ABDUL MISAMBANO ALIYEIMBA ASUU ALIYOAMSHA WATU KWENYE THE GREAT GATSBY 707
Пікірлер: 430
@johnshilunga67845 жыл бұрын
Kama na wewe uko hapa kwasababu ya Abdul misambano gonga like tujuane
@jumabomba43163 жыл бұрын
Nimekuja kumuangalia Mzee Abdul km naww umekuja gonga like twende pamoja
@beloyalbert23593 жыл бұрын
😭😭😭😭 najiskia kulia tu
@picdotstudio47854 жыл бұрын
yaan hii nyimbo ya ASUU ni bonge moja la ngoma, ikiimbwa hadi mwili unasisimka..unaweza isikiliza hata mara 50 isikuchoshe. anayeamini sasa hakuna nyimbo ni blaa blaa tu, nipe like zako chap chap
@godnation_tz28505 жыл бұрын
Kma naww umelia kwa furaha gonga like hapa
@dsouzamaguno70065 жыл бұрын
Uwezo ukiwepo fanya lolote kwaajili ya Mama sababu hakuna kama Mama,Mama ni Mungu wa Pili baada ya Mungu,Mama ndiye sababu ya uwepo wako. Safi sana Kaka Mdogo
@tajiriskitchenswahiliflavo17235 жыл бұрын
Nimependa sanaaaa hi Party kuona Wazazi wote wa Diamond wako Happy 🙏
@evelynebushuru14695 жыл бұрын
Na hiyo ndio la muhimu muno. Hawana machungu dhidi ya nwanao
Kuna watu hata wakiimba nyimbo moja tu hawatasahaulika, J.I mmoja wao na kidato kimoja big song forever
@ebbymbao38655 жыл бұрын
Napenda sana mond &natasha Kenyan lady wpi like
@nizzoflavour72935 жыл бұрын
HONGERA BROTHER UMEONGEA VIZURI SANA KAMA UMEPENDA ALIVYOONGEA JAMAA GONGA LIKE
@jordanfromyt28615 жыл бұрын
Nani ana subiria rimix hii kwa hamu sana gonga like Button kama uko pamoja namimi
@bulaloalindamtobesyaofficial4 жыл бұрын
Yaani diamond huu upendo anamuonyesha mama yake ni baraka tosha. Wengi wanajisahaugi sana... furaha ya mama ni baraka kwa mtoto wake. Big up
@ndamayapejr77254 жыл бұрын
Msambano Pleaaz huu wimbo urudie tena kwa vyombo vya kisasa
@zawadkilua14425 жыл бұрын
Diamond ww ni moto umefanya hii nyimbo nimeitafuta diamond ww ndio asali ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿
@malicboy79735 жыл бұрын
Dahhh simba umenimaliza. Mpaka baba yupo ndani ajab wallah. May Allah bless your family. 🙏
@talentsolution7705 жыл бұрын
Nimefurahi kumuona baba sasibu😭😭😭i like it😘
@dolorosakway14114 жыл бұрын
Yuko na bint yake Queendarling
@ibrahimkeya33962 жыл бұрын
Much love my shemegi.Nyinyi hatari kwa nyimbo na fasihi.Nawavulia kovia la joho kwa heshima🙏
@farajibuteta62585 жыл бұрын
Huyu ndio alikuwa best singer ever
@lizopwaa76375 жыл бұрын
i wait remix mboso kapita litakuwa bonge la ngoma
@capramlacky81525 жыл бұрын
Hakuna kama mamaa❤❤❤..mpka nmemkumbuka wa kwangu
@capramlacky81525 жыл бұрын
@MWANYANJE TV dooh we acha tu......
@eduwardchales95915 жыл бұрын
capram lacky mufanyie na wakwako
@capramlacky81525 жыл бұрын
@@eduwardchales9591 me wa kwangu alishaendaaa kwa mungu...thus why nkasema hivyo
@capramlacky81525 жыл бұрын
@@kutesakenethmusuuza9658 thanks
@SaimonKalemera-im5dq5 ай бұрын
Abdyul masimango 🎉🎉❤
@hadijahassan94264 жыл бұрын
Jaman mbn ilinipita hiii dah😭😭ila hongeren mlo kuwepo
@zuuzuwayna58385 жыл бұрын
Leo nimeona raha mno kuona baba mzazi wa diamond yuko happy na hawajamtenga
@yuusufnuur57525 жыл бұрын
Naaa kweli pamoja sana
@frashconnect.15 жыл бұрын
Hamna namna.
@munnababygal84605 жыл бұрын
Jamani nimependa baba diamond nae hajatengwa hapa hongera sana shemeji yetu diamond ubarikiwe
@ireneonjiko89663 жыл бұрын
Beautiful. ASU WANGU my all time favourite bango....always loved it since I heard it in 2003....❤👌👌👌....Asu moyo unge kuwa nguo ninge ku azima uivae hadi milele....❤❤❤....cant have enough of Abdoul's Asu...
@calowamaye40095 жыл бұрын
I’m so!!! Happy to see diamond happy with his all his family’s especially with his father 👍🏽👌🏽👋
@mrishorajabu11345 жыл бұрын
kama umeona mzee wa diamond ananenepa sku iz gonga like
@zawadihamisi95855 жыл бұрын
Yaani mm sijawahi ona wallh nkupenda sana baba tiffah mungu akuweke
@ReMuriithi4 жыл бұрын
This is the 10th time iam watching the video. I love the song Asu Wangu its my favourite, the red dresses and everything about the party
@carolmuchiri7885 жыл бұрын
Raha telee jameeni wimbo huu wanikubusha mbali sana, Tz'd sitoki, Khadija kopa Malkia wa Taarab twakuona kwa ubali mwapendeza!
@beatricemapembe89415 жыл бұрын
Yaani queen Dareen nakukubali sana. Umetulia huna kimbelembele. Hongera
Kabla mziki haujawa veiws....dah we miss those days
@anakissiya86754 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo gonga like kama nawe waupenda
@graceyates14884 жыл бұрын
BARAKA TUPUUUUUUU. BABA MAMA MTOTO.....❤️❤️❤️❤️. Forgiveness is the best .#family
@adijaadija83395 жыл бұрын
Nafurahi kumuona simba namama yake nababa simboo😍😍😍
@ayshamahariq66655 жыл бұрын
Kwel kabsa bro ndoa muhim
@qaccimside5707 Жыл бұрын
2023 here we are.......much love to this legendary all the way outta +254
@azzesalum17175 жыл бұрын
Hauwezi amini nilipo muona baba mondi akicheza namwanae roho yng imefurai sna nilishindwa kujizuia hadi chozi limenitoka
@Msonjo5 жыл бұрын
Hauna kazi
@oxyrio12245 жыл бұрын
@@Msonjo hahhaa
@hamadsaidy87525 жыл бұрын
Azze salum tuwalee wa watt wetu kwaupendo
@angelsarehe55245 жыл бұрын
Azze Salum pole
@zeyriog67225 жыл бұрын
Ata mi pia mwil umencxmka xana hexhma yake bro
@TheSalma19995 жыл бұрын
Nimependa baba alivyocheza na mume mwenzie kiroho safi kabisa asanteni kwa kumualika baba yetu dudu la yuyu agha
@stevewanga9575 жыл бұрын
Hii nyimbo ilikua naipenda 2 sana... Long time hizo
@auntyominde35655 жыл бұрын
Aki jina la wimbo pliz
@stevewanga9575 жыл бұрын
@@auntyominde3565 Asuu by msambano
@rehemasalim5135 жыл бұрын
Siku hizi haupendi?
@rehemasalim5135 жыл бұрын
@@auntyominde3565 Asu
@stevewanga9575 жыл бұрын
@@rehemasalim513 yanikumbusha mbali
@abubakaromarkhan13985 жыл бұрын
Love You Simba unatupa changamoto kama sisi vijana ya kuzidi kupambana
@hamadsaidy87525 жыл бұрын
Kweli kabic
@aminhoyo88005 жыл бұрын
Wangapi wange penda re mix ,wa wimbo huu ,gonga hapo
@shifamakame46225 жыл бұрын
Haina remix hy bwana ht wakitowa sio asu hy
@ireneonjiko89663 жыл бұрын
The original anytime is bae👌
@antidabanyikwa32593 ай бұрын
Good music🔥🔥🥰
@jurmainezaidi7395 жыл бұрын
Alieelewa vaz la gabo Kama Mimi gonga like tafadhar.....
@hassannkeya55685 жыл бұрын
Gabo nomaaaaaaa
@taniahsasha78264 жыл бұрын
diamond achia remix
@blessingbagio48575 жыл бұрын
Baba dai amefurahi sanaaaaa jmn yaani Mungu akiamua kukurudshia furaha anairudsha na unasahau balaa lote nyuma
@ummybabe16005 жыл бұрын
Aki hapa na smile tu lonely. Nimeridhika sana Diamond na Abdul
@timelessbeauty56775 жыл бұрын
I love the presence of mzee Abdul which indicates maturity after separation ...thanks mzee ....maasidi jifunzeni sasa
@salimliemba34583 жыл бұрын
Nyimbo ya watu huko Burundi Lakin iko 🔥🔥🔥🔥
@halimafuketi83695 жыл бұрын
Nakupenda sana ww mwanamme!Mungu ndo anajua
@getmad99082 жыл бұрын
Hapo badaye Mzee abdu kiliumana maskini wakamkata 😭😭😭 alikuwa ana furaha Sana siku hiyo Mzee😭😭
@sameraamiry38492 жыл бұрын
DaaH dua zote laKini umemuacha
@asiansky47865 жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona baba daumond nae yumo penda sana nasib
@luqash_luqman97444 жыл бұрын
707 nakumbuka jaman tanasha wetu dah sai jeeee
@vinmilez57395 жыл бұрын
Mbosso mtu mbaya Yan hizi ndo nyimbo zake af wamematch vizur na msimbano
@saphinesyyohana71392 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana.misambano.niliipenda Sana hi nyimbo.
@risukiart46152 жыл бұрын
mzee abdul a.k.a comand safii simba
@aminaalli22875 жыл бұрын
Dai muinue Abdul misambanano ni msanii mzur sana na anapendwa..mmoja wapo Mimi napenda sana nyimbo hiyo
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
Amina Alli ukisema kumuinua itakuwa fedheha dharau huyo pia ni brand labda support ndogo ndogo kama promotion
@queenbhanji72235 жыл бұрын
mzee abdul anafuraha sana aiseee
@khalfanikhanga53125 жыл бұрын
Rahaa sana baba mama na watoto wanapo furahi pamoja
@iddijuma36505 жыл бұрын
Am so happy to see diamond and his dad huging
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Yes didn't see it
@fatumaissa25805 жыл бұрын
Hatari asuu sijui remix itakuwaje wametisha sanaaaa
@ummybabe16005 жыл бұрын
Misambano wallah Allah akuzidishie maisha marefu sana.
@mrishomzelela46275 жыл бұрын
9:10 Combination ya baba diamond,mume mwenza na Platnumz mwenyewe wakicheza pamoja kama vile ukuutiukuuti yaani dizaini kamduara vile hatarii
@susanonyango86165 жыл бұрын
Babake Diamond ameongeza miaka kumi zaidi ile furaha anayo haina kifani 😍
@rosechild50214 жыл бұрын
I remember this beautiful song in Burundi.
@ramadhanmbudo15965 жыл бұрын
Nakumbuka kitambo sana wakati nyimbo hii ina hit mpaka leo.
@nubian_queeeeen11 ай бұрын
This man Abdul gave my aunties in Kenya 🇰🇪 sleepless nights in the late 90s wallahi. Translate hii message ifike TZ 😅.
@bosslady43325 жыл бұрын
I like this song ❤❤ from DR CONGO 🇨🇩
@abdulseif40935 жыл бұрын
mboso ama lavalava nawaamini sana naamini mkiipiga cover hii ngoma itakuwa kali sana🙏
@janenyaga7262 жыл бұрын
👌🙏👍👍✌️✌️I love you bro parent first heshima ndugu
@hamzamoshi82755 жыл бұрын
WALE TULIOLUDIA MALA 10 KIPANDE ALICHOIMBA MBOSSO TUJUANE KWA LIKE
@mukunzinaplouse80253 жыл бұрын
Mpak sasa nakiludia bro mboss ni kiboko yao
@aminaamnah71595 жыл бұрын
Wapy team gabo like kma zte.uyooooooo
@fikirinyangasi79735 жыл бұрын
Sio uchawi sio Freemason, tuwapende nakuwaheshimu mama zetu kwa dhati ndo njia kuu yakufanikiwa
@abubakaromarkhan13985 жыл бұрын
Kabisa Love and respect for our belovely Mums equal to success
@iammusic34045 жыл бұрын
@@abubakaromarkhan1398 Sem kuna wachaw namashoga Watasema et illuminati Matako yao!
@yuusufnuur57525 жыл бұрын
swadaktar
@ashuraussein75825 жыл бұрын
Naam
@user-pz8cb9cj3i5 жыл бұрын
haki ni raha mpaka basi simba allah azidi kukuogoza na kukulinda na atakulipa kwahilo lakumsamehe babako mue na maisha mema familia nyote kajumla tanasha kaza kamba dadangu wanao sema wache waseme ww tumia nafasi yako sikuzote wa kenya hua hatuna papara yetu vitendo2 kenya woyeeeeee
@cherrietanzania62185 жыл бұрын
Can't get tired looking this performance
@maryamjey63405 жыл бұрын
MashaAllah ...pesa jamani sabuni ya roho😍😍
@brinahminja82563 жыл бұрын
Naipendaaa had naliqqq
@emanuelmhagama81935 жыл бұрын
daaa huu wimbo diamond anaupenda sana ata ukiona sura yake umemuingia moyoni
@annastaziavenance17355 жыл бұрын
Darling ako na happy kumuona mzee wakee
@Belalargib5 жыл бұрын
So cute ❤️ Tanzania 🇹🇿
@sukariyao65372 жыл бұрын
Me more 😘🤟🇹🇿💃💃💃💃
@NeitanLion5 жыл бұрын
great voice great vibe
@halidimgonza59452 жыл бұрын
Gud performance Abdul Misambano, Asu is my best song
@fredrickmlati28442 жыл бұрын
Abdul wamepiga kolabo na mboso great vibe
@amidasuleiman39835 жыл бұрын
Misambano bwana nakupenda bure
@rechokezia82135 жыл бұрын
Congratulations mond mey God bless you
@dianamkuna28985 жыл бұрын
Mdogo mdogo tu aijalishi ana maisha gani
@masoudmasasi18015 жыл бұрын
hii nyimbo nikiisikilizaga nasisimka sana bonge la nyimbo
@husnatgamaah13355 жыл бұрын
Kali sana wallah
@selemanivanmkungu46375 жыл бұрын
JAMAA NAMUELEWA SAANA HASWA HII NGOMA, MONDI IFANYIE MANUVA UITOE REMIX THEN UM PUSH JAMAA WALU TUMUONE HEWANI
@diananyaboke30815 жыл бұрын
Nani kaimba hii taarab
@louser94735 жыл бұрын
Diana Nyaboke abdul misambano a.k.a kaka mkubwa yupo TOT PLUS
@ungaroboungarobo55315 жыл бұрын
R i p my mama wimbo wako pendwa huuu ulikuwa
@salmaswai54435 жыл бұрын
Namkubali Sana Abduli misambano
@owjaymontesenos8135 жыл бұрын
Gonga like kwa baba dangote na queen darling 💯💯💯
@feronandsulubu67113 жыл бұрын
Mbosso ni genius
@sharifaabdullah68255 жыл бұрын
♥️ misambano from Tanga masha allah nyimbo iliyotulia
@hamzacedricole36735 жыл бұрын
Sharifa Abdullah lie from Burundi 🇧🇮 alikimbia vita ya Burundi 🇧🇮 1993 ila ni mmanyema mzaliwa wa Burundi 🇧🇮 na alikua Naimba kwa lebo ya jasmine apo buyenzi Burundi 🇧🇮 na uncle wangu kitambo San ila sio mtu wa ntazania
@sharifaabdullah68255 жыл бұрын
@@hamzacedricole3673 nimekubali
@Noah-se3ni5 жыл бұрын
Wow wow Amazing Talk well done brother,💑👏🌹💯
@mbosothankyouilikeyoursong98505 жыл бұрын
Ooooh kaka akuhurume bossy lady wifi yetu wa taifaaaa akuhurumiye kaka yetu mondi ulitukoseya saaana tulimpenda saaaana mama teeeeeeee saaaana tuna mpendaaa sisi wa Tanzania toho yetu mama teeeee katuzaliya watoto2 Tanzania cute babys 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
@chusseboywcb28085 жыл бұрын
Baba ya mondi anaqenge kamfatisha mwanae kabisa huhuhu😁😁😁😁😁🔥🔥🙏🙏🙏nimependa sanaaaaaa
@pilikasimu15935 жыл бұрын
Hongera chibu kutoa fursa kwa wanamuziki wengine
@junemuchiri6095 жыл бұрын
Performance ya khadija kopa iko wapi,she made me happy Jana usiku walai
@vincentcharles43855 жыл бұрын
Mmeitendea Haki nyimbo
@kitumba69655 жыл бұрын
Nasib anampenda Mama ...nakibali 👍
@blessingbagio48575 жыл бұрын
Queen na babaake wanavyochekeana adi wivu. Mbarkiwe