Рет қаралды 36,496
Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amesema ni kazi kubwa kumfundisha mtu yuleyule ambaye hataki kuelewa lakini dokta yangu siyo ya kupewa bali nimeisomea darasani,"
Waziri huyo amesema hakuna shaka Tanzania bado iko salama na suala la kushuka kwa akiba ya fedha amekiri kubwa zimeshuka kwa sababu fedha nyingi zimwingia kwenye miradi mikubwa ya maendeleo.
Hata hivyo Dk Mwigulu amesema uchumi ni sayansi hivyo unahitaki wajuzi katika uchangia na kuomba wanaoongoza bunge kuwa makini kuhusu hoja za baadhi ya wabunge Kwa madai wanaweza kuwa wapitishaji wa dili za watu.