Рет қаралды 377
Utekelezaji wa program ya MMMAM unaendelea mkoani Iringa, changamoto zilizoibliwa katika utekelezaji ni pamoja na hii ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Watoto hawa wako sita, wanaoishi kwa kumtegema bibi yao anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 77, wanaishi katika nyumba hii ambayo iko hatarini kubomoka, wote sita wanalala hapa chini pamoja kwa sasa bibi analala nje amekimbia chumba cheke ambacho kimepasuka kwa ufa mkubwa, kwanza nazungumza na kijana wake.
Je nini kinamkwamisha kufanya jitihada za ziada kukwamua mama yake?
matatizo ya mkono
Anapata wapi fedha ya chakula na matibabu kw watoto?
Je hawa watoto wmeandikishwa TASAF?
Kwa mujibu wa afisa ustawi wa jamii Halmashuari ya Wilaya Iringa, watoto wanaoishi mazingira hatarishi ni zaidi ya 6000
Mwisho mkutano wa dharula unaitishwa hapa kwa kushirikiana na uongozi wa vitongozi kitongoji.
UNAWEZA KUCHANGIA WATOTO HAWA KUPITIA OFISI YA USTAWI WA JAMII HALMASHAURI YA IRINGA - MAWASILIANO 0763-448986
AU
MAENDELEO YA JAMII MKOA WA IRINGA - MAWASILIANO - 0756 900024
AU
MWALIMU MKUU - 0755 816356