Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"

  Рет қаралды 313,253

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
Waziri wa Katiba na sheria Prof. Palamagamba Kabudi leo katika makabidhiano ya pesa pamoja na madini ambayo yaliibiwa Tanzania na Kukamatwa Kenya amesema Tanzania na Kenya ni ndugu akabisa hivyo tuendelee kudumisha upendo na mshikamano...
Pia ametoa shukrani kwa Rais wa kenya Uhuru Kenyatta kwa kuamua kurejesha mali za Tanzania , hivyo amefanya maamuzi mazuri na anastahili kuwa mfano wa kuigwa , na amelipa jambo hili uzito mkubwa sana..
Kabudi ametoa rai kwa wananchi wote wa Kenya na Tanzania kutokuwa wahalifu na kuzilinda mali za nchi zote mbili kwa umakini wa hali ya juu..
#MAWAZIRI
kzfaq.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Insta

Пікірлер: 269
@chrismutisya
@chrismutisya 5 жыл бұрын
I am a Kenyan but i tune in to listen to this man. He inspires me to read books. He is a great brain and a blessing to East Africa.
@yusuphboli3416
@yusuphboli3416 5 жыл бұрын
Christopher Mutisya east africa all the way
@paulinamon9087
@paulinamon9087 5 жыл бұрын
Anasemaga mwnyw Kuwa ni wa jalalani . He doesn't know his worth
@edwardgerald8602
@edwardgerald8602 5 жыл бұрын
Christopher Mutisya you are right brother!
@kaniogachief6151
@kaniogachief6151 5 жыл бұрын
Kichwaa hicho
@samueltopoikaoltingidi2926
@samueltopoikaoltingidi2926 4 жыл бұрын
Very intelligent man indeed
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 5 жыл бұрын
Professor Kabudi kongole sana kwa hotuba zako ambazo siku zote hujaa mafundisho na mawaidha ya kisomi na ya kiutu uzima.
@angelinasimchimba705
@angelinasimchimba705 5 жыл бұрын
Moja ya watu ambao ni hazina zetu kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ".....ni huyu professor kabudi,he is very Talented @
@science_fact93
@science_fact93 5 жыл бұрын
More than Talented
@khamisibinamu5323
@khamisibinamu5323 3 жыл бұрын
Ana elimu sana huyu mzee halafu ni mbobezi wa lugha ya kiswahili
@devotawaitara2333
@devotawaitara2333 3 жыл бұрын
More than
@wazirhussein3751
@wazirhussein3751 3 жыл бұрын
Ningependa awe makamu mpya wa Tanzania, he genius
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 5 жыл бұрын
Naomba ukabidhiwe nchi baada ya Magufuli unajua mengi Sana
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 5 жыл бұрын
Absolutely
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
4 months later - Magufuli will take us to 2030. No chance for Kabudi. But really a learned guy. Love him
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Kabudi safi sana..wajukuu zako wana raha sana
@ezm
@ezm 4 жыл бұрын
Kweli Kabisa.
@maryjohn8785
@maryjohn8785 5 жыл бұрын
Haiya nmejua leo hadidhi nzuri kweli 🇰🇪
@abdallahhassan6055
@abdallahhassan6055 5 жыл бұрын
Kwakweli mm huwa naumia sana ninapoona kabudi eti anakosolewa na lema au mbowe kwa uwelewa upi walionao au sugu jamani wasikilize haya mafundisha ya History ndo wajue kama nchi hii inawalimu wanaojua kufundisha lapili wajuwe huyu jamaa kasoma na akina nani na wapi mashaidi wake ni wakenya na ninadhani hawazidi watanzania watano wenye kutowa spich za namna hii tumpongeze jamani prof kabudi mwaaaaaa
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 жыл бұрын
Shida yetu nyingine ni wivu wa kijinga,watu kama hawa ni tunu kwa Nchi za wenzetu,wanaheshimika na kujaliwa sana,lakini kwetu,utakuta mjinga mmoja anaropoka ujinga mtupu na wajinga wenzake wanamsapoti anajiona ni mtu anayejua kitu kumbe hamna lolote.!!
@ambrosemilinga1395
@ambrosemilinga1395 3 жыл бұрын
(99999999999)99999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999999)999999999999999999999999999999999999))9999999999999999999999999999999999)99999)9999999)99999999999999999999999999999999999999999
@deusrobert1343
@deusrobert1343 3 жыл бұрын
@@andreajeremia436 wambie
@devotawaitara2333
@devotawaitara2333 3 жыл бұрын
Ananivutia huyu baba, Yuko vizuri
@munuoisaack418
@munuoisaack418 5 жыл бұрын
Natamani sana Dr Magufuli,,,Prf Kabudi,,,Mh Bashe mjitahidi kusimamia uwezo wenu wa akili ulete matokeo hapa Tz najua huenda tutapitia aina flani ya maisha lakini hata Mwanamke anapojifungua anapatwa na maumivu lakini mwishowe hufurahi nasi tutavumilia lakini matokeo yawepo
@kinigarm8239
@kinigarm8239 5 жыл бұрын
Tanzania is the father of Politics in Africa/Ka.
@kahibiraphael2902
@kahibiraphael2902 5 жыл бұрын
your brain is so smart Prof Kabudi
@jerichoseth4188
@jerichoseth4188 5 жыл бұрын
Duh!huyu mzee yyko vizuri kihistoria anaijua nchi vizuri sana
@petermartin7181
@petermartin7181 5 жыл бұрын
Professor Kabudi thank you for supporting the government of Tanzania. You are well informed and you are a pride of Tanzania. When I listen to people like Zitto Kabwe and Tundu Lissu talking evil about their country, I wonder whose interests they speak for. Professor you are doing a good job for the People of Tanzania and the country, well done and God bless you.
@husseinnkenja8149
@husseinnkenja8149 5 жыл бұрын
Prof. Kabudi wewe ni profesa haswa. Nakupenda sana mkuu najua wapo wanaokubeza na kukuona si kitu lakini hajui hazina kubwa uliyobeba kichwani mwako. Nadhani kwa sasa upo sehemu sahihi kabisa na mkuu wa nchi amekuweka sehemu sahihi ya diplomasia na unaiweza kwa haki. Mkuu Prof. Kabudi endelea hivyo hivyo kama watanzania wa sasa hawaona ubora wako basi wajao wenye akili nyingi watatambua hazina kubwa na watatushangaa sisi ambao tunaishi na wewe na kula na wewe kwa nini hatuthamini hazina hiyo. nampongeza sana rais Magufuli kwa kukuona na kukuteua katika nafasi hiyo.
@allykivike7228
@allykivike7228 5 жыл бұрын
Magufuli anaakili sana hata anapo cheka anamaanisha sikama wengine wanacheka hata msibani.
@prospermakela7791
@prospermakela7791 5 жыл бұрын
Ally Kivike ,upo vizuri mkuu umeliona hilo jamaa anacheka kwa kwa timing
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 жыл бұрын
Wale jamaa,walikuwa wanacheka hata msibani duuh.
@kingj9346
@kingj9346 5 жыл бұрын
I don't get tired to listen to this prof, especially when is talking about history of great lakes region
@msemwawalter837
@msemwawalter837 5 жыл бұрын
Watu wanakula lecture kwa ikulu. Take notes...... Free academic input.
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 жыл бұрын
The comming president after KING MAGUFULI!!!i wish to see you in MAGOGONI in further days even though we know your not politician , and that makes you stronger!🇹🇿!!!i wish you can take even other ministry specifically ministry of internal affairs where we see huge loop holes for a long tym!!!We luv you MAFUFULI💕,we luv you HON KABUDI!!💕
@josephinemitamba3399
@josephinemitamba3399 5 жыл бұрын
Asante sana kwamaneno ya hekima na busara tunacho omba kama wa Afrika nikwamba wale ambao wanajuwa sisi wote ni ndungu wawe wanaelimisha watu mauwaji ubaguzi na matengano vinatokeya wengi wetu hawajuwi undungu wetu kaeni chini mukafunze watoto wetu Afrika tuwe kitu kimoja
@fediruben5009
@fediruben5009 5 жыл бұрын
Duu mh Kabudi nimekukubali unaijua historia vizuri
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Mwana historia huyu ....nimempenda sana kutoka Kenya
@maryjohn8785
@maryjohn8785 5 жыл бұрын
DJ ATM mm pia
@science_fact93
@science_fact93 5 жыл бұрын
This Man has great Gift of leadership I think within few years to come he might be great leader within this country
@evancelawrence1813
@evancelawrence1813 5 жыл бұрын
Big up
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
sijawahi kuchoka hutuba za kabudi na mzee magufuri hakika kinavitu vinainhia ndani yake
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 жыл бұрын
Kabudi safii upo makini sanaaa
@josephharri9015
@josephharri9015 5 жыл бұрын
Ingekuwa awamu zilizopita, hizo zingepigwa na wala Taarifa msingezisikia. Big up to our Lovely President Dr. J.J.P Magufuli.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 жыл бұрын
Joseph Harri yaani usiseme hizo zingepigwa juu kwa juu
@abdulatifmoxamed8047
@abdulatifmoxamed8047 5 жыл бұрын
My next president honestly kama nguvu zitaruhusu akimaliza mchapakazi Magufuli
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 жыл бұрын
exactly!!!
@clementkithinji7091
@clementkithinji7091 5 жыл бұрын
Prof is a gem in EA such history is the minds of very few if any,he has made me feel very proud that we have such brains with eloquence,succinct and unravelled orator, please Prof write book on this, rich history which many citizens of both countries don't have
@athumanomary1171
@athumanomary1171 5 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 5 жыл бұрын
Profesaaa!!! I do appreciate you.
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 жыл бұрын
Prof mwl ni mwalimu usimpe jukwaa hata masaa 3 hachoki ,Ila kwa ukweli wakenya ni ndugu zetu Wa damu kama ambavyo Waganda ,Warundi,Wanyrwanda ,Wakongo ,Wa Malawi na Wazambia ni ndugu Wa damu, na tunamahusuano ya miaka mingi, japo wazungu walizigawa nchi zetu ili watutawale vizuri na kunyonya rasilimali za bara letu LA Africa. Tudumishe udugu huu kwa vitendo na siyo kwa maneno. Tujifunze kusameheana huku tukijadiliana kila tunapoona kasoro . Mungu zibariki Tanzania na Kenya .tuishi kwa Amani ...Amen.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 жыл бұрын
Jumbe Ojaso amen
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 5 жыл бұрын
@@MsAggie5 .AMEEN
@sapduke8691
@sapduke8691 4 жыл бұрын
Wakigawa kwa minaajili sis ndio waiburu.... wahibiraniha (Hebrews in English) It is why we suffered so much with slavery and slave trade... But our people don't know who we are.. Wazungu wameficha siri, but we are the chosen people of the most high! Wake up and stand up against the gentile's (barbarian (beberu)
@williamlumbasia7110
@williamlumbasia7110 4 жыл бұрын
Ameen!
@lennyalega1559
@lennyalega1559 3 жыл бұрын
Umenena ukweli nami nasema Amina. Love from kenya
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 5 жыл бұрын
Watu kama hawa tulikuwa tunawaweka mfukoni wakati wanamadini kiasi hiki.. Mungu akubariki Rais wetu hukoseagi kuteua kabisa.
@alfayokisambu6105
@alfayokisambu6105 4 жыл бұрын
W
@oman7710
@oman7710 4 жыл бұрын
Amiiiin
@Kushpoll
@Kushpoll 4 жыл бұрын
Kenyan's who are here after the BBI report launch chapeni like.
@lennyalega1559
@lennyalega1559 3 жыл бұрын
Remember when he talked of magniloquence?
@nichkakumbi7657
@nichkakumbi7657 5 жыл бұрын
Kabudi uko vzr uncle..
@TheB920
@TheB920 4 жыл бұрын
Watanzania huwa wanashukuru Mungu kwa vile wako na viongozi wema ama huwa wanadhani ni jambo la kawaida? 🤔
@shaffimwakz1413
@shaffimwakz1413 4 жыл бұрын
This is why watu wanasema Mombasa sio Kenya.... Now I understand
@johnjaphet9548
@johnjaphet9548 5 жыл бұрын
HAKI HUINUA TAIFA SAFI SANA
@ntibanahum8113
@ntibanahum8113 5 жыл бұрын
Nampongeza Rais magufuli kwa kutamka hadharani kua Tanzania sio masikini ni nchi Tajiri Sana Asante sana mh Rais. Umetuonyesha kwa vitendo Hawa watu walikua wamefungiwa tu University pale dar. Now I feel proud to be a Tanzania
@jamhuricity
@jamhuricity 4 жыл бұрын
Am a Kenyan and I never tire to listen to professor.. Full of wisdom and knowledge
@robertmwakavi1266
@robertmwakavi1266 4 жыл бұрын
This man should be the next Tanzanian president after DrJ P Maghufuli.Very brilliant,articulate,sense of humor and bold.
@Djaiicool2012
@Djaiicool2012 4 жыл бұрын
Huyu buda alitu mix Nairobi na kiswahili remixes.
@deusmauka9626
@deusmauka9626 5 жыл бұрын
Tusome vitabu, tusome magazeti, tuache ujinga.
@kazikazini1042
@kazikazini1042 4 жыл бұрын
Nimekubali
@omarykaita43
@omarykaita43 5 жыл бұрын
Pro: John Aidani Mwiyange Palamagamba Kabudi. the Minister of External Affairs, East Africa and Zone at Large, You deserved to be on the current position, Please, in faith, assist our Beloved JPM. I am admiring your presentation.
@remmychuma1313
@remmychuma1313 5 жыл бұрын
It was a great and an excellent presentation. Well done Prof. Palamagamba Aidan Kabudi.
@masanjemuyenjwa2434
@masanjemuyenjwa2434 5 жыл бұрын
u'r a really prof. unajua mambo meng sana, mara nying unapozungumza na kuwa karbu kukusiklza il nijifunze mengi kutoka kwako
@williamray7751
@williamray7751 3 жыл бұрын
Professor Kabudi, An intelligent man ,your gift of understanding and grasping information is outstanding 👏 👌
@rahjah5882
@rahjah5882 5 жыл бұрын
I always lean some when Prof. Kabudi chant One love Itinualy
@lucieserero7475
@lucieserero7475 4 жыл бұрын
I felt like I was in class learning Swahili again... Loved it👍👌
@AliMvingira-ls2vm
@AliMvingira-ls2vm Жыл бұрын
Mungu akutangulie mzee wangu
@mariamnimbo8394
@mariamnimbo8394 3 жыл бұрын
Nimejifunza kutoka kwako waziri Kabudi, kumbe wengi wetu ni Africa ni ndugu. Asante kwa historia hii. Tku!!!
@franciscomasungulwa3575
@franciscomasungulwa3575 5 жыл бұрын
Tunazidi kujifunza mengi ya kale
@jeremymakokha4797
@jeremymakokha4797 4 жыл бұрын
Huyu Kabudi ningependa kumfahamu sana...aliniguza sana tukizindua BBI Kenya....from 254
@williamlumbasia7110
@williamlumbasia7110 4 жыл бұрын
Am being inspired by this man. After BBI....I landed here to do some follow-up
@hassanhamudy6639
@hassanhamudy6639 3 жыл бұрын
How do you see the man....
@kingsolomon0
@kingsolomon0 4 жыл бұрын
Indeed you are professor kabudi
@cyrilologe
@cyrilologe 4 жыл бұрын
Naienzi sana hekima na busara ya Bwana Kabudi...hongera
@shadrackkwemoi5604
@shadrackkwemoi5604 4 жыл бұрын
Uko vizuri sana bwa. Prof. Kabudi kwa hotuba zako haswa kwa kutujuza historian nyingi tusizozijua
@davidmatoka5203
@davidmatoka5203 4 жыл бұрын
Hon. Kabudi you deserve being a great leader thank you for making effort of trying to create good relationship between Kenya and Tanzania, , , akubariki sana Maulana
@davidgithiomi4021
@davidgithiomi4021 4 жыл бұрын
I Honestly salute prof Kabundi. I have learned a lot from him. Great Historian of this century.
@robertkipkoech008
@robertkipkoech008 4 жыл бұрын
He came to Kenya and surely united us a country...he is a gentleman
@mhojamsafiri2273
@mhojamsafiri2273 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Kabudi🙏🏻🙏🏻
@johnzephania8549
@johnzephania8549 5 жыл бұрын
historia za kuhusu nchi hii nazitamani Sana kuzisikiliza, na hata sipati uchovu, nakukumba uandike kitabu cha historia kiuzwe madukani nitakuwa wa kwanza kukinunua
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 10 ай бұрын
Kabudi iadmire.your leadership, keep up,next president of Tanzania
@moudymchemia6598
@moudymchemia6598 4 жыл бұрын
Ahsante kiongozi wangu nimetokea kukukubali toka umetoa speech Kenya
@sallykalya9023
@sallykalya9023 4 жыл бұрын
Woie Nyerere alikuwa wetu😂🇰🇪
@kingnicky2568
@kingnicky2568 3 жыл бұрын
Sanna Kruger kenya akili hamnaga kabisaa😂😂😂😂😂
@omarymohammed2880
@omarymohammed2880 4 жыл бұрын
genius and intelgent man prof kabudi
@andreajeremia436
@andreajeremia436 4 жыл бұрын
Una sifa zote za kuwa kiongozi,maana kiongozi hanuni wakati wore pia hachekicheki wakati wote,vizuri sana Mungu akufikishe alikokukusudia.
@kipkemoiisaac5326
@kipkemoiisaac5326 4 жыл бұрын
Who's this guy. Brilliance galore
@memocheptabkipsigis312
@memocheptabkipsigis312 4 жыл бұрын
Kabudi he was there on BBI launch
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 5 жыл бұрын
Profesa Kabudi!!!
@okothdido3827
@okothdido3827 4 жыл бұрын
Great man. Kenyans honour you
@fredricklemiso6191
@fredricklemiso6191 4 жыл бұрын
When he attended bbi launch we almost died because of laughter . Kiswahili tulitafuta kamusi
@hipu755
@hipu755 4 жыл бұрын
This is a lesson to those who reasoned that if your neighbour's chicken strays to your backyard you have a right to slaughter and eat it.
@muhamoha5038
@muhamoha5038 4 жыл бұрын
It's a joy always to listen to this great man talking
@TheMrisho
@TheMrisho 4 жыл бұрын
Professor Kabudi sio wa mchezo mchezo aisee. Yuko vizuri sana.
@e.jack.47
@e.jack.47 3 жыл бұрын
Kabudi we love you here in Kenya. Kwa kweli tz na Kenya ni mandugu
@rasnjogu
@rasnjogu 4 жыл бұрын
I believe what he is saying, colonial boundaries are just mental boundaries.
@salvatorykipyoka1567
@salvatorykipyoka1567 5 жыл бұрын
Kweli huu ubongo ni dunia aisee
@robertngwagala5939
@robertngwagala5939 Жыл бұрын
Namkubali sana hyu mwmba
@issamsomba7219
@issamsomba7219 5 жыл бұрын
big up
@tobynasheimani7969
@tobynasheimani7969 5 жыл бұрын
Ilike this guy ithink he should be the next president of Tanzania
@josephkiliko7114
@josephkiliko7114 4 жыл бұрын
Tanzania tumebarikiwa kuwa na viongozi mahiri sana Mungu awatunze msogeze taifa ili mbele
@samgesaka4203
@samgesaka4203 4 жыл бұрын
Mimi in mkenya nampigia upatu kabudi kuwa rais wa Tanzania baada ya jjm
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 4 жыл бұрын
We kabudi ni prof Ur real ticha
@samjohn583
@samjohn583 4 жыл бұрын
Pround to be East Africana.
@adeltusbashara9720
@adeltusbashara9720 5 жыл бұрын
Kabudi anafaa kuwa rais baada ya JPM!
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 5 жыл бұрын
Kumbuka prof hii level ni mtu anayeamini sana mawazo yake na hakosolowi na anapaswa kuwa lecture tu
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Unaijua mipaka na historia vzr
@wbabu6155
@wbabu6155 4 жыл бұрын
Prof Kabudi, what a great speech!
@enocklugora4331
@enocklugora4331 2 ай бұрын
Gud gud sana
@oslominiconcerts3538
@oslominiconcerts3538 4 жыл бұрын
Prof Kabudi the next President of Tanzania. This man is smart and has a deep sense of detail and knowledge of the region. Hongera mtoto wa kasisi.
@jamesohayo5329
@jamesohayo5329 4 жыл бұрын
This man IS brilliant.
@alexfrancis2278
@alexfrancis2278 4 жыл бұрын
Waziri kabudi yuko vizuri sana sana nimeipenda hiyo
@officialmsigwa5069
@officialmsigwa5069 3 жыл бұрын
Good History very Interestive
@davidmatoka5203
@davidmatoka5203 4 жыл бұрын
Please make trips to Kenya, educate kenyan ministers to stop tribalism and corruption
@cosmasmapesa
@cosmasmapesa 4 жыл бұрын
Tumekuelewa sana mwalimu wa walimu, uwepo wako ni mhimu sana nchi endelea kutufungua vichwa
@jacksonzakayo6759
@jacksonzakayo6759 4 жыл бұрын
Kama unamkubali waziri kabudi weka like yako hapo.
@schoolboy1614
@schoolboy1614 4 жыл бұрын
Prof. Kabudi respect kwako
@samuelotura5883
@samuelotura5883 4 жыл бұрын
I compare this man just with Amollo Raila,I wish we have this like person in Kenya
@nellynzau421
@nellynzau421 4 жыл бұрын
Mie Mkenya, Hotuba za Prof. Huwa na ujasiri
@AliMvingira-ls2vm
@AliMvingira-ls2vm Жыл бұрын
Jamani nchi yangu nikifikilianatoa machozi mungu atupe nini nchi hii viongozi wazuli ndo hawadumu duh. Mabaya yana ishi mzee, wewe unafaa kuwa rais, anaebisha nimnafiki
@MJ-ye7dd
@MJ-ye7dd 4 жыл бұрын
Nilimpenda huyo Prof Kabudi bure tu🌷
@juliusmutungi4163
@juliusmutungi4163 4 жыл бұрын
Sasa nimehangria clips cha magufuli kwa utube .na nimependa sana vile anasaindia wanjonge. Kumalisha shinda chao hapo hapo huyu ndie raisi anatakikana kwa inchi cha kiafrica ..asantee na mungu amusindie
@eutychusthiongo1335
@eutychusthiongo1335 3 жыл бұрын
Profesa Kabudi is all tym best foreign affairs minister in TZ
@abubakarnyerere5263
@abubakarnyerere5263 5 жыл бұрын
huyu akamatwe anamvunja Rais nbavu mnamchekea
@danielbugwema6969
@danielbugwema6969 5 жыл бұрын
Hahaaaa😂
@eliaskemiti1803
@eliaskemiti1803 5 жыл бұрын
Abubakar Nyerere 😂😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mamachris6811
@mamachris6811 5 жыл бұрын
Ha ha ha haaaaaa
@abdallahmagera9160
@abdallahmagera9160 4 жыл бұрын
MUNGU nimwema Kwa Tanzania yetu
Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni
41:02
Global TV Online
Рет қаралды 108 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 4,4 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 122 МЛН
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 294 М.
Waziri Ashindwa Kujizuia  "Nitaleta Marks Zenu Hapa"
14:04
Global TV Online
Рет қаралды 326 М.
"RAIS WAMEKAMATA NDEGE TENA, YULE YULE" KABUDI AMVAA CAG MSTAAFU
13:58
NYERERE PART 4: MWALIMU NYERERE SAYS CLANS CAN’T DEFEAT EMPIRES
29:52
URAIA PACHA TANZANIA
1:29:43
Clarence Msuka
Рет қаралды 29 М.
MANENO MAZITO YA PROF  KABUDI KWA MAKAMU WA RAIS MTEULE DK  MPANGO
7:39