Kifungo cha Manara Kuisha ni Ngumu | Vita ya Karia na Manara Yafikia Pabaya
Пікірлер: 485
@user-ch2it3qt5z8 ай бұрын
😂😂😂 bongo wivu Sana et alifungiwa miaka 7 ila bongo Rahaa Sana ila karia una roho mbya Sana tena ya chuki za wazi😂😂 lkn tutaishi tu
@Zainab-sq1tc8 ай бұрын
Yaaan waz kabsa
@personpeter22218 ай бұрын
Fungien miaka Mia bt hamwez fungia liziki yake
@Kanyawela8 ай бұрын
Chuki za karia ni mbaya sana maana uyo kwa kuwa ni Simba na kupigwa kwenye timu yake ya mang
@drmohammed-di4nt8 ай бұрын
kweli kabisa
@mudrickbarton89118 ай бұрын
Kwaiyo mtu mwenye mchango hatakiwi kuadhibiwa
@is-hakayussuf99818 ай бұрын
Mo nimemuelewa vizuri karia hujamaa kichwa sana asee
@beatricetenywa43678 ай бұрын
Haji ni zee la kukera na ni kama maji usipokunywa utaoga😂😂😂😂
@edwinrwabinyas73358 ай бұрын
Ili jamaa ni linafiki sana, Mzee icho ni cheo tu, kumbuka kuna maisha baada cheo hicho
@athumanfuko1998 ай бұрын
Wewe tulia unadhani Karia anaamua yeye peke yake.
@athumanfuko1998 ай бұрын
Taratibu lazima zifuatwe Haji bado hajaanza kutumikia adhabu.
@dennissix87328 ай бұрын
Nukuu kauli, "Hata nilivyomfungia" Ina maana TFF sio taasisi tena na hata hayo maamuzi ya kamati ya nidhamu ni maelekezo toka kwa Karia..
@jumakassim87188 ай бұрын
Swadakta
@mahmoudukusso44887 ай бұрын
Nanukuu Kamati yangu
@user-fe2zi9py1j8 ай бұрын
Haji haelewekiiiiiiiiiii full.
@julianajeremiah435318 күн бұрын
😂😂😂 Tena msimfungulue jeuli sana Bado anaongea tu Wala hajafungiwa huyo
@user-wk2bg8zf3l8 ай бұрын
safisana shabiki Wetu karia,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤, muongezi miaka mingine
@kisinza60778 ай бұрын
Laana itaendelea kuwasaga mtafukuzana hadi mashabiki,🤣🤣🤣🤣🤣
@kisinza60778 ай бұрын
Laana itaendelea kuwasaga mtafukuzana hadi mashabiki,🤣🤣🤣🤣🤣
@ahz69078 ай бұрын
Apigwe mitano tena😂
@MohamedKongoroka2 ай бұрын
Karia we ni mnafiki tu na unachuki na manara acha roho mbaya kwa kiuwezo wa kipesa humfikiii embu acha ubaya na manara Mungu atakuhumu vby sana we subiri tu
@awadhally105229 күн бұрын
Kweli kabisa lina roho mbaya sanaa hilo jamaaaa. au lina asili ya Somalia nini.
@OS-pf6op8 ай бұрын
Huyu awe voted out!
@RithaaDotto-xg9sr8 ай бұрын
Chukii binafsi hizo bnaa!! Rais! Karia
@user-sm3zb3ee1t8 ай бұрын
He couldn’t hide it anymore The hate he showed kama vile hatakufa yani
@ttss77168 ай бұрын
Sasa asishabikie yanga una roho mbaya😢
@jumakassim87188 ай бұрын
Hata nashangaa ana chuki binafsi tu
@kisinza60778 ай бұрын
Niambie profesa aliyefanya makubwa kwenye Nchi hii na yumo ndani Kwa kifungo! Na usimtaje Mungu Karia wewe ni mnafiki tu! Na Mungu atakunyoosha sana na timu lako bovu.
@mbwizax878 ай бұрын
Lipumba kashafungwa sana, was always in and out of prison
@DM_158 ай бұрын
Watu wana muoneahuruma manaratuu lkni yulekiroporopo mbona akina maiko wambura, kitumbo, rais aliemtangulia karia nawengine wengi akiwemo kiongozi wayanga manji na imani Madagascar wakowapi sasa why manara kwani ni mungu wampira watz. Itabidi tusime albadiri sasa ili huyo manara afe ksbisa , kwasababu yeye ndio chsnzo chahuu ushabiki wakutamkiana maneno yqhovyo . Zamani hatukuwa nautani wakuitana makoro sijui gongowazi utopolo. Yeye ndootqtizo kutoleanalugha zahovyo
@contempo_builders8 ай бұрын
@@mbwizax87 Kafanya nini kwenye nchi?
@joycekaishozi11778 ай бұрын
"hata nilipomfungia pia dk 0:12"😂😅
@ismailmasoud60018 ай бұрын
Doh, tatizo la karia ana hasira sana, ukimuhoji ni mwepesi kupanic...kiongozi hapaswi kuwa hivyo....Kwani mtu akifungiwa usemaji hawezi kuwa mshabiki au kutoa maoni mitandaoni kama mshabiki..!
@benayasamson12708 ай бұрын
Haji mtu wa watu wew ngoj tyu utoke kweny hicho kiti
@festovenas5028 ай бұрын
Mtu wako au 😅😅
@charlesayubu64498 ай бұрын
Ata ukimskikiza unaona anachuki pinafsi mpaka mtangazaji amekuelewa kuwa haj unasema hana akili ila mwenye kujisifia huwa kila siku ndo mjinga. Na hayo yote subiri mtayapata akisha toka madarakani kwa sababu hao hao wasaidizi wake anataja ndo wat1tupa ukweli.
@rogersiddy8 ай бұрын
Sanaaaa anachuki sana mpumbavu huyu
@mangiclaus8 ай бұрын
huyu jamaa tatizo anashindwa kuficha chuki zake akiulizwa kuhusu haji
@MuuYascohy-oc7os8 ай бұрын
Jamal Malinzi nae alikuwa anachuki na Haji ?? alimfungia miaka 7 nae vile vile alikuwa anachuki ?? acheni ushabiki wenu wa kisenge km mnawatetea waliofungiwa wateteeni wote Kitumbo,wambura,shaffih dauda n.k siyo mnaleta vicoment vyenu vya kichoko choko apa
@athumanfuko1998 ай бұрын
Watanzania hizi issue zenu za kupindisha sheria kutokana na umaarufu wa mtu ndio maana hamuendelei tuwe straight.Karia anauliza swali nzuri why Haji kwann wasiwe hao wengine wanahabari mnacheka kwa dharau mnashindwa kujenga hoja.wanahabari ndo mnaharibu sana soka letu.
@awadhally105229 күн бұрын
Choko sanaa huyuu
@awadhally105229 күн бұрын
Lina chuki sanaa hilo chuki
@eliyamichael73108 ай бұрын
Hili jinga sana
@yustochitema-iq8zo8 ай бұрын
Pole sana ndugu yangu Haji Manara...kwa hiki kinachoonekana hapa na maelezo ya Rais wa tff endelea tu na majukumu mengine riziki popote bro.
@user-od5mj4rw7n8 ай бұрын
Raisi wa TFF wakati hata hujui kupiga danadana toka waachie kazi watu wa mpira
@cracemwenda28 күн бұрын
Ww kalia unaroho mbaya haijifichi ila tambua Dunia ni duara
@cloudngoko.26798 ай бұрын
Safi kalia Nidhamu iwepo
@khadijahussein52988 ай бұрын
Safi sana karia👍
@masoudmtonda52918 ай бұрын
Zile media zilizoendelea huwa zinaweka waandishi mahususi kwenye mahojiano mahususi kama haya. Huyu ni rais shirikisho letu inakuaje mnamuweka mwandishi ambae hajui hata sheria za mpira au TFF? Hata kama mnataka kufanya utetezi kwa mtu fulani sio sawa hata kidogo kuleta mabishano kama mko kijiweni bana. Ndio karia anawezakuwa anakosea ila kwa namna mahojiano mlivyoyafanya hakika mmeniangusha sana. Yawezakuwa mnatumika ila tumikeni kwa kutumia maarifa. Clouds nikubwa sana msifanye tuamini mmefika mwisho wa ubunifu
@albertmullah23778 ай бұрын
Mumfundishe kazi huyo dada, hajielewi
@immortaljoe8 ай бұрын
Hana lolote huyo kaamua kumkalisha kimya manara tuu maana hakupenda atoke simba 😂😂😂
@awadhally105229 күн бұрын
Choko hili lina chuki sanaaa
@user-pi9kp7mj1m8 ай бұрын
Karia mnafiki sana
@KatemboSaid-jp3zs8 ай бұрын
Hili jitu bana
@Aidansimwanza8 ай бұрын
Safi kaliaa umepigajee hapooo
@RabsonSalmon-ys7bf28 күн бұрын
Ww kalia nakuita mala3: unacho kifanya Siyo mpaka Kwa mungu akimpendezi" Afu kwanza we kalia wajikuta nani kabisa ww
@user-ie2sr4fi4k8 ай бұрын
Kalia mjinga ti
@faisaloaljabry64008 ай бұрын
Kazi nzuri zipi? Matusi !!
@nashonmwinuka17588 ай бұрын
Watu wanaroho mbaya sana
@rasvegas89918 ай бұрын
Huyu dada anaongea kitu hjuh
@ferezaisaack98368 ай бұрын
Huyu mzee anaonekana anaroho mbaya sanaaa
@MrTop-wj7no8 ай бұрын
Balaa
@samweljoseph14548 ай бұрын
Mnamuona haji anahaki sio
@user-wi5wj2yh5m7 ай бұрын
Huyu nikiongozi asie jua mpira na mungu ata mhukumu anawafungia sana watu kujihusisha na mpira kama eye ndie aliye wafanya waupende mpira mungu anakuona
@AgustinoJoseph-jq7or8 ай бұрын
Unarohoo mbayaa kmaa sura yakoo
@user-fh7gu7eb2dАй бұрын
huna dini ungemsamehe mungu anakuona,na una mkono mtahukumiwa kwa mungu ,unamtaja mungu unachuki na watu huna pepo hapo
@khadijahussein52988 ай бұрын
Kweni uyo mtu anamaajabu gn mpaka mnang ang ania mchezaji au kocha😂😂😂
@emmanuelnkwabi86108 ай бұрын
Acha ushabiki ww mdada kuna taratibu na sheria ikishakuwa taratibu kuna miongozo acha mazoea ya kishabiki
@Swaumu-b2mАй бұрын
Mbwa uyo rais
@mansooralaisri52008 ай бұрын
Manara alikuwa anamkera sana Karia kwa kuisema Simba na Coastal Union. Hawezi akamfungulia kabisa ni zaidi ya Adui
@ananiamwatebela31598 ай бұрын
Huyu mbwa hataki kuambiwa ukwel
@salimmalaka2568 ай бұрын
MANARA FEDHULI
@timetravellor53678 ай бұрын
Huyu anajiona Mungu mtu
@shadyahamad37248 ай бұрын
Hakuna lisilo na mwisho walokuepo wangapi na leo wako wapi ha hilo litapita
@SalimAbdallah-tg1yo8 ай бұрын
Nikulize swali tu karia anaingia madarakan akakuta haji kafungiwa miaka 7 akawambia kamati huyu haji anarufaa yake mbona amuiskilizi kuskizwa haji katoka baada ya hapo kasahau ubinadamu enda mfokea rais wa tff mbele ya adhara mbele ya waheshimiwa wabunge wakuu wa mikoa nk bado mwasema kaonewa na upande wa kutumikia adhabu kweli haji hatumikii adhabu mpaka leo anajiusisha na yanga hakuna mtu asojua kwaio akitaka adhabu ishe akalipe faini anze kutumikia adhabu
@sonicaghendewa98868 ай бұрын
,lijinga
@mamboshepea88888 ай бұрын
Miaka 2 ndo ishakwisha...tafuta jingine rahisi😂😂😂
@SalimAbdallah-tg1yo8 ай бұрын
@@mamboshepea8888 hujamuelewa rais haji hajatumikia hukumu yake bado
@waziriwaziri1152 ай бұрын
Huyo dada anakela sana yeye anasema hajui Nini Sasa unauliuliza kaa kimya
@georgewarioba97698 ай бұрын
Huyu hakuna anachokifanya katika mpira wetu na anachokiangalia ni uchaguzi ujao na kupiga pesa! Na kwa majibu hayo anaonekana ana chuki binafsi huyo.
@robertphilip3858 ай бұрын
Agombei Tena katiba ya tff hairusu labda abadilishe katiba
@festovenas5028 ай бұрын
Kwan manara kaadhir nini kwenye mpila kisa kukaa kimya
@cadiaonesmo96608 ай бұрын
Fanya wewe
@emillwakatare71928 ай бұрын
Mavazi tu ya raisi napata majibu.. #freehajimanara#kwataifalijalo
@user-lt1bi5nr1x8 ай бұрын
Unataka avae kanga
@emillwakatare71928 ай бұрын
@@user-lt1bi5nr1x kwani kanga ndio nini ? Kumbe mko wengi
@abujumanne7570Ай бұрын
Ukweli mtupu haji ni choko sana..wandishi nae wanafki sana
@FATUMABACARCADANGE16 күн бұрын
kwaiyo.unamfungulia au umfungulii acha kujikombakomba ww kenge
@ThomasJulius-rj8rq2 ай бұрын
Fara wew karia
@ahmadally555426 күн бұрын
Hawa yanga niwajinga sana mbona hawa wengine walio fungiwa hawawatetei kwan uyo manara ninani katika inchihii
@petrochikawe17978 ай бұрын
Karia kichwa kibovu
@oyay28218 ай бұрын
Haji hawamuwezi, sasa ndio ana nawiri zaidi.
@michaeljohn90708 ай бұрын
kamati hiyo ilikuwa yakipuuzi sana,,kwamaana tuliona wote mkitoleana maneno,na ata kutaka kupigana,sasa iweje akaliwe kikao mtu mmoja,,ata ww ulikosa heshima na adabu kama raisi huwezi taka pigana na mtu unae muongoza,,nawe ulipaswa uadabishwe na kamati ya maadili,ikiwa ni pamoja na kuachia kiti cha uraisi wa TFF
@bonifacemwakifwamba17608 ай бұрын
Mpumbavu huyu Hana akili na Na rais mama Samia haoni uonevu huu ,,,msomali mmoja kakimbia vita kwao anakuja kinyanyasa watanzani kwenye ardhi Yao huu niupuuzi
@salimmalaka2568 ай бұрын
@@bonifacemwakifwamba1760HATA MJALUWO OBAMA AMERICA SIO KWAO NA KAWA RAISI WACHA UKABILA NA UBAGUZI WASOMALI NI WA AFRICA WENZETU WEWE.
@michaeljohn90708 ай бұрын
@@bonifacemwakifwamba1760 ndomana ni mbinafsi sanaa,,hana asili ya kwetu kumbe
@EmanuelMzulla28 күн бұрын
Ukweli haufichiki maneno yanatafsiri uhalisia mwenye upeo mkubwa wakufikiri anaelewa 😂😂
@user-xn1en3jo1m8 ай бұрын
We mama embu kausha kama haujui chochote et me naogpa kusema chochote why unaulza maswali 😂😂😂
@ismailchibonda50058 ай бұрын
Hili zee bwege sana
@FredymaswiMwita-oj6gv8 ай бұрын
U as a Muslim u have to forgive,,cheo ni Cha mda tu,,acha chuki binafsi na watu wa mpira
@enockbange778 ай бұрын
Kwan yey kakosea nin
@maendeleoleo25948 ай бұрын
Wambura kafungiws maisha katulia kwanini Haji manara😅😅
@nasramohd99248 ай бұрын
Ipo siku utajibu hoja kw mungu kama aliomba razi kw nini mshindwe kumsamehe wew unajifanya mungu mtu ila kuna kifo shehe wangu tubu zambi zako kazi nisehem ya mtihni uo ni mtihn kwko
Mh kwel elimu muhimu, ukiomba msamaha kutokan na kosa kisheria ndo unaachwa huru duh 🙌🙌🙌
@nicksonkinyaga36388 ай бұрын
kària hii nchii sio yako kumbuka hilooo
@ommybrain96078 ай бұрын
Zingatia sheria
@MultiKelvin19948 ай бұрын
Ulimsaidia alivyokuwa kolo mwenzio... Kahamia kwa mabingwa umeonesha rangi zako za kweli.... 😂😂😂
@yusuphmkenza30198 ай бұрын
huyu mzee n simba bila kujificha ndo maana alimsamehe manara alivyokuwa kwa makolo lakini manara alivyoingia yanga tu ndo anajifanya mkavu
@SoudiAsila2 ай бұрын
😂😂 anaongea Kam ni mshabik na sio Kam msemaj wayanga ni Ally kamwe huna sababu roho Mbaya t ww
@victorphilipo19 күн бұрын
Acha roho mbaya ungekuwa wewe uwe unajiuliza kwa Nini usijibu acha ushamba haji yuko juuu kuliko wewe huna rorote
@mbakijonas56478 ай бұрын
Kama mlimkuta na hatia basi nyie gongeni tu nyungo msisikilize maneno, ila na nyie kama mnamunea bila kosa basi mjue mnakosea sana😂😂😂😂😂
@erastocyprian35558 ай бұрын
Huyo ana visasi vya kisomari,
@SoudiAsila2 ай бұрын
Roho Mbaya t ww km Mwazo ulisem ww ndio ulienda muombea mbon hili umeshundw ww una kiroho na manara
@bakarirajabu37838 ай бұрын
Huyu karia ni chizi tu anachuki za kitusi ipo siku
@mbokanitaribo510614 күн бұрын
Wewe ndo sababu umbwa wewe mnyamurenge😂😂😂😂😂
@muzneali47478 ай бұрын
Huyu anachuki na Haji si kweli kabisa
@anithqpaul392327 күн бұрын
Wewe Kama nibinadamu na unautu kwanini usimsamee kwani kumfungia unarahagani
@selemanisalum76852 ай бұрын
Viongozi wa serikali wanamjuwa huyo wanasubili kipindi cha uchaguzi ndio bay bay huyo msomali hatumtaki anachuki za sio za kitanzania wenyewe tunasameheana
@mussamtupa8 ай бұрын
Jamaa ana roho mbaya kama ngozi ya Futi Kama anapewa Uraisi wa Nchi Wapinzani wote ndani. Maana hakuna mtu anasemwa vibaya kama Raisi wa nchi. Siku azigandi atakuja kujua baadae thulma haidumu.
@mussamohd441415 күн бұрын
Huyu jamaa anyonesha wazi kama anachuki na haji hafai kuwaraisi lbdaraisi wakuku
@eisryhamad56628 ай бұрын
Huyo dada mtangazaji hata hajielewi maskini, hajui anauliza kitu gani...
@kilianmeja42778 ай бұрын
Amengiza ushabiki
@user-td4ed9zk4h8 ай бұрын
Tupatupaa umeniangushaa umekaa kama unafundishwa halifuu
@ramadhanbigirimana26178 ай бұрын
Huyo Karia anaroho mbaya, mumchunguze labda sio mtanzania halisi labda nimugeni roho mbaya sana nachuki kwa Manara
@BensonMpomo27 күн бұрын
uyu mzee ni bunju yani anaushabiki tena wazi kabisa
@aboubakarymsati70808 ай бұрын
Yanga ni Taasisi mbona mmemuacha Rais wa nchi kaingilia suala la Feisal na nyie mmekaa kimya.
@salimmalaka2568 ай бұрын
KILA MMOJA ANAONGELEA TASISI YAKE KWANI NYIE HAMNA MIDOMO MPAKA MUSEMEWE???
@user-br7dv8xn5c21 күн бұрын
Kwakuwa wewe ndiyo mwenyekiti ugomfi ni wako na yeye haki basi msamehe
@muhamedjaffar56538 ай бұрын
Kulalamika ndo nn umetumwa na haji.unatetea haji haji.umepewa mfano wengine wamefungiwa maisha lakin bado uelewi
@bonabonala55598 ай бұрын
mnaona kua huyo ni dictetar wa kisomali anapambana na mtz haji manara
@drmohammed-di4nt8 ай бұрын
Acha roho mbaya
@SurprisedCherryPie-xp3fi2 ай бұрын
Tunaiomba serekali ya tanzania iangalie haya anayofanyiwa Haji Manara. Hakika mama Samiya uliweza kulimaliza suala la Feisali la Haji Manara linakushinda?
@JamiliJumaАй бұрын
Bado hata hapo bado ww unaonyeshaubabe hata kwa waandishi
@samwelgeho26028 ай бұрын
Kwa hiyo kamati ya maadili na hayo magoli ya mchongo je hiyo kamati ipo?
@Kulindwa6 ай бұрын
Chuki ipo wazi kabisa dhidi ya Haji...
@waziriwaziri1152 ай бұрын
Hukumu ya haji haijaanza kabisa siku yoyote akinyamaza ndiyo inaanza kutumika miaka miwili
@user-nf3dc9fb6v8 ай бұрын
Chiziwewe kalie
@SaidSalim-bg1hh8 ай бұрын
Ww pia humuogop ww mnafiki tu kwenye socere let
@Heismasai8 ай бұрын
Huyu Dada ajielewi!!
@kingungeii65208 ай бұрын
Sijamfurahia kabisa hajielewi kabisa kakosa kujua mipaka ya kazi yake, yeye anatetea kitu asicho kijua hapo kaniacha hoi
@Heismasai8 ай бұрын
Miyemko ya kike inamtesa 😅😅
@chosen1.8 ай бұрын
We huoni Raisi ana matatizo ya ki akili?
@kingungeii65208 ай бұрын
@@chosen1.Tusaidie kujua dalili alizo onesha kuwa ana matatizo ya akili, kumbuka Manara hajawaji hata siku moja kuwa mtiifu kwenye mamlaka yoyote. Rejea ugomvi wake na EX-CEO wa Simba Sports Club
@jkasindi8 ай бұрын
ila huyu jamaa jeuri sana aisee dah
@rasvegas89918 ай бұрын
Nidham nimhmu kwa kazi
@jumakibasame32108 ай бұрын
Wewe unaifanya tff ni Mali yako.ngao ya ufunguzi umefanya timu 4 Sheria hiyo umeipanga wewe ili matakwa yako.hukai milele hapo.