No video

Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana”

  Рет қаралды 719,703

Millard Ayo

Millard Ayo

6 жыл бұрын

Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima.

Пікірлер: 423
@lubatikoseme6613
@lubatikoseme6613 4 жыл бұрын
Mbunge apendwae na watz wote🇹🇿👍
@josephlyatuu3520
@josephlyatuu3520 3 жыл бұрын
Aliyesikia Mmechukua, mmeweka, waaaaah..!!! Agonge like
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 6 жыл бұрын
Umetishaaaaa sanaaaaaa Mh. Bwegeeeeee🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 can’t deal yank nairudiaaa kuangalia kila dk jamaniiiiii unaniuaaa Hakiiii yananiiii. Kama hatuna shida Tz tunavyochekaaaa haki yananii
@abdulseif4093
@abdulseif4093 5 жыл бұрын
Me ktk wabunge ambao nawaelewa huyu ni the best 😂😂😂
@olexanderj.6969
@olexanderj.6969 3 жыл бұрын
A Parliament where real People's issues are discussed. Hongera Watanzania kwa kujadili maswala yanayowahusu wananchi wenu. Sisi hapa Kenya ni ng'o!
@ramadhanihassani256
@ramadhanihassani256 5 жыл бұрын
huyumzeeee anaongea alichotumwa jimboniiiii kunahaja ya wabunge kuigaaa kwahuyuuu mzee bundalaa
@huldamichael4445
@huldamichael4445 3 ай бұрын
Daah,nakuombea Mungu akuponye mheshimiwa,nakupenda sana
@bennitezcharles5369
@bennitezcharles5369 6 жыл бұрын
bwegee 2, hongera mzee wng. uzee ni dawa bwege. hii srkl y ccm ni mabavu tu na c democracy.
@ambrosdavid3239
@ambrosdavid3239 5 жыл бұрын
noma sana , yaani mpaka raha. bonge la mbunge
@majumbatv1116
@majumbatv1116 4 жыл бұрын
Huyu akili zake za kawaida anaakili sana halafu kasoma mambo saikologia
@victorguardian3377
@victorguardian3377 3 жыл бұрын
This guy is a hero... Naona kwa mbaaaaaaaaaaaaali🇰🇪
@ibrahimmokaya9288
@ibrahimmokaya9288 Жыл бұрын
.... kwa mbali sana...
@abasiachimika541
@abasiachimika541 5 жыл бұрын
Nahuyu ndio mbunge alioingia bila rushwa natman angekua mbunge wngu mtafnya kosa sana bila kumrudisha ten bwege
@hilalhazil8727
@hilalhazil8727 4 жыл бұрын
Hilo jembe labda life, cc tutamrudisha kila mwaka
@ibrahimchediel4867
@ibrahimchediel4867 4 жыл бұрын
Huyo namkubali asilimia mia anaushawishi HIYO NDIYO SIFA YA KIONGOZI SIO HASIRA
@mrishompulu7302
@mrishompulu7302 6 жыл бұрын
"Kwa sababu serkali ya ccm inaonekana kama patasi aifanyi kazi mpakkka igongwe"
@bilihaniadriano9446
@bilihaniadriano9446 3 жыл бұрын
😂😂
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@husseinyusuph6838
@husseinyusuph6838 6 жыл бұрын
Yani huyuuu bwege namuelewa sana hanaga woga
@hawaaally1639
@hawaaally1639 6 жыл бұрын
tunashukur wa kwetu hakika atujakosea kukuchagua
@viorasaimon8934
@viorasaimon8934 4 жыл бұрын
Aaa,bwanaweee,bwegeeeee,jimbo lako wanabahati kukupata,mwenyez mungu akupe nafasi nyingine tena yakuwa mbunge Mala kwa mala uwe unaingia bungeni kila mda,nipate kucheka niongeze siku zakuishi.
@colombo_2
@colombo_2 3 жыл бұрын
Pole Sana bwege watakukumbuka Sana
@peterndossy3008
@peterndossy3008 5 жыл бұрын
Bwege yupo kiutan ila anafikisha ujumbe vilivyo
@thomasnaibala6171
@thomasnaibala6171 Жыл бұрын
Waaah mbunge bwege wewe umetisha sana big up sana
@abdillahichicha8035
@abdillahichicha8035 6 жыл бұрын
Big up Spika kwa kwenda na move pia big up kwako Bwege kwa kuonyesha njia nimekubali
@titusrodney1168
@titusrodney1168 3 жыл бұрын
Instablaster...
@JohnJohn-ec5wz
@JohnJohn-ec5wz 6 жыл бұрын
Sijawahi kuchukukia MANENO ya m,bunge wa kusini MUDA MWENGINE NATAMANI kama huyu ndo angekuwa M,BUNGE WA JIMBOLANGU.
@pastor.kanunikayombo7864
@pastor.kanunikayombo7864 5 жыл бұрын
John John daa! huyu nibwege mwenyeakili nyingiiiiiiisana
@abrahamaniismail7333
@abrahamaniismail7333 4 жыл бұрын
Yes even me at Kiteto
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 4 жыл бұрын
Hahahahhaaaaaa yaani huyu mbunge bwege lakini bwege mtetezi wa wanyonge napenda sana kazi zake
@fantsonmpango7742
@fantsonmpango7742 5 жыл бұрын
Japo niko mwanza lakini Bwege nakupendaaaaaaga
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 5 жыл бұрын
pewa beer mbili bill kwangu 😂😂😂 big up hon Bwege
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 4 жыл бұрын
Daaah kichwa sana wallah hy mh bwege😍😍😂😂😂
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 6 жыл бұрын
Hahahah bwege bhana 😂😂😂😂 eti ajipigae mwenyewe halii 😂😂😂
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 6 жыл бұрын
Nakupenda Sana bwege upo vizuri
@saidmungulu7053
@saidmungulu7053 3 жыл бұрын
BWEGE tunakupenda sana watanzania. Uko njema sana
@dusabearafatrwigema9248
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Sio tzd peke, mpaka Rwanda kenya Africa mashariki wote twamutambua
@ramadhanyusuph7633
@ramadhanyusuph7633 3 жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea mambo ya maana sana ila tu wana ............wanachukulia masiala na muheshimiwa ..............anampoteza kwa kumvulugia kuna .....pokea
@kenethndambile3960
@kenethndambile3960 4 жыл бұрын
Kaka selemani naku kubali sana sana kwa ucheshi wako
@komboomar8275
@komboomar8275 6 жыл бұрын
Cku zote unapo ongea ww mimi huwaga nakuvulia kofia kando na ujumbe wako unaouwasilisha kwa kuchekesha lakini hutoki kwenye points zako za kuwatetea wanyonge wako waliokuchaguwa.. natamani ungekuwa mbunge wangu wa micheweni pemba.
@upendomasai331
@upendomasai331 3 жыл бұрын
Watu Kama Hawa ndoo walikuwa wananifanya nafuatilia bunge saiv ctakuwa na huo muda
@rodgersabraham1065
@rodgersabraham1065 5 жыл бұрын
Serikali haifanyi kazi mpaka igongwe hahahahahahahaha
@omarmahundu8545
@omarmahundu8545 6 жыл бұрын
mbunge bungala uko vizuri sana pambana mpaka damu ya mwisho wewe mbunge uko sawa tetea wananchi wako woga mwiko! Sasa kilwa tumepata mbunge mtetea Wana kusini Kwa maslahi mapana ya wakulima.......jamani wabunge wa kusini unganeni mutetee wakulima ilitupate maendeleo tumeonewa saaana hongela mbunge bungala........👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 👍👍👍👍👍👍👍
@hawaaally1639
@hawaaally1639 6 жыл бұрын
ni kwel kabisaa
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 жыл бұрын
Uyu dingi Ana Akir Nyingi sanaaa
@mohameddyandumbo2826
@mohameddyandumbo2826 6 жыл бұрын
Bwege hongera sana
@bakarikisimbo3919
@bakarikisimbo3919 6 жыл бұрын
Serikali ya ccm ni kama patasi haifanyi kazi mpaka igongwe
@stadytvonline9572
@stadytvonline9572 6 жыл бұрын
tunaanza upyaaaaaaaa 😂😂😂😂😂
@hamisinanyata1237
@hamisinanyata1237 6 жыл бұрын
Bwege haujamboooooo.. Umetisha saaaana
@danfordaugustino3461
@danfordaugustino3461 6 жыл бұрын
Kusini pamoja na kumpata Rais mkapa aliwatelekeza. Mpaka leo ndio mikoa maskini zaidi Tanzania. Komaeni otherwise Hali itakuwa ngumu.gesi wameitelekeza saizi ni strigliers gorge
@extramen5534
@extramen5534 5 жыл бұрын
Da!! Bungeni kuna burudani, 2020 lazima niingie
@dodoshavu488
@dodoshavu488 5 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@paulamani3936
@paulamani3936 4 жыл бұрын
Kila kheri 2020 ndio hii
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 3 жыл бұрын
@@paulamani3936 vp alifankiwa😂
@paulamani3936
@paulamani3936 3 жыл бұрын
@@mohammedmhina3973 Hahaaa...we mchokozi eee
@samwelnyamhanga2265
@samwelnyamhanga2265 4 жыл бұрын
Sikama wabunge wengine vilaza wana lala tuu bwege upo vzr
@flavian-augustino.pangah
@flavian-augustino.pangah 6 жыл бұрын
Nakuelewa sana bwege
@hamedalsaadi7350
@hamedalsaadi7350 6 жыл бұрын
Saw baba upo vizur San
@SaidSaid-vs6ye
@SaidSaid-vs6ye 3 жыл бұрын
Namkubali sana bungara km unamkubar km mm gongs like
@mikelazaro4479
@mikelazaro4479 6 жыл бұрын
Kweli huyu baba huwa nampenda sana pamoja na kusema kwakwe kwa kuchekesha ila anaongea kwa hisia kali..😂😂😂😂😂
@arabimandindi5930
@arabimandindi5930 6 жыл бұрын
Dahh uyu mzee balaaaa sanaaaaa
@nantala299
@nantala299 6 жыл бұрын
Kwer kunafaida ya vyama vingi bungeni.nafuu kuwambiya hvo hvo
@beenarry7233
@beenarry7233 5 жыл бұрын
Nkuelewaga sana mzee baba
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 6 жыл бұрын
Wewe bwegee upo vizuri
@scolasticamwete754
@scolasticamwete754 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mh bwegee kaah nimecheka.. upyaaaaaaaaa hiyo haina kulala
@petromakilika1131
@petromakilika1131 5 жыл бұрын
huyu mbunge yupo good sanaaaaaa hakika hawa ndo watu wenye uchungu na majimbo yao
@haidanthomas6544
@haidanthomas6544 5 жыл бұрын
Mh:Bwege uko vizuri
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 3 жыл бұрын
Wana Lindi chonde chonde chaguzj zijazo kama patatendeka haki huyu mpigieni kula za ndio akawatetee kwa nguvu na machungu yote
@husseinitaba8550
@husseinitaba8550 5 жыл бұрын
Namkubali Sana Bwege
@elishamollel2131
@elishamollel2131 6 жыл бұрын
hongera sana mh
@allymalenga9598
@allymalenga9598 4 жыл бұрын
Daah...😂😂 Sauti yake kama ya Joti, Duh
@ggjghh6245
@ggjghh6245 6 жыл бұрын
Hahahaha we bwegee wasalimie kivinjeeeeee
@samochristopherroche9953
@samochristopherroche9953 3 жыл бұрын
Hakika mwaka huu tutamis Sana vituko vya seleman bungara(bwege)
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Tena mpaka patasi ambayo ni.... igongwe nyuma ndio ifanye kazi
@zack_trucker
@zack_trucker Күн бұрын
You should have re elected this man😂😂
@hyasintakundy369
@hyasintakundy369 5 жыл бұрын
Hilo jina la bwege hukulistahili una akili zako bhana.. siyo kama mbunge msukuma
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 4 жыл бұрын
Alijiita yeye
@allennabukeera4386
@allennabukeera4386 3 жыл бұрын
hilo bwege laukoo nadhani
@denismujinja1993
@denismujinja1993 2 жыл бұрын
Bwege alijiita mwenywewe. Anamaana ya mnyenyekevu, mtulivu
@aaroneu07
@aaroneu07 6 жыл бұрын
Nice. Ni hiyo pesa ikitolewa itakuwa na manufaa makubwa kwa wenzetu wa kusini. Mzalendo atasema wapewe. Mnafiki tuuu ndio atakuwa tofauti. Wapewe pesa ya kilimo. Wapewe pesa yao. Waratibu maendeleo yao.
@mdzainb3722
@mdzainb3722 3 жыл бұрын
Yani huwa napenda kuangalia bunge sababu ya huyu bwegeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamzahamisi4526
@hamzahamisi4526 3 жыл бұрын
Bwege Dah Mimi nadhani hata haowabunge wa ccm walio jazana huko Bungeni Mwaka huu sijui watajifunza kwa nani Bila ya upinzani Hakuna kitu maisha yanahitaji changamoto Bwege Kaka pole sana kwa kilichotokea lakini Mungu yupo
@officialsonofficialson253
@officialsonofficialson253 6 жыл бұрын
hngera xna muheshimiwa bwege uko vizuri xana
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Man dharaba nafsi la yabuke.... Ajipigae mwenywe halii
@Mufasa_Babu_Bomba
@Mufasa_Babu_Bomba 4 жыл бұрын
Ina maaana gan?
@ShortyShorty-mr3jb
@ShortyShorty-mr3jb 2 ай бұрын
Nimemiss sana mzee bungara
@jaspakashaija5452
@jaspakashaija5452 6 жыл бұрын
Hahahahaha dar anachekesha lakn anaongea point
@sechomemmbaga1172
@sechomemmbaga1172 5 жыл бұрын
Huyu mzeee huwaaa namkubali sn
@barakakinogo4427
@barakakinogo4427 6 жыл бұрын
hakika bwege umesimama vema hiyo patasi igongeni
@simonhumphrey4796
@simonhumphrey4796 6 жыл бұрын
Hah hah haha Mzee Babu umetisha sanaaaaa
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 3 жыл бұрын
Unafaa kuwa Rais wa nchi.
@LeopardsHereThere
@LeopardsHereThere 2 жыл бұрын
would listen tp him all day
@paulokilenga1116
@paulokilenga1116 6 жыл бұрын
He is soo bright
@tanzania3672
@tanzania3672 6 жыл бұрын
Bwege noma😗😗😗😗😗
@dicksonakyoo4019
@dicksonakyoo4019 2 жыл бұрын
Tunaanza upyaaaaaaaa😁😁
@Isack-hj8cf
@Isack-hj8cf 6 жыл бұрын
Hahahahahaaa nakukubali mzee bungala bwege
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 4 жыл бұрын
Gombea uraisi unayaweza mzee
@khaleedallyk7227
@khaleedallyk7227 6 жыл бұрын
sawa mzee sugu wanakubali umerudi naukali tupu
@dusabearafatrwigema9248
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Huyu Mp watanzania mumulegeshe kazi mana Ni panafricanitse wakikweli. Yasema ukweli kabisa Africa mashariki Ni number wani kutoka tzd ug kenya burundi mpaka Rwanda akuna kama yeye. Uliskia wapi mzee muzima kama yeye
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 6 жыл бұрын
Nimemwelewa mh
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 жыл бұрын
Hakika wewe mbunge bwege nimekuelewa sana yaani upo kimatani lkn ujumbe unawafikia.
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 6 жыл бұрын
Kilwa mrudisheni Bwege tena 2020
@sinkalatz4099
@sinkalatz4099 5 жыл бұрын
bonny ngowo tunamrudisha mzee baba maana anatufaa sana😁😁
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 4 жыл бұрын
Hakikaa arudishweee
@happyfiverickaldo4662
@happyfiverickaldo4662 4 жыл бұрын
Hakikaa arudishweee
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Жыл бұрын
Mrudisheni huyu mbunge
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 Жыл бұрын
Yani kusini mmepoteza mtu muhimu sana
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 6 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaaaa Uuuuwiiihhhhhhh "Tunaanza uuuppyaaa"
@urassagelas1523
@urassagelas1523 6 жыл бұрын
mh bwege upovizuri
@shailove4785
@shailove4785 5 жыл бұрын
mary karebeti
@bashiribashiri5109
@bashiribashiri5109 4 жыл бұрын
HahahahahaAhaaaaa baba mung aendele kukupa afya njemaa
@fralex_1276
@fralex_1276 2 жыл бұрын
Nice! Tunaanz upyaaaaaa
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Ndugai anajaribu kumzingua bwege😂😂😂
@iddyking2677
@iddyking2677 5 жыл бұрын
Hahahahahaha!!!! At mpaka igongwee !!!! Mbavu jamaniiii!!!!....
@suzanampanda6242
@suzanampanda6242 5 жыл бұрын
😂😂😂sio stakabadhi ghalani ni malipo halali 👐👐👐 bwege bwana.
@sehemunzuri
@sehemunzuri 6 жыл бұрын
NI KAMA PATASI ,HAIFANYI KAZI HADI IGONGWE 💥
@yohanamaugila743
@yohanamaugila743 6 жыл бұрын
buzzfeed TZ bango Kali sana kwa ccm
@mpoyokapictures1405
@mpoyokapictures1405 6 жыл бұрын
nimecheka sana
@elymuna498
@elymuna498 6 жыл бұрын
tunaaaanzaaaaaaaaaaaaa upyaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@mwatumathmani586
@mwatumathmani586 4 жыл бұрын
Hahahaaaa bwege ni nomaaaaa
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bensonmmari
@bensonmmari 3 жыл бұрын
Tutammiss sana huyu jamaa, sijui kama kashinda kwakweli ila ni mtu mwenye akili sana.
@jojikeneth9024
@jojikeneth9024 2 жыл бұрын
Alikatwa
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 6 жыл бұрын
#BWEGE kanywa #MOFAYA nyingi Leo...
@saidishayo1974
@saidishayo1974 6 жыл бұрын
Msg sent na vichekesho safi xna
@abdallahngwame5679
@abdallahngwame5679 6 жыл бұрын
mze mungu akuweke by ngwame
@davidnicas8431
@davidnicas8431 6 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca 😂😂😂😂😂😂😂😂
@AUGUSTMUCHKNOW
@AUGUSTMUCHKNOW 5 жыл бұрын
Ramsey hahaha umetishaa mbaya
@kfastak
@kfastak 6 жыл бұрын
Really talk mh. Bwege. Wew mpango kila mtu anakulani yani
@christerrodgers6519
@christerrodgers6519 3 жыл бұрын
Hahahahahaha nimechekaaaaaaa nakupenda Sana
@sechomemmbaga1172
@sechomemmbaga1172 5 жыл бұрын
😃😃😃😃😃naazaaaaa upyaaaaa
@issambamba1106
@issambamba1106 4 жыл бұрын
Mwaka huu ni uchaguzi mkuu,jembe hili lirudi mjengoni jamani wana kilwa.
@0710434073
@0710434073 4 жыл бұрын
Aisee mzee bwege unatisha sana.kama vile mchezo lakini taarifa imefika ikulu....hata nadhani pombe anacheka ikulu maana hiyo dawa yako inateremka vizuri...... taarifa butu usiipokee
@gidionrichard4251
@gidionrichard4251 3 жыл бұрын
Nawpata vizuri mubashala
@annamushy2920
@annamushy2920 6 жыл бұрын
Nampendaga haiseeee Bba pambanaaaaa.
@emmanuelshitobelo5431
@emmanuelshitobelo5431 6 жыл бұрын
ardhi ,watu,siasa safi na uongozi bora
@anoldiantipas6760
@anoldiantipas6760 3 жыл бұрын
Hahahaha kaka nakukubali sana
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 733 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 464 М.
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 11 МЛН
Cheka kidogo na huyu Mbunge anayejiita 'Bwege' na hivi vituko vyake
10:27
'Uliskia wapi?': Mbunge Seleman Bungara (Bwege) funny compilation
3:00
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 554 М.
VITUKO vya MBUNGE BWEGE,  AMEANZA UPYAAAA, SPIKA Hoi, Awalipua CCM..
13:52
Global TV Online
Рет қаралды 486 М.
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
Cheka na vituko vingine vya Mbunge 'Bwege' Bungeni
16:06
Millard Ayo
Рет қаралды 188 М.
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН