Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima.
Пікірлер: 423
@lubatikoseme66134 жыл бұрын
Mbunge apendwae na watz wote🇹🇿👍
@josephlyatuu35203 жыл бұрын
Aliyesikia Mmechukua, mmeweka, waaaaah..!!! Agonge like
@lydiathadeous66446 жыл бұрын
Umetishaaaaa sanaaaaaa Mh. Bwegeeeeee🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 can’t deal yank nairudiaaa kuangalia kila dk jamaniiiiii unaniuaaa Hakiiii yananiiii. Kama hatuna shida Tz tunavyochekaaaa haki yananii
@abdulseif40935 жыл бұрын
Me ktk wabunge ambao nawaelewa huyu ni the best 😂😂😂
@olexanderj.69693 жыл бұрын
A Parliament where real People's issues are discussed. Hongera Watanzania kwa kujadili maswala yanayowahusu wananchi wenu. Sisi hapa Kenya ni ng'o!
Daah,nakuombea Mungu akuponye mheshimiwa,nakupenda sana
@bennitezcharles53696 жыл бұрын
bwegee 2, hongera mzee wng. uzee ni dawa bwege. hii srkl y ccm ni mabavu tu na c democracy.
@ambrosdavid32395 жыл бұрын
noma sana , yaani mpaka raha. bonge la mbunge
@majumbatv11164 жыл бұрын
Huyu akili zake za kawaida anaakili sana halafu kasoma mambo saikologia
@victorguardian33773 жыл бұрын
This guy is a hero... Naona kwa mbaaaaaaaaaaaaali🇰🇪
@ibrahimmokaya9288 Жыл бұрын
.... kwa mbali sana...
@abasiachimika5415 жыл бұрын
Nahuyu ndio mbunge alioingia bila rushwa natman angekua mbunge wngu mtafnya kosa sana bila kumrudisha ten bwege
@hilalhazil87274 жыл бұрын
Hilo jembe labda life, cc tutamrudisha kila mwaka
@ibrahimchediel48674 жыл бұрын
Huyo namkubali asilimia mia anaushawishi HIYO NDIYO SIFA YA KIONGOZI SIO HASIRA
@mrishompulu73026 жыл бұрын
"Kwa sababu serkali ya ccm inaonekana kama patasi aifanyi kazi mpakkka igongwe"
@bilihaniadriano94463 жыл бұрын
😂😂
@kassimrajabu78053 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@husseinyusuph68386 жыл бұрын
Yani huyuuu bwege namuelewa sana hanaga woga
@hawaaally16396 жыл бұрын
tunashukur wa kwetu hakika atujakosea kukuchagua
@viorasaimon89344 жыл бұрын
Aaa,bwanaweee,bwegeeeee,jimbo lako wanabahati kukupata,mwenyez mungu akupe nafasi nyingine tena yakuwa mbunge Mala kwa mala uwe unaingia bungeni kila mda,nipate kucheka niongeze siku zakuishi.
@colombo_23 жыл бұрын
Pole Sana bwege watakukumbuka Sana
@peterndossy30085 жыл бұрын
Bwege yupo kiutan ila anafikisha ujumbe vilivyo
@thomasnaibala6171 Жыл бұрын
Waaah mbunge bwege wewe umetisha sana big up sana
@abdillahichicha80356 жыл бұрын
Big up Spika kwa kwenda na move pia big up kwako Bwege kwa kuonyesha njia nimekubali
@titusrodney11683 жыл бұрын
Instablaster...
@JohnJohn-ec5wz6 жыл бұрын
Sijawahi kuchukukia MANENO ya m,bunge wa kusini MUDA MWENGINE NATAMANI kama huyu ndo angekuwa M,BUNGE WA JIMBOLANGU.
@pastor.kanunikayombo78645 жыл бұрын
John John daa! huyu nibwege mwenyeakili nyingiiiiiiisana
@abrahamaniismail73334 жыл бұрын
Yes even me at Kiteto
@ahmadsayyeed79104 жыл бұрын
Hahahahhaaaaaa yaani huyu mbunge bwege lakini bwege mtetezi wa wanyonge napenda sana kazi zake
@fantsonmpango77425 жыл бұрын
Japo niko mwanza lakini Bwege nakupendaaaaaaga
@mwambirekwamboka95255 жыл бұрын
pewa beer mbili bill kwangu 😂😂😂 big up hon Bwege
@zulfasaeed74454 жыл бұрын
Daaah kichwa sana wallah hy mh bwege😍😍😂😂😂
@fazeelshomary87436 жыл бұрын
Hahahah bwege bhana 😂😂😂😂 eti ajipigae mwenyewe halii 😂😂😂
@shukurukihwelo30846 жыл бұрын
Nakupenda Sana bwege upo vizuri
@saidmungulu70533 жыл бұрын
BWEGE tunakupenda sana watanzania. Uko njema sana
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Sio tzd peke, mpaka Rwanda kenya Africa mashariki wote twamutambua
@ramadhanyusuph76333 жыл бұрын
Huyu mbunge anaongea mambo ya maana sana ila tu wana ............wanachukulia masiala na muheshimiwa ..............anampoteza kwa kumvulugia kuna .....pokea
@kenethndambile39604 жыл бұрын
Kaka selemani naku kubali sana sana kwa ucheshi wako
@komboomar82756 жыл бұрын
Cku zote unapo ongea ww mimi huwaga nakuvulia kofia kando na ujumbe wako unaouwasilisha kwa kuchekesha lakini hutoki kwenye points zako za kuwatetea wanyonge wako waliokuchaguwa.. natamani ungekuwa mbunge wangu wa micheweni pemba.
@upendomasai3313 жыл бұрын
Watu Kama Hawa ndoo walikuwa wananifanya nafuatilia bunge saiv ctakuwa na huo muda
@rodgersabraham10655 жыл бұрын
Serikali haifanyi kazi mpaka igongwe hahahahahahahaha
@omarmahundu85456 жыл бұрын
mbunge bungala uko vizuri sana pambana mpaka damu ya mwisho wewe mbunge uko sawa tetea wananchi wako woga mwiko! Sasa kilwa tumepata mbunge mtetea Wana kusini Kwa maslahi mapana ya wakulima.......jamani wabunge wa kusini unganeni mutetee wakulima ilitupate maendeleo tumeonewa saaana hongela mbunge bungala........👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 👍👍👍👍👍👍👍
@hawaaally16396 жыл бұрын
ni kwel kabisaa
@mosamossile91134 жыл бұрын
Uyu dingi Ana Akir Nyingi sanaaa
@mohameddyandumbo28266 жыл бұрын
Bwege hongera sana
@bakarikisimbo39196 жыл бұрын
Serikali ya ccm ni kama patasi haifanyi kazi mpaka igongwe
@stadytvonline95726 жыл бұрын
tunaanza upyaaaaaaaa 😂😂😂😂😂
@hamisinanyata12376 жыл бұрын
Bwege haujamboooooo.. Umetisha saaaana
@danfordaugustino34616 жыл бұрын
Kusini pamoja na kumpata Rais mkapa aliwatelekeza. Mpaka leo ndio mikoa maskini zaidi Tanzania. Komaeni otherwise Hali itakuwa ngumu.gesi wameitelekeza saizi ni strigliers gorge
@extramen55345 жыл бұрын
Da!! Bungeni kuna burudani, 2020 lazima niingie
@dodoshavu4885 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@paulamani39364 жыл бұрын
Kila kheri 2020 ndio hii
@mohammedmhina39733 жыл бұрын
@@paulamani3936 vp alifankiwa😂
@paulamani39363 жыл бұрын
@@mohammedmhina3973 Hahaaa...we mchokozi eee
@samwelnyamhanga22654 жыл бұрын
Sikama wabunge wengine vilaza wana lala tuu bwege upo vzr
@flavian-augustino.pangah6 жыл бұрын
Nakuelewa sana bwege
@hamedalsaadi73506 жыл бұрын
Saw baba upo vizur San
@SaidSaid-vs6ye3 жыл бұрын
Namkubali sana bungara km unamkubar km mm gongs like
@mikelazaro44796 жыл бұрын
Kweli huyu baba huwa nampenda sana pamoja na kusema kwakwe kwa kuchekesha ila anaongea kwa hisia kali..😂😂😂😂😂
@arabimandindi59306 жыл бұрын
Dahh uyu mzee balaaaa sanaaaaa
@nantala2996 жыл бұрын
Kwer kunafaida ya vyama vingi bungeni.nafuu kuwambiya hvo hvo
@beenarry72335 жыл бұрын
Nkuelewaga sana mzee baba
@jumamiraji30816 жыл бұрын
Wewe bwegee upo vizuri
@scolasticamwete7546 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mh bwegee kaah nimecheka.. upyaaaaaaaaa hiyo haina kulala
@petromakilika11315 жыл бұрын
huyu mbunge yupo good sanaaaaaa hakika hawa ndo watu wenye uchungu na majimbo yao
@haidanthomas65445 жыл бұрын
Mh:Bwege uko vizuri
@kennyrogers47343 жыл бұрын
Wana Lindi chonde chonde chaguzj zijazo kama patatendeka haki huyu mpigieni kula za ndio akawatetee kwa nguvu na machungu yote
@husseinitaba85505 жыл бұрын
Namkubali Sana Bwege
@elishamollel21316 жыл бұрын
hongera sana mh
@allymalenga95984 жыл бұрын
Daah...😂😂 Sauti yake kama ya Joti, Duh
@ggjghh62456 жыл бұрын
Hahahaha we bwegee wasalimie kivinjeeeeee
@samochristopherroche99533 жыл бұрын
Hakika mwaka huu tutamis Sana vituko vya seleman bungara(bwege)
@oyay28215 жыл бұрын
Tena mpaka patasi ambayo ni.... igongwe nyuma ndio ifanye kazi
@zack_truckerКүн бұрын
You should have re elected this man😂😂
@hyasintakundy3695 жыл бұрын
Hilo jina la bwege hukulistahili una akili zako bhana.. siyo kama mbunge msukuma
@evaristmandilindi61474 жыл бұрын
Alijiita yeye
@allennabukeera43863 жыл бұрын
hilo bwege laukoo nadhani
@denismujinja19932 жыл бұрын
Bwege alijiita mwenywewe. Anamaana ya mnyenyekevu, mtulivu
@aaroneu076 жыл бұрын
Nice. Ni hiyo pesa ikitolewa itakuwa na manufaa makubwa kwa wenzetu wa kusini. Mzalendo atasema wapewe. Mnafiki tuuu ndio atakuwa tofauti. Wapewe pesa ya kilimo. Wapewe pesa yao. Waratibu maendeleo yao.
@mdzainb37223 жыл бұрын
Yani huwa napenda kuangalia bunge sababu ya huyu bwegeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamzahamisi45263 жыл бұрын
Bwege Dah Mimi nadhani hata haowabunge wa ccm walio jazana huko Bungeni Mwaka huu sijui watajifunza kwa nani Bila ya upinzani Hakuna kitu maisha yanahitaji changamoto Bwege Kaka pole sana kwa kilichotokea lakini Mungu yupo
@officialsonofficialson2536 жыл бұрын
hngera xna muheshimiwa bwege uko vizuri xana
@oyay28215 жыл бұрын
Man dharaba nafsi la yabuke.... Ajipigae mwenywe halii
@Mufasa_Babu_Bomba4 жыл бұрын
Ina maaana gan?
@ShortyShorty-mr3jb2 ай бұрын
Nimemiss sana mzee bungara
@jaspakashaija54526 жыл бұрын
Hahahahaha dar anachekesha lakn anaongea point
@sechomemmbaga11725 жыл бұрын
Huyu mzeee huwaaa namkubali sn
@barakakinogo44276 жыл бұрын
hakika bwege umesimama vema hiyo patasi igongeni
@simonhumphrey47966 жыл бұрын
Hah hah haha Mzee Babu umetisha sanaaaaa
@freddymtashi50203 жыл бұрын
Unafaa kuwa Rais wa nchi.
@LeopardsHereThere2 жыл бұрын
would listen tp him all day
@paulokilenga11166 жыл бұрын
He is soo bright
@tanzania36726 жыл бұрын
Bwege noma😗😗😗😗😗
@dicksonakyoo40192 жыл бұрын
Tunaanza upyaaaaaaaa😁😁
@Isack-hj8cf6 жыл бұрын
Hahahahahaaa nakukubali mzee bungala bwege
@salehalzakwani32834 жыл бұрын
Gombea uraisi unayaweza mzee
@khaleedallyk72276 жыл бұрын
sawa mzee sugu wanakubali umerudi naukali tupu
@dusabearafatrwigema9248 Жыл бұрын
Huyu Mp watanzania mumulegeshe kazi mana Ni panafricanitse wakikweli. Yasema ukweli kabisa Africa mashariki Ni number wani kutoka tzd ug kenya burundi mpaka Rwanda akuna kama yeye. Uliskia wapi mzee muzima kama yeye
@fubanjenjele5216 жыл бұрын
Nimemwelewa mh
@elizabethmwandu69375 жыл бұрын
Hakika wewe mbunge bwege nimekuelewa sana yaani upo kimatani lkn ujumbe unawafikia.
@bonnyngowo75676 жыл бұрын
Kilwa mrudisheni Bwege tena 2020
@sinkalatz40995 жыл бұрын
bonny ngowo tunamrudisha mzee baba maana anatufaa sana😁😁
HahahahahaAhaaaaa baba mung aendele kukupa afya njemaa
@fralex_12762 жыл бұрын
Nice! Tunaanz upyaaaaaa
@dostovan5142 Жыл бұрын
Ndugai anajaribu kumzingua bwege😂😂😂
@iddyking26775 жыл бұрын
Hahahahahaha!!!! At mpaka igongwee !!!! Mbavu jamaniiii!!!!....
@suzanampanda62425 жыл бұрын
😂😂😂sio stakabadhi ghalani ni malipo halali 👐👐👐 bwege bwana.
@sehemunzuri6 жыл бұрын
NI KAMA PATASI ,HAIFANYI KAZI HADI IGONGWE 💥
@yohanamaugila7436 жыл бұрын
buzzfeed TZ bango Kali sana kwa ccm
@mpoyokapictures14056 жыл бұрын
nimecheka sana
@elymuna4986 жыл бұрын
tunaaaanzaaaaaaaaaaaaa upyaaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@mwatumathmani5864 жыл бұрын
Hahahaaaa bwege ni nomaaaaa
@wamoroboy89633 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bensonmmari3 жыл бұрын
Tutammiss sana huyu jamaa, sijui kama kashinda kwakweli ila ni mtu mwenye akili sana.
@jojikeneth90242 жыл бұрын
Alikatwa
@RamazaniMulongeca6 жыл бұрын
#BWEGE kanywa #MOFAYA nyingi Leo...
@saidishayo19746 жыл бұрын
Msg sent na vichekesho safi xna
@abdallahngwame56796 жыл бұрын
mze mungu akuweke by ngwame
@davidnicas84316 жыл бұрын
Ramazani Mulongeca 😂😂😂😂😂😂😂😂
@AUGUSTMUCHKNOW5 жыл бұрын
Ramsey hahaha umetishaa mbaya
@kfastak6 жыл бұрын
Really talk mh. Bwege. Wew mpango kila mtu anakulani yani
@christerrodgers65193 жыл бұрын
Hahahahahaha nimechekaaaaaaa nakupenda Sana
@sechomemmbaga11725 жыл бұрын
😃😃😃😃😃naazaaaaa upyaaaaa
@issambamba11064 жыл бұрын
Mwaka huu ni uchaguzi mkuu,jembe hili lirudi mjengoni jamani wana kilwa.
@07104340734 жыл бұрын
Aisee mzee bwege unatisha sana.kama vile mchezo lakini taarifa imefika ikulu....hata nadhani pombe anacheka ikulu maana hiyo dawa yako inateremka vizuri...... taarifa butu usiipokee