MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@malietamaliet11 күн бұрын
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
@ommyhatib733111 күн бұрын
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
@sumaiyyaelias11 күн бұрын
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
@user-tr7wf9sj7h11 күн бұрын
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
@FabiolaSommy11 күн бұрын
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
@ChenchiKing11 күн бұрын
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
@patridabernard914811 күн бұрын
Yaan Yanga Bora tena sana
@GMHOTELMOROGORO11 күн бұрын
yanga borta
@magangamasansa416011 күн бұрын
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
@amanikaduma23711 күн бұрын
Na ndo maana wakamsajili chama
@user-cv4yi5hz9b11 күн бұрын
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
@BasuleBasule11 күн бұрын
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
@kyflavour11 күн бұрын
Nakubali Chama langu
@dullamuso695510 күн бұрын
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
@MonicaSimon-py3nx11 күн бұрын
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
@mudylipawaga536211 күн бұрын
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
@remidusmwanandenje-yy5gs11 күн бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
@careemdulla162911 күн бұрын
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
@amaniomar175511 күн бұрын
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
@sebastiansalamba31311 күн бұрын
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
@RamadhanMabwabwa11 күн бұрын
Kweli dogo kapoa sana
@chrissantkaunda995811 күн бұрын
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
@amaniomar175511 күн бұрын
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
@B.M-ix4rz11 күн бұрын
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
@user-er1dk6zj6u11 күн бұрын
Wacha was was wewe ki yupo
@Abuu-gs1yi11 күн бұрын
Kuwa na amani kabsaaa
@B.M-ix4rz11 күн бұрын
@@user-er1dk6zj6u mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
@kalingavictor706811 күн бұрын
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
@muddymuzungu435711 күн бұрын
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@kalingavictor706811 күн бұрын
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
@salahtv559111 күн бұрын
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@kalingavictor706811 күн бұрын
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
@ZuenaMashauri10 күн бұрын
Azizi ki yupo yanga jamani
@roseurio498310 күн бұрын
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
@vaxminja905311 күн бұрын
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
@kaseja11 күн бұрын
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
@amanisanatu388911 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Big team
@Chichamiles11 күн бұрын
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
@ThomasDonard11 күн бұрын
Wa kwanz jamani
@BADAWY57511 күн бұрын
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
@khadijabakari909211 күн бұрын
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
@saidingumbo-is2oe11 күн бұрын
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
@religiondoctrines710 күн бұрын
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
@yasrikomba787411 күн бұрын
❤❤❤❤kila la kheri
@alishaplate629011 күн бұрын
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
@futurecarefamily545411 күн бұрын
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
@fettiemaganza148411 күн бұрын
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
@LavenEliasy11 күн бұрын
💚💚
@AgnesRobert-q1i10 күн бұрын
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
@Izzoh202111 күн бұрын
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
@Godfrey-j8b11 күн бұрын
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
@iddfundikira281711 күн бұрын
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
@sebastiansalamba31311 күн бұрын
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
@user-nz2rw7sj9i11 күн бұрын
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
@user-iu4rk6no6z10 күн бұрын
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
@farajamfaume754511 күн бұрын
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
@samclaud11 күн бұрын
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
@ibrahimrashid88711 күн бұрын
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
@Shadia54411 күн бұрын
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
@ShakiraMasoud-ox5tj11 күн бұрын
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
@happysanga684611 күн бұрын
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
@user-ok3bc8of5q11 күн бұрын
Nafrai kumuona mpomelelo dube
@Evance-op4jw11 күн бұрын
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
@ShafiiHungo11 күн бұрын
Mmetisha yanga
@ains112211 күн бұрын
Nineina player moya wa yanga princess
@marianamontoedi131811 күн бұрын
Mashabiki wapambane Azizi abaki
@humphreyjosephat500211 күн бұрын
Wa pili leo
@pilimohammedy759210 күн бұрын
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
@joojombi234111 күн бұрын
Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea
@slowclimbertothetop45729 күн бұрын
Alwatan ameanza kuzeeka...
@dicksonmzao837611 күн бұрын
Naomba aziz abaki piga ua garagaza
@blairmangani234111 күн бұрын
Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama
@sabrinakassimu11 күн бұрын
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
@athumanishabani114310 күн бұрын
Mashaallah
@happysanga684611 күн бұрын
Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz
@awetumtengera114711 күн бұрын
Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.
@Emanuelimiyonjo11 күн бұрын
Safi
@mhinajerome596411 күн бұрын
Makofi tafadhari
@MwinjumaShaban11 күн бұрын
Vp azizi kii yupo au vp
@SalimRamadhan-o7l11 күн бұрын
Ally wew nibora koliko yule mchenz
@CharlesDanielnyanda11 күн бұрын
Napenda yanga damu damu
@KhamisKaju11 күн бұрын
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
@MtashobyaJosia-wt9jq11 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja
@AbdulAthumni11 күн бұрын
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
@Hgd-jk6lh11 күн бұрын
Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@SufianeAssumaneAssumane11 күн бұрын
Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?
@BenjaminiMkapa11 күн бұрын
Nakubali
@jimmymungai52211 күн бұрын
Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza? Namna gani hii???
@omarmakore691911 күн бұрын
Viongozi tunaomba mutupatiye taarifa ya Azizi key Maneno yamekuwa MENGI zaidi
@user-br3oc1dt1x11 күн бұрын
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
@johannmaloda602711 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@mbarakasaidi265411 күн бұрын
Saf sana
@scorasticaclement630811 күн бұрын
Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa
@sevarinijrchitandachitanda13811 күн бұрын
🔥🔥
@AgastinMtdJohn11 күн бұрын
Hakun taarifa ilioniumiza leo kama taarif ya aziz k Kuw hajasain moyo wang utapasuka chama ndio ila aziz kiboko
@vincentkatabalo28611 күн бұрын
Aziz K rumemsajiri Simba. Subirni maumivu
@princemhina536611 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Sunshine022211 күн бұрын
🎉
@KrispinMhagama11 күн бұрын
Presha sana kuhusu Azizi ki
@AishaAlly-l1d10 күн бұрын
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!