Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.co...
Пікірлер: 86
@angelanaftael79656 ай бұрын
Pole willy tatizo ni kumuacha Mungu, hakika kwa adui hakuna huruma, watakurarua sana sana, Mungu akusaidie
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Daa pole will Smith,,will Smith Bado hajamuv on hajampata mbadala wa Jada..Yan mim ilinikutaga hayo kumpenda mtu kias icho Cha will..ni hali mbaya Sana ikikukuta..nikwer will ni king'ang'anizi Kwa Jada na upendo upo upande mmoja..pole will mungu atakutoa huko
@ramrod21696 ай бұрын
I like Mr Smith he seems a cool guy😢....he doesn't deserve this
@user-ip4ie7pt6i6 ай бұрын
Wamarekani sio watu wa kuwaamini hapo asaivi wanamuita Will Smith bwege lakini akisema ajibu mashambulizi pia wata mgeuka na kusema mnyanyasaji wa wanawake
@raulmagige26984 ай бұрын
Kama mkewe amekiri mwamba shoga ww nani upinge Sio KILA serekali mengine Yana ukweli rafiki Ake amekiri mwamba shoga aliwahi mfuma analiwa
@user-ip4ie7pt6i4 ай бұрын
@@raulmagige2698 usikulupuke tu kutaka kumjibu mtu nilicho sema mimi na ulicho kuja nacho wewe ni vitu viwili tofaut
@Khalidniya3806 ай бұрын
Pole sana Will MUNGU asaidie huyu jamaa asije kujiua
@Fgldesigns6 ай бұрын
Mwanaume kuoa Marekani ni sawa na kujitega mwenyewe mda wowote unanasa... Huko utaishi vizuri ukiwa bachelor ila ukioa maisha yako yatakuwa na misukosuko mwanamke hachelewi kukugeuka au kuomba talaka mgawane mali.
@cuteliciacutelicia39687 күн бұрын
Alafu ndio maana hazeeki huyu kaka anaimani sana❤
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Yan mapenzi yanaumiza Sana na mapenzi ni uwendawazimu unaweza ukaitwa majina yote kabisa lakin ogopa Sana kitu kinachoitwa kupenda ,,kupenda jaman nikitu kibaya Sana,,,hususan kama hujamuv on kwamtu unayempenda mmmh nihatar..unaweza hata kujizuru..Mimi nakuelewa Sana will Smith..inavyonekana Jada alikuwa hampendi will Smith tokea awali..ila aliolewa tu na Smith ilimladi tu aolewe
@idinado-wk3lx6 ай бұрын
Pole sana @jamilaathumani5481 inaonekana ulisha pitia maumivu 😊😊
@ilynpayne74916 ай бұрын
Ushoga ni tatizo kubwa Marekani
@FatumaIssa-kw3vv6 ай бұрын
Allah atufanyie wepesi
@mohdyussah8256 ай бұрын
Really love
@sammy-b62816 ай бұрын
Yamwenzako sikia Omba yasikukute
@ShukranMwakyambo6 ай бұрын
Sanaaaa
@LUHAHAJR-fj3ed2 ай бұрын
Real man
@sonnyr18996 ай бұрын
Kuwa makini na nani utakae muoa aitha nani atakae kuoa.
@Gulfnas16 ай бұрын
Hiyo ndio iluminati, wanakupangia maisha yako mpaka kizazi chako!! Umechagua mwenyewe willy so pambana
@user-hj4bc5uh2x6 ай бұрын
Ndio alitakamwenyewe kashindwa mwenyewe kumtegemea muumba wake acha abebemzigowake
@user-qq6mv6vh3e6 ай бұрын
Kbx
@godfreysudi72646 ай бұрын
Eeeh wa bongo sawa wasajili wa illuminant 😅
@Gulfnas16 ай бұрын
@@godfreysudi7264 we ni msajili wa Freemasonry
@Billystewart9996 ай бұрын
Makala ya Juice wrld pia tunahitaji.
@user-gt6gj3oy7u5 ай бұрын
Huyu ndie lusifa anakupa utajiri na umaarufu lakini hataki maisha yako yawe na amani hata siku1
@monicasimpilu62576 ай бұрын
Yaani wenzetu hawa Hawatuthamini kama ss ni binadamu kama wao weupe. Uchafu wote tunatupiwa watu weusi. Mashoga sisi mashetani sisi, kila baya ni la ss weusi. Ukipata umaarufu hawapendi watakusingizia kila chafu. Tujuwe hstupendi hata ukijikomba vipi hawatuthamini
@raulmagige26984 ай бұрын
Kuna mzungu gani msanii mkubwa marekani?
@aziza90936 ай бұрын
Ashidwe Allah tulahe
@magrethmbuma30456 ай бұрын
Hapa ili amani ipatikane inabidi Mungu amchukue Jada maana ndio anamuumiza mwenziee😢
@Happy-yk3lv6 ай бұрын
😅😅
@user-ip6iy6pm3n6 ай бұрын
MUNGU amekupa kusikia majuto ya mwenzio kuwa funzo kwako kazi kwako uwe msikilizaji au usikie
@King_Of_Everything6 ай бұрын
👊✌️👍.
@user-cf8re1vm7o4 ай бұрын
Jadah mwenyewe mbaya kama kinyago wiliy mzuri sana jamani mapenzi kweli yana nguvu
@surusuru19946 ай бұрын
Anaonesha hayuko sawa sikuzot baba huwa bora huyu mam ndo hana haya wala hajavuzwa
@peterchalamila34226 ай бұрын
Jadah Pinket mwenyewe havutiii
@vickydan28696 ай бұрын
Yaani
@godfreysudi72646 ай бұрын
Siri ya kitanda 😊
@SalimSalim-bv3wb5 ай бұрын
NI kwasababu amezeeka,hebu nenda katafute movie inaitwa Queen Latifa,uone Jada alivyo bomba
@Jibambeshow254k6 ай бұрын
Wanawake kama hawa hawafaii kabisa jamani 😢duu kwni anakuua kimyakimya walai siopoa kua maarufuu kweli ni chngamoto
@JosephJackson-jv1so6 ай бұрын
Naomba utuletee makala ya Eminem.
@hannahnjoroge26415 ай бұрын
The Devil comes to steal kill and destroy....
@ilynpayne74916 ай бұрын
22:51 jada ana kichwa kibaya 😂😂
@jumalihumbo53146 ай бұрын
Nipe like first man😅
@saumusalimuhassan24996 ай бұрын
Masikini
@lazaromwambene45166 ай бұрын
😮
@cuteliciacutelicia39687 күн бұрын
Huyo jada anazeeka anamuacha will😂😂😂 roho ya kishetani had kamuharibu mtoto
@alisalim21456 ай бұрын
Maskini babawawatu😢😢😢😢
@judyngowi3914 ай бұрын
Naombeni kuuliza, huu utajiri wa kishetani una uhusiano gani na ushoga?
@hallin95616 ай бұрын
kwakwel mapenz uchiz, jada alivyokuwa mbovu ivyo ata mvuto hana lakin mwamba anakomaa nae kwa machungu yote, Will Smith ni handsome boy sana nilimuona live arusha mwaka juzi aisee mwamba kapanda hewan na handsome anaweza pata pisi kali ingine akala nayo raha ila yeye kukomaa na uyo bibi tu
@prosephinerandrew71556 ай бұрын
Huyu jamaa atakuja fia usingizini😢😢😢
@user-cg6sq4qy5l6 ай бұрын
Kweli😢
@Goodluckcomputers_016 ай бұрын
sky🎉
@SaudaZigaba6 ай бұрын
😢😢
@shabanibussara84546 ай бұрын
Changamoto ya Afya ya Akili...
@angonzamujunangoma87756 ай бұрын
Kwa hali aliyonayo Jada upendo na kujaliwa ni kitu kikubwa anachostahili
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Atajua mwenyewe iwekweri sikwwli Kazikwake. Maana sikuhizi kawaidakwawatukama hao
@laurenttadey19556 ай бұрын
Mapenz ni kitu cha ajab huyo jada ana kichwa kama kokwa la embe lkn anamtesa will😅😅😅😅
@eminix21326 ай бұрын
Bad Boys ft Martin Lawrence
@EdghaMoses-js8lj6 ай бұрын
Binafsi hatuwezi kuimaliza hata siku yenye masaa 12. Yaan siwez siwez kuwa
@JacqDaniels-hu5xj5 ай бұрын
Mwanamke ukimfanyia mateso siku akikukinai nd yanatokea haya
@mackamehassani2016 ай бұрын
Kuna kitu cha kujifunza hapaa jmn.
@Jassmin-media-official6 ай бұрын
Mtizamo wangu nikwamba kilambuzi itakula kwa urefu wa kamba yake
@luganomwakyusa76976 ай бұрын
Hii familia ishaharibika inahitaji maombi
@mariasalomemelchiorkaigaru19746 ай бұрын
Asikwambie mtu hakuna mzazi anayependa uhusiano wa mwanae wa jinsia moja,hata wao hiwaumiza ila baadae husema kama ana furaha yy basi ila hiwaumiza sana.
@magrethmbuma30456 ай бұрын
Yaani mapenzi ni takataka kabiisaa😢
@blacknesaya7446 ай бұрын
😅
@humbleshoalАй бұрын
Hamna, kuna wengine wanapendana sana.
@moseskulola69136 ай бұрын
Mashetani tu wote
@hemedjackson22616 ай бұрын
Choko huyu , anatumik kw maisha ya dunia na pesa na umaarufu
@damianminsno13176 ай бұрын
Utawala wa ibilisi ndio unataka awe shoga ao wote mbwa
@kijokombao53456 ай бұрын
Huyu ameingiza familia yake yote kwenye ushoga,kuanzia watoto wake hadi mkewe anasagana aliyataka
@tinejuxfrancis7296 ай бұрын
Kaka we sikia tu Ila mwanamke akiamua kukuumiza na kukuchafua Ni hatari wanawake wameumbwa kuongea Sana tofauti na wanaume Kaka
@yasminoluoch1696 ай бұрын
Haya tuambia ulimuona wapi😂😂 kha binadamu loh
@Mundi-oz7os6 ай бұрын
Sahihisho. Moja: tafadhali sana zingatia kuwa huku Tz hatuna shule za "upili" kama unavyoziita. Tunaita (na wewe unajua hilo) kuwa tunaziita shule za sekondari. Pili: Will na Jada hawajawahi " kuachana" bali walitengana kwa muda. Kuna tofauti hapo. Kwa Kiingereza ni "divorce au kuvunja ndoa" na "separation" au kutengana wakati bado ndoa ipo hai
@user-ed5xy5ce6k6 ай бұрын
Acha ujinga wewe jaden Smith ndo alijiingiza mwenyew kweny ushog uelewi kitu wew