WAISLAM SHUHUDIENI MTIHANI HUU

  Рет қаралды 154,769

AL FATAH TV ONLINE

5 жыл бұрын

Kutoka AL FATAH charitable associassion.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal
Alfatah tv online
kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490

Пікірлер: 278
@user-mf7mt9zq6c
@user-mf7mt9zq6c 3 ай бұрын
Masha Allah alhamdullillah nimewapenda sana waumini wa hapa wanajitahidi sana kwenye ibada Allah awaongize kwenye kher na awazidishie imani nasi atupe subra na afya na rizik na moyo ya kutoa kwa ajili ya Allah
@zamamuuhamisi6654
@zamamuuhamisi6654 5 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rajuu mungu wanguu waislamu tuko WAP jamanii
@ibraringi8072
@ibraringi8072 5 жыл бұрын
Kweli tutakapo nusuru dini ya Allah na Allah atatunusuru ss na Allah atie wepesi nyoyo zetu ziwe na wepes wakutoa
@user-ws8bc1jn7z
@user-ws8bc1jn7z 5 ай бұрын
Kwa uwezo wa allah msikiti utajengwa tu
@Abutwaibah001
@Abutwaibah001 5 жыл бұрын
Ya allah nipe katika neema zako niweze kufanya kheri kama hizi.
@sashaamir0019
@sashaamir0019 5 жыл бұрын
Basloom Walid kwasote insha Allah
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Hahahaaa,,,,,,neema za mungu mtihani!!!
@nikitamarley3933
@nikitamarley3933 5 жыл бұрын
Uko sehemu ngani Inshaallah🙏🙏
@bintiiomary9500
@bintiiomary9500 5 жыл бұрын
Jamani Al Fatah nataka kuchangia n mm nko mbali 🇶🇦🇶🇦Qatar ntaka kututoa kwa ajili y Allah
@faizasaid8262
@faizasaid8262 5 жыл бұрын
Bintii Omary nmba yao ipo hapo
@abdulrahmaniddy3648
@abdulrahmaniddy3648 5 жыл бұрын
asalam aleikum
@aminaelisha8183
@aminaelisha8183 5 жыл бұрын
Bintii Omary unafanya nn huko kayari kuna kz nami huko zandani
@alfatahtvonline3374
@alfatahtvonline3374 5 жыл бұрын
Bintii Omary naomba yako ya whatsapp
@alfatahtvonline3374
@alfatahtvonline3374 5 жыл бұрын
Binti Omary je ulifanikiwa kutoa sadaka yako? kama bado naomba tuwasiliane kwa namba hii +255657437007
@nassorhamad8556
@nassorhamad8556 5 жыл бұрын
Yaa RABBI tupe nasie waja wako riski za halali tupate kutoa nasie aaamiin
@muhammadahmedaliyyu3854
@muhammadahmedaliyyu3854 5 жыл бұрын
Subhan Allah 😭😭😭🤦‍♀️ mwenye zimungu Ghaz'wajallah ajalye duwa za waja wke ziwe makbur sina laguchangia kifedha lakini nimependa nalau ningelikuwa karibu ningesaidia Hata kwanguvu zangu na hivi yote sijajalwa Alhamdulillah ln shaa Allah Allah Ghaz'wajallah anijalye nisisahau kukumbuka kuombea duwa ndugu Hao ambao wa nahitaji na Mola ndiye mkwasi kwa kila kitu🤲🤲🙏
@kyayangirehamdan5633
@kyayangirehamdan5633 5 жыл бұрын
Habari ya kukaa kusubiri misaada wakati MNA nguvu nayo so nzuri anzeni kufyatu tofari kwa nguvu zenu muombe msaada wa bati na saruji.mwenyezimungu hataki watu wavivu.
@ashuashu3843
@ashuashu3843 5 жыл бұрын
Mashaa Allah mashaa Allah nimepapenda hiyo sehemu.
@maryamoman5926
@maryamoman5926 5 жыл бұрын
Ningekuwa nauwezo ningesadiya jamani wenyeueezo sadiyeni😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-qg2sw9bj2i
@user-qg2sw9bj2i 5 жыл бұрын
Subhanallah...jamani viongozi tembeeni mpaka vijijini msiishie mijini😢😢😢😢😢😢Allah ataleta kheri in shaa Allah
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 5 жыл бұрын
Wanasema MASHEKH hawakai vijijini?
@jamyrarashidy4078
@jamyrarashidy4078 5 жыл бұрын
Allah ataleta kherii ishaallah
@lutfiamattar5302
@lutfiamattar5302 5 жыл бұрын
Yaallah wajalie waja wako wapate wafadhl tukiwemo ss
@wanusuleiman169
@wanusuleiman169 Жыл бұрын
Allaahu akbar jamani tujitoleeeni ktk kuipigania dini ya aAllaah S. W na Allaah s. w atatusaidia ktk hil
@omarjoombi8802
@omarjoombi8802 5 жыл бұрын
😥😥Allah atakulipen ALFATAH TV
@alfatahcharitableassociati18
@alfatahcharitableassociati18 5 жыл бұрын
msikiti upo upenja unguja
@alfatahcharitableassociati18
@alfatahcharitableassociati18 5 жыл бұрын
namba zakuchangia zipo wazi hapo kwenye clip
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
AL FATAH CHARITABLE ASSOCIATION;;NAOMBA NA JINA LA HILO JINA LITAKALO KUJA KTK HIYO NO. YA EAZSY PESA YAO.
@rowenamabulay4452
@rowenamabulay4452 5 жыл бұрын
Subhaan Allah,Islnsha Allah kila jmbo litanyooka
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 5 жыл бұрын
Mungu akubalik sana mtangazaji nakupenda sana ila kwann huwa unachagua waisram tuu kwann usiwe unachagua dini walazeebu manaa shida km izo wanazo wengi na wanaitaji msaada naona km yule flora wa nitetei abagui dini wala zehebu kila mwenye shida huwa anachangisha awe mhisram au mkilisto
@waziribakari6543
@waziribakari6543 5 жыл бұрын
Unajielewa sana ndugu yangu mwandishi, Allah akulipe kher pamoja na taasisi yako na azid kukuongoza katika kher.
@allymayani4436
@allymayani4436 5 жыл бұрын
Waziri Bakari inalilah wa inailah rajuun
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 5 жыл бұрын
Subhanallah.. Allah afanye wepesi inshaallah
@joramnunu1449
@joramnunu1449 5 жыл бұрын
Hello
@abedamohamed2336
@abedamohamed2336 5 жыл бұрын
Ishauwa mungu ataleta heri amina ya rabi🤔
@khadijashaffi5859
@khadijashaffi5859 5 жыл бұрын
Abeda Mohamed jazakalahu
@zaitunijumanne6618
@zaitunijumanne6618 5 жыл бұрын
Inalilah wa innalilah rajiuna,waislamu tuipende dini yetu kwa wenye uwezo tuchangie walau tufanye jambo.inshaallah.
@Wastara001
@Wastara001 5 жыл бұрын
Hizo sauti zinazosikika ni muziki au nini? Kwani hamuwezi kutoa matangazo bila hizo kelele
@shamsahassan2586
@shamsahassan2586 5 жыл бұрын
subhanallah,,mungu awazidishie watakaosaidia kujenga miskiti
@yahyafakih5190
@yahyafakih5190 5 жыл бұрын
Uyu mtangazaji hata sehemu ulipo huu msikiti hataji sehemu
@zainabusaid2222
@zainabusaid2222 5 жыл бұрын
yaalah nipe rizi ya halali nitowe japo nitakachojaaliwa nimechukua namba za cm sijui ndie ya kuchangia au tunomba mongozo AMINA yarabilala
@sumaiyaibrahim429
@sumaiyaibrahim429 5 жыл бұрын
Inshallah tutatoa tunachojaaliwa ila mji huo Uko wapi? Na pesa tutatuma kwa njia gani? Allah Akbar
@babailu2133
@babailu2133 5 жыл бұрын
Subhannallah EE Mola nipe uwezo ili niupeleke mbele Uislam wetu
@ashuashu3843
@ashuashu3843 5 жыл бұрын
Subhannah msiki ni mdogo na watu wanasali leo sehemu nyingine misiki mikubwa na watu wanaona tabu kwenda kufanya Ibada.
@fatmaaly9686
@fatmaaly9686 5 жыл бұрын
Hakika
@mamyrahima6913
@mamyrahima6913 5 жыл бұрын
Mungu ataleta kherii ishaallah. ❤️
@mithasari3030
@mithasari3030 5 жыл бұрын
Subuanallah siyo adi mutu atoe pesa ata nguvu zenu mujitaidi mujenge nyie wababa na wamama nanyie musombe maji nshallah allah awatiliye wepesi inshallah
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 5 жыл бұрын
😲😲Subbuhana Allah 😭😭jmn
@mwanamisaomar346
@mwanamisaomar346 5 жыл бұрын
Mungu atuwezeshe inshaallah tuweze kuchangia. Allahu Akbar.
@musabiram1525
@musabiram1525 5 жыл бұрын
Inasikitisha sana
@aishamohamed4727
@aishamohamed4727 5 жыл бұрын
subhanaallaah, ....,
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
Subhanna ALLAH.
@fatmaaly9686
@fatmaaly9686 5 жыл бұрын
Matajir wa kiislam pesazao kwenye mpira na kuwaita wanaoenda uchi kuja zanzibar et kutalii km hicho alichokitoa angeliwapa maskini 😭😭😭😭jamani dunia hadaa ulimwengu una mwisho yaallah tupe rzk za halali yarabii
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 5 жыл бұрын
sio kila kitu tajiri ndio afanye , siamini kwamba watu hao kila mmoja hana uwezo wa kuchangia matofali kumi msikiti ukanyanyuka, ni uvivu wa kufikiri na kukosa imani
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 5 жыл бұрын
Jamani hata kujitolea kwa kushirikiana hawawezi,waangeanza nna imani wangekuwa wamefikia hatua fulani ili wanaochangia waendeleze
@michaelboniphace3685
@michaelboniphace3685 5 жыл бұрын
Ww umetoa nn kwenye hicho kidogo ulichonacho ?? Unalaumu matajiri wachangie kana kwamba uliwasaidia kuzitafuta
@fatmaaly9686
@fatmaaly9686 5 жыл бұрын
@@michaelboniphace3685 mimi sikumsaidia kutafuta ila nikauli ya allah kila mwenye uwezo amsaidi fakir mimi sijatoa na unatakanikitoa nije nikwambie fala wewe njinga mwitu
@zahara.mtingita5740
@zahara.mtingita5740 5 жыл бұрын
Hizi. Ndizo. Dalili. .ndogo. ndogo. Alizo. Zitaja. Mtume
@zulihanani7355
@zulihanani7355 5 жыл бұрын
Masha Allah much love from uganda
@athumanipalamba3003
@athumanipalamba3003 5 жыл бұрын
Nilisho kigundua kwa sisi wsslam niwagumu sana kutoa nakuji tilea tubadilikeni jamani
@chuseruna5344
@chuseruna5344 5 жыл бұрын
Mwenyenzi mungu awawezeshe ishaallah
@jumaaidi3024
@jumaaidi3024 Жыл бұрын
allah awjalie mpate msikiti mkubwa inshallah
@msfatma946
@msfatma946 5 жыл бұрын
Allah ataleta kher yake in shaallah 🤲
@fatmamickson5881
@fatmamickson5881 5 жыл бұрын
mungu àtanya wepesi ishalla
@joakimcyprian5198
@joakimcyprian5198 5 жыл бұрын
Inshaallah Allah atanusuru
@aminamfaume4244
@aminamfaume4244 5 жыл бұрын
Haya ndio mambo ya kutuonyesha .Ahsant sna
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
Inshallah
@lailapandu1169
@lailapandu1169 5 жыл бұрын
Allah karimu
@tawakalwamakaru8605
@tawakalwamakaru8605 4 жыл бұрын
Subhan Allah maeneo gani uko uliko huwo mskiti tufahamisheni
@ZainabZainab-tv9ir
@ZainabZainab-tv9ir 5 жыл бұрын
Allaah azidikuwap nguvu namaishamarefu amiin
@donclassicMOZ
@donclassicMOZ 5 жыл бұрын
Amin
@khamisame4732
@khamisame4732 5 жыл бұрын
Mm sin uwezo wa kuchangia hela km itawezekana ukiazwa kujengwa mm nitakuwa kibarua namba moja na siku ya kuaza kujengwa tuambien mapema tuje tuyowe nguvu zetu kwa ajili ya Allah
@ramikhkhamis6858
@ramikhkhamis6858 4 жыл бұрын
Khamis Ame hi
@alibadi6323
@alibadi6323 2 жыл бұрын
Subhanallah Allah atafanyawepesi ishaallah
@mcoastcoast2033
@mcoastcoast2033 5 жыл бұрын
Subhana Allah. Niwapi huko?
@kickermerakakaman7437
@kickermerakakaman7437 5 жыл бұрын
subhanaallah inshaallah weny uwez watasaidia
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Kuna kheri nyingi ktk msikiti huo, moja ya kheri hiyo ni kuwa Hakuna kugombea sadaka hapo,,,,, !!!
@halimamlili7427
@halimamlili7427 5 жыл бұрын
Allah nifanyie wepesi kama ulivo wafanyia wepesi wanaohitaji nani niwez kunyoosha mkoni
@ishaq9925
@ishaq9925 5 жыл бұрын
سبحان الله يا ربي جعلني رزق وسع
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 4 ай бұрын
Tunajizalilisha sana waislamu hivi kwa akili ya kawaida zanzibar ni sehemu ya kushndwa kujenga msikiti mpaka matangazo ya namna hiyo msikiti huo kama ukijengwa hata milioni miambili haufiki zanzibar waislamu chungu mzima kazio nini
@mira-gq3qg
@mira-gq3qg 5 жыл бұрын
Subhanallah inasikitisha Allah atalipa al fatah kwa juhudi zenu
@alfatahcharitableassociati18
@alfatahcharitableassociati18 5 жыл бұрын
namba zote za kuchangia ndugu zangu hipo hapo kwenye clip
@alfatahcharitableassociati18
@alfatahcharitableassociati18 5 жыл бұрын
namba za ndani na nje ya nchi zipo hapo msikiti upo Upenja Zanzibar
@maryamoman5926
@maryamoman5926 5 жыл бұрын
Ishallah mta pata nawaombeya duwa mpate
@dickmlwilo3020
@dickmlwilo3020 5 жыл бұрын
InshaAllah atukumbushe kwa hilo
@Da-cr6ow
@Da-cr6ow 5 жыл бұрын
Innalilahi waina ilaihi rajighuun waislam wenzangu tushikamane kuinua dini yetu hadi machozi yananitoka mlio nahali toeni
@rashidbeleiko153
@rashidbeleiko153 5 жыл бұрын
ewee Allah ñaombaa unipeee neemaa niwezee kufanya kheri zinazoendanaaaa na hiziiu
@halkhaji4288
@halkhaji4288 5 жыл бұрын
bi iznii allah
@ftoomamh7873
@ftoomamh7873 5 жыл бұрын
Allwaa karimu ishaallwaa
@hamzarajabomari5408
@hamzarajabomari5408 5 жыл бұрын
nimeguswa roho
@saadaalmamary8397
@saadaalmamary8397 5 жыл бұрын
Wapi hapa subhanallah
@aminambaruku9453
@aminambaruku9453 4 жыл бұрын
Subhanallah
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 5 жыл бұрын
Tajeni majina ya hizo sehemu
@yusufally6853
@yusufally6853 5 жыл бұрын
Lailah Ila LLAH
@mariasimon7545
@mariasimon7545 5 жыл бұрын
TUBUNI NA KUIAMINI INJILI KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMETIMIA, YESU KRISTO PEKEE NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, MTU HAWEZI KWE MBINGUNI ASIPOPITIA NJIA YA YESU KRISTO MWOKOZI WA ULIMWENGU. AAMINIYE NA KUBATIZWA ATAOKOKA, ASIYE AMINI AMEKWISHA KUHUKUMIWA. OKOKA SASA YESU KRISTO ANAKUJA SASA HIVI.
@firdausrashid3069
@firdausrashid3069 5 жыл бұрын
Allah atupe wepesi. Mbona haikuelezwa huu msikti uko wapi? Shukran
@aymanabdallah9225
@aymanabdallah9225 5 жыл бұрын
Asalam alyqum warahmatullah wabaraqatuh ,ndugu yangu nomber zipo hapo zinapita chukua no upige au kutoa mchango wako kwaajili ya swaddaqatuljaria
@aboumaburaramadhan4188
@aboumaburaramadhan4188 5 жыл бұрын
Subhanallha
@musabiram1525
@musabiram1525 5 жыл бұрын
Subhanallah!!
@greatiq8234
@greatiq8234 5 жыл бұрын
Inshaa Llah tutafanya hivyo.
@dannkoyzakoyza8521
@dannkoyzakoyza8521 5 жыл бұрын
Kwani mungu hakusiki mpaka uswali ndani ya msikiti.
@mwanakombojabiri6263
@mwanakombojabiri6263 5 жыл бұрын
Allah atajalia wepesi..mbona amukueka namba ya muhusika
@frankmandaya4141
@frankmandaya4141 5 жыл бұрын
Mchango ni muhimu kwao lakini hao waimini wa msikiti huo no wavivu sanaaa hata kuujenga vizuri wameshindwa kweli hii sio sawa wangejiyolea kuujenga hats kwa hiyohiyo miti, hata kuchimba choo nacho hadi alah awawezeshe kweli jamaniii, waache uvivu
@aminirashid2833
@aminirashid2833 Жыл бұрын
Abebwae hujikaza basi hata huo wanashindwa kuukarabati na kuuweka vizuri wanaume wazima hao
@najmakombo3765
@najmakombo3765 5 жыл бұрын
inshaalah mwenyez mung ata jaalia🙏
@zubydazad7646
@zubydazad7646 5 жыл бұрын
Mungu ataleta heri yake 🙏
@najmakombo3765
@najmakombo3765 5 жыл бұрын
@@zubydazad7646 🙏🙏
@salmaalkyumi2270
@salmaalkyumi2270 5 жыл бұрын
Salallahu alaihi wasalam
@mwanalimateusi888
@mwanalimateusi888 5 жыл бұрын
Naomba kujua tutatoaje mchango nam nichangie.
@rashidbusanya7166
@rashidbusanya7166 5 жыл бұрын
Subhaana Allah
@jimjam4162
@jimjam4162 5 жыл бұрын
SUBHANA ALLAH.
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 жыл бұрын
Basi apo unaweza kuujenga alafu wataibuka watu kuanza kugombea uongozi mwishoe inakuwa vita ya kuwa mimi ndio kiongozi mimi ndio nimeomba misaada ukajengwa mimi kukosa mimi usingejengwa basi matatizo moja kwa moja
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
Anuary Ally;;We changia utengeneze akhera yako kazi yako itakuwa imekamilika hiyo mitazamo tena waachie wenyw,,,,tena kwa mtazamo huo tena ucjengwe unaanza kuutia hila mbaya na watu wake na mapema.
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 жыл бұрын
NAAAAM
@aminaomary3947
@aminaomary3947 5 жыл бұрын
Yarab tujalie tufanye mema tarab
@awadhially1384
@awadhially1384 5 жыл бұрын
Huu msikiti upon wapi na tunachangia vipi?
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 5 жыл бұрын
Angalia hapo kushoto kuna Namba zinapita Ndio za Kuchangia
@welezilibero7650
@welezilibero7650 5 жыл бұрын
SubhanaAllah
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 5 жыл бұрын
SUBHANAALLAH
@allyderossi9742
@allyderossi9742 5 жыл бұрын
Nimesha SUBSCRUBE kwa kazi hii mnayoifanya hii kweli ndo channel ya kuipa MB,,.. ALLAH AWAZIDISHIE.
@marcomathias8099
@marcomathias8099 5 жыл бұрын
Polen
@zainabuomary3957
@zainabuomary3957 5 жыл бұрын
Subkhaana llaah
@faizasaid8262
@faizasaid8262 5 жыл бұрын
Subuhanallah
@alibaraka6699
@alibaraka6699 5 жыл бұрын
Al Fatah munafanya kazi kubwa kuzungumka sehemu mbali. Lakini tatizo lenu ni moja tu hamuseme majina ya sehemu unazopiga picha.
@saidkilima811
@saidkilima811 5 жыл бұрын
Wainalilah raajuni
@inabikorwaneema8815
@inabikorwaneema8815 5 жыл бұрын
يا ألله
@silimaiddi5606
@silimaiddi5606 5 жыл бұрын
Mungu atawezesha
@saumukilalo8097
@saumukilalo8097 5 жыл бұрын
Silima Iddi huu msikiti uko sehemu gani
@chaubajaj5272
@chaubajaj5272 5 жыл бұрын
Daaaaaaa
@asadjuma3497
@asadjuma3497 5 жыл бұрын
Uko wapi huo msikiti ndugu mtangazaji
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 5 жыл бұрын
ukowap jamanii.
@abdullmalik7847
@abdullmalik7847 5 жыл бұрын
Alhamdulillah,,,in shaallah bi ithnillah Naomba Number ya m pesa
@halinishmachache2515
@halinishmachache2515 5 жыл бұрын
SubhanaAllah naomba namba y m.pesa hiki kidogo changu nina imani kitasaidia inshaAllah
@maryamoman5926
@maryamoman5926 5 жыл бұрын
Aallahwbkar subhanalllha
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 79 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 22 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 35 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 79 МЛН