mungu awbariki kuponya nafsi zawatu kupitia nyimbo hizi❤❤❤❤
@MichaelMagige10 ай бұрын
Jaman wapendwa katika Kristo huu ujumbe ni makini changamka,tulio wengi Sasa hivi tunakimbilia kwa watumishi ambao hawana tofauti na waganga wa kienyeji!!!
@Richardkithome4727 ай бұрын
Waah so creative indeed,kwaza izo quitar
@jehoshaphat50873 жыл бұрын
Hakika ukristo si aina nyingi wa kufanya mtu atakavyo.Jumbe zenye uzito kweli kweli.Mungu awabariki.Nawapenda sana
@user-kk1fe6nh5u7 ай бұрын
Mungu awabariki
@wemazai2767 Жыл бұрын
Amina,Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
@theambrellahproperties11333 жыл бұрын
Naomba kuimba nanyi jameni. Mbona makanisa hawasikii wakaimba nyimbo kama hizi zizungumzazo na roho ya MTU wala si kusisimua mwili....
@majubumkama97684 ай бұрын
Haleluya! MUNGU AWABARIKI SANA
@neemakavugho2375 Жыл бұрын
Hakika nikaskiliza nyimbo hizi najisikia kama niko mbunguni kabsaaa mubarikie zaidi mimi ni m congomani nawapenda sanasana
When they sing,oh my God their songs penetrates through my bones how the sweet melodys.God bless you muungano.
@Mosetigichana3 жыл бұрын
PONGEZI SANA. KAZI NZURI YA UIMBAJI KWA MIAKA MINGI. MIMI NI MKATOLIKI LAKINI NAPENDA NYIMBO ZENU SANA . NILIANZA KUNUNUA KANDA HIZI ZENU NIKIWA KIDATO CHA KWANZA MWAKA WA 1995. YOU HAVE BEEN SUCH ABLESSING TO MANY OF US FOR YEARS. GOD BLESS YOU.
@muunganochristianchoir_Tz3 жыл бұрын
Be blessed
@joshuakeganda49753 жыл бұрын
Karibu nyumbani kaka jiunge nasi
@samuelnyaachi70943 жыл бұрын
My favourite music for 34 years. Always new in my heart!
@muunganochristianchoir_Tz3 жыл бұрын
Amen, God be with u
@enockmomanyi90743 жыл бұрын
@@muunganochristianchoir_Tz my choir ever
@mrmhenipm2 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yenu jamani
@muunganochristianchoir_Tz2 жыл бұрын
+255620399935
@MichaelMagige10 ай бұрын
Absolutely sure,ukristo wa aina nyingi,Yesu akirudi wengine atawakataaa!!!❤
@kingoramichael22333 жыл бұрын
A very descent choir. Please ningetaka kusikia wimbo wa vijana hodali
@nansi1255 Жыл бұрын
AMINA!💕
@mungarothuva6346 Жыл бұрын
All tanzanian christian choirs God bless you
@enockmomanyi90742 жыл бұрын
My ever favoulite choir be blessed muungano
@jesusislordflock17062 жыл бұрын
AMEN AND AMEN
@ntaisanlekuye69743 жыл бұрын
Nabarikiwa mpaka nashindwa hata kulala usiku!!! Hizi ni nyimbo za kufundisha,kuongoza,kuinua,kubariki watu na hata kutukuza,kusifu na kuabudu Jehova mungu!!!!! Hakika,Asante mungu n u guyz God bless u.
@eliasgulinja4422 ай бұрын
mbarikiwe sana tungo zenye ujumbe mzito tafakari!!
@jakee2041 Жыл бұрын
Ameeen. Ameeen. Powerful Sermon items.
@jehoshaphat508711 ай бұрын
Watu huchagua dini leo wakikwepa kuitwa wapagani! Huchagua upande ule ambao yuko huru kufanya atakavyo....ukweli kabisaa
@jakee2041 Жыл бұрын
Ameeen. Ameeen.
@helsychepchirchir89112 жыл бұрын
Amen amen ninabarikiwa sana
@williemwangi10652 жыл бұрын
So inspiring... Zilizopendwa nazipenda mno!!!
@kimemiamuchai Жыл бұрын
like listening to the song it such a blessing to me,can you please send me a written copy to know the words properly
@lambofgodtv81072 жыл бұрын
Amen and Amen 🙏
@jakee20412 жыл бұрын
Amen. Blessings our choir members. Great message.
@jakee20412 жыл бұрын
Ameeen. God be Glorified. keep up.
@kibetrotich59603 жыл бұрын
Ghai Aki nyinyi?nawapenda bure tu,may Elohim blesses you people kwanza huyo mwenye anaitisha nyimbo ya wambieni watu wangu kweli watabaki kuuwa wangu,,,,,,,mnipee you numbers.once again may Messiah blesses you
@muunganochristianchoir_Tz3 жыл бұрын
+255620399935
@augustneniyokindi11283 жыл бұрын
Sifa kwa muumba wambingu nainchi alie waweka Duniani .Nawabalikiwe tena nawewe ulie ziweka hewani tunaomba mwasiliano ili kupata VOL.20 INAITWA, M.V.BUKOBA .NAWIMBOWAKE MVUWA YAMASIKA
@muunganochristianchoir_Tz3 жыл бұрын
+255620399935 tumia hiyo namba ya whatsapp utatupata
@sharlonmobegi87672 жыл бұрын
Amen, may God bless you
@jakee20412 жыл бұрын
Ameeen. Be blessed.
@ngassajuliusmussachallya90343 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa ujumbe mzuri watu wa Mungu
@neemajohn77573 жыл бұрын
Amina
@neemajohn77573 жыл бұрын
Amina sana watu wa Baba
@neemakavugho2375 Жыл бұрын
Nawependa sanana mungu awaongeze siku zenu mubarikiwe na mwenyezi mungu. Amen amen