No video

MAISHA YA SHETTA NA BINTI YAKE QAILLAH UTAPENDA WAKIWA NYUMBANI KWAO

  Рет қаралды 158,805

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 201
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 8 ай бұрын
Huu jamaa ni msani ila watoto anawalea mazingira ya dini watoto wanajistiri mtoto anajua muda wa ibada MashaAllah nimefurahi kweli
@nellymtambo8432
@nellymtambo8432 11 ай бұрын
Mwanaume anajua kulea watoto wake ata mwanamke aingii ndani am so proud of you Shetta yaani unajua kulea mshenzi wewe uko karibu sanaa na wanao yaani umeweza unajua unajua unajua mpaka unakera❤
@Dk.Shombo
@Dk.Shombo 8 ай бұрын
mbona mshenzi
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 5 ай бұрын
Napenda baba hanae penda watto wake na kulea kama we shetta wanaume wengi wanajua kumbwaga mbegu tu na jukum la kulea rinabaki kwa mma peke wanajifanya wao wanaume hawawezi kulea lkn sio kweri we umeweza hongera my brother,,na wanaume wengine wakuige aisee ❤❤❤❤
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Mashaallah Kayra anajistiri jamani ALLAH Akulinde mtoto mzuri
@allysudi4429
@allysudi4429 11 ай бұрын
Unajua kuna wasanii wana pesa ila wanaweza kucontroll hanasa tu hawawez kuorganize watoto wao japokuwa wana nguvu ya fame na money inabidi wajifunze kwako mwanangu nahis hao binti zako n mama tofauti lakin umetumia effort ya kiume kuonganisha binti zako na kulea vizur na kwa muonekano tu inaonyesha jinsi gani watoto walivyo na furaha kwa baba yao. Safi mzee unastahili kwel kurun izo ngo's za ukatili wa watoto. Big up men
@najmarsaid4435
@najmarsaid4435 11 ай бұрын
Hao watoto ni mama mmoja na baba mmoja wala sio tofauti
@halimamvungi1
@halimamvungi1 11 ай бұрын
Hili la Binti wa mama tofauti umelipata wapi, hao watoto ni wababa mmoja na mama mmoja
@momobakari9680
@momobakari9680 11 ай бұрын
​@@halimamvungi1😂😂😂
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 11 ай бұрын
@@halimamvungi1 😂😂😂😂
@happylynguya3464
@happylynguya3464 10 ай бұрын
Ni nyumba yake mwenyewe au??😴😴😴 make daaaah..
@Official_Evara
@Official_Evara 8 ай бұрын
Qaillah is very composed for her age. She's so mature for her age. Big up bro❤
@salimshamis7580
@salimshamis7580 8 ай бұрын
Life kweli inachange Mzee shetta nikikumbuka enzi ya hakuna kulala pale Ilala dahh!!.. tunagonga story kiboya boya saizi Mzee life limenoga. Big up sana mzee.
@rukyahassansuleiman5977
@rukyahassansuleiman5977 8 ай бұрын
Ongera sn sheta wewe ni baba bora una mapenzi na wtt wk adi raha ❤👏👏🙏
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 ай бұрын
Mashallah yaaan mbaka nimependa hii family ubarikiwe SNA shetta wewe ni baba wa kuigwa wallah
@kimzymamy6594
@kimzymamy6594 11 ай бұрын
Mashallah mungu ambariki shetaa na kizazi chake yni wakarimu balaa❤❤❤😍🙏
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 8 ай бұрын
Qayla ni kiongozi haswa all the best toto❤
@user-km6mw8yz3q
@user-km6mw8yz3q 11 ай бұрын
Daaah hiii family ♥️ Dua San aiseee
@hassanyunus4634
@hassanyunus4634 8 ай бұрын
Mbona bro naona hapa hujatenda haki, wale wanyonge unawa enjoy sana but Kwa chetta ume shindwa kumtembeza Kwa nyumba yake, tunge penda kuona bedroom yake kama unavyo tuonyesha za wengine
@VictoriaAidan-qe6qk
@VictoriaAidan-qe6qk 10 ай бұрын
Nimependa maisha ya shetta big up broo
@muna1165
@muna1165 11 ай бұрын
MASHALLAH HONGERA SANA KAKA
@AbdallahMohamed-wz8lc
@AbdallahMohamed-wz8lc 7 ай бұрын
Safi sana Shetta kwa hii organization yako! Hili tatizo linazidi kuwa kubwa! Awareness ni muhimu
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 11 ай бұрын
Mashallah kaila ni mrembo
@daimavlog
@daimavlog 11 ай бұрын
Nimependa malezi ya watoto jamani hadi raha
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 ай бұрын
Mashalah,,sheta anampenda Sana wanae,,hususan kayra,,,ila karya karembo mashalah,, mungu akubariki Sana awabariki wote as family
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 7 ай бұрын
Kumbe ni Karya na qaira? 😮
@husseinjuma8282
@husseinjuma8282 8 ай бұрын
inamaana hamjaona kwamba qaila anadrive naumri wake na sio kesi😂
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 6 ай бұрын
Tutafute hela😂
@alidyaya4512
@alidyaya4512 11 ай бұрын
Leo umekuwa mpole aupo kene geto la BAGA😂
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 11 ай бұрын
The little girl is Daddy’s. She is real sweet. Good family❤
@leaherasto929
@leaherasto929 7 ай бұрын
Big up Sheta
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 11 ай бұрын
Mashaa allah❤❤❤❤🎉
@khadijahamisi6558
@khadijahamisi6558 11 ай бұрын
Mashaallah jamanii nice family❤❤❤❤❤😍😍😍😍😍😍😍
@DijaMriri-wc4qd
@DijaMriri-wc4qd 11 ай бұрын
Maisha ya wenzetu jamani😂😂😂😂😂
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 9 ай бұрын
😂😂😂😂yaan acha tu
@bennamush4616
@bennamush4616 9 ай бұрын
Salehe mbona hapo huchunguzi mpka chumbani Kama kwa wengine 🤣🤣🤣
@saidtembele3070
@saidtembele3070 8 ай бұрын
Ye mwenyewe hana amani si kaingia ushuani 😂😂😂
@Kidotii
@Kidotii 8 ай бұрын
Shettq Salute! Malezi 100%😊
@user-br3si2jf4t
@user-br3si2jf4t 11 ай бұрын
Nimependa. Malezi. Yako. Broo.
@EmJesho
@EmJesho 11 ай бұрын
Shetta hongera ila umepotea kwenye game
@ledetourzanzibar1433
@ledetourzanzibar1433 10 ай бұрын
Never give up sheta bro
@SabrinaKhamis-s9i
@SabrinaKhamis-s9i 17 күн бұрын
Mashaallah
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 7 ай бұрын
Yani for the first time kuona mwanaume kama sheta mpaka nimekupenda wallahy... Masha kaila amekuwa masha Allah na amevaa kistara wallahy
@user-sw1yi3zw4b
@user-sw1yi3zw4b 11 ай бұрын
Hivi vipindi vizuri huwaga havidumu 😢
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Ira kweri
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 8 ай бұрын
Hujatuonyesha nyumba😊
@adamsilumbe8356
@adamsilumbe8356 11 ай бұрын
Shetta namuwazia kushika ngazi ya juu ya uongozi serikalini, tena ngazi ya mkoa. Kama sio mkuu wa wilaya, basi atakua katibu au mkurugenzi serikalini.
@Miminamwanangu
@Miminamwanangu 11 ай бұрын
Llll
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 ай бұрын
Dua lako liwe la kheri kwake
@yunusabeid74
@yunusabeid74 10 ай бұрын
Na izo tattoo je?
@SophiaChmpaya
@SophiaChmpaya 8 ай бұрын
Hatimae kwa bint yake kyaila imetimia
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 7 ай бұрын
Amiin❤
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 8 ай бұрын
Mungu awabariki sana wew ni zaidi ya baba bora
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Mpore ana akiri sana
@carlykyle887
@carlykyle887 8 ай бұрын
Saleh kamuogopa shettah ...mbona hawaja zunguka nyumba 😂😂
@hassanyunus4634
@hassanyunus4634 8 ай бұрын
Ni kweli kabisa anaonea wanyonge
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 7 ай бұрын
Maashaalah ❤❤🎉
@boanerguebayisenge266
@boanerguebayisenge266 8 ай бұрын
Be Blessed 🙏🏽
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 11 ай бұрын
Dah bonge la jumba Masha Allah
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 11 ай бұрын
Lake
@readtanzania2023
@readtanzania2023 11 ай бұрын
Apartment
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 ай бұрын
Analipia hapo
@RAMATZ-gh2mm
@RAMATZ-gh2mm 6 ай бұрын
Th​@@user-vv1te9fu8q
@user-eq9bw1oj3q
@user-eq9bw1oj3q 4 ай бұрын
Hongera kwa malezi Bora
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Siami ni nyumba inazidi ya kond boy harafu hanamaringo❤❤❤🙏🏼🙏🙏🏼
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 8 ай бұрын
Umerogw ww na bibi yko mzaa mom sio bure jibu nikubaleze vzr😂😂
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
@@SululuZungu-kx8ws nikome we Kuma😃😃
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
​ KHADIJA MBONA MATUSI TENA?
@MwanahamisMussa
@MwanahamisMussa 8 ай бұрын
Sasa konde hapa ameingiaje
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
@@MwanahamisMussa wewe Kuma nikome Nina uwezo wakumutamka yeyote naye mtaka kwenye koment
@EmJesho
@EmJesho 11 ай бұрын
Salehe niaje mtangazaji Hongera
@estermuganda9298
@estermuganda9298 11 ай бұрын
Ila walimwengu mna maneno jamani😀
@shabanimwinyikhery1174
@shabanimwinyikhery1174 8 ай бұрын
Wonderful family
@yamusahmasoud9107
@yamusahmasoud9107 9 ай бұрын
maisha on Camera tutazima Camera kawaida ytu
@NenosuccessEliya
@NenosuccessEliya 7 ай бұрын
Baba mzuri kwa watoto kiukweli we ni mfano wa kuigwa
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Kwani Salehe umetoka bona tv?
@filbertagrey4078
@filbertagrey4078 11 ай бұрын
Nice family
@deboranicoraus4866
@deboranicoraus4866 11 ай бұрын
Mependa alivyo walea wanae mbk raha wana adabu sana😘
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 8 ай бұрын
😅😅 nimeipenda ila hapo kwenye kulala mtoto ametoka super market anadriv hapna
@victoriamongi2434
@victoriamongi2434 5 ай бұрын
😂😂😂qla nikweli ana drive mwaya
@charlesgeorge2855
@charlesgeorge2855 11 ай бұрын
Nimewaza tu hiv Shetta na Hashim Ibwe nan mrefu
@user-ml9yi5sd6o
@user-ml9yi5sd6o 10 ай бұрын
Kwani shetta na Hashim Ibwe ni ndugu au
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Acha ushamba Fara wewe
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Nimeshangaa🙏🙏🏼🙏
@happymfiomy4673
@happymfiomy4673 11 ай бұрын
Camera yenu haina quality ya kutosha
@user-yh9jx1kd6q
@user-yh9jx1kd6q 8 ай бұрын
Upo vzr Sana mdogo wangu
@benadetamtabo7437
@benadetamtabo7437 14 күн бұрын
Ila asikae meza yenye kioo ni hatari
@user-cr8iq8be5k
@user-cr8iq8be5k 8 ай бұрын
Big up bro unaweza kulea watoto
@MarthaMakashi
@MarthaMakashi 7 ай бұрын
I wish nipate baba bora kwa wanangu kama huyu😢
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 6 ай бұрын
InshaAllah
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 8 ай бұрын
😂😂nayy huy mdg watu wapo kwny story ya KZfaq yy ana anasema Monday yann ten
@halmashenyange3735
@halmashenyange3735 7 ай бұрын
Good family ❤
@happinessjustine2521
@happinessjustine2521 10 ай бұрын
Yn huyu kila anakoenda linataka kula 2 liroho km nn asa Apo mbn hujamkagua ad chumbani km Baga na b 🌟
@KHAMIS_SHILINGI
@KHAMIS_SHILINGI 11 ай бұрын
Mama yao yuko wapi jamn😢
@irakoze3762
@irakoze3762 8 ай бұрын
Ameachika kitambo
@leaherasto929
@leaherasto929 7 ай бұрын
Qayra anaendesha gari waoo
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Kingreza kizuri sana
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 11 ай бұрын
Very important person to know😂
@Zuenatupa
@Zuenatupa 4 ай бұрын
Salehe anaonekana Anaheshima sana
@WlkmkeissBriana
@WlkmkeissBriana 6 ай бұрын
Mbona hujatembenzwa apo kwa shetta
@user-kr9so2em8c
@user-kr9so2em8c 8 ай бұрын
Sana broo
@user-no1ow9ti1p
@user-no1ow9ti1p 11 ай бұрын
MASHALLAH
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 ай бұрын
Eti camra ndio ameona km kamnong'oneza babaake eti naomba maji 😂😂😂utoto bwana raha sana
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Shetta mwanao Kawa mzungu aisee watoto wetu tunawapoteza akienda Kijijini kwako uku kwamabibi zako ataongea nn nawao wanajua kilugha TU ebu tupunguze uu uzungu
@agnestemu8382
@agnestemu8382 8 ай бұрын
Mama ao yupogi wapi
@khadidjaabdi-hd8py
@khadidjaabdi-hd8py 11 ай бұрын
Nyumba zakupanga namin hii sio nyumba yake yotee upandee mwingine kuna mpangaji hapo😂😂 baba Qaillah
@daimavlog
@daimavlog 11 ай бұрын
Shida iko wapi?
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 11 ай бұрын
Zinauzwa izo anaweza nunua
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 11 ай бұрын
😮 duh wanadam et naamin
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw 10 ай бұрын
wacha wivu ww
@agnessima5032
@agnessima5032 9 ай бұрын
​@@lifeinmiddleeast8179 yaani watu wana mawazo hasi sana...nashindwa kuwaelewa kabisa.
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 9 ай бұрын
Mbona haujatuonesha ndani kote, sijaenjoy 😢
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 8 ай бұрын
Ili ieweje
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 11 ай бұрын
HIYO DISIKAVARI ATAZEEKA NAYO
@ibrahimngulungu
@ibrahimngulungu 11 ай бұрын
Mpe yako bro😊😅😅
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 11 ай бұрын
@@ibrahimngulungu mbn km unaufokea ukweli 😀
@RhodaLudigija
@RhodaLudigija 11 ай бұрын
Hakukuelewa
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 11 ай бұрын
Jamani hivi ni mimi tu au Shetta kafanya bonge la igizo hapo kuwa eti mwanawe km ka drive kutoka supermarket yy na mdogo wake. Eti na baba mtu alikuwa kalala mhhhhhhhh. Sasa huko supermarket alifuata ni i mbona kaja mikono mikavu😅maisha yako Shetta MashaAllah ni mazuri lkn hapo umeigiza bila ya sababu yoyote
@hamisahodari9229
@hamisahodari9229 11 ай бұрын
😂
@christinalawrence7493
@christinalawrence7493 10 ай бұрын
Lbd kaacha vitu down stairs
@everlyne8595
@everlyne8595 9 ай бұрын
Huyo mtot ana drive ukweliii kbisaaa co maigizo nilishawahi muona live
@Prisca-sn3zd
@Prisca-sn3zd 9 ай бұрын
@@everlyne8595weww umemjulia wap huyo mtoto wa sheta
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 8 ай бұрын
Kama Nono wa aunt Ezekiel anawasha gari sasa huyu atashindwa kuendesha?😂😂
@Bmsecret
@Bmsecret 11 ай бұрын
Kiukweli jamaa kataka soda lkn haya tu ila kamaindi sana
@user-mp3fb9gu8g
@user-mp3fb9gu8g 5 ай бұрын
😂😂😂umewaza kama mm
@FreddyWamanya
@FreddyWamanya 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@saidtembele3070
@saidtembele3070 8 ай бұрын
Salehe ukiingia ushuani unakuwa mpole huna mbwembwe za kuingia ingia na kutoka
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj 11 ай бұрын
Kay hongerakwakujistiri
@kingkendrickk
@kingkendrickk 7 ай бұрын
Rudiana na mkeo mlee watoto hao
@gracemabula418
@gracemabula418 7 ай бұрын
🔥
@sf2tv
@sf2tv 11 ай бұрын
Nakubali
@user-lu3vl6vf4e
@user-lu3vl6vf4e 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@AlinanusweMwanyangala-ir6hp
@AlinanusweMwanyangala-ir6hp 11 ай бұрын
Mziki au madawa🧐
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 11 ай бұрын
Lima ndizi ndugu yangu😂😂😂😂
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q 11 ай бұрын
Kumbe ndo maana jamaa anamchukia #shetta. Sababu ana maendeleo na aliyapata kabla yake. Yeye ni mgonjwa wa maendeleo ya wengine! Anataka atajike yeye tu!
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 11 ай бұрын
Uko sahihi kabisa
@santielpascal9777
@santielpascal9777 11 ай бұрын
@user-mp3fb9gu8g
@user-mp3fb9gu8g 5 ай бұрын
Hapo kwenye maji
@user-oc5fe9vx1p
@user-oc5fe9vx1p 11 ай бұрын
Qamrah km kawaida 😂😂😂😂😂
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 7 ай бұрын
Amelala na jeans
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Sikutegemea🙏🏼🙏🙏🏼
@SalehSaleh-dz8bn
@SalehSaleh-dz8bn 11 ай бұрын
Amin yan
@user-le5jz2xu1o
@user-le5jz2xu1o 5 ай бұрын
Sheta akil nyingi
@user-lz8tw5pj8n
@user-lz8tw5pj8n 3 ай бұрын
Mama wap
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 8 ай бұрын
Swaleh sio kawaida yako kuhoji hivyo mbona apo kwa shetta kama una aibu flani sio kama ilivyokua kwa amissi bss na bi star kulikoni
@fatmahchambo2037
@fatmahchambo2037 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@JamilaHassan-xl4sn
@JamilaHassan-xl4sn 7 ай бұрын
😅😂😂
@user-zo9ti2xe1z
@user-zo9ti2xe1z 11 ай бұрын
uko sw kizazi
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 11 ай бұрын
Kaila ana drive mm nimekaa tu hapa,czarau hii
@Mayra574
@Mayra574 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@johngerald4677
@johngerald4677 11 ай бұрын
Uyo kaila aache dharau
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 11 ай бұрын
😂😂we acha
@rahiyayousaf3093
@rahiyayousaf3093 11 ай бұрын
😅😅😅😅..umeonaeee
@GubraCity-dm5sx
@GubraCity-dm5sx 11 ай бұрын
Dogs anadharau ujue😂😂
@starsketingclub257
@starsketingclub257 11 ай бұрын
Had rah
@RhodaLudigija
@RhodaLudigija 11 ай бұрын
Mama yao yuko wap?
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 26 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 26 МЛН