MTOTO ALIYE BAKWA AMLIZA RC MAKONDA "KANIAMBIYA ATANIUA NIKISEMA""AKAMATWE LEO APELEKWE MAHAKAMANI"

  Рет қаралды 462,787

Adil TV

Adil TV

23 күн бұрын

#AdilTV

Пікірлер: 604
@JenniferJohnmshi
@JenniferJohnmshi 16 күн бұрын
Mungu ushushe moto juu ya wanaobaka watot wet
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 20 күн бұрын
Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 16 күн бұрын
Aamin
@asilahassan9965
@asilahassan9965 Күн бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@YubaBoyTz
@YubaBoyTz 13 сағат бұрын
Yuba boytz
@StelaJohn-nj5yf
@StelaJohn-nj5yf 19 күн бұрын
Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.
@YubaBoyTz
@YubaBoyTz 13 сағат бұрын
Yuba boytz
@mohamedelmi7435
@mohamedelmi7435 20 күн бұрын
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
@mejamiela7436
@mejamiela7436 20 күн бұрын
Alhamdullah
@rukiangilla3113
@rukiangilla3113 20 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 20 күн бұрын
Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 20 күн бұрын
Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri
@vickhongole6611
@vickhongole6611 19 күн бұрын
Asante
@heriethsixbert475
@heriethsixbert475 18 күн бұрын
Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 16 күн бұрын
Aamin
@innocentinyasi9198
@innocentinyasi9198 16 күн бұрын
​@@shanimbaruku2071Watu wanarohooo mbayaaa sanaaa daah 😢😢😢
@Walesi-e4v
@Walesi-e4v 15 күн бұрын
Pole sana mdogo wangu maisha kazidiwa
@Walesi-e4v
@Walesi-e4v 15 күн бұрын
Yaenda kuungua
@FaudhiaAbrahaman
@FaudhiaAbrahaman 15 күн бұрын
Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
@user-vg7gh6df9w
@user-vg7gh6df9w 21 күн бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako
@atuswegemposi1668
@atuswegemposi1668 17 күн бұрын
Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako
@tresorkinyeshe6965
@tresorkinyeshe6965 17 күн бұрын
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
@frankokenyamtumewaneema9179
@frankokenyamtumewaneema9179 12 күн бұрын
Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 20 күн бұрын
Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother
@esterjoseph6075
@esterjoseph6075 10 күн бұрын
Umeoneeehh makonda oyeeeeee
@TwahaMaziku
@TwahaMaziku 20 күн бұрын
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 16 күн бұрын
uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu
@user-xt7ue1jo9x
@user-xt7ue1jo9x 20 күн бұрын
Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 16 күн бұрын
Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,
@amanihenry7981
@amanihenry7981 16 күн бұрын
Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha
@nancyg8664
@nancyg8664 16 күн бұрын
😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa
@esterlucassolah8823
@esterlucassolah8823 16 күн бұрын
Exactly
@user-ns4oj9cw1j
@user-ns4oj9cw1j 16 күн бұрын
Anyongwe akikamatwa
@Ramakhanmalone-lz3qw
@Ramakhanmalone-lz3qw 14 күн бұрын
nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 20 күн бұрын
Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿
@MannesamEmmah
@MannesamEmmah 16 күн бұрын
Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake
@annamtapila5761
@annamtapila5761 19 күн бұрын
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
@hassanalshaqsi6707
@hassanalshaqsi6707 20 күн бұрын
Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda
@relaxstarman
@relaxstarman 18 күн бұрын
KWANINI HUYU JAMAA ASIPEWE URAISI ATUTETEE WANYONGE🎉🎉
@gloriamagoma5583
@gloriamagoma5583 16 күн бұрын
Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....
@melinawilson1383
@melinawilson1383 10 күн бұрын
Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 19 күн бұрын
Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.
@neymantz
@neymantz 15 күн бұрын
Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉
@mwajumasakina9599
@mwajumasakina9599 19 күн бұрын
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
@allykagawa
@allykagawa 19 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@PrincessNechi
@PrincessNechi 17 күн бұрын
Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 16 күн бұрын
Amen
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 16 күн бұрын
Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 16 күн бұрын
Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii
@MariamJames-b5x
@MariamJames-b5x 19 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana
@reginamushi
@reginamushi 11 күн бұрын
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 16 күн бұрын
mahakimu wote kukumamee zenuuu....
@lilyshayo761
@lilyshayo761 18 күн бұрын
Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama
@ShamimHassan-qm1et
@ShamimHassan-qm1et 16 күн бұрын
Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢
@philipinamboya2204
@philipinamboya2204 18 күн бұрын
Mungu mlinde muheshimiwa makonda
@SixbertDamo
@SixbertDamo 19 күн бұрын
Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,
@EdithaNnko-fm6ph
@EdithaNnko-fm6ph 14 күн бұрын
Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
@kyaro5945
@kyaro5945 20 күн бұрын
I lo❤ve you Makonda
@mpokimwakisimba692
@mpokimwakisimba692 13 күн бұрын
Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi
@HelmanDaud
@HelmanDaud 19 күн бұрын
Dah mweshimiwa mungu akulinde
@agnessangawe3844
@agnessangawe3844 19 күн бұрын
MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi 14 күн бұрын
Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania
@maniriyoali8675
@maniriyoali8675 20 күн бұрын
Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢
@henrymatebe
@henrymatebe 20 күн бұрын
Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?
@yasirfaisal9723
@yasirfaisal9723 20 күн бұрын
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
@lucynkonya8709
@lucynkonya8709 15 күн бұрын
Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.
@RuckieDady-gk3ph
@RuckieDady-gk3ph 17 күн бұрын
Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤
@MahdouMomba
@MahdouMomba 15 күн бұрын
Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote
@judicalosika7642
@judicalosika7642 12 күн бұрын
Uongozi ni mzigo
@judicalosika7642
@judicalosika7642 12 күн бұрын
​@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️
@MerryUrio
@MerryUrio 18 күн бұрын
Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde
@SamwellubigisaLubigisa
@SamwellubigisaLubigisa 17 күн бұрын
Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana
@RaulesiajosephJoseph
@RaulesiajosephJoseph 3 күн бұрын
Mweshimiwa makonda tunakupenda sana kwa mazur yako, lakin usisahau kama chema hakidum❤❤❤❤❤
@MeshackBintu
@MeshackBintu 5 сағат бұрын
Watanzania mumepewa waongozi wazuri sana lakini sisi apa Congo basi mwenyezi Mungu ndo anatulinda
@GetrudesharifuMsuya
@GetrudesharifuMsuya 14 күн бұрын
Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢
@marryjames-wl7be
@marryjames-wl7be 13 күн бұрын
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace 19 күн бұрын
Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli
@KitalambaMwinyimvuwa
@KitalambaMwinyimvuwa 15 күн бұрын
yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!
@TheSalma1999
@TheSalma1999 14 күн бұрын
Umeona eh hata hawajali kabisa
@teresiatemu4459
@teresiatemu4459 13 күн бұрын
Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana
@muhammadmpahi338
@muhammadmpahi338 19 күн бұрын
Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi
@user-rt8ox1ht1m
@user-rt8ox1ht1m 16 күн бұрын
Kbsa ukianglia hki yko IPO hrf wanalet ubabaifu mwisho unachukua htua mkonon
@mamymoria4267
@mamymoria4267 14 күн бұрын
Kabisaa
@AlexJackson-ig2yd
@AlexJackson-ig2yd 12 күн бұрын
Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia
@user-yc1ef1mp3s
@user-yc1ef1mp3s 18 күн бұрын
Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..
@janekapinga5377
@janekapinga5377 4 күн бұрын
M/Mungu akutunze baba ili uendelee kuwasaidia wanyonge.Viongozi wote wangekuwa km.wewe hakuna ambaye angeonewa.Shukrani ziende kwa mama Samia kwa kukurudisha madarakani.Amina
@valerianakwilin7546
@valerianakwilin7546 6 сағат бұрын
Hongera kwa kusikiliza kero za wananchi
@rosemaryogallo4183
@rosemaryogallo4183 13 күн бұрын
Makonda l love you very much Mungu akubariki
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww 15 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge
@EmmanuelMurula
@EmmanuelMurula 16 күн бұрын
Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 19 күн бұрын
Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina
@goodluckjohnuiso-gt1fg
@goodluckjohnuiso-gt1fg 20 күн бұрын
Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo
@dickymediapro4179
@dickymediapro4179 19 күн бұрын
Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo
@paulinahussen9129
@paulinahussen9129 15 күн бұрын
Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana
@nurdinahmed9063
@nurdinahmed9063 15 күн бұрын
Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora
@JacksonEstomi
@JacksonEstomi 15 күн бұрын
Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala
@zulfajuma6894
@zulfajuma6894 16 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@GreciousMolleli
@GreciousMolleli 14 күн бұрын
Hili jambo limeniumaaa sanaaah JAMANI mtoto Mdogo JAMANI Kwanini jamaniii😭😭😭😭😭
@roseriwa6951
@roseriwa6951 16 күн бұрын
Inauma sana , pole sana mtoto wetu..Pls muwe mnaficha uso wa mtoto ili kulinda utu wake..naweka kivuli kwa sura yake pls...najua tunadhamira ya kusaidia ila tusaidie katika njia inayolinda utu wake.
@user-pe9cl1bc7h
@user-pe9cl1bc7h 15 күн бұрын
Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo
@magrethelias8734
@magrethelias8734 15 күн бұрын
Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke
@TynerGodfrey
@TynerGodfrey 17 күн бұрын
Mungu akulinde makonda
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 15 күн бұрын
Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 15 күн бұрын
Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 21 күн бұрын
Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....
@user-nf1tg3kt3y
@user-nf1tg3kt3y 20 күн бұрын
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
@FrankPhilimon-e3n
@FrankPhilimon-e3n 11 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda
@SarahK-l5k
@SarahK-l5k 9 сағат бұрын
Mungu ndo mtetez wanyonge, awe ufunguo wa njia ya haki
@Yusuf-fo3gl
@Yusuf-fo3gl 14 күн бұрын
That guy kwisha
@TheSalma1999
@TheSalma1999 14 күн бұрын
Jamani natamani kumuadapt jamani kama hajasaidiwa namuomba
@elizabethmsaho7191
@elizabethmsaho7191 14 күн бұрын
machozi ya jasiri ni matumaini kwa wanyonge na wasio kuwa na uwezo wewe nijemedali imala
@mohammedmakarani2802
@mohammedmakarani2802 10 күн бұрын
Nice one R c makonda mungu atakuongoza
@danieljosephodada3195
@danieljosephodada3195 8 күн бұрын
Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii
@samsonsanga4368
@samsonsanga4368 18 күн бұрын
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
@YefthaKornelio
@YefthaKornelio 19 күн бұрын
Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu
@elizabethmunishi4928
@elizabethmunishi4928 6 күн бұрын
Kesi zinapindishwa mwishoni sio sahihi jamani . Mungu akumbukwe kuna moto..
@user-on5zr6vq3i
@user-on5zr6vq3i Күн бұрын
Daaaah pesa mwanaharamu kwkwel😢😢haki za wanyonge na maskini zinadhulumiwa na wenye navyo hii n mbaya sana
@chifuwasalimatz2971
@chifuwasalimatz2971 7 күн бұрын
Dah😢 inauma mno Ukichanga na maumivu walioipata Simba siku hiyo ya 5/11😢😢😢
@KefaHamisi-k7x
@KefaHamisi-k7x 9 күн бұрын
😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini
@anointedhandmaiden5261
@anointedhandmaiden5261 18 күн бұрын
I hurt deeply for the little one. May justice prevail in Jesus Name
@RachelKinasha
@RachelKinasha 6 күн бұрын
Mungu akutie nguvu kak yangu makond
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 5 күн бұрын
Pole sana mtoto.. Huyo mshenzi akamatwe upesi..
@ellah-t9z
@ellah-t9z 5 күн бұрын
pole saluma mungu yupo pamoja nawe
@mwajabually6738
@mwajabually6738 5 күн бұрын
Mungu akulinde ww na kizazi chako mzee wetu maana Tanzania yetu ni nchi ngumu mno😢😢😢😢
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 14 күн бұрын
Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 18 күн бұрын
My leader makonda Mungu akusimamie
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 19 күн бұрын
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
@mohdpogba842
@mohdpogba842 14 күн бұрын
Haya maisha sisi masikin tunapitia meng😢
@RehemaKassim-nm9zc
@RehemaKassim-nm9zc 17 күн бұрын
Nakupenda Kwa uchapakaz mzuri kaka, Mungu akufanyie wepes na akuongoze ktk utendaji wa kaz yako
@SumasSam
@SumasSam 5 күн бұрын
Mungu hebu tusaidie jamani hasa,sisi wanyonge napia mpiganie makonda maana,nchi yetu mtu kama makonda,huwa hahitajiwi kabisa uwiii😢
@ScolaMwansasu
@ScolaMwansasu 16 күн бұрын
Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 10 күн бұрын
Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 4 күн бұрын
Kulia sio suluhisho kama watoto wanaendelea kufanyiwa vitendo viovu kisha hao wanaowafanyia wako huru huu ni uovu mkubwa sana kuwacha hai watu kama hawa wanatakiwa wafe wabakaji walawiti wote wanyengwe ndio suluhisho , nyie viongozi mtamjibu nini mwenyezi mungu eti mlishindwa kuwalinda wanyonge na ilihali wanafanyiwa vitendo viovu 😢
@MiliyaMhehe
@MiliyaMhehe 16 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@SamweliBoma
@SamweliBoma 12 күн бұрын
Mungu akubariki sana mueshimiwa maana unafanya kaz kubwa sana asee.....
@z-1il
@z-1il 9 күн бұрын
Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia
@elinemakundi5011
@elinemakundi5011 6 күн бұрын
Makonda hoyeeeee ❤
@VailethKivuyo
@VailethKivuyo 11 күн бұрын
Muheshimiwa Mungu azidi kukubariki 🙏🏻
@RooneyKonga-qd4oo
@RooneyKonga-qd4oo 8 күн бұрын
Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli
MAMA WA KAMBO
13:29
Comedy Plus
Рет қаралды 945 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 3,9 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
BabaJoan
Рет қаралды 837 М.
Canım Annem - 167. Bölüm | Uzun Versiyon
1:27:08
Canım Annem
Рет қаралды 9 М.
MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
15:54
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 1 МЛН
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 4,8 МЛН
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Ndaro Tz
Рет қаралды 1,7 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 3,9 МЛН