No video

MANARA ajibu KUHUSU rais KARIA "MIMI SIWEZI KUACHA MPIRA, MPIRA NI WANGU MIMI NTAMUACHIA NANI?"

  Рет қаралды 96,375

Wasafi Media

Wasafi Media

8 ай бұрын

MANARA AJIBU KUHUSU RAIS KARIA "MIMI SIWEZI KUACHA MPIRA, MPIRA NI WANGU MIMI NTAMUACHIA NANI?"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 123
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 8 ай бұрын
Tunakupenda wananchii na watu wa soka kwa wingi
@albertmwinde487
@albertmwinde487 8 ай бұрын
Huyu mwamba anaakili sana yaaani aiseeee
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂nakukubali sanaaa haji❤
@khmissalum3881
@khmissalum3881 8 ай бұрын
Kaka Haji manara uko vizuri sana wambie hao viongozi wasojua wanacho kisema,wanajizongazonga ktk kauli zao
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 8 ай бұрын
Kalia anawafanya watu watoto wadogo.
@babawatotobabu7229
@babawatotobabu7229 8 ай бұрын
KAZI YA MWANA F A IYO NDIO MWAKINYO AKO UHURU 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bavonichristopha1693
@bavonichristopha1693 8 ай бұрын
Mmmh sio kweli my brother why useme wewe ndo unakuitaji mpira kuliko wewe unavyouitaji mpira kwani wewe unacheza namba ngapi hacha hizo mambo za kujikweza bro
@ricklandennis
@ricklandennis 8 ай бұрын
Una uhakika gani km Mpira ndio unakutaka, mbona hakuna kinachomiss? Au ulikuwa namba ngapi unacheza. Ali Kamwe, Ahmed Ally, Hashim Ibwe. wamefit km wasemaji na tunaenjoy ww chuki nyingi
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 8 ай бұрын
Wewe ujui umuhimu wa haji
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 8 ай бұрын
Hao wote uliowataja hapo hakuna anayemfikia haji
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 8 ай бұрын
Nakuchukia sana we Kuma ila Leo umeongea Point nyingi sana
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 8 ай бұрын
Msenge kaongea fact sn leo😂😂
@sebastianphineas1593
@sebastianphineas1593 8 ай бұрын
Huyu jamaa msahaulifu sana maana kauli zake kuhusu hili zipo nyingi tofaut tofaut
@cettyamandus2929
@cettyamandus2929 6 ай бұрын
Ezidi uyooo mbwaaa
@user-hq3yn4uj1f
@user-hq3yn4uj1f 7 ай бұрын
Kaka haji nimekuelewa sana kumbe ulikua huna Nia mbaya na kijana.ahsante kaka.sasa turudi kwa mwakinyo mwakinyo tulio wengi Tanzania tunakupenda.nikweli kabosa achana na midia.ishi na maneno yaji manala,❤😂
@gilbertmwaikusa-kt2ze
@gilbertmwaikusa-kt2ze 8 ай бұрын
Karia hakusema kwamba yy kasema alisema alikuta rufaa yako na kasema ishughulikieni na ninyi watangazaji kumbukumbu hamnazo
@saidmansoor8528
@saidmansoor8528 8 ай бұрын
Yaaaaaaani amwachie Ahmed ally noooo😂😂😂
@rogersiddy
@rogersiddy 8 ай бұрын
Kifupi Karia anachuki anaona TFF mali yake ila muda utaongea tu atakuwa nje ya mamlaka muda wake utaisha tu hakai milele pale
@user-lr1zg4lz7z
@user-lr1zg4lz7z 8 ай бұрын
Sana manara
@rogersiddy
@rogersiddy 8 ай бұрын
Haji usitumie nguvu nyiiingi kujielezea kuhusu Karia tuliona Karia aliongea yauwongo mtupu tunafuatilia mipila miaka yote hatujaskia umefungiwa miaka7 alijitapa tu sikuile Karia
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 8 ай бұрын
Haji upo vizuri ktk michezo tatizo lako ni kujiamini kupitiliza hata kupita utaratibu kanuni na sheria hivyo ndiyo vinasababisha ufungiwe
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 8 ай бұрын
Kalia mjinga tu
@ashaomary5558
@ashaomary5558 7 ай бұрын
Hongera kaka😂😂😂😂haji
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 7 ай бұрын
Manara mtoto wa kariakoo
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 8 ай бұрын
Hili jamaa noma sana 😂😂😂😂
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 8 ай бұрын
Wewe siyo kweli kitu unachokipenda ukikikosa huwezi kuwa poa
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 8 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa 🇹🇿
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 8 ай бұрын
Marijuana inasumbua mno. Ukikosa kuchagua maneno ya kuxungunza utakuwa unapiga kelele tu. Ujuaji siku zote mwisho wake ni kuumbuka
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 8 ай бұрын
Eti ,"mheshimiwa rais (lahisi")! Yaani tunapofikia kila mwenye dhamana fulani tunamuita "mheshimiwa" jamii itatengeneza maisha ya unyonge. Karia ni rais wa TFF, lakini uheshimiwa aaaah, kwa vipi? Hapo hapana!
@ganzos-the-don6567
@ganzos-the-don6567 8 ай бұрын
Et mpira wangu 😂😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 8 ай бұрын
Kweli rudi tu kwenye mpira maana mpira ume ku' miss sn 😂😂😂😂 aisee wakuachee
@sebastianphineas1593
@sebastianphineas1593 8 ай бұрын
Rudini kweny speech ya karia
@msabahaali758
@msabahaali758 8 ай бұрын
haji tunakukubali sana tunakumis sana bugatti
@KhasondeJnr
@KhasondeJnr 8 ай бұрын
Yaan Hapo Badoo Mmmh.
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 8 ай бұрын
Zeee uo.sijui toa wapi nguvu mamaee ww 😂😂😂😂
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 8 ай бұрын
Haji zee la kufila mpaka mavi mamaeee
@musamusa6213
@musamusa6213 8 ай бұрын
Karia ajifunze kwa rais wa yanga yeye cheo chake anaona kawaida tu yeye karia badara ya kudiri na mpila anadiri na wasemaji!!karia bora hata mungu akuchukue utuachie tz yetu mpila utafika mbali
@NasibHasan-eq5pf
@NasibHasan-eq5pf 27 күн бұрын
karia kiazi
@user-gq9if4dx6f
@user-gq9if4dx6f 8 ай бұрын
Siulisema unaacha mpira leo vip
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 26 күн бұрын
We kiboko wananchiiiii tunakupenda
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 8 ай бұрын
Basi karia atuambie Hajii ilikuwaje kuwaje had akatukanwa
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 8 ай бұрын
Nimependa haji alivyongelea mwakinyo huo ndiyo uwanamichezo
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 7 ай бұрын
Karia acha kushughulikia mashabiki wa mpira deal na mpira simamia academy tupate wachezaji wa kitanzania punguza wachezaji wa kigeni ili tupate maendeleo na rank ya fifa ndio inaakisi mpira wa nchi husika na rank ya caf haiakisi mpira wa nchi husika
@athanasvahaye7725
@athanasvahaye7725 8 ай бұрын
Huyu naye,hata simuelewi ki ukweli.
@hamidudigogo5863
@hamidudigogo5863 8 ай бұрын
Wewe Baki huko huko utopoloni
@davidmwambije3713
@davidmwambije3713 8 ай бұрын
Kaka MWAKINYO, niwe mkweli nakupenda! Kaka ni kwamba MWAKINYO alikuwa na wakati mgumu sana kipindi kile cha kiatu, sasa inapotokea mtu kama ww mwenye USHAWISHI ktk society ukasema vile hakika anakuwa demoralized, plz if true ulizungumza vile ktk kuumia kupoteza pambano bac zungumzeni private! Ahsante.
@Kanyawela
@Kanyawela 8 ай бұрын
Uyu karia alimtafuta sana Ajii na Ajii akaingia 18 zake
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 8 ай бұрын
😂😂😂Huo ni uongo bhana
@rogersiddy
@rogersiddy 8 ай бұрын
😂😂hapo sasa yeye ndo alisema kamati ya maadili ndo imemfungia sio yeye imekuaje kifungo chako alichodai ulifungwa miaka 7 amekufungulia yeye?vp kamati ilimpa luksa yakukufungulia?yaan muongoooo aliongea uongo adi anajistukia 😂😂😂😂
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 8 ай бұрын
Karia ananafasi ya kukutetea shida kujiona unajua siyo kweli
@msabahaali758
@msabahaali758 2 ай бұрын
bugati tunakumis sana kwenye football
@MeckMsea-cx1ct
@MeckMsea-cx1ct 16 күн бұрын
Ww una mdomo sasa kujisifia v
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 Ай бұрын
Hivi ww na wengine nani mtatata manara ,ww n mtata sana watu wangapi umegombana nao??
@robertedward1992
@robertedward1992 8 ай бұрын
Wewe kichaaa,kwani mpira unasema?
@elinihakimsuya1673
@elinihakimsuya1673 8 ай бұрын
Ingekuwa mimi ningekufungia maisha
@user-lo9pb1po8l
@user-lo9pb1po8l 8 ай бұрын
Ungekuwa ww au sio
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 8 ай бұрын
Wasenge pekee ndio wenye roho mbaya
@jumaseif2452
@jumaseif2452 8 ай бұрын
​@@AjiaMohamed-rt5pb NA SIO TU WASENGE HUYO JAMAA ATAKUWA ANATABIA ZA KIKE
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 8 ай бұрын
Hapungukiwi na kitu hata afungiwe maisha,ana madili kibao hategemei usemaji wa timu.
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 8 ай бұрын
Mimi Ningekuwa Daima.
@robertedward1992
@robertedward1992 8 ай бұрын
Inatakiwa ufungiwe maisha
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 8 ай бұрын
Akifungiwa maisha wewe utapata nini? Utarithi mali zake?au roho mbaya na chuki binafsi?kama CV za uandishi wa habari peleka maombi akuajri kwenye media take achana na gubu
@mr.lawimagupa3914
@mr.lawimagupa3914 8 ай бұрын
Kanajikuta kamalaika hako😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@studio..07
@studio..07 8 ай бұрын
Mnaomsikiliza nanyinyi Ni mapimbi tu
@suleimanjuma1872
@suleimanjuma1872 8 ай бұрын
Ebugatiiiiiii
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 8 ай бұрын
Hakuna MTU mshezi na mwongo kama yy wake zake tu Kila siku wanamshinda
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 8 ай бұрын
😂😂 haji jeuri eti machi zetu za kimpataepatae nishazuiwa
@DottoWence
@DottoWence 2 ай бұрын
Yeeeeeees....Wakati fulani kulitokea utata kati ya Serikali ya Amerika(USA) na Italia,kulitokea ajali ya anga, Pilot wa Jet Fighter wa USA alisababisha ajali na kusababisha vifo.Baada ya mizozo ya muda mrefu... SERIKALI ya USA iliiomba radhi Serikali ya Italia..Na USA ilitamka kuwa kuzozana sana huenda kukazalisha hatari na hasara za binadamu wasio na hatia
@Endujoji
@Endujoji 2 ай бұрын
Wanakuonea mafisadi
@user-sc7ip6kg9v
@user-sc7ip6kg9v 8 ай бұрын
Mbona silewi hawa tangulini na mpira mpaka juma mkundu naye anadisikasi mpira wewe haji manara kuma kibuyu hujuwi mpira
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 ай бұрын
Huyu Babu anejiona kaka si atulie
@maulidi8479
@maulidi8479 8 ай бұрын
Wewe si unakipaji cha kunyonya mzee Buggati 😅😅😅😅😅
@GodfreyMagagi-yh2fr
@GodfreyMagagi-yh2fr 8 ай бұрын
Mara naaacha mpra Mara siachi mpra
@songombingo108
@songombingo108 8 ай бұрын
Yana mwisho. Utakuwa HURU tu Bugaaa
@maikosamila7187
@maikosamila7187 8 ай бұрын
Madaraka Yana mwisho
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 8 ай бұрын
Karia kasema Manara mpaka leo hajatimiza masharti,kwa hiyo subiri tu, tafuta kazi nyingine, uingie usanii au kupiga muziki.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 8 ай бұрын
BUGHATI 😢😢😢😢
@jimmydizonga1335
@jimmydizonga1335 8 ай бұрын
Ukimsikiliza vzr uyu jamaa bila kuweka ushabiki wa usimba na uyanga utagundua Kuna siku atasema bila yy simba na yanga zisinge piga atua. Natujipe muda kidogo atakuja kusema bila yy yanga isingechukua ubingwa tuombeane uzima tu.
@ChiwalangaWilliam
@ChiwalangaWilliam Ай бұрын
Haji jiandae kuwatangaza wachezaji bot.
@victornyese9009
@victornyese9009 2 ай бұрын
Hilo nilisomali lakini mungu yupo haukua na kosa lolote shida ulivoondoka simba aliogopa vijembe vyoko na nihisi ungekuepo kwenye nafasi yako ungeua bila kukusudia lingekufa presha
@simoncmatanda5135
@simoncmatanda5135 8 ай бұрын
Acha uongo we jamaaa watu wamekuchoka
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 8 ай бұрын
Hatujamchoka tunampenda hayo mambo ya mpira uhamasishaji hajafikiwa adhabu itaisha na viongozi wetu Yanga watampatia hukumu atumike
@osumsafi2095
@osumsafi2095 8 ай бұрын
Bugati wewe una kosa sawa karia yuko nachuki zake tu!
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 8 ай бұрын
Ujanja mwingi mbele giza
@alijumaabdallah6313
@alijumaabdallah6313 8 ай бұрын
nenda ww
@ganzos-the-don6567
@ganzos-the-don6567 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mariamomari-cl6jc
@mariamomari-cl6jc 16 күн бұрын
manara nchi yetu hovyo hovyot
@mariamomari-cl6jc
@mariamomari-cl6jc 16 күн бұрын
mbona sasahv watu wanakula feza zauma mbona hawafkuzw wapot makazni
@mariamomari-cl6jc
@mariamomari-cl6jc 16 күн бұрын
nchi hi manara idara nyingi siasat
@jumamiraji3081
@jumamiraji3081 8 ай бұрын
Ww mdau uliepiga kelele nae fala
@charlesjoseph1081
@charlesjoseph1081 8 ай бұрын
Haji ni senge hafai kwenye mpira wa Tz rudi kwenu Burundi au karemi kwenye asili yenu matako weye
@owenmutale8686
@owenmutale8686 8 ай бұрын
Na ww rudi kwenu sudan kusini shoga mzoefu
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 8 ай бұрын
sio hafai munamuogopa tu
@yohanamabula7088
@yohanamabula7088 8 ай бұрын
Acha marnara we nani unajua wandishi wanakuvimbisha kichwa na kutaka kurudisha soka nyuma nani alikuwa kipendwa kama rais nyerere
@adorchmassimba4413
@adorchmassimba4413 8 ай бұрын
Manara unaonekana unachuki binafsi na kalia sio bule ufanye makosa ya makusudi kupewa adhabu kosa nakuanza kumshambulia kalia nakuona kama anakuonea elewa hao unaojivunia nakukupa kibuli kwasababu wanamamlaka makubwa ktk nchi ipo siku watatoweka watakuja wengine ambao hawamjuwi yusufu nasimba na yanga itakua palepale
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 8 ай бұрын
Haji ni tunu ya taifa kwenye masuala ya mpira. Amesababisha timu ya Taifa kufuatiliwa na watanzania wengi. Huwezi kumfungia mtu kupata maslahi yake ni sawa na kumwambia afe. Kama maraisi wa nchi wanatukanwa, iwe raisi wa TFF ambaye analipwa na kodi ya wananchi? Kwani TFF inazalisha nini? Je inaendeleza vipaji?
@nathankihiyo6194
@nathankihiyo6194 8 ай бұрын
Embu tupe mfano wa Rais wa chsma cha mpira ambae alitukanwa na kiongozi wa timu flan bila kuchukuliwa hatua. Sheria za mpira zinatakiwa zifutwe na kila kiongozi haijalish una umaarufu kias gani bali ni Sheria inayomtafuna kiongozi yeyote yule atakaeenda kinyume.
@user-mp4ct5iw1i
@user-mp4ct5iw1i Ай бұрын
Karb san chuma
@omarymwigula9826
@omarymwigula9826 8 ай бұрын
Muongo huyu tokea afungiwe mpira wa tanzania umepaa Sana kuanzia vilabu hadi timu za taifa
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 2 ай бұрын
Karia hafai kuwa Rais wa Tff sura yake inaonyesha ni mtu wa kisasi tu, Hovyo kabisa
@raymondmtecko9197
@raymondmtecko9197 8 ай бұрын
Bugaaa
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 8 ай бұрын
Ujuaji wako wewe bwege unajikuta mjuaji sana mtoto wa mjini Acha ujuaji Fala wewe kuwafanya wengne hawajielewi umeifanyia nini Tanzania katika mafanikio ya mpira Acha kujimwambafai
@KarokiaNdirango-lj3wf
@KarokiaNdirango-lj3wf 6 ай бұрын
Mpaka hapo huna kosa wewe haji mwenyeshida ni karia, kama vipi asepe
@IddiRajabu-m4m
@IddiRajabu-m4m 29 күн бұрын
Aji ludi Simba tume kumisi
@user-nn5sq8ol4g
@user-nn5sq8ol4g 8 ай бұрын
Bugatt
@ekimnkande2873
@ekimnkande2873 8 ай бұрын
Tff siyo karia wewe unaendelea kufanya makosa sasa wanakuachaje
@eliamwaisoba6537
@eliamwaisoba6537 8 ай бұрын
Shida poropaganda nyingi
@RaymondMshote-yd2os
@RaymondMshote-yd2os 8 ай бұрын
Labda tu niseme waandishi pia mnacgangia mpira kuifnya kama taarabu
@user-nm5tp6kw1v
@user-nm5tp6kw1v 8 ай бұрын
wewe ni mnafiki2 huna lolote, karia hajasema kama yeye ndo kakufungulia ila yeye alisema watu wanasema kwamba yeye ndo kakufungulia,
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 8 ай бұрын
Huyo karia mpumbavu sana simkubali ana jikuta yeye Mungu
@joojombi2341
@joojombi2341 8 ай бұрын
Karia ni mtu wa chuki binafsi hizo na fatani mkubwa mbali ya muongo mkubwa huyo. Ni fatani mkubwa sana huyo
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 8 ай бұрын
Mimi SIMBA lakini uyu jamaa namkubali mnoo
@alimohd5307
@alimohd5307 8 ай бұрын
Wakati wako umepita wewe pimbi subiri utangaze magodoro ya G S M
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 8 ай бұрын
Basi na tufanye kwamba ni kweli Haji manara kamtukana karia,je karia alimfanya nn haji manara hadi akamtukana???? Tuanzie hapo
@Whitegold7555
@Whitegold7555 8 ай бұрын
@hassanmwakinyo
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,8 МЛН
DUDU BAYA AMVAA Mch.PETER MSIGWA KAULI YAKE KWA MBOWE
12:41
BONGO 24 NEWS
Рет қаралды 19 М.
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН