Рет қаралды 35,618
Barabara ya Kisii kuelekea Narok ilifungwa kwa zaidi ya saa 3 na waandamanaji katika mji wa Bomet .vurugu zilishuhudiwa baada ya makundi mawili kurushiana mawe hali ambayo ilifanya wafanyabiashara wengi kufunga maduka yao.
Vijana hao wanalalamikia uongozi mbaya wa gavana wa kaunti hiyo Hillary Barchok