VITU VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO | DALILI ZAKE | DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

  Рет қаралды 42,815

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Жыл бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
#OngezaBando

Пікірлер: 74
@enezaelinnko-gr5cp
@enezaelinnko-gr5cp 3 ай бұрын
Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 3 ай бұрын
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 3 ай бұрын
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
@BethaKululinda
@BethaKululinda 16 күн бұрын
Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.
@hatmanjema
@hatmanjema 9 ай бұрын
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
@user-ky9be8mp5i
@user-ky9be8mp5i 6 ай бұрын
NAMBA Yake Kuwasiliana
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
@user-gy1lb9fo2b
@user-gy1lb9fo2b 10 ай бұрын
😂nimecheka
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 4 ай бұрын
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
@innocentmmary6441
@innocentmmary6441 8 ай бұрын
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
@abdallahfurah238
@abdallahfurah238 Ай бұрын
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
@matildamati9222
@matildamati9222 5 ай бұрын
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
@mdathirhassan2187
@mdathirhassan2187 5 ай бұрын
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
@aminachiziamina
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
@user-qr8fb7kc1u
@user-qr8fb7kc1u 10 ай бұрын
Tutftane jmn😢
@Jacklin-bt3ic
@Jacklin-bt3ic 2 ай бұрын
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
@user-ty1tp8ly8q
@user-ty1tp8ly8q Ай бұрын
Km mm yaan
@neemamwijage
@neemamwijage 2 ай бұрын
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
@user-nz3rd2zn6g
@user-nz3rd2zn6g 8 ай бұрын
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
@user-wk8wu3hd9d
@user-wk8wu3hd9d 6 ай бұрын
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
@mwanakomboomary7609
@mwanakomboomary7609 5 ай бұрын
😢😢
@ShigongoMahuma-jv6hm
@ShigongoMahuma-jv6hm 8 ай бұрын
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
@praxedarutaselw4076
@praxedarutaselw4076 7 ай бұрын
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
@aminachiziamina
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
@danielamosi6871
@danielamosi6871 Ай бұрын
Ulizia huko kwenu kenya
@user-up1fi9ce9n
@user-up1fi9ce9n 4 ай бұрын
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
@suniahjerry5985
@suniahjerry5985 Жыл бұрын
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
@archkeels3753
@archkeels3753 8 ай бұрын
Sawa mkuu
@user-xg8nc5nb2s
@user-xg8nc5nb2s 5 ай бұрын
Naomba namba ya dokta mwaka
@rebeccapallangyo
@rebeccapallangyo Жыл бұрын
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
@christinajohn3718
@christinajohn3718 Жыл бұрын
Asali mbichi unaitumiaje
@mahijaspear4648
@mahijaspear4648 11 ай бұрын
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
@NasibuJuma-zv5ox
@NasibuJuma-zv5ox 5 ай бұрын
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
@user-du7be4fb6s
@user-du7be4fb6s 6 ай бұрын
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
@user-up1fi9ce9n
@user-up1fi9ce9n 4 ай бұрын
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n Ай бұрын
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Asali unatumiaje
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
@user-fo4gf6my1n
@user-fo4gf6my1n 7 ай бұрын
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
@GiftMaiko
@GiftMaiko 3 ай бұрын
Nimeelewa dockita
@user-hm1ml8kh8f
@user-hm1ml8kh8f 8 ай бұрын
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
@Atb300
@Atb300 7 ай бұрын
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 10 ай бұрын
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
@NasibuJuma-zv5ox
@NasibuJuma-zv5ox 5 ай бұрын
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
@user-ry3fi8vl3c
@user-ry3fi8vl3c 9 ай бұрын
dokta nina asidi nitapata tiba
@SaibShaib
@SaibShaib 3 ай бұрын
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 3 ай бұрын
Ndio vidonda hivo
@muadhmirza
@muadhmirza Жыл бұрын
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
@margaretbarasa1627
@margaretbarasa1627 11 ай бұрын
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
@VeronicaSisimbi-dv3bn
@VeronicaSisimbi-dv3bn 4 ай бұрын
Mimi tumbo linavuta
@phidonphillibert1504
@phidonphillibert1504 8 ай бұрын
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
@user-zq4yl6zw5j
@user-zq4yl6zw5j 7 ай бұрын
Umepata dawa ndugu
@mohamedsalum6045
@mohamedsalum6045 2 ай бұрын
Namba ya simu
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 3 ай бұрын
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
@piasonsolomon9886
@piasonsolomon9886 21 күн бұрын
Kijiko cha chai
@gracekavishe9823
@gracekavishe9823 6 ай бұрын
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 2 ай бұрын
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
@AngelineSaidi
@AngelineSaidi Ай бұрын
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
@piasonsolomon9886
@piasonsolomon9886 21 күн бұрын
Dawa zinapatikana arusha
@PerisiperisiKingi
@PerisiperisiKingi 5 ай бұрын
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
@user-jn9cx7zh1j
@user-jn9cx7zh1j 4 ай бұрын
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
@user-vx8vv8ft2i
@user-vx8vv8ft2i Жыл бұрын
Mim vimeisha niasiri sana
@mohammedathumani7639
@mohammedathumani7639 Жыл бұрын
Nisaidie dawa
@user-ie1rh2lb5g
@user-ie1rh2lb5g 11 ай бұрын
Nisaidie dawa
@user-qr8fb7kc1u
@user-qr8fb7kc1u 10 ай бұрын
Tuambie daw
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 5 ай бұрын
Niambie dawa
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 5 ай бұрын
Nisaidie dawa
@user-dm2gn7rb1s
@user-dm2gn7rb1s 10 ай бұрын
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo
@husnasaeed6353
@husnasaeed6353 7 ай бұрын
Nenda hospital kapime
@yeanyaen3663
@yeanyaen3663 9 ай бұрын
Dr.naomba no yako
@muadhmirza
@muadhmirza Жыл бұрын
Mimi hd ganzi mkononi
@omanoman4313
@omanoman4313 Жыл бұрын
Unatumia. Dawa. Gani. Nijuze. Mwenzio. Nasumbuka
@milkaondimu1684
@milkaondimu1684 Жыл бұрын
​@@omanoman4313aki pia mimi 😢😢
Jinsi ya kuondokana na janga na hatari ya ugonjwa wa figo
56:49
Top U.S. & World Headlines - July 29, 2024
10:31
Democracy Now!
Рет қаралды 170 М.
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 28 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Waka Waka 🤣 #11 #shorts #adanifamily
0:13
Adani Family
Рет қаралды 10 МЛН