolojia tu ni ya kiroho pia, yana upako wa Mungu ndani yake. I honor your service brother
@matrugnawangaeli48153 жыл бұрын
urafiki ni kitu kimoja kiyuri sana. Maana hata bibilia inayungumzia urafiki wa kweli na ule wa uwongo. nimekua mwaminifu kwa kutumza siri za marafiki. urafiki wangu ni ule wa kujitolea ijapo kuwa na uwezo, nimekumbana na waombaji nikashindwa. kwa kifupi niseme rafiki zangu ninawapa thamani kubwa sana mpaka hapo atakaibuka mtu halisi. huo ndio wakati wa kuchukua hatua. na kwa kawaida yangu si rahisi lakini huwa naenda moja kwa moja kwenye point. Au yatakubalika au yatakatalika mwisho wa habari. Hua napata uhusia kwenye nenon la Mungu. Ambalo kwangu ni muhimu sana. najifunza mengi kutoka kwako. Mungu akubariki Nanauka.
@eliasieliasi33742 жыл бұрын
Keel kabisa
@eliasieliasi33742 жыл бұрын
Mm kilichoouwaa kujiaminii kwangu ni kutokujuaa thamanii yanguu imenitesaa Sana'a yan nilishindwa hats kuthubutu vitu kisa sijiamini
Hii video imenigusa sana katika kipindi hiki,najikuta sababu takribani zote zinanigusa 😥😥 ,muda huu tuu nikiwa nawaza kwani kuna umuhimu gani mimi kuishi baada ya kila kitu kukaa vibaya 😢,likanijia tuu wazo emb nimuone Joel anasemaje, Moyo wangu umepona sasa,asante Joel 🙏
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen, nafurahi kwa kuwa umepata nguvu ya kuendelea.Mungu azidi kukutia nguvu usonge mbele.Usikate tamaa
@anandepallangyo41773 жыл бұрын
Amen Joel, namshukuru sana 🙏
@sethmwamanda68633 жыл бұрын
Kweli kaka Joel
@adamuhamisi46373 жыл бұрын
Uko vizur brather
@monicaregina77923 жыл бұрын
Brother Joel wewe Ni mtu mhimu Sana kwangu,Mungu akutunze kwa ajili ya Tanzania na dunia.Mungu akutunze Sana .
@LovelyOutdoors-wd5nh3 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Nanauka,yaani mimi naona karibia yote yananihusu kabisaa hasa swala la mahusiano lilitaka kunimaliza kabisa sio tu kuondoa kujiamini nilitamani hata nisiwepo duniani,lakini Mungu ni mkuu amenisaidia mpaka nakuja kukutana na mafundisho haya kwangu ni Neema kubwa sana, Mungu akufungulie milango ya kuwafikia wengi zaidi najua kuna mtu anakusubiri,sawa na Sw Sw Sw Sw....🙏
@ismailsaid61383 жыл бұрын
Sijawahii kujutia kumaliza bando langu kuangalia mafundisho yako Brother Joel asante na furaha imeongeza baada ya kuipata namba yako katika gazetti la mwananchi👏👏✊✊
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Duh 😘. "mkeo' ana furaha sana Brother🙏maneno Yako matamu sana 💕 'naendeleo , kujifunza!!!!! Hallelujah hallelujah Maupako kama Yote🤸♀️🤸♂️
Wewe Kaka Joel, niseme tu asant Mwenyezi Mungu kwa kutuumbia kiumbe wako huyu anae tufanya tuishi kwa raha na kuipata amani na ujasiri wakujiamini sasaivi hatubabaishwi na chochote kupitia mafunzo yake alhamdulillah
@salmahamza2277 Жыл бұрын
Hongera kak
@jamesibrahim88493 жыл бұрын
...mahusiano yalichangia kupunguza uwezo wangu wa ujasiri (confidence)
@christinaisack86973 жыл бұрын
hata me nilipitia hali kama hiyo
@neemameshackkilongozi57963 жыл бұрын
Amen brother Mungu akubariki Sana najifunza vitu vingi Sana kupitia wewe
@faridhasan43983 жыл бұрын
Mwenyezi Munqu akufanyie wepes kwenye dunia hii mm mbunqe wao 😀
@devothadonaldsimbi34993 жыл бұрын
Hiyo ya mahusiano hata leo hii imenimaliza kabisa, ahsante kwa kuniokoa
@AnnaKaaya-zg4jw Жыл бұрын
kiukwel nafurahia Sana elim yako mm binafs nimepoteza Sana kujiamin tatizo kubwa mahusiano Hadi nimeamua kuacha kbisa unanishauri nini nduguyang
@meshackmwakajwanga83493 жыл бұрын
Asante san kw ushauri wako,mwenyezi mungu akubarki kw kile unachotoa n kikubwa zaid kulikotunavyo thani,ubarikiwe!!
@jumamabruck78463 жыл бұрын
Kaka sijuw niseme Nini namshukuru Mungu kutupatia mtu Kama wewe najiona nazidi kukua na kujenga zaidi Mungu akuweke miaka ya vocha...
@user-ov4ox2dm1b6 ай бұрын
Brother joel mungu akulinde akupatie maisha marefu
@bwanashoppingtz87093 жыл бұрын
Nilipoteza ujasri msimamo na marengo kwa kuoa mtu ambae sio chaguo lakin yeye ananipenda sana mi sina mapenzi kwake imesababisha adi kupoteza mtaji samani yangu kwa mawazo na kufanya vitu sio sahihi kwa uchungu tu.
@sexy_baby95993 жыл бұрын
Asante sana masomo yako yanisaidia sana .. Nimeanza kukusoma wiki iliyo pita ila naona unanipa moyo sana
@marykisima6663 жыл бұрын
Nilikuwa nateseka sana na Past sasa nimejiponya now i am very fine.I am rebuilding my confidence
@linardamuindi68563 жыл бұрын
May God have mercy and help me move forward.
@enockedward1783 Жыл бұрын
Macho yametoa machozi kwani sababu ya 1 hadi ya 5 umezungumza kuhusu maisha yang & Moyoni mwangu nasikia kama furaha inayotafuta pa kutokea hasa ninapokumbuka Njia a kutoka ktka hali hii NIMESAIDIKA Aksante "Mtoto Jo"
@jamesibrahim88493 жыл бұрын
...ndio Mwl. J. Nanauka, Binafsi mahusiano yakuchambua kupunguza uwezo wangu wa ujasiri. Asante but now I'm very confident than ever I took control of myself
@reganmsellemselle39983 жыл бұрын
Kaka Joel nanauka nakushuru sna kwa elemu .yako imekuwa uponyaji kwenye maisha yngu. God bless brother
@avitus-thobias4 ай бұрын
Kitu ambacho kilinikosesha ujasiri ni TO LIVE THE PAST (bad previous experience) nathani nitakiwa nimepona sasa, ahsante Mungu akubariki
@orutasikabuwo84103 жыл бұрын
Sw sw sw sw!! Some one won’t, someone will ,so what ,someone waiting for you !! Kajuzuri sana
@subirajafari8094 Жыл бұрын
Hata sijui niseme ninj ila mwenyez mungu azidi kukubariki saana
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Hili somo nilangu asante kwakunifungua mana nakumbuka kazinikwangu wengi walinichukia mmoja tuambae ni boss alisimama upandewangu nami nikasimama vyema nasasa maisha yanaendelea Asante sana kaka Joel 🙏
@hellenismail43513 жыл бұрын
My great person of all the timeee...Kaka Joel Nanauka....❤
@yuvannboydebravaour36783 жыл бұрын
Asee asante sanaa kwa kutufunuaa macho na mwenyez mungu akubariki kwa unachokifanyaa
@lucku53363 жыл бұрын
Kak i feel so comfortably when tries to listen your videos god bless you
@imanmedia89103 жыл бұрын
Umekuw mwanga na Nuru kwa wengi Mungu akupe maisha marefu
@methodmgisha6783 Жыл бұрын
Kila ninapokusikiliza unanifanya niendelee kukusikiliza . Niko Arusha.Mungu wa Baraka akumiminie Baraka Zote . Uendelee kuwasaidia wengi kama ulivyonisaidia mimi .
@Usawa_phonetech3 жыл бұрын
Umebadili maisha yangu broo JOEL ASANTE
@silenceneverson86482 жыл бұрын
I always listening to you from Malawi. You always inspired me my brother Joel
@zainabumajinji4023 жыл бұрын
Nashukuru Sana kwa masomo yako yananifungua sana naitaji nipate vitabu vyako Mr Joel
@amanigeorge9886 Жыл бұрын
It's my first time to listen this Nondo.Mungu akutunze uendele kusaidia jamii.
@shabanlusan68905 ай бұрын
The things that make to kill my confidence is rejection from my parents and other relatives in some activities such as business and so on but now am good coz i built confident since i discovered that problems thanks ma broda nanau for ur classs of mentorship
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
Thank you My Brother Joel may God bless you more n more 🙏
@imaniathanass1156 Жыл бұрын
Broo unaeleweka Kwa urahisi sanà shukran sanà Kwa masomo yako
@winfridaadam79512 ай бұрын
Ameeeen,,Mungu akubariki sanaa kaka Joel 🙏🙏🙏
@achouraachoura57633 жыл бұрын
Haki kaka uko sahihi Kuna muda unakataliwa kwenye jAmbo kama wanakukomoa kumbe ndio mwanzo wa mafanikio yako .nilishakutana na mtihani uwo lkn mungu NI mwema Kwa sasa ..nyota ikawaka baada ya kuondoka. Sehemu iyo alhmdulillah ✍️✍️
@KennedyLudovicky8 күн бұрын
Chanzo kikubwa kwangu ni aibu imepelekea adi kushindwa huduma kanisani , 😢😢
@neemaemanuel88773 жыл бұрын
Big up bro,, u always heal many broken hearts of many ppo thru ur education..God bless u
@nurdinchilambo14863 жыл бұрын
video nying naangalia ila nashndwa ku comment ktu' nashindwa tu chakuandika zaid ya kushukuru maana nmekua nikijifunza vtu ving sana
@sendamachenge6311 Жыл бұрын
Tuna faida kubwa sana kupitia ww TANZANIA GOD bless you,ww ni mwalimu wa KIROHO kabsa
@bensonstephano Жыл бұрын
N kweli n jambo gumu sana kusahau yaliyopita
@LucasMalowola Жыл бұрын
my bro joel nakufwatilia na naendelea kukufwatilia maana kila kitu unachokiongea nina kutana nacho
@grolyqueen58332 жыл бұрын
Kuachwaaa na mwanaume niliyempendaa sana na mausiano yalikuwaaa wazi mno ilinifanya nisijiamini kabs🥲 lakn Mungu alikuwaa na makusudi jamaa alikuja akaumwaa akafariki huendaa ningekuwaa mjane
@benedictobulugu86433 жыл бұрын
Ww jamaa nigenius sana aisee ,tunakushukuru kuzaliwa Tanzania kama magufuri utusaidie wengi,
@hamisihabibu85242 жыл бұрын
Umenitia moyo kwa makubwa nilio pitia, kwani nimeona sijachelewa nami namtanguliza mungu kwa ajili ya afya na uzima ili nipite kwa usahihi ktk mafunzo yako. Ubarikiwe sana .
@lameckchahoa34102 жыл бұрын
MUNGU akutunze sana uwe na Miaka Mingi sana Hapa Unafungua Akili zawengi Sana mm nikiwa wakwanza
@josephinajosephu68593 жыл бұрын
Nakuelewa Sana broo,GOD bless YOU♥️♥️♥️
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Asante kaka mungu akubariki mm ni likataishwa tamaa na boss wangu kasiini,bt nijiamini juunilikua na experience sikukabaliana kumuziliza nilingangana mwisho na kujiamini mwisho nilikubariwa na shukuru mungu juu sikukata tamaa
@annajustin19452 жыл бұрын
Kaka nashukuru Sana kwa mafundisho yako maana nilipoteza ujasiri baada ya Mpenzi wangu..kunitamkia maneno ya kunishusha hadhi..lkn baada ya kuanagalia video zako nimeinuka Tena na Niko juu kuliko..na nilijaribu kumtamkia kabsa kwamba hatanishusha Tena.!! ..sichoki kusikiliza mafundisho yako..barikiwa sana
@juliusjoseph4889 Жыл бұрын
kuna watu wengi Sana wanapata faraja kupitia masomo y'ako brother,ubarikiwe Sana Joel nanauka
@herychavdy13723 жыл бұрын
Good safisana kaka Asante kuanzia reo najiona kua na dhamani na Confidence
@joshuajoshuamangoto6299 Жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwa somo zuri
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Leo nimeamini unachosema ni kweli wapo wachezaji wengi sana walionekana hafai wakaachwa wakaenda timu nyingine wakawa hatari sana kiuchezaji mfono Kevini De Brune alitoka chelsea alisafa sana kuipata namba sasaivi tegemezi Man city wapo wachezaji wengi tu nimejionea upande wa michezo uko sawa kbs
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ni kweli kabisaa
@godwinnagol8324 Жыл бұрын
Kwa kweli you are good umenifundisha mengi mazuri.Mungu akubariki Sana kwa talent yako
@ibrahimAhmed-zq5hj3 жыл бұрын
God bless you 🙏❣️❣️❣️💞❣️❣️
@user-yq2mh3xq2w7 ай бұрын
Living in the past Feeling of unworth Surrounded by negative people
@lukandaguillaume4175 Жыл бұрын
Mwalimu wangu wa kipekee
@Its_Tokyootz3 жыл бұрын
safi 👍👍
@francisstephen40392 жыл бұрын
Asante sana mkuu kwa somo zuri
@user-fo3my7xs9o6 ай бұрын
Mungu akubariki sana umenfugua mmm
@MussaBukombe-jh5pm Жыл бұрын
Thanks my brother and God bless to ur life
@masalashimbarah1853 жыл бұрын
Hongera bro kwa somo ZR lanipa nguvu ya kuendelea mbele
@langatkipkikrui20473 жыл бұрын
Napenda saaana funzo lako,hasa hapo kwa mkopo bila mpango
@gwaxmwakilili44723 жыл бұрын
That's my mentor... JOEL
@jumeletv77943 жыл бұрын
thanks brother big up sana na.mungu azid kukutia nguvu kaka kwa kazi hiii!!!!!
@yusufushillah41923 жыл бұрын
Shkuran sana kaka nanauka me nakufuatilia saana na nnakuelewa
@mericktamba79812 жыл бұрын
Niceeeeee ....brzaa🔥🔥🔥🔥💫💫💫
@fefehakunamatata1350 Жыл бұрын
God bless you broh napataje vitabu vyako niko zanzibar👏🏾
@hikupskikons89143 жыл бұрын
NICE NICE
@danielamosi25533 жыл бұрын
Mimi niwa thamani sana
@user-tm8mj3so8s5 ай бұрын
Asante sana kaka umenisaidia Sana
@vicentndiholeye10672 жыл бұрын
nashukulu sana kaka nikikisikiliza Nagasaki napata nguvumupya. mungu akubaliki sana
@justinebaada90793 жыл бұрын
Dah hili somo limenigusa kwa kiasi kikubwa sana tena hyo point ya kwanza . lakini nashukuru sana kwamba nimejifunza kitu muhimu sana hapa
@jamomuthakacommedy5721 Жыл бұрын
My regret is why did I not listen to joel when i was the most talented guy in meru😢😢
nilikua na hilo tatizo la kutojiamini sanaa.ila baada ya kupata kitabu chako cha jinsi ya kujenga ujasiri na kujiamini. na kukisoma kimenisaidia sanaaa.na kwa sasa tatizo hilo limesafiri.asanta
@jerryurassa33093 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somo nzuri
@user-kq4if8dn5b8 ай бұрын
Ahsante kaka kwa kuniokoa
@othmanmuhammad16503 жыл бұрын
Utterly outstanding video ever, you really know how to hit the nail on the head brother, I profoundly admire your work ethic, you are meticulous, eloquent and tenacious man, frankly you great lesson, I always get something when I come to lend an ear to your video, everythingis flawless, apart from feeling euphoric I always feel worthy and neverto late! when I listen to your video,.thanks a lot, keep up great work,.
@salmashoo81003 жыл бұрын
Hiii namba mbili mwanangu kabisa ana tabia hizi
@estherkimario20392 жыл бұрын
Kak joel naomb unisaidie nitawezaje kuishinda hofu yangu
@hezekiaramadhan50433 жыл бұрын
Nimeyafurahia mafundish cjuti kununua CM Man mafundish yako yanathaman kuliko cm yanafaidi
@EmmanuelMoswala-pj4hu Жыл бұрын
GOD BLESS YOU BROTHER
@othmanmuhammad16503 жыл бұрын
The video really touched my heart,.!.
@Sharifarajabudebe3 жыл бұрын
Shukurn Mungu Akuepushe na Shari za watu
@labanbasugoya67642 жыл бұрын
Nimekupata Sana.
@twahaally19692 жыл бұрын
Hii videos niliangalia mwaka jana leo nimeiyangalia tena... wangapi tunarejea rejea kuangalia VIDEOS za MR NANAUKA.
@allysingle24463 жыл бұрын
Mwalimu
@abdulrahimmohamed8579 ай бұрын
Kazi iendelee
@user-os9nb8ub6k Жыл бұрын
Asante sana nashukulu sana
@meddybar0tzmeddybar0912 жыл бұрын
Big blood 2⃣6⃣🏁4L
@nadedepeter2503 жыл бұрын
Thanks alot speaker Joel u have raised me again
@sunivasixmund57393 жыл бұрын
Unanifundisha sana kaka nakufatilia sana mungu akubariki
@munajafu30803 жыл бұрын
Umesema kweli kaka nitahaza Leo shukran sana kaka
@dorcasloy79352 жыл бұрын
Asanteeee sanaaaaaa
@monicaregina77923 жыл бұрын
Sahivi najitahidi nikusikilize kila siku, hata Kama ni usiku.