EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAZA UWANJA SIO SABABU"

  Рет қаралды 81,765

Wasafi Media

Wasafi Media

4 ай бұрын

EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAWAZA UWANJA SIO SABABU"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 121
@officialmapesa3618
@officialmapesa3618 4 ай бұрын
Nani amegundua kuwa daimand amekopi uongeaji wa salam sk, gonga like twende sawa
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 4 ай бұрын
Nimependa kusikia kwamba bado mpo pamoja! Kazi iendelee!
@user-oe5eg9ji4h
@user-oe5eg9ji4h 4 ай бұрын
Oya mungu akupe upendo unaichi nawatu vizuri bila wewe pengine wcb tisingue mbali
@SmilingBeaver-rf6sf
@SmilingBeaver-rf6sf 4 ай бұрын
Nimekuelewa sana menezi
@user-nr7zq2rr1r
@user-nr7zq2rr1r 4 ай бұрын
Mziki wetu African mashariki bado tunasubiri,sana ju tunagawanika sisi wenyewe ndio West Africa wanatuburuza Kila pahali SI mziki SI mpira,ata afcon finally ilikua afro beat, Nigeria vs ivory coast wote ni west Africa
@MudyNyau
@MudyNyau 4 ай бұрын
ASIEKUELEWA MENDEZI NI MJINGA AKILI HANA❤❤❤
@yohanepeter6800
@yohanepeter6800 14 сағат бұрын
Unacoment utumbo na haujala
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 4 ай бұрын
Maswali ya BABALEVO yameshiba sana Na SALAAM YUKO SAWA
@OHANGYAAMISI
@OHANGYAAMISI 27 күн бұрын
Diamond to the world 🌎🌎🌎🌎
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 4 ай бұрын
Bongo Flava bila Mendez no Music No Business
@IbrahimMohamedally
@IbrahimMohamedally 4 ай бұрын
Aisee
@user-nh9hh3vq7d
@user-nh9hh3vq7d 4 ай бұрын
Moyo wangu kwa duia ni diamond 🇧🇮🇧🇮🇧🇮👊
@davidpeter8099
@davidpeter8099 4 ай бұрын
We kama meneja wa msanii mkubwa diamond platnumz tuambie wasafi festival kwa nini haikufanyika kwa mkoa wa dar
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 ай бұрын
Na wew km ni mashabiki mkubwa wa diamond utuambie Kwann wasafi festival haikuja mkoa wa shinyanga 😂
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 4 ай бұрын
​@@cleveronlinemedia820😅😅😅
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 4 ай бұрын
​@@cleveronlinemedia820Ukiona paka anauliz hvy ujuh nishabik wa wasafi na yupo dar kwhy anataka jibu Kwa uongozi Sasa cjuh ww nishangaz wa mond au vp maan umejibu kama mtu usi kuwa na akili timamu
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 ай бұрын
Kwani dar ndiyo festival region? Acha ujinga
@misanamohamedi8438
@misanamohamedi8438 4 ай бұрын
kwa dar ndo kitu gan,mbona mikoa mingi tu haijafanyika
@Duanny-jm8fr
@Duanny-jm8fr 4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥💯💯💯👑👑
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 ай бұрын
Ohooh ohooh yauyau #
@hassansammy1076
@hassansammy1076 4 ай бұрын
Nakubali mendez
@HusinaKarama-ti9jm
@HusinaKarama-ti9jm 4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@EzekielChija
@EzekielChija 4 ай бұрын
Saut azipo sawa
@prosperabison1368
@prosperabison1368 4 ай бұрын
🔥🔥🔥
@ruu6592
@ruu6592 4 ай бұрын
Bora umwambie kujaza sio kufanya vizuri kumbwa jinga ilo
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@josephvenus3259
@josephvenus3259 4 ай бұрын
💪💪🇹🇿🦁
@Wil_thug
@Wil_thug 4 ай бұрын
Sk salamu nilisema wewe ni Suge knight wa bongo soko la muziki unali hold sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 ай бұрын
Uyu jamaa namkubaligi Sana salam Yan..ichi nikichwa Sana Yan..anamadini sana
@nehemia397
@nehemia397 4 ай бұрын
dah jamaa anaongea sana
@muduboy726
@muduboy726 4 ай бұрын
Tv ya familia
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 ай бұрын
Kijibaba levo kimedhalilishwa bila kujua maskini ... Ati akiitwa show ya milioni 5 anafanya. 😅
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 ай бұрын
We unayo laki apo?
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 4 ай бұрын
Mnalisha sana watanzania matango pori yupi wakupewa dolla 50 sukari au selemani
@malianonicass7029
@malianonicass7029 4 ай бұрын
Naina tahira ushakuja
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 ай бұрын
Endelea kulia
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 ай бұрын
We mpuuz
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 4 ай бұрын
Sio kweli ni uongo, inabidi kwenye show yake ili hela hiyo irudi inabidi waingie kwenye show wafu elfu kumi, bado hela ya promota hapo hajapata faida, acheni uongo bsna
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 ай бұрын
Leta ukweli wako
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
mendez mgojwa
@lanezboy7016
@lanezboy7016 4 ай бұрын
Wanakelele sana hawa mbwa kwanza hotel ipo wap ,ndege ipo wap 😂😂😂😂 ila wasaf
@eliashibundabalinze2754
@eliashibundabalinze2754 4 ай бұрын
Unataka ndege ukapande? Unataka Hotel ukalale? Endelea kupiga kelele
@nicksonmwaringa144
@nicksonmwaringa144 4 ай бұрын
Sallam Sk , vp album kubwa ya Simba na O2arena ni lini mzee baba maana wanaijeria wanatukandamiza sana
@SilaMinanda
@SilaMinanda 4 ай бұрын
Propaganda za mziki tu, Diamond hana kitu
@pengefeza2563
@pengefeza2563 4 ай бұрын
Tunajivunia Diamond huku sisi. Wanaigeria ni wengi sana huku nayo ni sababu kubwa ina wa push.
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 ай бұрын
​@@SilaMinandahufatilii muziki wew propaganda mtu anachukua matuzo makubwa anakutana na mastaar weng wa nje nyimbo zake wanajirekodi mastar wakubwa wa muziki mpira na wengine hivi unamdanganya nan sasa😂😂
@SilaMinanda
@SilaMinanda 4 ай бұрын
@@cleveronlinemedia820 Taja hapa kajirikodi star gani mkubwa wimbo wake?
@jocktanchristopherokinyi
@jocktanchristopherokinyi 4 ай бұрын
​@@SilaMinandaVictor Osimhen pamoja na Jesse Lingard wamekua wakijirekodi wakicheza wimbo wa Diamond na Chley unaitwa "Shu"
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 ай бұрын
Stories ndo hizo hizo kila siku population sio Kigezo mana kuna Wasanii wanatoka viji Nchi vidogo na wanajaza ma Arena kila kukicha
@rereshap9416
@rereshap9416 4 ай бұрын
Tuambie wasanii gani hao na kutoka viinchi gani ?!
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 ай бұрын
@@rereshap9416 Bob Marley anatoka Jamaican population yao ndogo, Shaggy, Sean pol Angelique Kidjo Benin na anashinda na Ndio Msanii anaeongoza kwa kuchukua Grammy nyingi Africa Marehemu Oliva Ntukuzi Zimbabwe alikua anajaza Ma Stadium’s Marekani Ulaya, Sonia Jorbat from Gambia kila siku anajaza ma Stadium’s Ulaya na Marekani na wote hao Population zao ndogo nje ya Nchi zao na music yao wanaimba Kilugha chao mana wataanza kusingizia Kingereza kuna Salf Keitta from Mali Faotmata Diwara Mali tena Salfu Keita na Youss Ndoor from Senegal ndo ma legendary from African washajaza Show zao Duniani kote na wanaimba kwa Lugha zao, Tukubali tu kama Mziki wa Bomgo bado na sio kutafuta Sababu zisokua na Mashiko kila siku
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 ай бұрын
Hlf kuna wasanii wakubwa tu wa huko nje na wanafanya vizur wana struggle kuijaza 02 arena
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 ай бұрын
@@rereshap9416 Sonia Jorbat Gambia, Fortunata Diwara Mali Alipha Blonde Cote waimbaji wakubwa wa Jamaica karibia wote Angelique Kidjo Benin hao wote hawana population’s kubwa Nchi zao wanaoishi Ulaya hau Marekani na wanazaja Ma Stadium’s Ulaya na American, kama Angelique Kidjo ndo Msanii anaeongoza kwa kutoka Africa mwenye Grammy nyingi kama Population Mettar basi Burnboy kishafanya Show Ireland Arena watu Elfu 22 na Wazungu watupu walijaa mana Nchi yao wabaguzi Burnboy huyo huyo kishajaza Greece arena watu Elfu 18 na wote Wazungu hakuna Wanaijeria hapo imefika time tukubali tu Tanzania or EastAfrica Music wao bado kabisa
@hamisikamanda9933
@hamisikamanda9933 4 ай бұрын
Kaka mkubwa
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 4 ай бұрын
uhakika
@omariselemani6578
@omariselemani6578 4 ай бұрын
Anayekubali huyu jamaa kipara ni mnafki Like hapa
@ernestcharles4288
@ernestcharles4288 4 ай бұрын
Sasa mnafkia kamnafkia nani?? Acheni chuki na m2 😂😂
@user-jq9rj4dm5u
@user-jq9rj4dm5u 3 ай бұрын
Acheni chuki binafsi
@user-gx9hg3dp1e
@user-gx9hg3dp1e 4 ай бұрын
Puakatoka mbio kaenda kupokea simu ya asma nini😂😂
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 4 ай бұрын
Salam muongo Sana Arena ni muhimu kujaza diamond Hana uwezo huo
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 ай бұрын
Sasa jibu Tyla kachukuwa Grammy kashajaza Arena?
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 4 ай бұрын
​@@MrTop-wj7nobonge la jibu
@josephmorris8194
@josephmorris8194 4 ай бұрын
Jibu na nusu
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 4 ай бұрын
​@@MrTop-wj7nohamjui hta hyo Tyla nd kwnz anamskia Leo
@user-lp5bj3vi3w
@user-lp5bj3vi3w 4 ай бұрын
Mendez kili kubwa
@IbrahimMohamedally
@IbrahimMohamedally 4 ай бұрын
Analipwa Dola laki mbili Kwa shoo
@masiradavid
@masiradavid 4 ай бұрын
Dollar elfu mbili kaka....sio laki mbili😅
@tinejuxfrancis729
@tinejuxfrancis729 4 ай бұрын
Ila baba levo alivyo chomoka hapoo
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 4 ай бұрын
Diamond aki hamia Marekani ndio mwisho wa mziki wake hakuna anae poteza muda kumsikiliza huku labda wa Kongo, na wakenya
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk 4 ай бұрын
Kuna wa bongo,zambia africa nzima wapo kule we jichetue eti kongo na keny
@john_1trader
@john_1trader 4 ай бұрын
Nyie watz hamjivunii kuwepo diamondi taifa lenyu i wish angekuwa mkenya
@Amanivicent-lp4sk
@Amanivicent-lp4sk 4 ай бұрын
Aamie marekani kwan Tz hawezi kuishii acha pigo za ajabu ww
@rereshap9416
@rereshap9416 4 ай бұрын
Kama weweee humsikilizi wako wanaomsikiliza na ndo maana hapa TZ hana mpinzani ? Na kama humfuatlilii kwenye social media hii umefuata nini mpaka uka comment ? HOVYOOOO !
@chapombe_mlafi
@chapombe_mlafi 16 күн бұрын
umeishiwa point
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 4 ай бұрын
Kinywaji milioni 40 acheni kuzinguwa
@JustinMkanje
@JustinMkanje 4 ай бұрын
Siyo hazi yake hadhi yake b 20
@BHTV-ly4jf
@BHTV-ly4jf 4 ай бұрын
Huo niuongo😂😂😂😂😂
@user-ht6wt6kt5f
@user-ht6wt6kt5f 4 ай бұрын
Nyie iv wasafi festival imeishia wap jamn??
@zuli.comedy.
@zuli.comedy. 4 ай бұрын
Viwanja haviruhus watu kufny show
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 ай бұрын
Mijitu ya tanzania baadhi uwa inaroppkaga tu haijui ht biashara ya mziki
@user-bt9sm4lh8p
@user-bt9sm4lh8p 4 ай бұрын
Acheni kick
@user-ve1xm7gn9y
@user-ve1xm7gn9y 3 ай бұрын
Sallam Sk kama Yuda alivyomusaliti Jesus... Sallam Sk amemusaliti Diamond kwa Harmonize State House...⚠️⚠️⚠️🇹🇿🇹🇿
@ChordCrafted
@ChordCrafted 3 ай бұрын
Duh kweli
@erickkagisa833
@erickkagisa833 3 ай бұрын
Huyu jamaa ni mnyamweZi kinyama
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 ай бұрын
Inategemea anafanya wapi hiyo show kwa Zanzibar hajawai kulipwa ata mIlion 50
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 4 ай бұрын
Una uhakika?
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 4 ай бұрын
Ushawahi muandalia show wewe kirandage?
@hudhaimarajab9103
@hudhaimarajab9103 4 ай бұрын
Kwa Zanzibar m255 😂 ni unafiki wakowapi ao watu tiket elfu 10 😂 halaf ifike m255 😂 maan izo shoo za Zanzibar watu elfu 3 hawafiki 😂 apo hajapata muandaaji wa shoo watu wa promotio 😂 mameneja wa msanii et m255 😂 makutu ya mbuzi
@suleimanhamza9014
@suleimanhamza9014 4 ай бұрын
Unakaza fuvu akili kisoda😂 watu hawategemei get collection wanaangalia wadhamini ndy wanaotoa pesa kwa ajil ya kubrand bidhaa zao.
@yasnshaban9827
@yasnshaban9827 4 ай бұрын
​@@suleimanhamza9014akili kubwa
@user-yu3mf6em1v
@user-yu3mf6em1v 4 ай бұрын
Yaan mondi na meneja wake wanaongea lafudhi moja
@Mouffassa
@Mouffassa 2 ай бұрын
Punguzeni makelele ongeeni kwa formula fanyeni noise reduction , Kuna mda mnaongea kwa pamoja mnakera
@user-nx2vj4wd2x
@user-nx2vj4wd2x 4 ай бұрын
Uwo unafki salam sk utakufya na humongous wako...
@malimanyanja562
@malimanyanja562 4 ай бұрын
200 apo Mie nimeshu nimefka safali njema ndg zangu
@nicksonmusa3457
@nicksonmusa3457 4 ай бұрын
Diamond kazungukwa na watu wenye akilii kama sallam sk
@user-ht7ik5wy8h
@user-ht7ik5wy8h 4 ай бұрын
Unachekesha sana we mpumbavu...Diamond ana nyumba hapa dar karibia 35 kama haujui. Kuna wakati kaa kimya kama hujui vitu mzee. Au anakuchanganya sababu amepanga pale anapoishi mpumbavu wew
@BHTV-ly4jf
@BHTV-ly4jf 4 ай бұрын
Arena ipi amewahi kujaza wewe para unauongo😂😂😂
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 3 ай бұрын
Kuhusu arena unatudanganya
@JohnValle-xn1dx
@JohnValle-xn1dx 4 ай бұрын
Diamond hana mvuto tena anabidi atafute mbinu mpya na mtazamo mingine, na hiyo idadi ya pesa anayotaja huyo jamaa anadanganya huyu jamaa😮
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 ай бұрын
Yn 😂 yn kuna wt hamuna akili sn hn mvuto wa nn ss mwenzako kashajiwek vizur n kuek pes kubw ya shoo ili pte muda wkupumzika ss ww kichaa ndo unroppk tu
@hudhaimarajab9103
@hudhaimarajab9103 4 ай бұрын
Rema miaka 4 😂 saiv shoo yke b 1
@maulidjuma8208
@maulidjuma8208 4 ай бұрын
Koo m250 ni ndogo kwako ok hongera
@ernestcharles4288
@ernestcharles4288 4 ай бұрын
Sasa uyo ni rema mbona kiba na konde hata 100M hawapati 😂😂😂 mondi kajitahidi sana
@user-lr7fj3xc4s
@user-lr7fj3xc4s 4 ай бұрын
Mondi ni mondi
@omariselemani6578
@omariselemani6578 4 ай бұрын
Acheni ujinga nyie Eti dogo nasibu aje kuishi usa so mnafiki usa ni kama tandale, haana uwezo wakuishi huku huyo
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 4 ай бұрын
Blaa blaa blaa uongo mwingiiii
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 4 ай бұрын
Nyumba yenyewe hana alipwe mia 250 pumbavuu kabisaa kiki za kisenge hizoo
@user-kg6km2gz2h
@user-kg6km2gz2h 4 ай бұрын
Wewe unayo mbwa wewe
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 ай бұрын
Ko na hiyo unakataa tena kwamba alipwi M250 mbn na page kubwa Huwa zinatoa orpdha za wasanii na yeye yumo wanaolipwa hela nyingi kwenye show au ndo umeisikia Leo hapa
@JohnValle-xn1dx
@JohnValle-xn1dx 4 ай бұрын
Haijui milioni 255 huyu jamaa
@josephmorris8194
@josephmorris8194 4 ай бұрын
Wabongo wavivu wa kutafuta information ila wanachoweza ni kubisha na kuponda vyao ila angetajwa msanii wa nje akuna hata mmoja angepinga
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 4 ай бұрын
Atakua ameskia Leo hyu au simu n ya mkopo ilkua imefungwa zlipotolew ordha 😂​@@cleveronlinemedia820
@deogratiousmerchiory5935
@deogratiousmerchiory5935 4 ай бұрын
Tumewachoka bhanange same story nothing new 🚮🚮
@helenahiro1402
@helenahiro1402 4 ай бұрын
YOU ARE NOT A TRUSTED PERSOM SALLAM.YOU HAVE ONCE CROOKED ME, YOU AND UOUR TEAM ARE USELESS, WOTE WEZI, REMMEBER PRODUCTION YA MBOSO . SOONER OR LATER PESAZANGU MTA LIPA, WEZI NA WAONGO SANA
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 4 ай бұрын
Watanzania wajinga tu achaneni nao ninyi fanyeni kazi yenu
@RodrigueHabarugira-zj7uq
@RodrigueHabarugira-zj7uq 4 ай бұрын
Ivi naile amefanya Zinziba kalipwa 😂
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 2,4 МЛН
Why are all guys such show-offs?
0:20
F&T Team
Рет қаралды 19 МЛН
Типичный банан 🍌 #shorts #глазунов #юмор
0:18