Napenda sana nipate masheikh niwasomeshe mana weng hawajasoma, na mimi sijasoma ila kwa masheikh hawa kina huyu, saidi, shafi nowasomeshe
@neemamohamed59269 ай бұрын
Bado Muko na Bachu tu, kweli Bachu katufungulia mwanga wa Haki, Nuru iwe juu yake sheikh Muhammad Bachu, inshallah
@abuuzwiin18769 ай бұрын
Sheikh kwaivyo unatuambia tuendelee kupiga Gita na piano Kama sheikh said kwa nn nyie vijana munamuonea gera sheikh m.bachu wakati yeye Yuko kwenye msitari wa haki.
@yammuhamed7369 ай бұрын
Tunamuonea gere? Yupo katika haki? Hem jibu maswali kisha tuone nani yupo katika haki
Mwambie kukojozi aje nahiyo mada tena kama mwanaume
@twahirburhan37269 ай бұрын
Nyie Masufi tumewachoka na uzushi wenu,mmeshindwa kujibu hoja za uzushi wa Maulid badala yake Mnamshambulia sheikh Bachu
@khamisali59429 ай бұрын
We uwo munaqasha hujauskiliza unachokiesma we na kilichosemwa kwenye munaqsha ni itu viwili tofauti na we huwezi kua mwanafunz wa bachu kama hujaacha usufi yaan bachu aache mambo ya maana ya kufany aje akujibu we wakat masufi wenzio wameshindwa
@awatifomar51856 ай бұрын
Jitahidi kusoma iko siku Allah atakujaalia utaijua hakki ila saa hizi bado kwanza tafuta elimu
@yammuhamed7366 ай бұрын
Ameen ameen yaarabal allameen 🤲❤️
@user-yi3mt2qv7b5 ай бұрын
wew ostadh kushakua huna cha kufanya naongea mimi abuu ahmad anzinjibaar
Kwani hadithi ambazo si zaifu hakuna mpaka mtumie zaifu
@kingahmada38733 ай бұрын
Dua akuombee Nani wew
@rushu12329 ай бұрын
Nasikitikia sana mawahabi haya mambo ni madogo mpaka vijana wadogo ndio wanao mfundisha sheikh wenu huyu amemletea mstalahi alhadithi na yule mwengine juzi amemletea kitabu cha hadithi za wanyama kuzungumza mimba moto kuzimika bado hamukubali hiyo nitabia yakiyahudi.
@abdallahkiwaka59488 ай бұрын
usipende kuongea mitandaoni kama haujaelewa kinachojadiliwa kijana unajidhalilisha kwa wenye akili.
@muftiahmadimahmudulemba19189 ай бұрын
Maa Shaa Allaahu Aaaamiiina
@Mariam99-ld4gw9 ай бұрын
Mashall ah ❤❤❤
@kusweymohamed9 ай бұрын
Simwiti shekh barzanji muwongo kwa sababu ya hadithi dhwaiff bali kwa maneno yake ya udhushi katika barzanji mtume aw mtumi kaingia leo tumboni kwa mamake Amina Aya ilitoka wapi aw Hadith nae bwana mtume ukotumboni wanyama wa bahari na wamsutuni wakasherekea maneno haya nikweli katoa nani maneno haya tuwateni ushaabiki sirudi Tena huko inna akramakum indallah atqaakum
@yammuhamed7369 ай бұрын
So lazima uwe upande huu cha muhimu heshima na wale ambao hawaamini unacho amini wewe
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
@@yammuhamed736swali liko pale pale fundisheni sasa mjadala uliisha watu wa maulidi na wasiokua wa maulidi wanataka kujua jee wanyama waliongea ni kwely maana ust Saida alinyima watu elimu hilo ndio swali la msingi ilkua ust said alifafanue kwa mjadala skizeni wanyama waliongea ukwely fungua kitabu flani flani mwanachuoni flani fungua kitabu flani huna hiki hapa kwa camera lkni sio kuja kusema tu mwampenda mtume hakuna mwislamu asiempenda mtume Bali njia yenu Ina tashwishi sasa fundisheni hii story ya kumkaririsha mtu mashairi mengi mengi wachaneni nayo
@Mariam99-ld4gw9 ай бұрын
Tumemuelewa. Shekh said ❤❤
@yammuhamed7369 ай бұрын
Sanaaa
@jimjam-xg7rv9 ай бұрын
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@SamMus-qn1pu9 ай бұрын
Allah akuongoze kijana ila umekosea unge mtafuta ilo kama una la kumwambia
@abdulkhalfan85869 ай бұрын
MASHAALLAH
@sarboko9 ай бұрын
Kama maneno uloyatumia niyakumzushia mtume basi utaitwa Muongo na maneno yako yatakua yauongo. Na kwanini useme UONGO kufundishi watu Kwani hakuna hadithi za ukweli ukatumia. Hayo maulidi imekua niibada.
@Swalehthabit-gb9ei9 ай бұрын
Km hajuuiiii aseme. Kitu rahisi kwwnini awe mkaidi? Na jambo lengine la kushangaza Kuna wafuasi Wake hyu bachuu ukisema hvi wanaudhika na kujibu kwenye mitandaoni ufidhuli km Wao wako na elimu wajitojeze wao.wwjadiliane na shekh Said . Mwatukera tuu maulid maulid maulidi hamukomi tu.
@HASSANIMAFTAHA-rk1pd8 ай бұрын
Jibu cumeltaja mwenyewe apo big up sana mwalimu nataka nije kusoma kwako
@amiramour8579 ай бұрын
Wewe ndie hujamfahamu shekhe mohd bachu
@hajimuhidini19039 ай бұрын
Wewe pia umekosea huwezi kusoma aya ukasema unadhania aya inasemahivo katka aya hakuna kudhania pia umekuja na surahiyohiyo ya kujitukuza
@yammuhamed7369 ай бұрын
Nilisahau kama ni wala tuzaku au fala tuzaku pia Allah atujaalie tusiwe ni wenye kujikweza
@hajimuhidini19039 ай бұрын
@@yammuhamed736 muhimu tunapo elekezana tujitahidi kutumia busara na tusitumie udhaifu wa mtu kumatngazia aibuzake kwa watu mimi namsifiasana sh saidi Ali hasani wa gongoni ni marachache anaingia katika mizozo isiyo ya lazima Allah atustiri tuwe na Tawadhui
@user-me5do6nh2d9 ай бұрын
Mashallah tabarakallah
@kassamruzuru49139 ай бұрын
Kijana nyie watu wa twariq mnamaskio mabovu kwa kwel. Maan ukimuelewa vizur sheikh Muhammad bachu hajasema barzandji nimuongo laaa wala hajasema kitabu cake nicauongo ila amesema kwamba ndani ya kitabu cha barzandji muna maneno yauongo sio kitab kizima kimebatwilishwa kuwa uongo kwa sababu zakutumia hadithi munkar kaeni chini msikilize vizur msikurupuke( aceni Kiki)
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Naona wewe umevamia basi kwa mbele muulize kibachu topic iliyompeleka huko
@idarusalwi79629 ай бұрын
Mashaallah sheikh mdogo.
@SadatiMustafa-os8ry9 ай бұрын
Wewe jibu walau nukta moja tu.wanyama wadudu wote samaki naviumbe vingine vyote ilipo tunga mimba ya mtume viumbe vyooooote vilipeana khabari kuwa mimba ya mtume imeingia je hayo niyakweli?jibu walau hilo tu
@mohammedmfamau438 ай бұрын
Huyu anaonesha hasa km anapenda kuhongwa ili apotoshe Jamii.shekh ubwabwa
@bakarijuma86979 ай бұрын
Katika usilamu tumekatazw kufanya mzah katika kweli nawew unamfanyi shee mzaha kwakujifany wampenda wew kama kwako unaona alicho kusema niuwongo au nimakosa yawache usijitafutie umarufu kwa kujipatia madhambi mola tusame
@user-ek3zk4bx5j9 ай бұрын
Shehe mwenyewe ndio huyo Bachu ?
@TijosHaba-xi8vy8 ай бұрын
Amiiin
@SamMus-qn1pu9 ай бұрын
Wewe sion kam una akili ingekua una elimu bas ingekua muelewa
@mkubwamasoud27768 ай бұрын
Allah akuongoze unatafuta umaarufu ushauoara
@idarusalwi79629 ай бұрын
We sheikh mdogo umeelesha vizuri lkn mbonaYee Bachu hailewi.
@AbdullahOmar-fv3ld9 ай бұрын
Anajuwa bachu Ni mtego hawezi kujibu
@ShaibmbaroukHemed-mi5rf9 ай бұрын
Wwe katafute mashiawenzako usimpelekee bachu kitabu wape hao mashi walokutuma huna lako jambo katafute uyo mpiga gitaa ust said mukapige gitaa pamoja
@user-od1et5ii1k9 ай бұрын
Hawezi kujibi huyo bachu mandonga keshazoweya kijisifu huyo huyo ni sawa na mandonga tu hata akishindwa basi anaesema kashinda
@user-bg2yc4kw9k9 ай бұрын
Umeniharibia mb zengu ugekua karibu nige kupiga wali
@abdallahmmary85919 ай бұрын
Qruani ni mazingatio ya wenye akili,
@izmamuizmamu65219 ай бұрын
Acha riyaa Wewe kijana
@yammuhamed7369 ай бұрын
Sawa
@ibnayub23749 ай бұрын
KISWAHILI hujui kwanza
@user-di8me2wb7p9 ай бұрын
Kabisa wape wape hao wenye akili kama hata hatujui tuzifananishe na nini akili zao na ilmu zao kumbe hawana ilmu kabsaa waLLAH mawahabi chembelecho yuauf siwani mambumbumbu😂 Matango pori
@yammuhamed7369 ай бұрын
Ni ndugu zetu usiwape maneno makali ivyo😁
@khamisjuma76169 ай бұрын
Hadihti dhaifu huwezi kutumia kujengea hoja ikiwa utapingwa ktk jambo fulani kwani mtume ana mapungufu gani mpaka asiwe kwa hadithi zaifu wakati sifa anazo
@yammuhamed7369 ай бұрын
Hatutaki jazba tunataka vitabu
@jumafaki28919 ай бұрын
Inaonesha maana ya Hadith na hukumu zake huzijui Hadith zaifu zatumika na bachu hilo alijua ndio maana akakwama kujibu suala waja wewe ama Hadith ni zaifu someni mawahabi musiwe wajinga
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
@@jumafaki2891nyinyi wenye elimu na ust said ilkua afundishe umma pale sio bachu atoe kitabu skizeni kitabu flani flani kinasema hivi kuhusu kuongea kwa wanyama mwanachuoni flani amesema hivi watu woote wangeelewa sio lazma bachu aelewe waskilizaji ndio walengwa kila umuulizae atakwambia zii hakuna kitu dini ya kiislamu ni dalili tu sasa wekeni darasa mufundishe umma mjadala uliisha watu wanataka kujua wanyama waliongea lilithubutu hilo kwa dakiki watu wataelewa kirahis
@khamisali59429 ай бұрын
We umeuliza sawli unataka ujibiwe je ukijibiwa na we ukotayar kuulizwa na utuletee majibu usihemkwe kwa kusoma icho kitabu siku mbili ukajiona tayar unajua je utatoa ushahid wanayama waliongea kweli
@samirrubeya23799 ай бұрын
Kejeli pelaka kwa mzazi wako kama hakufunza... Hii mijitu yatoka wapi? Ungetowa video ya kutatuwa shirk na kufuru kwa barazambiiiii ungefanya la maana.Bure kabisa.
@yammuhamed7369 ай бұрын
Usiende kwenye vita ya. Bunduki na visu ndo somo la leo
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Ni kheri mukafute mikojo kwenye kiti Cha watu
@AbdulmajidHyder9 ай бұрын
Ni Vibaraka vya Mayahudi. Huenda wanajitambua ama hata bila ya kujitambua.
@ibrahimjumbe81219 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Bhachu kuenda mombasa kumevurumua mambo mengi
@pavillioncry52419 ай бұрын
Toka apaa kimberley nyimbo uko ndo fani yako
@user-iv3ou4qg4d9 ай бұрын
Umeshaonekana na ww ili usifiwe upate kuongeza kibri.
@mohdhilaly79009 ай бұрын
First eleven ina maana gani kumuambia mwenzio ?
@user-fq6iw1pb7q9 ай бұрын
Kaa kimya shuhulikia masomo yako
@saba-gv3mj9 ай бұрын
Ww unayo ilimu pambana nae Kwak dalili na ushahidi
@jambojomba90429 ай бұрын
Allah akuepushe na kutetea baatil
@princeabuu82978 ай бұрын
Maliza kusoma kwanza alafu ndo umtafute Bhachu kakangu
@jafarijande9 ай бұрын
Hadithi ili ìingie kwenye kundi la hadithi lazima alieihadithia awe muhadithina wa hadithi na dini haina imekamilika usiz ue kitu ukakiingiza kwenye dini, kitaleta migogoro , barzanji sio kitabu miongoni mwa vitabu vya hadithi
@yammuhamed7369 ай бұрын
hujaambiwa barazanji ni kitabu cha hadeeth bali ni kitabu cha kumsifu mtume ambapo ndani yake kuna kipande kina msifu mtume kua wanyama walizungumza kwa kuzaliwa kwake ambayo maneno hayo si ya jafar barazanji kayatunga bali kayatoa kwenye hadeeth ambayo ni dhaifu ndomana akauliza kutumia hadeeth thaifu kwenye kitabu chako ndo tayari kitabu chako ni cha uwongo?
@khamismwalim56049 ай бұрын
Kama unazawad kwel usinge tangaaza mitandaoni
@markazzadlittaalimwalakhla3559 ай бұрын
Huyu naona ajikoroga na anaturegesha nyuma akasikize tena munaqasha vizuri , katika makubaliano yao ni hadithi dhaifu itatumika kwa vigezo gani? Huna jipya shekhe warudiarudia wewe kashike twari upige tungojane siku ya Mahshar.
@omarchaijefwa7299 ай бұрын
Si hata naona umepiga picha na kish ki? Kish ki nimkata viuno?
@user-ik6sf8lh9m9 ай бұрын
Ushakua maarufu jitashid hiyo mitusi munayo watukana watu wa sunna siku ya qiama mutajibu
@HajiJuma-dc2ev9 ай бұрын
Matusi anayowatukana mashekh wetu yeye ataendapeponi????
@HajiJuma-dc2ev9 ай бұрын
Kama kuingia motoni bachu sijui itakuwaje
@neemamohamed59269 ай бұрын
Jibuni Hoja kwanza!
@user-zo6wx9zt3p7 ай бұрын
huyu ndiowle wanaotafuta umaarufu mitandaoni nenda kasome kwanza
@abdallahmmary85919 ай бұрын
Mpo kwa ajili ya makulaji
@abdallahkambangwa72159 ай бұрын
Sheikh hauna elim
@binfarhan8799 ай бұрын
Hajauliza ivyo shekhe Rudi ukaangalia ila Munakash ila uwe unasema ukweli kwa swali aliloulizwa. Itaq Llah swali halikuulizwa hivyo aliuliza la Mtu TU wala sio kitabu.
@osmanmanbile93276 ай бұрын
Ndio maana mawahabii wanapiga kelele bachu aliposema.hamjadili kitabu akalizwa je kitabu pia n uwongo alishindwa Kwa sababu bachu alikua anasema n uwongo Rai yke lkn siku ya munaqasha alishkwa. ..hebu n ww Anglia vizuri munaqasha uone hilo
@RashidAli-ft2om7 ай бұрын
Kasome kwanza umalize Acha ujinga
@yammuhamed7367 ай бұрын
Sawa
@Yousouf-wn1qz9 ай бұрын
Ww unajitia kumbembele unaisi atakujibu nyinyi siolazima mumewe lewe tukimuelewa sisitu inatosha sisi tushajuwa yakwamba maulidi siktk dini rabdautua mbyenimila apotutakufaham.Mahizzibi hiyyi hauzushi
hiindio hatari ya watu wa bidaa Vijana Kama huyu allh amuongoze mtu akesha ingia ktk bidaa hawezi kutubia kwani ahisi ndio dini bidaa yake hiyo
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Bidaa ni uwahabi maana haukuwepo wakati wa Mtume(S.A.W) mnasahau upesi tokeni katika uwahabi ndo bid.a kubwa yenu
@saba-gv3mj9 ай бұрын
Insha Allah Allah atakupa ilimu insha Allah na utafaulu
@yammuhamed7369 ай бұрын
Ameen ameen yaarabal allameen ❤️🤲
@yammuhamed7369 ай бұрын
Nawe pia
@ramadhanisulemani90169 ай бұрын
Huyu nae mweupeee subhaaana llah kasome umekariri ya mtu www...toa ya kwako
@hajimuhidini19039 ай бұрын
Hawa wrote humsikiliza mmoja akisha kusema mmojatu hawajali kama kapatia au kakosea nawao huingia kundini mmemsikiahapo anasema anadhania aya inasema hajuwi katika kufikishia watu huwezi kusema unadhania dhanayako ukainasibisha na wahay pia hadithi munkar kama alivosema ni dhaifu bali kitabu alichoonyesha Taysir Amesema ni dhaifusana na anasema Hadith dhaifu maulamaa wamekubaliana kutumia ktka fadhailil aamali kwaufupi hakuna makubaliyano ya matumizi ya hadithi dhaifu wapo wameonahivo na wapo hawakubalihivo mwisho anaempenda mtume ni yule anaemfuwata mtumeصلى الله عليه وسلم
@saadasaleh31776 ай бұрын
Kwan kuna hadithi dhaifu au MUNKAR !!!?????
@mohammedhassan89229 ай бұрын
Soma kwanza ujue
@humudhemed71779 ай бұрын
Mche Allah Kuna siku utakufa
@yammuhamed7369 ай бұрын
Allah atupe vifo vyema
@mhusinigau32319 ай бұрын
Kwahiyo ww hutakufa
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
@@mhusinigau3231 tumia akil bas
@husseinally55509 ай бұрын
Ona ulivo tahira.nani kasema hafi .Unaelewa maudhui? Yaani nyie mawahabi ni majaahil sana
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
@@husseinally5550 wew juha wa 2 dunia hii toka Allah kaumb
@user-fq6iw1pb7q9 ай бұрын
Kila mtu aseme mpaka wewe ??? Duh
@yammuhamed7369 ай бұрын
Ni kwasababu mie ni msomaji mzuri wa barazanji hivyo limenigusa tena kaanza mlango ambao nikiusoma natunzwa mpaka nauli
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
@@yammuhamed736 subhnllh wallah Allah akuongz kwny haki
@yammuhamed7369 ай бұрын
@@fayeezabdallah2217 sote kwa ujumla
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
@@yammuhamed736 usisem sot kwa jumla sema mim kwa ujumla
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
@@fayeezabdallah2217hujaongozwa wewe!
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
wallah Allah hawez kukusamh wakt unatetea uwong bil chenga chunga manen yk juha mkubwa we
@@yammuhamed736 mimi naw natk munaqsh wa akil ya fikra man naona wew akil yk haiwez hat kufkr bas dah kwa namn hiy wallah ikiwa unakaid wa kijinga huna salama mbele ya Allah kbc wakt ndg yak muslm anakufahmsh kwa waz na sir huelw unakaidi unakuw na kibr wallh huna salama mbel ya Allah
@yammuhamed7369 ай бұрын
@@fayeezabdallah2217 do kaka Tumefika pabaya kwani tatizo nini
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
@@yammuhamed736 tatiz lak umekurupuka saaaana unajuwa Allah sw anavokasirk namn amby anavodhlw uwong kipenz chak unajuw!!unajuw!! ni namn gan Allah anaghazibika unajuwa!!! unajw!!!!!!!
@HalidiMbonde-jn4hi9 ай бұрын
Kwani bachu si anaitaji kujua kuhusu wanyama na wadudu kuongea baada ya mimba ya mtume kuingia? mpeni dalili
@abuuSwalhatun989 ай бұрын
Dalili kapewa kwani we husikii au??
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Dalili alitoa mwenye we Kisha akajitia ufundi wa kutega hatimae kijasho Cha makalio mchana kwaupe
@abubakarykivo73666 ай бұрын
Sasa kama adithi tayar ni dhwaifu kwann tuendelee kuitumia
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
Wacha kupotosha mada ust said alinyima watu elimu kama yy alikuja na risasi mbona alishindwa kuthibitisha wanyama kweky waliongea hilo ndilo swali la kwanza ilkua azame kwa vitabu leo nataka watu woote waskie hili kitabu flani flani chasema hivi na hivi mwanachuoni huyu ywasema hivi ilimshinda watu walitegea kuskia wanyama waliongea
@user-fq6iw1pb7q9 ай бұрын
Dogo hujavuta bangi lakn ???😅
@yammuhamed7369 ай бұрын
Tumefika huku kaka wakati mi natoa zawad
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Hajavuta kajikojolea
@salmyhussein62559 ай бұрын
Hadith hiyo ni dwaif kweli, je imepokelewa na nani? au imeokotwa? Hiyo Hadith amepokolewa na mtu ambaye si mpokezi wa Hadith, kaaeni mutete madhambi
@yammuhamed7369 ай бұрын
Nani kaipokea? Tambua sio barazanji na watu wa elimu ya hadeeth wanaikubali kuwa ni hadeeth na daraja lake ni dhaifu hadeeth Ya kutungwa huitwa maudhui na haijaitwa hivyo hivyo nakushauri kasome hicho kitabu nachotaka kumpa bachu zawadi ili usiseme sems majambo ambayo hayapo
@yammuhamed7369 ай бұрын
@imsimbe kinaitwa mustalah al hadeeth pia kwakua bado mpya mpya kwenye dini nakushauri mfwatilie sana othman maalim
@rajabdanga85909 ай бұрын
Unatafuta kiki kupitiam.Bacho kaendelee kusoma
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
hakik wew ni juha wa mwanz dunia hii
@yammuhamed7369 ай бұрын
Brother unahasira sana
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
lazima niw na hasr kwnn munamzulia mtume muhammad saw kwnn half wew kam wew unapinga hak unakubal batil why thibitsh bas hoja ni wakt mimba ya mtume saw wanyama na viube wot walipeana habr hem thibitsh bas nipat faid
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
nd man nikasm wew ni juha wa kwanz dunia hii man kun mamb unatakw kutmy akil ya kuzaliwa sio akil ya ujuwaj fikr kwa makin
@fayeezabdallah22179 ай бұрын
@imsimbe cha msing msomi akiwa msom yupo tyr kufahmsh umma kuhus jamb muhim ktk din, ikiwa maulid si uzsh kwnn toka miez kadhaa hoja 19 hat moja isijbw kwann kwann!!! half bas tufany sis tusio juwa kwann hatufahmsh je wanyama walipeana habr wakt mimba ya mtum (saw) inangy??? kam wew unafhm nifahmsh bas kwa ushd wa quran na hadth sahih
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
@@yammuhamed736msameheni kwa pengine ana mimba
@shazyahya41217 ай бұрын
Said jafar barzanji ni muongo na kitabu chake cha barzanji ni uongo kipindi wanyama wanaongea lugha fasaha alikuwepo ebu punguza kula mirungi utamuelewa vizuri Sheikh Mohammad Bachu
@JumaKhamis-cw8ec9 ай бұрын
Wewe hupo mbali na bachu bali upo mbali na haki
@rumaythaseif56139 ай бұрын
hujui ata nn unazungumza apo hakujachambuliwa kitabu chote ni jambo moja tuu huwez kutoa hukmu ya kitabu kizima kwn kwny barzanji hakuna mambo ya kweli? linalotakiwa kujua hakuna mtu wala kitabu kilichokamilika ispokua Qur an peke yke kuna tatizo gani kutoa makosa ya kitabu husiku. musiitukuze barzanji mpk mukaiweka darja ya qur-an. Oh! Allah tusaidie
@allydaud1179 ай бұрын
Maali unasoma bc endelea kusoma, m nakuombea kw Allah akuongowe na akuongoze mn yy ndo muongofu ila kijana acha kutafuta umaarufu kwa kupitia majina ya watu we ulitaka Sheikh Mohammad akup jawab gan au nia yenu nd mlitaka aseme hajui 😂 il museme hajui wakati swali, aliloulizwa halimo ktk kitabu, n maulamaa hawajaongelea suala la mtu alietumia hadith zaifu bali wao wamehukumu hadith yenyew na so mtu, nakushaur kakae tena kauskiliz munaqash vizr huwend ukapata kitu ila pia achana na mambo ya upenz bali kaa katika hakki.
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Kama yeye ndo muongofu ilikua kwanza uombe wewe akuongoe acheni kasumba الجزاء من جنس العمل
@zahraomar80959 ай бұрын
Sasa nyie mnaemtukana huyu shekh nyie mmesomaaaaa au maneno mengi tuuuu
@user-hh1ol2tr5w9 ай бұрын
bado huna elimu kasome kwanza au kama unatafuta umaarufu na ww poa tutakufollo
@AbdallahMpemba9 ай бұрын
Nenda kasoma,mwkt kasema"
@SaidAbdallah-sm1ft9 ай бұрын
Hakuna mantiki yeyote ktk maneno Yako
@mohammedhassan89229 ай бұрын
Ndugu upo upo lakini hujielewi
@omarlee32979 ай бұрын
yaan ww mtu akikuona kma chpe ila upo vizur
@jumamahmoud92719 ай бұрын
sheikh muhamed amesema ndani ya kitabu cha barzanji kuna maneno ya uongo mbona nyny vichwa vyenu vibovu.
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Unaposema kitu uongo unatakiwa uthibitishe kwa Aya na Hadith bachu Hana hata maneno bandia
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Linaropoka tuuuuuuuuu
@daudyussuf81809 ай бұрын
Mtu yoyote wataka kuwa marufu mpaka amutaje Mohamed bacho dio haonekane marufu wengi wajulikani sasa huu atayulikana
@MassodAbdalla9 ай бұрын
NENDA KAPIGE VITA UBAKAJI KATIKA VYUO VYENU VYA MADUFU ACHA KUJITAFTIA UMAARURU NA KUJIFANYA MJUAJI YAKO MAMBO YA MSINGI WAISLAM KUYAKEMEA BADO WEWE UNA TAKA TAKA AKILI TU
@yammuhamed7369 ай бұрын
Mtupa kitabu bachu nae mlisihi nini
@MuhidiniNassor9 ай бұрын
Unataka kusema kua jambo la msingi ni kujikojolea?
@abdallamassoud539 ай бұрын
Mashallah ufafanuz mzur
@yammuhamed7369 ай бұрын
❤️❤️🙏
@subetizaid65159 ай бұрын
Msondongoma huyu
@hassankiloba2179 ай бұрын
Upo vizuri kk bachu Hana akili jinga mkubwa
@yunusramadhan25469 ай бұрын
Wewe ndio jinga kubwa nafamilia yako wote hata mwaonekana mwala mavi navijiko nyinyi kuanzia ile siku babako alivyo anguka choon nakushuku wewe ni senge kenge wewe mwanaharam hizaya mkubwa wewe paka shume chui nyoka muuma watu kisha asiwale mbeelele wewe
@asiahamis78939 ай бұрын
@@yunusramadhan2546innalillah wainàlileyh rajiun
@ommymkasa95759 ай бұрын
Shekh tafuteni watu muwafundishe acheni kutafuta umaarufu usokua na maana basi kilamtu anataka aoneshe alicho kisoma upumbavu mtupu
@mohammedmfamau438 ай бұрын
Hhhhh hawa jamaa akili zao c barabbara yani nyie hao mnaowambia wasisome maulid ndio kwanza raha mustarehe na habari hawpati ndio wanzidi kumsalia mtume.
@dredboy9 ай бұрын
Toa upuzi mtadaoni
@mozasalum87429 ай бұрын
Sasa ndoumesama nini kumbe na wewe unalako
@yammuhamed7369 ай бұрын
Lipi mi natoa kweli hiyo zawadi
@saba-gv3mj9 ай бұрын
Bachu hana ilimu mpe zawadi yake
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
@@yammuhamed736Mimi swali langu moja tu kwani haya maulidi mtu wa kwanza haswaa kuyaanzisha nani? Na yalianzishwa wapi? Na yalianza Karne ya ngapi?
@yammuhamed7369 ай бұрын
@@abdurahimabdulkadir3926 nijibu maulid ni nini nikujibu swali lako
@abdurahimabdulkadir39269 ай бұрын
@@yammuhamed736 hiyo ndio shida kma kwa mjadala unaruka swali la mwanzo langu unanirudishia swali haya mm sijui maulidi ni nn nielimishe lkni ujue swali langu ni nani alieanzisha maulidi? Na yalianzishwa wapi? Na yalianza Karne ya ngapi?