#zandaaani

  Рет қаралды 32,067

Wasafi Media

Wasafi Media

15 күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 45
@DM_15
@DM_15 13 күн бұрын
Mayele top score misiri
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 13 күн бұрын
Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 13 күн бұрын
Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂
@othmantv2654
@othmantv2654 13 күн бұрын
Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂
@GEORGERUTANGANTEVYI
@GEORGERUTANGANTEVYI 13 күн бұрын
❤😊😊😊 ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@mtotowamanka
@mtotowamanka 13 күн бұрын
F
@jamespeter5882
@jamespeter5882 13 күн бұрын
Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki
@RobertChacha-hb9re
@RobertChacha-hb9re 13 күн бұрын
Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂
@josephchuwa1206
@josephchuwa1206 12 күн бұрын
Code nyepesi sana Fei totooooo
@baharanimasoud
@baharanimasoud 13 күн бұрын
Momo upo kama chawa wayangaa
@MohdAli-fl2ef
@MohdAli-fl2ef 13 күн бұрын
Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno
@zickdeus5497
@zickdeus5497 13 күн бұрын
Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki
@richardkokoro3269
@richardkokoro3269 13 күн бұрын
Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?
@victorronald1449
@victorronald1449 13 күн бұрын
Simba hakuwahi kumihitaji
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 13 күн бұрын
Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa
@msomiadam250
@msomiadam250 13 күн бұрын
Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew
@invocavitykitaly2483
@invocavitykitaly2483 13 күн бұрын
1
@user-px6jj4tu7m
@user-px6jj4tu7m 13 күн бұрын
Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.
@AthumanAlly-zw9ni
@AthumanAlly-zw9ni 13 күн бұрын
Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga
@SIMONHERMAN-qv2ln
@SIMONHERMAN-qv2ln 13 күн бұрын
2
@BADAWY575
@BADAWY575 13 күн бұрын
Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini
@taseleli9181
@taseleli9181 13 күн бұрын
Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa
@GabrielAmma-jp1oo
@GabrielAmma-jp1oo 13 күн бұрын
Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana
@bigjizee4130
@bigjizee4130 13 күн бұрын
Lini amedanganya
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 13 күн бұрын
Momo leo umeongeya kikubwa
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 13 күн бұрын
Feisal
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 13 күн бұрын
Belive me Fei anakuja Simba
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 13 күн бұрын
Unaota😂
@olaislukumay2208
@olaislukumay2208 13 күн бұрын
@@hirizonetz9558 hata ndoto huwa na ukweli
@SenoNorbertKiemena
@SenoNorbertKiemena 13 күн бұрын
Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie
@murshidyabdallah1356
@murshidyabdallah1356 11 күн бұрын
Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko
@amaniomar1755
@amaniomar1755 13 күн бұрын
Mbona sielewi
@chillogeorge1383
@chillogeorge1383 13 күн бұрын
Ni Fei toto
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c 13 күн бұрын
Fei huyo
@stn4873
@stn4873 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 13 күн бұрын
Kwani mo na bakhresa nani bilionea?
@TwalibKwelii
@TwalibKwelii 13 күн бұрын
Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 12 күн бұрын
@@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍
@TwalibKwelii
@TwalibKwelii 12 күн бұрын
@@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla
@user-pb3ub3gl4q
@user-pb3ub3gl4q 12 күн бұрын
​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 11 күн бұрын
@@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍
@ekisuka1
@ekisuka1 13 күн бұрын
Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.
@reonardchatanda6371
@reonardchatanda6371 13 күн бұрын
Unaelewa maana ya mkataba?
@stanleymwaselela1849
@stanleymwaselela1849 12 күн бұрын
Feitoto
@chillogeorge1383
@chillogeorge1383 13 күн бұрын
Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa. Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk. Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 21 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 66 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
🔴#LIVE: GOOD MORNING NDANI YA WASAFI FM - 18-07-2024
Wasafi Media
Рет қаралды 318
KIMENUKA: HANS RAFAEL vs JEMEDARI SAID/ HII NI BALAA
21:57
Crown Media
Рет қаралды 68 М.
금메달 기다리는 육상에 진심인 소녀 허들 100미터 챔피언 ㄷㄷ
0:11
SPORTS FULL 스포츠 풀
Рет қаралды 3,4 МЛН
Messi or Ronaldo ? 🤔🤯 #football #talent #wonderkid
0:18
Alex and Deme
Рет қаралды 1,5 МЛН
When Left Footies Win International Titles 🍼🐐
0:19
DeBall
Рет қаралды 3,3 МЛН