Diwani ni kiungo muhimu cha kuboresha ustawi wa jamii ya eneo lake hasa ukuaji bora wa watoto pale anapoelewa vizuri suala la malezi na ukuaji wa mtoto kitaalam
@raphaelassenga353814 күн бұрын
😂Asante makutano Tv kwa darasa hili muhimu kwa kizazi Cha sasa badae👏👏
@user-ly9us4db3m17 күн бұрын
Mubarikiwe waimbaji hakika mumeimba vizuri sana mubarikiwe
@MwanaidiBrown19 күн бұрын
RCP Program at Global volunteer inafanya kazi kubwa, Kudos kwao. Hongera kwa team Nzima ya MAKUTANO TV nyinyi ni wadau wa muhimu sana kwa Mkoa wa Iringa na Tanzania kiujumla.
@sophiampunga601619 күн бұрын
Hongera sana madam CEO hakika utalipwa usipozimia moyo. Kazi nzuri sana kongole MAKUTANO TV TEAM
@martinhipolitichuwa36619 күн бұрын
Mtoto anapendeza sana. Hongereni sana Team tuendelee kuchapa kazi hii njema ya Mungu hadi tupate watoto bora watakaoweza kufikiri vyema na kubadili kabisa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya taifa hili.
@temmymahondo438719 күн бұрын
Safi kazi nzuri
@MaryamRamadhanRamadhan23 күн бұрын
Nawapataj na mko wap
@user-tu2gy8mr7u29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂funyu lulenga
@FausitnePonera-fq9pjАй бұрын
Jamani naomba mawasilianao
@MakutanoTVАй бұрын
Wazazi na chenji nayo ni story😂😂
@user-ww2jl2nf5gАй бұрын
tatizo ni wazazi sio watoto maana naona hao watoto wanasema wametumwa na wazazi wao madukani wengine kuchukua chenchi malezi bado changamoto.
@galluskanenge48982 ай бұрын
Mnarudi lini 😂😂??! Maana mmesharudi tena
@katusimekafanabo71242 ай бұрын
Hongera madam kwa kuendesha kipindi vizuri
@katusimekafanabo71242 ай бұрын
Hongera sana Catherine, we AWE we love u so much
@aminakashoro94302 ай бұрын
Such an Inspiration lady Catherine and Madam Makutano. Thanks for this interview. AWE is always awesome
@BerryFilmmaker2 ай бұрын
Asante sana ,keep watching 🙏
@jacksonmwankenja2 ай бұрын
Great
@MakutanoTV2 ай бұрын
Thank you for your comment mr jackson
@KaundaIsmail2 ай бұрын
Tunaweza kupata mafunzo tafadhal
@lilianluhasi3112 ай бұрын
Hongera sana
@erastoshirima2 ай бұрын
Nahitaji huduma nawapata je
@dativachuwa35663 ай бұрын
Da hilda nipo arusha jaman shule za watoto wenye usonji imekuwa shida naomba kuiliza dar shule zinapatikana wapi
@antoninaftari60613 ай бұрын
Maa 🫶 one day yes
@PaschalJumanne-pl5zq3 ай бұрын
Jamani utamjuaje akiwa mdogo
@MakutanoTV3 ай бұрын
+255788608087
@user-so2si9dt9u3 ай бұрын
Felino latifa good
@user-so2si9dt9u3 ай бұрын
Nakuona kurwa wa kidato wangu
@user-nd5uf6lw4g4 ай бұрын
Yesu kristo ni Mfalme wa Wafalme.
@MakutanoTV4 ай бұрын
Asante kutazama makutano tv na kwa maoni
@jenny795174 ай бұрын
Hongera sana kipenzi ❤makala nzuri
@dr.sendeuonlinetv29164 ай бұрын
Ushirikina unaongea na waliokufa innalilah wainnailayh Raajiiun😢😢
@hildelitachongolo99595 ай бұрын
Mwanangu amechoma chanjo kwenye mapaja chanjo ya pili lakini baada ya wiki moja nimegundua alipochoma paja moja pamekuwa pagumu Kama Pana kimfupa sijaelewa shida Nini naomba unisaidie
@user-br4tl7jv9j5 ай бұрын
Kijana mzuri nyege za kishoga🙌🙌🙌🙌
@faridagospal89505 ай бұрын
Watoto wanavimba mapaja lkn
@user-ps7gz2es2k5 ай бұрын
Doct samahan shid nn mtot angu anachelew kukaz shingo shid nn
@MakutanoTV5 ай бұрын
+255736887426 mpigie
@user-xe6zf6cg8j5 ай бұрын
Hongereni sana,lkn mkowapi m nipo mwanza usagala mwanangu anachangamoto hiyo nawapataje
@MakutanoTV3 ай бұрын
+255788608087
@user-vb6zb9wh3v5 ай бұрын
Jamani mm nilisoma kyalamo mwaka 84hadi88 jamani nimepakumbuka uringa
@iddaniyonkuru94165 ай бұрын
Tunaomba nambayasim kwakuwezakununuwavikapo
@annanombo58755 ай бұрын
Kazi nzuri, asante Makutano Tav
@yohanamollel15656 ай бұрын
Naomba niulize watoto wenye itilafu wanapopata wafadhili huduma inawafikia kama ilipokusudiwa
@fredrickkiberenge75696 ай бұрын
Habari, Naweza pata mawasiliano ya muhusika wa hili shirika mkuu?
@aggreyjacksonkasalama58746 ай бұрын
Great
@JegaKijijiMwananzengo-cs7nq6 ай бұрын
Nimeelewa sana nilikuwa sina lolote asanteni sana kwa elimu nzuri
@user-hw7fh3cn2x6 ай бұрын
Nitapataje ixo mbegu
@muhidingaliatano27616 ай бұрын
Hongera sana Makutano tv na Ruaha CDTI kwa kuendelea kuboresha maisha ya wananchi wa Manispaa ya Iringa
HONGERENI SANA OFISI YA MKUU WA MKOA WA IRINGA, MONTESSORI, MAKUTANO TV NA WADAU WOTE WA MDAHALO HUU. SUALA LA MALEZI, MAKUZI NA MAADILI YA WATOTO KATIKA JAMII NI LETU SOTE KAMA JAMII. MTOTO ALELEWE KWA MISINGI IMARA NA SAHIHI KUANZIA NGAZI YA FAMILIA MPAKA TAIFA. TIJA YA WATOTO KATIKA TAIFA LETU INATEGEMEA NAMNA AMBAVYO MTOTO AMELELEWA. KATAA UKATILI WEWE NI SHUJAA SMAUJATA MKOA-IRINGA