YANGA INAWEKA KAMBI WAPI?/MSIKIE ALLY KAMWE AKITOA RIPOTI KAMILI.

  Рет қаралды 94,419

Yanga TV

Yanga TV

13 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 216
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 11 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@malietamaliet
@malietamaliet 11 күн бұрын
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
@ommyhatib7331
@ommyhatib7331 11 күн бұрын
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
@sumaiyyaelias
@sumaiyyaelias 11 күн бұрын
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
@user-tr7wf9sj7h
@user-tr7wf9sj7h 11 күн бұрын
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
@FabiolaSommy
@FabiolaSommy 11 күн бұрын
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
@ChenchiKing
@ChenchiKing 11 күн бұрын
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
@patridabernard9148
@patridabernard9148 11 күн бұрын
Yaan Yanga Bora tena sana
@GMHOTELMOROGORO
@GMHOTELMOROGORO 11 күн бұрын
yanga borta
@magangamasansa4160
@magangamasansa4160 11 күн бұрын
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
@amanikaduma237
@amanikaduma237 11 күн бұрын
Na ndo maana wakamsajili chama
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b 11 күн бұрын
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
@BasuleBasule
@BasuleBasule 11 күн бұрын
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
@kyflavour
@kyflavour 11 күн бұрын
Nakubali Chama langu
@dullamuso6955
@dullamuso6955 10 күн бұрын
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
@MonicaSimon-py3nx
@MonicaSimon-py3nx 11 күн бұрын
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
@mudylipawaga5362
@mudylipawaga5362 11 күн бұрын
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 11 күн бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
@careemdulla1629
@careemdulla1629 11 күн бұрын
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
@amaniomar1755
@amaniomar1755 11 күн бұрын
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 11 күн бұрын
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
@RamadhanMabwabwa
@RamadhanMabwabwa 11 күн бұрын
Kweli dogo kapoa sana
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 11 күн бұрын
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
@amaniomar1755
@amaniomar1755 11 күн бұрын
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 11 күн бұрын
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
@user-er1dk6zj6u
@user-er1dk6zj6u 11 күн бұрын
Wacha was was wewe ki yupo
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 11 күн бұрын
Kuwa na amani kabsaaa
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz 11 күн бұрын
@@user-er1dk6zj6u mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 11 күн бұрын
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 11 күн бұрын
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 11 күн бұрын
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
@salahtv5591
@salahtv5591 11 күн бұрын
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 11 күн бұрын
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
@ZuenaMashauri
@ZuenaMashauri 10 күн бұрын
Azizi ki yupo yanga jamani
@roseurio4983
@roseurio4983 10 күн бұрын
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
@vaxminja9053
@vaxminja9053 11 күн бұрын
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
@kaseja
@kaseja 11 күн бұрын
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
@amanisanatu3889
@amanisanatu3889 11 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Big team
@Chichamiles
@Chichamiles 11 күн бұрын
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
@ThomasDonard
@ThomasDonard 11 күн бұрын
Wa kwanz jamani
@BADAWY575
@BADAWY575 11 күн бұрын
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
@khadijabakari9092
@khadijabakari9092 11 күн бұрын
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
@saidingumbo-is2oe
@saidingumbo-is2oe 11 күн бұрын
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
@religiondoctrines7
@religiondoctrines7 10 күн бұрын
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 11 күн бұрын
❤❤❤❤kila la kheri
@alishaplate6290
@alishaplate6290 11 күн бұрын
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
@futurecarefamily5454
@futurecarefamily5454 11 күн бұрын
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 11 күн бұрын
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
@LavenEliasy
@LavenEliasy 11 күн бұрын
💚💚
@AgnesRobert-q1i
@AgnesRobert-q1i 10 күн бұрын
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
@Izzoh2021
@Izzoh2021 11 күн бұрын
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
@Godfrey-j8b
@Godfrey-j8b 11 күн бұрын
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
@iddfundikira2817
@iddfundikira2817 11 күн бұрын
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 11 күн бұрын
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
@user-nz2rw7sj9i
@user-nz2rw7sj9i 11 күн бұрын
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
@user-iu4rk6no6z
@user-iu4rk6no6z 10 күн бұрын
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
@farajamfaume7545
@farajamfaume7545 11 күн бұрын
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
@samclaud
@samclaud 11 күн бұрын
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
@ibrahimrashid887
@ibrahimrashid887 11 күн бұрын
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
@Shadia544
@Shadia544 11 күн бұрын
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
@ShakiraMasoud-ox5tj
@ShakiraMasoud-ox5tj 11 күн бұрын
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
@happysanga6846
@happysanga6846 11 күн бұрын
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
@user-ok3bc8of5q
@user-ok3bc8of5q 11 күн бұрын
Nafrai kumuona mpomelelo dube
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 11 күн бұрын
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 11 күн бұрын
Mmetisha yanga
@ains1122
@ains1122 11 күн бұрын
Nineina player moya wa yanga princess
@marianamontoedi1318
@marianamontoedi1318 11 күн бұрын
Mashabiki wapambane Azizi abaki
@humphreyjosephat5002
@humphreyjosephat5002 11 күн бұрын
Wa pili leo
@pilimohammedy7592
@pilimohammedy7592 10 күн бұрын
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
@joojombi2341
@joojombi2341 11 күн бұрын
Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 9 күн бұрын
Alwatan ameanza kuzeeka...
@dicksonmzao8376
@dicksonmzao8376 11 күн бұрын
Naomba aziz abaki piga ua garagaza
@blairmangani2341
@blairmangani2341 11 күн бұрын
Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama
@sabrinakassimu
@sabrinakassimu 11 күн бұрын
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
@athumanishabani1143
@athumanishabani1143 10 күн бұрын
Mashaallah
@happysanga6846
@happysanga6846 11 күн бұрын
Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 11 күн бұрын
Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.
@Emanuelimiyonjo
@Emanuelimiyonjo 11 күн бұрын
Safi
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 11 күн бұрын
Makofi tafadhari
@MwinjumaShaban
@MwinjumaShaban 11 күн бұрын
Vp azizi kii yupo au vp
@SalimRamadhan-o7l
@SalimRamadhan-o7l 11 күн бұрын
Ally wew nibora koliko yule mchenz
@CharlesDanielnyanda
@CharlesDanielnyanda 11 күн бұрын
Napenda yanga damu damu
@KhamisKaju
@KhamisKaju 11 күн бұрын
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
@MtashobyaJosia-wt9jq
@MtashobyaJosia-wt9jq 11 күн бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja
@AbdulAthumni
@AbdulAthumni 11 күн бұрын
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
@Hgd-jk6lh
@Hgd-jk6lh 11 күн бұрын
Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@SufianeAssumaneAssumane
@SufianeAssumaneAssumane 11 күн бұрын
Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?
@BenjaminiMkapa
@BenjaminiMkapa 11 күн бұрын
Nakubali
@jimmymungai522
@jimmymungai522 11 күн бұрын
Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza? Namna gani hii???
@omarmakore6919
@omarmakore6919 11 күн бұрын
Viongozi tunaomba mutupatiye taarifa ya Azizi key Maneno yamekuwa MENGI zaidi
@user-br3oc1dt1x
@user-br3oc1dt1x 11 күн бұрын
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
@johannmaloda6027
@johannmaloda6027 11 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@mbarakasaidi2654
@mbarakasaidi2654 11 күн бұрын
Saf sana
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 11 күн бұрын
Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa
@sevarinijrchitandachitanda138
@sevarinijrchitandachitanda138 11 күн бұрын
🔥🔥
@AgastinMtdJohn
@AgastinMtdJohn 11 күн бұрын
Hakun taarifa ilioniumiza leo kama taarif ya aziz k Kuw hajasain moyo wang utapasuka chama ndio ila aziz kiboko
@vincentkatabalo286
@vincentkatabalo286 11 күн бұрын
Aziz K rumemsajiri Simba. Subirni maumivu
@princemhina5366
@princemhina5366 11 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Sunshine0222
@Sunshine0222 11 күн бұрын
🎉
@KrispinMhagama
@KrispinMhagama 11 күн бұрын
Presha sana kuhusu Azizi ki
@AishaAlly-l1d
@AishaAlly-l1d 10 күн бұрын
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!
@user-ug1nv3xl4d
@user-ug1nv3xl4d 11 күн бұрын
Naiona YANGA ijayo ni kama Madrid
@thomsonleon134
@thomsonleon134 11 күн бұрын
😊
@user-wo9df1wu8i
@user-wo9df1wu8i 11 күн бұрын
Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga
@user-jn9ym1pz5k
@user-jn9ym1pz5k 11 күн бұрын
Azizi badoyupo kikubwa mwanayanga kuwanakadi yawanachama utam bakisha kamahuna usiulize na haikuhusu yanga
@rehemawamwarami3854
@rehemawamwarami3854 11 күн бұрын
Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.
@carrenbenson2111
@carrenbenson2111 11 күн бұрын
Wengine wako wapi?
@josephlumwecha
@josephlumwecha 11 күн бұрын
Yotekwa tote azizi k
@user-kb7jz2qe8s
@user-kb7jz2qe8s 11 күн бұрын
Aziz ki jamani😢
@athumaninyituki7011
@athumaninyituki7011 11 күн бұрын
Yanga rahaaaaaa kabsa
@patridabernard9148
@patridabernard9148 11 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@tamariamisi3540
@tamariamisi3540 11 күн бұрын
Sijaona aucho Nikiwa uganda
@immatheboy7994
@immatheboy7994 11 күн бұрын
Jezi mpya tynazindua lin
@user-ym7rd4yn4l
@user-ym7rd4yn4l 11 күн бұрын
Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 19 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 116 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
Ishowspeed vs Ronaldo vs Messi Disguise Challenge
0:29
KSCORE
Рет қаралды 21 МЛН
ОБХИТРИЛ NIKE НА 3,5 МЛН $🏅
0:48
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 22 МЛН
Which national team are you rooting for at Euro 2024?
0:17
Boomerang Sportsbook
Рет қаралды 3,6 МЛН
МЕССИ ОТЛИЧАЕТСЯ ОТ ВСЕХ ФУТБОЛИСТОВ
0:40
АртПо | ArtPo17
Рет қаралды 431 М.
Intense Balloon Popping & Basketball Challenge - Who Will Win ?
1:00
SS FOOD CHALLENGE
Рет қаралды 67 МЛН