No video

NYUMBANI KWA MISS TZ 2022 | HALIMA KOPWE | HADI OFISI YAKE IPO HUMOHUMO

  Рет қаралды 129,543

ZamaradiTV

ZamaradiTV

9 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 182
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 9 ай бұрын
She's so humble,I love her personality🥰🥰🥰
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 ай бұрын
Halima ongera sana tena sana,nyumba yako mzuri na mipangirio yako safi.Lakini huyo mbwa usifungie hivyo inmates.Fanya kama Mbwa wa Wema Sepetu Chimama wa Whozu.❤❤❤👍👍
@michaeljohn9070
@michaeljohn9070 9 ай бұрын
So charming,,napenda sana wadada wa hivi jmn
@OnlyRuky
@OnlyRuky 9 ай бұрын
She's very beautiful Mashaalah and humble ❤️All the best ktk 5 bora nakuona🙏
@rithaferdinand3738
@rithaferdinand3738 9 ай бұрын
Hapo angekuwa Diva wa wasafi ss alooooooh tungekoma cc
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 9 ай бұрын
Pazuri safi hongera kwakwe wow❤
@halimamusaamiri4187
@halimamusaamiri4187 9 ай бұрын
Hongera sana
@jacquelinekennedy5740
@jacquelinekennedy5740 9 ай бұрын
She is so cute i love her❤❤
@lightnessmaginga
@lightnessmaginga 8 ай бұрын
Amazing 😂🎉🎉🎉🎉😊
@user-ie7nt8yj1b
@user-ie7nt8yj1b 8 ай бұрын
This is nice
@user-sl2fk3sb2v
@user-sl2fk3sb2v 5 ай бұрын
Safi halima.❤.
@tatually1366
@tatually1366 7 ай бұрын
Urembo kwa 🎉 hongera 🌹
@morjanoman5181
@morjanoman5181 7 ай бұрын
Ongera. Sana dada
@user-bi8wx3rl2s
@user-bi8wx3rl2s 9 ай бұрын
Be blessed
@user-rt6ps3ub6x
@user-rt6ps3ub6x 9 ай бұрын
Ubalikiwe urudi na ushindiii❤️
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Nilikuwa napendaga miss tanzania
@MinashyBeb-ji5fx
@MinashyBeb-ji5fx 9 ай бұрын
🥰🥰🥰pazuri
@leaherasto929
@leaherasto929 9 ай бұрын
Mungu akusimamie ushinde
@meennahmtey8001
@meennahmtey8001 9 ай бұрын
Dada nmekupenda bule
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 9 ай бұрын
Dawa zinahifadhiwa jikon
@user-wz3zv4pl4s
@user-wz3zv4pl4s 9 ай бұрын
all the best you are very beauty complete❤
@faidhacute
@faidhacute 9 ай бұрын
Ila nampendaga huyu mdada anavosmile, anavowalk she has cut walk ❤❤❤
@ismailmajala2802
@ismailmajala2802 9 ай бұрын
Okay naww unakasura kazuri sasa sijajua tabia zako Nyingine 🤣🤣🤣🤌🏾🙌🏾🤦🏽‍♂️
@FlorenceKichenje-ys5is
@FlorenceKichenje-ys5is 9 ай бұрын
Very proud to her😍
@mkondyaesther5074
@mkondyaesther5074 4 ай бұрын
Huyu dada ni mrembo sana❤
@claudialupimo7614
@claudialupimo7614 7 ай бұрын
All the best darling... ❤❤
@saburimpimbita2132
@saburimpimbita2132 7 ай бұрын
🎉
@happinesskitali164
@happinesskitali164 9 ай бұрын
Kazur
@kendimutunga
@kendimutunga 8 ай бұрын
Halima your beautiful gal
@KiswiririSwaliki
@KiswiririSwaliki 8 ай бұрын
Mdada mzuri hana majivuno nmependa style yake
@user-iv1kp9zz3f
@user-iv1kp9zz3f 9 ай бұрын
I'm impressing she is so real
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 9 ай бұрын
Nampenda Yuko open haringi,sio wengine wanajikuta mamtoni atar
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ni kwel halingi
@basillamwanukuzi5886
@basillamwanukuzi5886 9 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ata mimi napenda sana wanja japo ninazo nyusi nyingi
@christinembeye5489
@christinembeye5489 9 ай бұрын
Beautiful Girl 🔥🔥
@nakilingwembele9504
@nakilingwembele9504 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-yf9fg8jp6b
@user-yf9fg8jp6b 9 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-mg1mo2kh3x
@user-mg1mo2kh3x 9 ай бұрын
Nimependa kilakitu ❤
@princessmimi4404
@princessmimi4404 9 ай бұрын
Insha Allah tutakupigia kura angalau mwaka huu tuchukue wa tz
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
Ila usuper staa ni mzigo yan ukirudia nguo tu kwenye events utaongelewa ndan na nje ya nchi
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n 8 ай бұрын
Amenyata
@esterkabigili
@esterkabigili 8 ай бұрын
You are blessed ❤❤
@barikiwa22
@barikiwa22 9 ай бұрын
she is charming, anaonekana ana akili na mtulivu, good job.
@bjzee1981
@bjzee1981 9 ай бұрын
Asiwe kama wema tu jamani
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ndio kacheshi na kazur
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Anapenda kioo Kama mimi
@watotowamaria8404
@watotowamaria8404 7 ай бұрын
Ndo alikuwa anaongozag darasani kwao wakati anasoma Don bosco secondary school yaan ni ana miakili sanaa
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mzur halafu mrembo
@user-iw9tg3zz4p
@user-iw9tg3zz4p 5 ай бұрын
Rihanna ❤
@irenekayombo5509
@irenekayombo5509 4 ай бұрын
Mzuri mwenyewe,mcheshi
@SaidaKatoto-ns9jm
@SaidaKatoto-ns9jm 8 ай бұрын
Dada halima nimesikia unasaidia jamii mimi naomba unisaidie nauguliwa na watoto nahitaji bima tu watibiwe mamii
@LeylaHamisi-qh3kb
@LeylaHamisi-qh3kb 9 ай бұрын
Kibonge katoka mbio uyo
@monnahamour9892
@monnahamour9892 9 ай бұрын
😂😂😂
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 9 ай бұрын
Na komwe ila kawa mshindi❤hvo acha k2kana wenye komwe😢❤❤
@ismailmajala2802
@ismailmajala2802 9 ай бұрын
😂😂😂😂 manina
@ummusalim1991
@ummusalim1991 9 ай бұрын
😂
@ummusalim1991
@ummusalim1991 9 ай бұрын
​@@ismailmajala2802kidogooo😅
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Ni mzuri sema hana sauti nzuri, MORA hakupi vyote
@mwitaagness455
@mwitaagness455 9 ай бұрын
Watu banaaa sasa sauti imefanyaje puuuuuuuuuu, ebu muogopen Mungu
@mwitaagness455
@mwitaagness455 9 ай бұрын
Mbona wewe umeandika *mora* shame ni mola hujui hata R uweke wapi na L uweke wapi fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@user-jw8nd4qj6n
@user-jw8nd4qj6n 8 ай бұрын
Acha kuukosoa uumbaji wa Mungu.
@rynesawaya7043
@rynesawaya7043 5 ай бұрын
​@@mwitaagness455kuna watu wanachuki za waz kabisa,hasa sisi wanawake tuna roho mbaya sana,saut yake nzur sio mbya ni wivu tu
@StanMrema
@StanMrema 24 күн бұрын
1:24 who is this guy😂
@alexkayombo2725
@alexkayombo2725 7 ай бұрын
1:24 aliekimbiaa ni sponsa au 😅😅😅
@ummusalim1991
@ummusalim1991 9 ай бұрын
Kuwa miss Tanzania ndio mpaka mtu aende tupuu jamaniii😢 Heri dada wa kiislamu abakie tu hivyo hivyo😢😢😢😢
@michaellagwen8198
@michaellagwen8198 7 ай бұрын
Kuna viumbe vinaishi bwana😢😢
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 9 ай бұрын
So cute
@dn.n4983
@dn.n4983 9 ай бұрын
Be bless umeshinda wewe ukipata taji nitafute
@zuenajohn8325
@zuenajohn8325 9 ай бұрын
Ni mzuri sn hongera. Ila achana basi na lugha za kigeni kila dakika.
@Sheisparis
@Sheisparis 9 ай бұрын
Akienda miss world 🌎 haongei kiswahili alaf kazi zake nyingi watu anaofanyanao kaz ni wanaongea kingereza
@user-jd9xd3gk3m
@user-jd9xd3gk3m 9 ай бұрын
Wivu tu aongee kiswahili sana wakt anaenda miss world kizungu huwa kinasaulika
@user-hw7kz8rv2c
@user-hw7kz8rv2c 2 ай бұрын
Hooo
@markgeorge2929
@markgeorge2929 8 ай бұрын
Watangazaji wa kibongo wamekariri maswali yaani swali lao kuu ni bei za vitu. Hawana maswali ya maana yenye udadisi.
@faithtumaini-mg3ck
@faithtumaini-mg3ck 9 ай бұрын
Kura yapigwajee? Ila utashinda
@evalinmwita3193
@evalinmwita3193 9 ай бұрын
Mshike huyo mubaba😂😂
@naimamohamed2216
@naimamohamed2216 8 ай бұрын
Mm nimempenda na nimemuamini kumbe ni kabint kenye nguvu baba lote lile ,ana linyanyua
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mimi mwenyewe napenda mekapu napenda kujipamba na kupamba watu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mpendeza na mtangazaji kapendeza
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 7 ай бұрын
Na mahelen hayo au na ww mmeo anayo
@dayana5513story
@dayana5513story 9 ай бұрын
🥰🥰🥰
@user-cv1eg1xd4y
@user-cv1eg1xd4y 3 ай бұрын
Kuna baba katoka mbio 😂😂😂😂😂
@kagirasta1476
@kagirasta1476 8 ай бұрын
Nani kamuona Mubaba 😂😂😂 unakimbia chumban
@FadhilaOmary
@FadhilaOmary 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@AdaTarck-xo7pl
@AdaTarck-xo7pl 9 ай бұрын
Kunambaba alijificha nimemuona😁😁
@yvonnelaurentlaurent8186
@yvonnelaurentlaurent8186 8 ай бұрын
ni rafiki yake Jerry jamani
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Vitanda hivyo walivitangazaga wanaviuza vizur
@bjzee1981
@bjzee1981 9 ай бұрын
Sasaaa huyu ni wa take away tu. Hajui kupika
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 8 ай бұрын
Hata mm nilitaka kuuliza hizo nywele mwandishi umenisaidia kuuliza
@Real-fact23
@Real-fact23 5 ай бұрын
Kuna mtu ameleft group video inavyoanz anaonekana tu 😂😂
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 8 ай бұрын
Mbona hujamtolea mgeni soda n kashaziona
@aishadanda1787
@aishadanda1787 8 ай бұрын
Unaingea vibaya
@nunnyissah7027
@nunnyissah7027 5 ай бұрын
Ndo maana ukaitwa danda
@marypharles814
@marypharles814 9 ай бұрын
izo dawa znaitwaje 😥
@agnessima5032
@agnessima5032 9 ай бұрын
Follic acid
@mnaromajengo9155
@mnaromajengo9155 6 ай бұрын
Lila linaelekea wap jamn 😂😂😂
@barakajoseph2234
@barakajoseph2234 7 ай бұрын
Lile lidingilii lenye tumbo kubwa limekimbilia chumbani kule mngelihoji nalenyewe ilo li ankoli
@RachelJackison
@RachelJackison 9 ай бұрын
I'm single nayule mbaba alokimbilia chumbani wakati Wana ingia😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
Mbona chagunene sana af alivotembea kama shoga🤣
@reenaamar4875
@reenaamar4875 9 ай бұрын
@@nancyg8664😀😀😀😀
@hawaaman3172
@hawaaman3172 9 ай бұрын
😂😂😂😂bonge la bwana
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 8 ай бұрын
Mshika pembe😢😢😢😢
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ndio mbona zipi hizo dresing tebo za choon
@user-db3jp3nn6x
@user-db3jp3nn6x 9 ай бұрын
Jaman napenda umiss mimi but sina mdhamini😢
@user-yy9jp3ll8p
@user-yy9jp3ll8p 9 ай бұрын
Tuma picha ako tukuone kwanza ndo tukutaftie mdhamini😂😂😂😂
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 9 ай бұрын
​@@user-yy9jp3ll8p😂😂
@siasia5469
@siasia5469 9 ай бұрын
​@@user-yy9jp3ll8p😂😂😂
@mwitaagness455
@mwitaagness455 9 ай бұрын
Haina haja ya udhamini mumy ukisikia msimu umefika kajiandikishe, anzia mkoani kwenu
@CosmasSengenge
@CosmasSengenge 4 ай бұрын
Bonge la njemba
@eagleeyes4449
@eagleeyes4449 8 ай бұрын
Sema ili jamaa Lina enjoy linakutana na mastaa alafu mamisosi na nini.
@nunnyissah7027
@nunnyissah7027 5 ай бұрын
Acha njaàa😅
@bennamush4616
@bennamush4616 9 ай бұрын
Kwahyo salehe wewe umesomea kuchunguza maisha ya watu 🤣🤣
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@furahakimisha7162
@furahakimisha7162 9 ай бұрын
In
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mim nadamu nyingi nikijikata uwa zinatokaga nyingi
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Ukienda mungu akusaidie jaman halafu miss imeludi tena kuna kipindi kama ilikufa hivi
@tiffanythomas1402
@tiffanythomas1402 9 ай бұрын
Ivi hivi vitu vipogo
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 8 ай бұрын
Niombeeni hiyo nafasi y kupika tu
@user-zr2gg8cq2v
@user-zr2gg8cq2v 9 ай бұрын
Huyo jamaa bonge alikimbia kabixa au nimemuona pekeangu
@AishaSauko-sn3wn
@AishaSauko-sn3wn 9 ай бұрын
mimi pia
@nuruchaula128
@nuruchaula128 9 ай бұрын
Ata mimi mecheka kifala
@rehemavickie6521
@rehemavickie6521 9 ай бұрын
Haha nimemuona
@user-dn8so9pe1j
@user-dn8so9pe1j 8 ай бұрын
Bongee alikimbia sanaa kakimbilia chumba cha wageni hahaha
@nancyg8664
@nancyg8664 9 ай бұрын
Mataili ya iyo gari sijaelewa ni yameisha upepo au
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Kabisa jaman unapenda kutowa sadaka kama mimi ubarikiwe ata hamisa anajitaidi kwa hilo
@nunnyissah7027
@nunnyissah7027 5 ай бұрын
Atapika saa ngapi na yuko busy na maokoto
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 8 ай бұрын
Na komwe lake kashind hii ndio Tz ila kimataifa....!
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 8 ай бұрын
Mimi napenda viazi ata baba anapenda na ndizi pia napenda
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd 8 ай бұрын
Njoo unipikie Viazi
@shabanimwinyikhery1174
@shabanimwinyikhery1174 8 ай бұрын
Naona kuna chibonge ameenda kujificha kule ndan
@angelamgalula8457
@angelamgalula8457 8 ай бұрын
Ni sickeler?? Wanamezaga pia watu wenye sickle cell hizo folic acid
@kellynelove3808
@kellynelove3808 Ай бұрын
Huyu ndo alikuwa anatuwakilisha huko duniani??💔😒😒
@lujuomjanja2866
@lujuomjanja2866 9 ай бұрын
MMMMMMMH! KAZI TUNAYO WATZZZ!
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 8 ай бұрын
Km anataka mpishi mwambieni aniite mm Kwa Cku anayo tamani kupikiwa km biriyani chochote naombeni mwambieni miss Tanzania wetu Kwa kupika tu ht pizza 🍕 vibait
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 8 ай бұрын
Hiyo kura unapiganye nikupigie
@dorothymella4719
@dorothymella4719 9 ай бұрын
Tunguo tufupi sana mpaka ukikaa unajikinga na mitoo
@user-tx9ke3cz5e
@user-tx9ke3cz5e 4 ай бұрын
Ulitaka avae maguo yanayofagia barabara. Anabana kuendana na nafasi aliyonayo. Mwacheni mtoto wa watu,akimaliza umiss atavaa mibuluzo ya kusagidha mitaa bila fagio
@Excel-Elevation-School
@Excel-Elevation-School 9 ай бұрын
Hyo stock ya Jagermeister imeshona
@lifeofa.butoyi5034
@lifeofa.butoyi5034 7 ай бұрын
Amefikiya wapi sasa mwenye mashindano?
@watotowamaria8404
@watotowamaria8404 7 ай бұрын
Wamehairisha mpaka mwakan 2024 mwez wa tatu kwahyo bado hajaenda
@albert-kkitwenga4889
@albert-kkitwenga4889 5 ай бұрын
Ndo wapo India kwa ajili ya mashindano now. From 18/02-09/03/2024
@ashaabdallah2003
@ashaabdallah2003 9 ай бұрын
Unatesa huyo mbwa, eti my pet wewe wewee
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 56 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 45 МЛН
GETO ANALOISHI HAMIS WA BSS UTALIPENDA/AFUNGUKA KUACHWA NA MZUNGU
30:13
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН