Tuna Waziri mmoja tu,Jerry Slaa .Tuna mbuge mmoja tu,ambaye ni Luhaga Mpina, na tuna Mkuu wa Mkoa mmoja tu,ambaye Paul Makonda.
@emanuelleopod394919 күн бұрын
Naaam naaam
@susananyasani652621 күн бұрын
Waziri Silaa anafanya kazi nzuri katika maamusi ya haki kwa Wananchi wote asante
@jtheophil549921 күн бұрын
Nacheka peke yangu.sasa mahakamani mahakimu wana kazi gani😂😂.Safi sana mh.Kichwani uko vizuri ukiongozwa na busara
@nimuhimusana21 күн бұрын
I wish mbali na Mawaziri, pia Makatibu Wakuu wangekuwa wanatenga muda kwa ajili ya kuwasikiliza wananchi wanaowahusu moja kwa moja hasahasa Katibu Mkuu Utumishi.
@sabikamanji252119 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Akulinde Kipenzi chetu ila nakuomba waziri wetu Uje mwanza plse
@ikulunimahalipatakatifu764221 күн бұрын
VIJANA SAFI SANA MUSIMWANGUSHE MAMA, PAMBANA NA MAJIZI .. HAKI SAWA KWA WOTE.
@andrewmallya518221 күн бұрын
Hivi mawaziri wengine wanafanya hivyo kutatua migogoro kwenye wizara zao au wapo wapo tu!!?
@elizageorge241421 күн бұрын
Hata mimi pia nataka kujua wanafanya nini mawaziri wengine.
@Boniphaceshayo521 күн бұрын
Naomba kujua mawaziri wengine wanafanya nini kwenye wizara zao
@user-fr7jj1bo7y21 күн бұрын
tofauti yao kubwa silaa ni mtu wa kamera vitu hivi vingi bado viko mahakamani hizi ni show tu
@charlesmwambinga435521 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y hesabu katatua kero Ngapi..? Jamaa hapumziki kama unaweza nenda jaribu tu hata kutatua mgogoro kwenye familia yako ndo utaelewa maana ya kazi anayofanya
@Boniphaceshayo521 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y kumbe
@GodfreyOsward21 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7yMwanadamu atakusifu, kwa kiwango kile ambacho na yeye ana fikria kufanya au ana uwezo nako, pale unamzidi ataponda.
@hanspop696120 күн бұрын
Dogo Namkubali sana Mungu Amueke
@nsiamasawe457821 күн бұрын
Viongozi wengi wanashindwa kujiamini kama Waziri Jerry Slaa kwa kukosa uaminifu. Jerry Slaa ameridhika na mshahara wake
@emmanuelbernard955221 күн бұрын
Slaa ni mkalimu sana tu.
@aminaosman331521 күн бұрын
,hasa waziri WA sheria
@muziki22821 күн бұрын
video editor akamatwe
@MrKhatibu19 күн бұрын
Siku nyengine akimaliza suluhisho la kesi ya mtanzania mweusi basi uandike kichwa cha habari kwa kuainisha asili yake, kikisomeka " Waziri Slaa amaliza mzozo wa ki wanja cha Mchaga au Mnyaturu au Msukuma.
@RahimRaiTZA19 күн бұрын
Haaa haaa EASY kaka
@jamesjahasa334821 күн бұрын
Upele umemkuta mkunaji MUNGU mmwagie hekima zaidi huyu waziri
@rehemakanyere418821 күн бұрын
Aminaaa
@femidayahaya488220 күн бұрын
Amen
@mohdmakame509020 күн бұрын
Kaka pigakazi usisikilize ya watu ww ataukitoka mvi hiyo ndokazi yako imekubalika kwa mmungu