Nipo urabun na nimejenga nyumba angu Ina vumba vitano kubwa sana nashukuru sana wazaz wangu Kwa uaminifu wamenisimamia vyema nimerud nikan mafanikio yangu nikapata nguvu zaid nikarud tena kupambn❤
@mirnababy50123 ай бұрын
🎉🎉
@saidkhalfan82073 ай бұрын
Maashallah
@NassirAliy3 ай бұрын
Usiamin mtu kiasi hiki sana Kaká tafuta kiwanja pale ww unapenda Kisha angalia kwenye familia Yako nan unamuamin Zaid ikiwa hujapata ndio mtafute huyo fundi na usimtumie pesa nyingi sana km ni ya fondeshen ikimaliza utaangalia Sasa na ww wepesi wako
@zainab82513 ай бұрын
Masha Allah
@DM.22003 ай бұрын
Ulipataj kaz huko wengine tunatafta hatupat au ni njia gan umetumia kufika huko?
@zainabmohamed513 ай бұрын
Ahsante sana mr.hous yaani siamini ni mtu muaminifu sana Allah azidi kukusimamia kwenye kazi yako
@RenaldaZeramula11 күн бұрын
Hv wee Mr. House unataka tukuonyeshe mijengo yetu. 95 kati ya 100 tayari tuna mijengo 2 had 3 ya nguvu. Wachache wa harabuni ambao wamechemka kupata nyumba. Pengine wamedhurumiwa si kwa mapenzi yao. Ila wengi tumesgusha kijengo hatari
@hidayamanda-gk7nf3 ай бұрын
Yani mimi fundi kaniboa subili nizichange kaka ntakutafuta inshallah ila utuonee uluma kazi ngum uku tulipo jaman
@LatifaLatifa67-ho1zr3 ай бұрын
Watu wanaona Kam vile tunaokta vile😂
@Mpakauseme3 ай бұрын
Hupo sawa mjomba , ushamba ugonjwa mbaya sana nyumba si lazima hiwe na vyumba vingi nyumba ata kikiwa na chumba kimoja na maitaji yote pia ni nyumba na inawezekana ukajenga nyumba ndongo na ikawa nzuri zaidi kama hotel 5 star na yenye thamani zaidi ata ya mtu mwenye jumba kubwa lenye mpangilio mbaya , mazingira ni muhimu si kujenga nyumba nakukosa sehemu ata yakupumzika na kupamba maua na miti
@NahirSaid-wj6ux3 ай бұрын
Jamani mm nko uarabun naogopa hata kujenga kwetu sna mama wala baba.yani sjui nimuamin nani
@zainabmohamed513 ай бұрын
Pole kipenzi mm hapo nimejenga wala hakuna ndugu yangu nimeongea na yy mr.hous na kuanga eneo na kumpa pesa na kanifanyia kazi yangu muhimu huyo mtu unayemuachia kazi yako ni muaminifu basi sio lazima uwe na ndugu kipenzi
@RahimaMct-ik8mr3 ай бұрын
Weka pesa zako ukimaliza mkataba waendakujenga mwenyew
@sikudhanimoshi69673 ай бұрын
Na kukubari sana kk yangu
@fortunatakiimu425829 күн бұрын
Ninavyokutafuta nakupigia hupokei kwann!?
@mariammariam57232 ай бұрын
❤❤😂
@user-if7pt1pr6l3 ай бұрын
Vp kama ninakazi yangu mkoani eg; (kahama) vp unafanya boss wang!!!!
@user-yt3nn9gz8u23 күн бұрын
Tatizo hata hko watsapp hutujibu msg kaka sa tukutafteje 😂mr hause tukikuuliza swali unajibu okay basi duh😢
@Sabratheboss-gd6ie18 күн бұрын
Ndio majibu yake ok ok basi
@salimanguzo55533 ай бұрын
❤
@hawamafuru67913 ай бұрын
Sio kama hatujifunz mm nilikuuliza swali lakin hukunijibu Kuna Alina ss hatuna hata watu wa kutununulia kiwanja je inawezekana wee uka simamia kuanzia kiwanja Hadi ujenzi?hukujibu
@NassirAliy3 ай бұрын
Mm ushauri wangu usiamin mtu kiasi hichi Kaká au dada nunua kiwanja chako mwenyeo Kisha mtafute fundi
@hawamafuru67913 ай бұрын
Ndugu Tu hu unashindwa kumwamin sembuse mtu Tu mtandao. Uliona wp zingine swaga Tu,
@salmasalam32683 ай бұрын
Wee huna mama mtu wa kwanza apa dunian ni mama Jenga urafiki na mama ako heli avile yeye kulko mtu mwingne nashukuru Mimi mama angu ni best ❤❤MUNGU anilindie yeye siamin ndugu yyte zaid ya rafiki angu mama
@MuhammadHassan-xp6dc3 ай бұрын
ushauri wangu bora umcheki whatssap mm nilimcheki akanijibu