Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
@mkambaselemani-ej7np3 ай бұрын
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
@rukiamziwanda74583 ай бұрын
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
@BethaKululinda16 күн бұрын
Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.
@hatmanjema9 ай бұрын
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
@user-ky9be8mp5i6 ай бұрын
NAMBA Yake Kuwasiliana
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
@user-gy1lb9fo2b10 ай бұрын
😂nimecheka
@elibarikimollel71494 ай бұрын
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
@innocentmmary64418 ай бұрын
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
@abdallahfurah238Ай бұрын
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
@matildamati92225 ай бұрын
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
@mdathirhassan21875 ай бұрын
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
@user-qr8fb7kc1u10 ай бұрын
Tutftane jmn😢
@Jacklin-bt3ic2 ай бұрын
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
@user-ty1tp8ly8qАй бұрын
Km mm yaan
@neemamwijage2 ай бұрын
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
@user-nz3rd2zn6g8 ай бұрын
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
@user-wk8wu3hd9d6 ай бұрын
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
@mwanakomboomary76095 ай бұрын
😢😢
@ShigongoMahuma-jv6hm8 ай бұрын
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
@praxedarutaselw40767 ай бұрын
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
@danielamosi6871Ай бұрын
Ulizia huko kwenu kenya
@user-up1fi9ce9n4 ай бұрын
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
@suniahjerry5985 Жыл бұрын
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
@archkeels37538 ай бұрын
Sawa mkuu
@user-xg8nc5nb2s5 ай бұрын
Naomba namba ya dokta mwaka
@rebeccapallangyo Жыл бұрын
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
@christinajohn3718 Жыл бұрын
Asali mbichi unaitumiaje
@mahijaspear464811 ай бұрын
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
@NasibuJuma-zv5ox5 ай бұрын
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
@user-du7be4fb6s6 ай бұрын
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
@user-up1fi9ce9n4 ай бұрын
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
@user-dk3ss9ts7nАй бұрын
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Asali unatumiaje
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
@user-fo4gf6my1n7 ай бұрын
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
@GiftMaiko3 ай бұрын
Nimeelewa dockita
@user-hm1ml8kh8f8 ай бұрын
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
@Atb3007 ай бұрын
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
@msangodiesel313210 ай бұрын
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
@NasibuJuma-zv5ox5 ай бұрын
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
@user-ry3fi8vl3c9 ай бұрын
dokta nina asidi nitapata tiba
@SaibShaib3 ай бұрын
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
@rukiamziwanda74583 ай бұрын
Ndio vidonda hivo
@muadhmirza Жыл бұрын
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
@margaretbarasa162711 ай бұрын
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
@VeronicaSisimbi-dv3bn4 ай бұрын
Mimi tumbo linavuta
@phidonphillibert15048 ай бұрын
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
@user-zq4yl6zw5j7 ай бұрын
Umepata dawa ndugu
@mohamedsalum60452 ай бұрын
Namba ya simu
@mkambaselemani-ej7np3 ай бұрын
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
@piasonsolomon988621 күн бұрын
Kijiko cha chai
@gracekavishe98236 ай бұрын
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
@mariamfaicalhassan28902 ай бұрын
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
@AngelineSaidiАй бұрын
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
@piasonsolomon988621 күн бұрын
Dawa zinapatikana arusha
@PerisiperisiKingi5 ай бұрын
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
@user-jn9cx7zh1j4 ай бұрын
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
@user-vx8vv8ft2i Жыл бұрын
Mim vimeisha niasiri sana
@mohammedathumani7639 Жыл бұрын
Nisaidie dawa
@user-ie1rh2lb5g11 ай бұрын
Nisaidie dawa
@user-qr8fb7kc1u10 ай бұрын
Tuambie daw
@user-by5dh2wx1e5 ай бұрын
Niambie dawa
@user-by5dh2wx1e5 ай бұрын
Nisaidie dawa
@user-dm2gn7rb1s10 ай бұрын
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo