Kutoka AL FATAH charitable associassion. Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
Пікірлер: 278
@user-mf7mt9zq6c3 ай бұрын
Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah
@zamamuuhamisi66545 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajuu mungu wanguu waislamu tuko WAP jamanii
@ibraringi80725 жыл бұрын
Kweli tutakapo nusuru dini ya Allah na Allah atatunusuru ss na Allah atie wepesi nyoyo zetu ziwe na wepes wakutoa
@user-ws8bc1jn7z5 ай бұрын
Kwa uwezo wa allah msikiti utajengwa tu
@Abutwaibah0015 жыл бұрын
Ya allah nipe katika neema zako niweze kufanya kheri kama hizi.
@sashaamir00195 жыл бұрын
Basloom Walid kwasote insha Allah
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Hahahaaa,,,,,,neema za mungu mtihani!!!
@nikitamarley39335 жыл бұрын
Uko sehemu ngani Inshaallah🙏🙏
@bintiiomary95005 жыл бұрын
Jamani Al Fatah nataka kuchangia n mm nko mbali 🇶🇦🇶🇦Qatar ntaka kututoa kwa ajili y Allah
@faizasaid82625 жыл бұрын
Bintii Omary nmba yao ipo hapo
@abdulrahmaniddy36485 жыл бұрын
asalam aleikum
@aminaelisha81835 жыл бұрын
Bintii Omary unafanya nn huko kayari kuna kz nami huko zandani
@alfatahtvonline33745 жыл бұрын
Bintii Omary naomba yako ya whatsapp
@alfatahtvonline33745 жыл бұрын
Binti Omary je ulifanikiwa kutoa sadaka yako? kama bado naomba tuwasiliane kwa namba hii +255657437007
@nassorhamad85565 жыл бұрын
Yaa RABBI tupe nasie waja wako riski za halali tupate kutoa nasie aaamiin
@muhammadahmedaliyyu38545 жыл бұрын
Subhan Allah 😭😭😭🤦♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏
@kyayangirehamdan56335 жыл бұрын
Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.
@ashuashu38435 жыл бұрын
Mashaa Allah mashaa Allah nimepapenda hiyo sehemu.
Subhanallah...jamani viongozi tembeeni mpaka vijijini msiishie mijini😢😢😢😢😢😢Allah ataleta kheri in shaa Allah
@saidkipalo44275 жыл бұрын
Wanasema MASHEKH hawakai vijijini?
@jamyrarashidy40785 жыл бұрын
Allah ataleta kherii ishaallah
@lutfiamattar53025 жыл бұрын
Yaallah wajalie waja wako wapate wafadhl tukiwemo ss
@wanusuleiman169 Жыл бұрын
Allaahu akbar jamani tujitoleeeni ktk kuipigania dini ya aAllaah S. W na Allaah s. w atatusaidia ktk hil
@omarjoombi88025 жыл бұрын
😥😥Allah atakulipen ALFATAH TV
@alfatahcharitableassociati185 жыл бұрын
msikiti upo upenja unguja
@alfatahcharitableassociati185 жыл бұрын
namba zakuchangia zipo wazi hapo kwenye clip
@allyderossi97425 жыл бұрын
AL FATAH CHARITABLE ASSOCIATION;;NAOMBA NA JINA LA HILO JINA LITAKALO KUJA KTK HIYO NO. YA EAZSY PESA YAO.
@rowenamabulay44525 жыл бұрын
Subhaan Allah,Islnsha Allah kila jmbo litanyooka
@maliethnyoni28475 жыл бұрын
Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto
@waziribakari65435 жыл бұрын
Unajielewa sana ndugu yangu mwandishi, Allah akulipe kher pamoja na taasisi yako na azid kukuongoza katika kher.
@allymayani44365 жыл бұрын
Waziri Bakari inalilah wa inailah rajuun
@shamsahaji62025 жыл бұрын
Subhanallah.. Allah afanye wepesi inshaallah
@joramnunu14495 жыл бұрын
Hello
@abedamohamed23365 жыл бұрын
Ishauwa mungu ataleta heri amina ya rabi🤔
@khadijashaffi58595 жыл бұрын
Abeda Mohamed jazakalahu
@zaitunijumanne66185 жыл бұрын
Inalilah wa innalilah rajiuna,waislamu tuipende dini yetu kwa wenye uwezo tuchangie walau tufanye jambo.inshaallah.
@Wastara0015 жыл бұрын
Hizo sauti zinazosikika ni muziki au nini? Kwani hamuwezi kutoa matangazo bila hizo kelele
Uyu mtangazaji hata sehemu ulipo huu msikiti hataji sehemu
@zainabusaid22225 жыл бұрын
yaalah nipe rizi ya halali nitowe japo nitakachojaaliwa nimechukua namba za cm sijui ndie ya kuchangia au tunomba mongozo AMINA yarabilala
@sumaiyaibrahim4295 жыл бұрын
Inshallah tutatoa tunachojaaliwa ila mji huo Uko wapi? Na pesa tutatuma kwa njia gani? Allah Akbar
@babailu21335 жыл бұрын
Subhannallah EE Mola nipe uwezo ili niupeleke mbele Uislam wetu
@ashuashu38435 жыл бұрын
Subhannah msiki ni mdogo na watu wanasali leo sehemu nyingine misiki mikubwa na watu wanaona tabu kwenda kufanya Ibada.
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Hakika
@mamyrahima69135 жыл бұрын
Mungu ataleta kherii ishaallah. ❤️
@mithasari30305 жыл бұрын
Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah
@rukiamohammed50315 жыл бұрын
😲😲Subbuhana Allah 😭😭jmn
@mwanamisaomar3465 жыл бұрын
Mungu atuwezeshe inshaallah tuweze kuchangia. Allahu Akbar.
@musabiram15255 жыл бұрын
Inasikitisha sana
@aishamohamed47275 жыл бұрын
subhanaallaah, ....,
@yusufally68535 жыл бұрын
Subhanna ALLAH.
@fatmaaly96865 жыл бұрын
Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii
@mhogomchungu71685 жыл бұрын
sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani
@hadijamandanje61895 жыл бұрын
Jamani hata kujitolea kwa kushirikiana hawawezi,waangeanza nna imani wangekuwa wamefikia hatua fulani ili wanaochangia waendeleze
@michaelboniphace36855 жыл бұрын
Ww umetoa nn kwenye hicho kidogo ulichonacho ?? Unalaumu matajiri wachangie kana kwamba uliwasaidia kuzitafuta
@fatmaaly96865 жыл бұрын
@@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu
Nilisho kigundua kwa sisi wsslam niwagumu sana kutoa nakuji tilea tubadilikeni jamani
@chuseruna53445 жыл бұрын
Mwenyenzi mungu awawezeshe ishaallah
@jumaaidi3024 Жыл бұрын
allah awjalie mpate msikiti mkubwa inshallah
@msfatma9465 жыл бұрын
Allah ataleta kher yake in shaallah 🤲
@fatmamickson58815 жыл бұрын
mungu àtanya wepesi ishalla
@joakimcyprian51985 жыл бұрын
Inshaallah Allah atanusuru
@aminamfaume42445 жыл бұрын
Haya ndio mambo ya kutuonyesha .Ahsant sna
@yusufally68535 жыл бұрын
Inshallah
@lailapandu11695 жыл бұрын
Allah karimu
@tawakalwamakaru86054 жыл бұрын
Subhan Allah maeneo gani uko uliko huwo mskiti tufahamisheni
@ZainabZainab-tv9ir5 жыл бұрын
Allaah azidikuwap nguvu namaishamarefu amiin
@donclassicMOZ5 жыл бұрын
Amin
@khamisame47325 жыл бұрын
Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah
@ramikhkhamis68584 жыл бұрын
Khamis Ame hi
@alibadi63232 жыл бұрын
Subhanallah Allah atafanyawepesi ishaallah
@mcoastcoast20335 жыл бұрын
Subhana Allah. Niwapi huko?
@kickermerakakaman74375 жыл бұрын
subhanaallah inshaallah weny uwez watasaidia
@jumakapilima56745 жыл бұрын
Kuna kheri nyingi ktk msikiti huo, moja ya kheri hiyo ni kuwa Hakuna kugombea sadaka hapo,,,,, !!!
@halimamlili74275 жыл бұрын
Allah nifanyie wepesi kama ulivo wafanyia wepesi wanaohitaji nani niwez kunyoosha mkoni
@ishaq99255 жыл бұрын
سبحان الله يا ربي جعلني رزق وسع
@SHEIKHMWAIPOPOTV4 ай бұрын
Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini
@mira-gq3qg5 жыл бұрын
Subhanallah inasikitisha Allah atalipa al fatah kwa juhudi zenu
@alfatahcharitableassociati185 жыл бұрын
namba zote za kuchangia ndugu zangu hipo hapo kwenye clip
@alfatahcharitableassociati185 жыл бұрын
namba za ndani na nje ya nchi zipo hapo msikiti upo Upenja Zanzibar
@maryamoman59265 жыл бұрын
Ishallah mta pata nawaombeya duwa mpate
@dickmlwilo30205 жыл бұрын
InshaAllah atukumbushe kwa hilo
@Da-cr6ow5 жыл бұрын
Innalilahi waina ilaihi rajighuun waislam wenzangu tushikamane kuinua dini yetu hadi machozi yananitoka mlio nahali toeni
@rashidbeleiko1535 жыл бұрын
ewee Allah ñaombaa unipeee neemaa niwezee kufanya kheri zinazoendanaaaa na hiziiu
@halkhaji42885 жыл бұрын
bi iznii allah
@ftoomamh78735 жыл бұрын
Allwaa karimu ishaallwaa
@hamzarajabomari54085 жыл бұрын
nimeguswa roho
@saadaalmamary83975 жыл бұрын
Wapi hapa subhanallah
@aminambaruku94534 жыл бұрын
Subhanallah
@khalifanassor53495 жыл бұрын
Tajeni majina ya hizo sehemu
@yusufally68535 жыл бұрын
Lailah Ila LLAH
@mariasimon75455 жыл бұрын
TUBUNI NA KUIAMINI INJILI KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMETIMIA, YESU KRISTO PEKEE NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, MTU HAWEZI KWE MBINGUNI ASIPOPITIA NJIA YA YESU KRISTO MWOKOZI WA ULIMWENGU. AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYE AMINI AMEKWISHA KUHUKUMIWA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.
@firdausrashid30695 жыл бұрын
Allah atupe wepesi. Mbona haikuelezwa huu msikti uko wapi? Shukran
@aymanabdallah92255 жыл бұрын
Asalam alyqum warahmatullah wabaraqatuh ,ndugu yangu nomber zipo hapo zinapita chukua no upige au kutoa mchango wako kwaajili ya swaddaqatuljaria
@aboumaburaramadhan41885 жыл бұрын
Subhanallha
@musabiram15255 жыл бұрын
Subhanallah!!
@greatiq82345 жыл бұрын
Inshaa Llah tutafanya hivyo.
@dannkoyzakoyza85215 жыл бұрын
Kwani mungu hakusiki mpaka uswali ndani ya msikiti.
@mwanakombojabiri62635 жыл бұрын
Allah atajalia wepesi..mbona amukueka namba ya muhusika
@frankmandaya41415 жыл бұрын
Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu
@aminirashid2833 Жыл бұрын
Abebwae hujikaza basi hata huo wanashindwa kuukarabati na kuuweka vizuri wanaume wazima hao
@najmakombo37655 жыл бұрын
inshaalah mwenyez mung ata jaalia🙏
@zubydazad76465 жыл бұрын
Mungu ataleta heri yake 🙏
@najmakombo37655 жыл бұрын
@@zubydazad7646 🙏🙏
@salmaalkyumi22705 жыл бұрын
Salallahu alaihi wasalam
@mwanalimateusi8885 жыл бұрын
Naomba kujua tutatoaje mchango nam nichangie.
@rashidbusanya71665 жыл бұрын
Subhaana Allah
@jimjam41625 жыл бұрын
SUBHANA ALLAH.
@anuaryally61775 жыл бұрын
Basi apo unaweza kuujenga alafu wataibuka watu kuanza kugombea uongozi mwishoe inakuwa vita ya kuwa mimi ndio kiongozi mimi ndio nimeomba misaada ukajengwa mimi kukosa mimi usingejengwa basi matatizo moja kwa moja
@allyderossi97425 жыл бұрын
Anuary Ally;;We changia utengeneze akhera yako kazi yako itakuwa imekamilika hiyo mitazamo tena waachie wenyw,,,,tena kwa mtazamo huo tena ucjengwe unaanza kuutia hila mbaya na watu wake na mapema.
@binthassancollection.63085 жыл бұрын
NAAAAM
@aminaomary39475 жыл бұрын
Yarab tujalie tufanye mema tarab
@awadhially13845 жыл бұрын
Huu msikiti upon wapi na tunachangia vipi?
@saidkipalo44275 жыл бұрын
Angalia hapo kushoto kuna Namba zinapita Ndio za Kuchangia
@welezilibero76505 жыл бұрын
SubhanaAllah
@anwaryabdallah77825 жыл бұрын
SUBHANAALLAH
@allyderossi97425 жыл бұрын
Nimesha SUBSCRUBE kwa kazi hii mnayoifanya hii kweli ndo channel ya kuipa MB,,.. ALLAH AWAZIDISHIE.
@marcomathias80995 жыл бұрын
Polen
@zainabuomary39575 жыл бұрын
Subkhaana llaah
@faizasaid82625 жыл бұрын
Subuhanallah
@alibaraka66995 жыл бұрын
Al Fatah munafanya kazi kubwa kuzungumka sehemu mbali. Lakini tatizo lenu ni moja tu hamuseme majina ya sehemu unazopiga picha.
@saidkilima8115 жыл бұрын
Wainalilah raajuni
@inabikorwaneema88155 жыл бұрын
يا ألله
@silimaiddi56065 жыл бұрын
Mungu atawezesha
@saumukilalo80975 жыл бұрын
Silima Iddi huu msikiti uko sehemu gani
@chaubajaj52725 жыл бұрын
Daaaaaaa
@asadjuma34975 жыл бұрын
Uko wapi huo msikiti ndugu mtangazaji
@zahorrashid54595 жыл бұрын
ukowap jamanii.
@abdullmalik78475 жыл бұрын
Alhamdulillah,,,in shaallah bi ithnillah Naomba Number ya m pesa
@halinishmachache25155 жыл бұрын
SubhanaAllah naomba namba y m.pesa hiki kidogo changu nina imani kitasaidia inshaAllah