Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 182
@mumyhendry29199 ай бұрын
She's so humble,I love her personality🥰🥰🥰
@aminaomary55675 ай бұрын
Halima ongera sana tena sana,nyumba yako mzuri na mipangirio yako safi.Lakini huyo mbwa usifungie hivyo inmates.Fanya kama Mbwa wa Wema Sepetu Chimama wa Whozu.❤❤❤👍👍
@michaeljohn90709 ай бұрын
So charming,,napenda sana wadada wa hivi jmn
@OnlyRuky9 ай бұрын
She's very beautiful Mashaalah and humble ❤️All the best ktk 5 bora nakuona🙏
@rithaferdinand37389 ай бұрын
Hapo angekuwa Diva wa wasafi ss alooooooh tungekoma cc
@allthingdranabeauty9 ай бұрын
Pazuri safi hongera kwakwe wow❤
@halimamusaamiri41879 ай бұрын
Hongera sana
@jacquelinekennedy57409 ай бұрын
She is so cute i love her❤❤
@lightnessmaginga8 ай бұрын
Amazing 😂🎉🎉🎉🎉😊
@user-ie7nt8yj1b8 ай бұрын
This is nice
@user-sl2fk3sb2v5 ай бұрын
Safi halima.❤.
@tatually13667 ай бұрын
Urembo kwa 🎉 hongera 🌹
@morjanoman51817 ай бұрын
Ongera. Sana dada
@user-bi8wx3rl2s9 ай бұрын
Be blessed
@user-rt6ps3ub6x9 ай бұрын
Ubalikiwe urudi na ushindiii❤️
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Nilikuwa napendaga miss tanzania
@MinashyBeb-ji5fx9 ай бұрын
🥰🥰🥰pazuri
@leaherasto9299 ай бұрын
Mungu akusimamie ushinde
@meennahmtey80019 ай бұрын
Dada nmekupenda bule
@najmasalim-rg6ow9 ай бұрын
Dawa zinahifadhiwa jikon
@user-wz3zv4pl4s9 ай бұрын
all the best you are very beauty complete❤
@faidhacute9 ай бұрын
Ila nampendaga huyu mdada anavosmile, anavowalk she has cut walk ❤❤❤
@ismailmajala28029 ай бұрын
Okay naww unakasura kazuri sasa sijajua tabia zako Nyingine 🤣🤣🤣🤌🏾🙌🏾🤦🏽♂️
@FlorenceKichenje-ys5is9 ай бұрын
Very proud to her😍
@mkondyaesther50744 ай бұрын
Huyu dada ni mrembo sana❤
@claudialupimo76147 ай бұрын
All the best darling... ❤❤
@saburimpimbita21327 ай бұрын
🎉
@happinesskitali1649 ай бұрын
Kazur
@kendimutunga8 ай бұрын
Halima your beautiful gal
@KiswiririSwaliki8 ай бұрын
Mdada mzuri hana majivuno nmependa style yake
@user-iv1kp9zz3f9 ай бұрын
I'm impressing she is so real
@paulabelleghe4519 ай бұрын
Nampenda Yuko open haringi,sio wengine wanajikuta mamtoni atar
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ni kwel halingi
@basillamwanukuzi58869 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ata mimi napenda sana wanja japo ninazo nyusi nyingi
@christinembeye54899 ай бұрын
Beautiful Girl 🔥🔥
@nakilingwembele95049 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-yf9fg8jp6b9 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-mg1mo2kh3x9 ай бұрын
Nimependa kilakitu ❤
@princessmimi44049 ай бұрын
Insha Allah tutakupigia kura angalau mwaka huu tuchukue wa tz
@nancyg86649 ай бұрын
Ila usuper staa ni mzigo yan ukirudia nguo tu kwenye events utaongelewa ndan na nje ya nchi
@user-dk3ss9ts7n8 ай бұрын
Amenyata
@esterkabigili8 ай бұрын
You are blessed ❤❤
@barikiwa229 ай бұрын
she is charming, anaonekana ana akili na mtulivu, good job.
@bjzee19819 ай бұрын
Asiwe kama wema tu jamani
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio kacheshi na kazur
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Anapenda kioo Kama mimi
@watotowamaria84047 ай бұрын
Ndo alikuwa anaongozag darasani kwao wakati anasoma Don bosco secondary school yaan ni ana miakili sanaa
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mzur halafu mrembo
@user-iw9tg3zz4p5 ай бұрын
Rihanna ❤
@irenekayombo55094 ай бұрын
Mzuri mwenyewe,mcheshi
@SaidaKatoto-ns9jm8 ай бұрын
Dada halima nimesikia unasaidia jamii mimi naomba unisaidie nauguliwa na watoto nahitaji bima tu watibiwe mamii
@LeylaHamisi-qh3kb9 ай бұрын
Kibonge katoka mbio uyo
@monnahamour98929 ай бұрын
😂😂😂
@user-sn6dc9gh8k9 ай бұрын
Na komwe ila kawa mshindi❤hvo acha k2kana wenye komwe😢❤❤
@ismailmajala28029 ай бұрын
😂😂😂😂 manina
@ummusalim19919 ай бұрын
😂
@ummusalim19919 ай бұрын
@@ismailmajala2802kidogooo😅
@khadjamhozya9 ай бұрын
Ni mzuri sema hana sauti nzuri, MORA hakupi vyote
@mwitaagness4559 ай бұрын
Watu banaaa sasa sauti imefanyaje puuuuuuuuuu, ebu muogopen Mungu
@mwitaagness4559 ай бұрын
Mbona wewe umeandika *mora* shame ni mola hujui hata R uweke wapi na L uweke wapi fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@user-jw8nd4qj6n8 ай бұрын
Acha kuukosoa uumbaji wa Mungu.
@rynesawaya70435 ай бұрын
@@mwitaagness455kuna watu wanachuki za waz kabisa,hasa sisi wanawake tuna roho mbaya sana,saut yake nzur sio mbya ni wivu tu
@StanMrema24 күн бұрын
1:24 who is this guy😂
@alexkayombo27257 ай бұрын
1:24 aliekimbiaa ni sponsa au 😅😅😅
@ummusalim19919 ай бұрын
Kuwa miss Tanzania ndio mpaka mtu aende tupuu jamaniii😢 Heri dada wa kiislamu abakie tu hivyo hivyo😢😢😢😢
@michaellagwen81987 ай бұрын
Kuna viumbe vinaishi bwana😢😢
@glorianikiza39409 ай бұрын
So cute
@dn.n49839 ай бұрын
Be bless umeshinda wewe ukipata taji nitafute
@zuenajohn83259 ай бұрын
Ni mzuri sn hongera. Ila achana basi na lugha za kigeni kila dakika.
@Sheisparis9 ай бұрын
Akienda miss world 🌎 haongei kiswahili alaf kazi zake nyingi watu anaofanyanao kaz ni wanaongea kingereza
@user-jd9xd3gk3m9 ай бұрын
Wivu tu aongee kiswahili sana wakt anaenda miss world kizungu huwa kinasaulika
@user-hw7kz8rv2c2 ай бұрын
Hooo
@markgeorge29298 ай бұрын
Watangazaji wa kibongo wamekariri maswali yaani swali lao kuu ni bei za vitu. Hawana maswali ya maana yenye udadisi.
@faithtumaini-mg3ck9 ай бұрын
Kura yapigwajee? Ila utashinda
@evalinmwita31939 ай бұрын
Mshike huyo mubaba😂😂
@naimamohamed22168 ай бұрын
Mm nimempenda na nimemuamini kumbe ni kabint kenye nguvu baba lote lile ,ana linyanyua
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mimi mwenyewe napenda mekapu napenda kujipamba na kupamba watu
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mpendeza na mtangazaji kapendeza
@MusaMkembela-ex6ev7 ай бұрын
Na mahelen hayo au na ww mmeo anayo
@dayana5513story9 ай бұрын
🥰🥰🥰
@user-cv1eg1xd4y3 ай бұрын
Kuna baba katoka mbio 😂😂😂😂😂
@kagirasta14768 ай бұрын
Nani kamuona Mubaba 😂😂😂 unakimbia chumban
@FadhilaOmary7 ай бұрын
😂😂😂😂
@AdaTarck-xo7pl9 ай бұрын
Kunambaba alijificha nimemuona😁😁
@yvonnelaurentlaurent81868 ай бұрын
ni rafiki yake Jerry jamani
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Vitanda hivyo walivitangazaga wanaviuza vizur
@bjzee19819 ай бұрын
Sasaaa huyu ni wa take away tu. Hajui kupika
@SafiyaJ-yw2vt8 ай бұрын
Hata mm nilitaka kuuliza hizo nywele mwandishi umenisaidia kuuliza
@Real-fact235 ай бұрын
Kuna mtu ameleft group video inavyoanz anaonekana tu 😂😂
@user-yb6wh1bk9d8 ай бұрын
Mbona hujamtolea mgeni soda n kashaziona
@aishadanda17878 ай бұрын
Unaingea vibaya
@nunnyissah70275 ай бұрын
Ndo maana ukaitwa danda
@marypharles8149 ай бұрын
izo dawa znaitwaje 😥
@agnessima50329 ай бұрын
Follic acid
@mnaromajengo91556 ай бұрын
Lila linaelekea wap jamn 😂😂😂
@barakajoseph22347 ай бұрын
Lile lidingilii lenye tumbo kubwa limekimbilia chumbani kule mngelihoji nalenyewe ilo li ankoli
@RachelJackison9 ай бұрын
I'm single nayule mbaba alokimbilia chumbani wakati Wana ingia😂😂😂
@nancyg86649 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@nancyg86649 ай бұрын
Mbona chagunene sana af alivotembea kama shoga🤣
@reenaamar48759 ай бұрын
@@nancyg8664😀😀😀😀
@hawaaman31729 ай бұрын
😂😂😂😂bonge la bwana
@timothmwakakusyu45638 ай бұрын
Mshika pembe😢😢😢😢
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio mbona zipi hizo dresing tebo za choon
@user-db3jp3nn6x9 ай бұрын
Jaman napenda umiss mimi but sina mdhamini😢
@user-yy9jp3ll8p9 ай бұрын
Tuma picha ako tukuone kwanza ndo tukutaftie mdhamini😂😂😂😂
Sema ili jamaa Lina enjoy linakutana na mastaa alafu mamisosi na nini.
@nunnyissah70275 ай бұрын
Acha njaàa😅
@bennamush46169 ай бұрын
Kwahyo salehe wewe umesomea kuchunguza maisha ya watu 🤣🤣
@timothmwakakusyu45638 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@furahakimisha71629 ай бұрын
In
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mim nadamu nyingi nikijikata uwa zinatokaga nyingi
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ukienda mungu akusaidie jaman halafu miss imeludi tena kuna kipindi kama ilikufa hivi
@tiffanythomas14029 ай бұрын
Ivi hivi vitu vipogo
@user-yb6wh1bk9d8 ай бұрын
Niombeeni hiyo nafasi y kupika tu
@user-zr2gg8cq2v9 ай бұрын
Huyo jamaa bonge alikimbia kabixa au nimemuona pekeangu
@AishaSauko-sn3wn9 ай бұрын
mimi pia
@nuruchaula1289 ай бұрын
Ata mimi mecheka kifala
@rehemavickie65219 ай бұрын
Haha nimemuona
@user-dn8so9pe1j8 ай бұрын
Bongee alikimbia sanaa kakimbilia chumba cha wageni hahaha
@nancyg86649 ай бұрын
Mataili ya iyo gari sijaelewa ni yameisha upepo au
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Kabisa jaman unapenda kutowa sadaka kama mimi ubarikiwe ata hamisa anajitaidi kwa hilo
@nunnyissah70275 ай бұрын
Atapika saa ngapi na yuko busy na maokoto
@aminatanzanya74758 ай бұрын
Na komwe lake kashind hii ndio Tz ila kimataifa....!
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mimi napenda viazi ata baba anapenda na ndizi pia napenda
@BabaBalingasi-hp6gd8 ай бұрын
Njoo unipikie Viazi
@shabanimwinyikhery11748 ай бұрын
Naona kuna chibonge ameenda kujificha kule ndan
@angelamgalula84578 ай бұрын
Ni sickeler?? Wanamezaga pia watu wenye sickle cell hizo folic acid
@kellynelove3808Ай бұрын
Huyu ndo alikuwa anatuwakilisha huko duniani??💔😒😒
@lujuomjanja28669 ай бұрын
MMMMMMMH! KAZI TUNAYO WATZZZ!
@user-yb6wh1bk9d8 ай бұрын
Km anataka mpishi mwambieni aniite mm Kwa Cku anayo tamani kupikiwa km biriyani chochote naombeni mwambieni miss Tanzania wetu Kwa kupika tu ht pizza 🍕 vibait
@user-yb6wh1bk9d8 ай бұрын
Hiyo kura unapiganye nikupigie
@dorothymella47199 ай бұрын
Tunguo tufupi sana mpaka ukikaa unajikinga na mitoo
@user-tx9ke3cz5e4 ай бұрын
Ulitaka avae maguo yanayofagia barabara. Anabana kuendana na nafasi aliyonayo. Mwacheni mtoto wa watu,akimaliza umiss atavaa mibuluzo ya kusagidha mitaa bila fagio
@Excel-Elevation-School9 ай бұрын
Hyo stock ya Jagermeister imeshona
@lifeofa.butoyi50347 ай бұрын
Amefikiya wapi sasa mwenye mashindano?
@watotowamaria84047 ай бұрын
Wamehairisha mpaka mwakan 2024 mwez wa tatu kwahyo bado hajaenda
@albert-kkitwenga48895 ай бұрын
Ndo wapo India kwa ajili ya mashindano now. From 18/02-09/03/2024