NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
@saidilindukwa20 күн бұрын
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
@bodyaman20 күн бұрын
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa. Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
@amaniomar175520 күн бұрын
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
@Maryc2G20 күн бұрын
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
@hawamasanje958920 күн бұрын
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
@kalingavictor706820 күн бұрын
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
@HusnaOmarry20 күн бұрын
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
@upendogidion516720 күн бұрын
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
@MoajGraphics20 күн бұрын
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
@user-gf2jq8mf8j20 күн бұрын
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@JohnAlfred-k8f20 күн бұрын
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
@rehemamahendeka-rm2ek20 күн бұрын
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
@RamadhaniMangwira-s6w20 күн бұрын
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
@user-hu2sf3so9c20 күн бұрын
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
@martingodfrey710520 күн бұрын
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
@HusnaOmarry20 күн бұрын
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
@HoseaNguge20 күн бұрын
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
@ndakijoseph834120 күн бұрын
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
@LukindoMchome-qv3vo20 күн бұрын
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
@EsterKindoli20 күн бұрын
Aho wagaya avae....
@LukindoMchome-qv3vo20 күн бұрын
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@EsterKindoli20 күн бұрын
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
@user-ql2hc7zt6b20 күн бұрын
Semaji mwenye cv kubwa
@BabatStarkid20 күн бұрын
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
@user-jb5ct7su8n20 күн бұрын
Hongera kwa raisi
@CharlesDanielnyanda20 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS SAIDI
@samwelsanyura-iw9nr20 күн бұрын
Yanga for life
@Evance-op4jw20 күн бұрын
💛💚💛💚yanga
@SanziNzige20 күн бұрын
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
@candidamuhanika832819 күн бұрын
Roho imekuuma.....😮😮😮
@nicodemusmemba140220 күн бұрын
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
@nurhatkheir193520 күн бұрын
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
@MwaniPh20 күн бұрын
Yanga bingwa
@user-nm2jq7xo5f20 күн бұрын
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
@JayWizzy-iq8ed20 күн бұрын
Naipenda yanga yangu❤
@ramadhanimrungu580620 күн бұрын
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
@vinnyjr-n1g20 күн бұрын
Yanga mpaka nakufa❤❤
@Justinaombay20 күн бұрын
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
@KimSaidi20 күн бұрын
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
@tonymwakalenga38820 күн бұрын
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
@AmiriMalenge-kc5jk20 күн бұрын
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
@barakahmichaels163120 күн бұрын
Author✌🏿✊🏿❤️
@user-kk7ni6cp7p20 күн бұрын
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
@anyisilejaphet265820 күн бұрын
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
@user-jb5ct7su8n20 күн бұрын
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
@user-hy3en6vk5f20 күн бұрын
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
@Dartonjuma20 күн бұрын
Nice
@SalomeEmanuelimpalasinge20 күн бұрын
Hongera yako president Kwa aziz ki
@omarymtotela375120 күн бұрын
Nakubali sana ❤
@aziziabeid605220 күн бұрын
The first one, today
@KizingiliRamadhani-gh5gq20 күн бұрын
Wambie hawooo manyonyo fc
@rogersiddy20 күн бұрын
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@Justinaombay20 күн бұрын
Ulimsainisha ww au
@lucymsheshi587120 күн бұрын
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@rogersiddy19 күн бұрын
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@rogersiddy19 күн бұрын
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
@KondoNgoma20 күн бұрын
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
@abuumfunda20 күн бұрын
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
@DieudonneNdiho-yf5sq20 күн бұрын
Safi sana
@AntidiusiZindemba20 күн бұрын
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
@FilbertKalembe-fy4oq20 күн бұрын
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
@islamsaid958720 күн бұрын
Onger eng hers said na menejiment yote
@simonIbrahim-hc8vm20 күн бұрын
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@user-vi7ly9zh1q20 күн бұрын
💚💛💛💛💚l Love You yanga
@habibuabuu960920 күн бұрын
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
@twaribuidrissa990020 күн бұрын
Asalam aleykum wananchi wenzangu
@user-np4om6hz4m20 күн бұрын
Walaykum s laam
@sulehyanajma339920 күн бұрын
Moyo wangu umetulia sasa
@GraceFesto20 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
@ahmedalsaadi710820 күн бұрын
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
@HABIBHASSAN-wf5mr20 күн бұрын
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
@Abdul-jj6lq20 күн бұрын
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
@kasandabulilo56420 күн бұрын
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
@faidhasaid408420 күн бұрын
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
@julietmshana196220 күн бұрын
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
@mhinajerome596420 күн бұрын
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
@EsterKindoli20 күн бұрын
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
@tumainimremi346120 күн бұрын
Ushindi muhimu
@eliudmwanalusi390720 күн бұрын
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
@tatalyzer38220 күн бұрын
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
@eliadahmhina412520 күн бұрын
3 one today😊
@sebastiansalamba31320 күн бұрын
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
@user-ds3oi3tt8u20 күн бұрын
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
@user-ds3oi3tt8u20 күн бұрын
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
@user-ds3oi3tt8u20 күн бұрын
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
@jivankulikwa2420 күн бұрын
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
@jumamzelela420720 күн бұрын
Sure😢
@husseynomar952320 күн бұрын
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
@GodfreyLipumba-ds6jl20 күн бұрын
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
@julietmshana196220 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛
@KonjiKabasa20 күн бұрын
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
@ahmedalsaadi710820 күн бұрын
Kivip kolo
@ahmedalsaadi710820 күн бұрын
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
@user-rj8zh8ok7q20 күн бұрын
❤❤
@LeontiaLeonard-tv7oy20 күн бұрын
Asanteeeeeee
@JumaJabibu20 күн бұрын
Hongera rais
@shaibusaady242020 күн бұрын
Allaah Akbar
@mitinjemaziku20 күн бұрын
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
@BhutemiMapalala19 күн бұрын
Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮
@mansouromary924620 күн бұрын
Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌