Kaka makonda Fanya kazi kwamisimamo ya kimungu pia Mungu akulinde kikamilifu akupe afya isiyokua na kikomo ili naviongozi wegine waendele kujifunza kwako amina
@shanimbaruku207116 күн бұрын
Aamin
@asilahassan9965Күн бұрын
Ammina ya rabbill allamin
@YubaBoyTz13 сағат бұрын
Yuba boytz
@StelaJohn-nj5yf19 күн бұрын
Mungu yu upande wako Mh. Makonda.. Asante kwa kumpenda Mungu na ndipo Mungu akakupenda sana wewe. Be blessed hon.
@YubaBoyTz13 сағат бұрын
Yuba boytz
@mohamedelmi743520 күн бұрын
I'm not tanzania but please naombeni number ya huyu mtoto nitamu hudumiya mbaka amalize university I'm in Dar es Salaam. Kama mtu yote anamjuwa huyo bibi pls. Thank you.
@mejamiela743620 күн бұрын
Alhamdullah
@rukiangilla311320 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi naakujalie....Hata me roho imeniuma Sana😢
@wisemaliva537620 күн бұрын
Ngugu ukifika kwa makonda utampata mungu akujalie
@jacksonjamesndyabawe47120 күн бұрын
Mungu Akupe maisha marefu kwa rosho nzuri
@vickhongole661119 күн бұрын
Asante
@heriethsixbert47518 күн бұрын
Nmelia😢 hasira ya Mungu ishuke kwa kila anayewatendea watoto mabaya AMEN
Tunasafir jahaz moja hata mm Nimelia sana ..na niliyapitia kwa bint yangu japo muhuska hakufanikiwa illa ishahid tuu amehukumiwa miaka 30 jail😢😢😢 nashukuru sikuzungushwa kwa chchte
@user-vg7gh6df9w21 күн бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa na akuongezee miaka mingi uzidi kuifanya kazi ya bwana. Tunahitaji sana mtu wa caliba yako
@atuswegemposi166817 күн бұрын
Mungu akubariki Neeema ya Mungu iwe juu Yako
@tresorkinyeshe696517 күн бұрын
Muheshimiwa MAKONDA kweli mimi ni mkongomani DRC ila nakukubali sana na zidi kukuombeya duwa kwamungu azidi kukuzidishiya myaka nakupenda na nakukubali sana muheshimiwa
@frankokenyamtumewaneema917912 күн бұрын
Makonda anatosha,anafuata nyayo za aliye kua kipenzi cha Tanzania magufuli🤗
@jacksonjamesndyabawe47120 күн бұрын
Huyo ndio kiongozi sasa.. Sio lele mama.. Keep it up brother
@esterjoseph607510 күн бұрын
Umeoneeehh makonda oyeeeeee
@TwahaMaziku20 күн бұрын
Hii nchi kama hauna pesa hakunaga haki na watu kama makonda hua hawatakiwi maana anapingana na wengi mungu amputee ulinzi utokao kwake naming huyu atuletee viongoz kama makonda
@DavalsonMarlony16 күн бұрын
uwo ndyo ukwel mapai wanapenda rushwa Sana haki ni kwa mwenyenz mungu tuu
@user-xt7ue1jo9x20 күн бұрын
Nadhani ingekua vyema kuuficha uso wa mtoto Kwa kumfocus Kwa sababu yupo chini ya umri wa 18 tulinde haki za watoto
@mwasoprince345916 күн бұрын
Ni sahihi huyu camera man hana ethics, lazima ufiche sura ya mhanga hasa mtoto,
@amanihenry798116 күн бұрын
Hawajafanya vizuri kuonyesha sura ya mtoto ndo kumuharibia maisha
@nancyg866416 күн бұрын
😢 ata mimi niliwaza hvohvo, mitandao inatunza hii itamla mtoto akikua mkubwa
@esterlucassolah882316 күн бұрын
Exactly
@user-ns4oj9cw1j16 күн бұрын
Anyongwe akikamatwa
@Ramakhanmalone-lz3qw14 күн бұрын
nakupenda sana makonda kwa kuwangalia matatizo ya wananchi,mungu akupe maisha marefu.
@habibuhabibu972820 күн бұрын
Makonda endelea kua namoyo huo mungu akujalie akukinge nakila baya 🙏🏿🙏🏿
@MannesamEmmah16 күн бұрын
Daaah!!!! Mungu amsaidie mtoto huyu aweze kutimiza malengo yake
@annamtapila576119 күн бұрын
😢😢😢 Haki ya watu iko wapi. Eee mwenyezi Mungu saidia watu wako wanyonge. Ahsante kiongozi kwa kuweka maisha na haki za watu mbele. Enyi polisi saidieni watu kwa haki huko vituoni. Mahakimu nanyi tendeni haki.
@hassanalshaqsi670720 күн бұрын
Your the best example they should all follow your strategy to help the nation Allah will reward you Hon.Makonda
Wakipewa uraisi wanabadirikaga sana sannnnnnaaa utoamin nakuambia 😂😂😂😂 .....
@melinawilson138310 күн бұрын
Anaeweza kuja kuwa Rais mzuri siku za usoni huko mbeleni
@deodartngaiza666419 күн бұрын
Hongera na kazi Mkuu, nakupongeza sana kwa namna unavyohidumia wananchi wenzetu. Asante sana Mh Makonda.
@neymantz15 күн бұрын
Nimeumia kiukwel mungu aendeleee kukuhifadh mtu wa watu makonda🎉🎉🎉🎉 neyman tz🎉🎉🎉🎉🎉
@mwajumasakina959919 күн бұрын
Yaani watanzania muna neema kubwa ya viongozi itunzebi tafadhali Congo tunalia hata hatuna mtu wakutusikiza jamani, Mwenyezi Mungu akutunze kiongozi makonda
@allykagawa19 күн бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@PrincessNechi17 күн бұрын
Mungu atawapa kiongozi sahihi, machozi yenu sio bure Mungu anayaona.
@user-tt7cu2et1x16 күн бұрын
Amen
@user-tt7cu2et1x16 күн бұрын
Aiseee hi dunia yahn wanawake tuko wengi...😢😢single unaenda kubaka bint mdgo hivoo akiijj😢😢😢😢.aiseee nmeumiaa saana
@user-tt7cu2et1x16 күн бұрын
Dah nmeumiaa saana 😢😢😢😢akii
@MariamJames-b5x19 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda namungu akutie nguvu zaidi naulinzi, wasio kuwa napesa wanaonewa sana
@reginamushi11 күн бұрын
Asante Rais Samia Suluhu Hasan kwa kutuchagulia kiongozi makini na mchapa kazi hakika huyu kijana anakuwakilisha vizuri sana! Laiti kwenye safu yako ya viongozi unaowateua ungekuwa nao kama Paul Makonda angalau wa 5 tuu❤
@ramsojimmykelly337916 күн бұрын
mahakimu wote kukumamee zenuuu....
@lilyshayo76118 күн бұрын
Jamani kuna maumivu nimelia Kama mzazi kuna maumivu jamani mungu mtunze MAKONDA na Kama
@ShamimHassan-qm1et16 күн бұрын
Duh ila mttan kila mtu ana lake ni vile tu hawakupat wa kuwasikiliza mungu akubariki kiongoz kwa kuamua kuwasikiliza wananchi😢
@philipinamboya220418 күн бұрын
Mungu mlinde muheshimiwa makonda
@SixbertDamo19 күн бұрын
Mh makoda mungu akubariki sana mimi nipo mkoa wa mara lkn unafanya kazi ngumu sana wasaidie wanaoteseka nakuombea siku zote kwenye maisha yako,
@EdithaNnko-fm6ph14 күн бұрын
Wakati Paschal Cassian anaimba Makonda ni kijana Jasiri sikimuelewa ila Sasa hv ndo naelewa. Mungu azidi kukutunza mheshimiwa
@kyaro594520 күн бұрын
I lo❤ve you Makonda
@mpokimwakisimba69213 күн бұрын
Nimeanza kumkubali sana Makonda. Mungu ampe ulinzi
@HelmanDaud19 күн бұрын
Dah mweshimiwa mungu akulinde
@agnessangawe384419 күн бұрын
MH MAKONDA MUNGU AKUBARIKI. MASIKIO YAKO YAMESIKILIZA UCHUNGU MWINGI.
@Mwaguntobi-ip1yi14 күн бұрын
Pesa adui wa haki, Mungu jibu maombi yangu siku moja makonda awe Rais wa Tanzania
@maniriyoali867520 күн бұрын
Mungu akubariki Kiongozi Mzuri kbs Mungu akuongoze kuenderea na kuwa Mu kweli Musema ukweli Mupenzi WA Mungu 😢
@henrymatebe20 күн бұрын
Heee hivi unaelewa mada iliyopo hapo lakini?
@yasirfaisal972320 күн бұрын
Kiwongozi gani huyo asiyo yatafakari statements za huyo maama huyo maama anataka kusaidiwa kumuleleya watoto ove which siyovibaya lakina asitake usaidizi Kwa kuwumiza mwengine
@lucynkonya870915 күн бұрын
Kulaga uhangame Makonda kwa kazi nzuri na utume ulioitiwa na Mungu.
@RuckieDady-gk3ph17 күн бұрын
Muheshimiwa makonda ni mtu nanusu matunda ya baba ametuachia alama ❤
@MahdouMomba15 күн бұрын
Magufuli ametuachia alama sahihi kwa watanzania wote
@judicalosika764212 күн бұрын
Uongozi ni mzigo
@judicalosika764212 күн бұрын
@@MahdouMombaprofile, profile, profile ✔️
@MerryUrio18 күн бұрын
Mungu akulinde tuu maana wt awapend watu wenye msimamo ya kimungu mungu akulinde
@SamwellubigisaLubigisa17 күн бұрын
Masikini! Mama anaeleza kwa masikitiko makubwa sana. MUNGU amsaidie sana
@RaulesiajosephJoseph3 күн бұрын
Mweshimiwa makonda tunakupenda sana kwa mazur yako, lakin usisahau kama chema hakidum❤❤❤❤❤
@MeshackBintu5 сағат бұрын
Watanzania mumepewa waongozi wazuri sana lakini sisi apa Congo basi mwenyezi Mungu ndo anatulinda
@GetrudesharifuMsuya14 күн бұрын
Dunia imeisha jaman tulinde watoto si wakike wala wakiume😢😢😢😢😢
@marryjames-wl7be13 күн бұрын
Makonda yuko sahihi kwa nn mahakama haijafatilia ushahidi wa doctor alipima hadi kusema amebakwa mpaka akaandika dawa kwa nn mahakama imepuuza hivi vipimo na kusema huyu mama akawa anamtaka huyo mbakaji mweeee😢😢
@KatabaroCleophace19 күн бұрын
Makonda uwe Rais Sijawah kuona kiongozi kama wewe Tofauti na magufuli
@KitalambaMwinyimvuwa15 күн бұрын
yaan utadhan mh Makonda Yuko nchi nyengine, hivi viongozi wengine mbona hata hawashughuliki na matatizo ya wananchi yanayowavunja migongo Yao!
@TheSalma199914 күн бұрын
Umeona eh hata hawajali kabisa
@teresiatemu445913 күн бұрын
Mungu akubariki Sana Mheahimiwa Makonda, nakukubali Sana, Tena sana
@muhammadmpahi33819 күн бұрын
Hawa mahakimu wa hovyo ndio wanaosababisha wananchi wanachukua sheria mkononi
Respect kwa Makonda na tu nakuamini kwa kazi nzuri pia tunakuomba kiongozi uzidi kuangalia kwa jicho la pili huu unyanyasaji wa kijinsia
@user-yc1ef1mp3s18 күн бұрын
Daah hatari Sana bila kujikaza yanatoka machoz ila yote MUNGU yupo na anayaona..
@janekapinga53774 күн бұрын
M/Mungu akutunze baba ili uendelee kuwasaidia wanyonge.Viongozi wote wangekuwa km.wewe hakuna ambaye angeonewa.Shukrani ziende kwa mama Samia kwa kukurudisha madarakani.Amina
@valerianakwilin75466 сағат бұрын
Hongera kwa kusikiliza kero za wananchi
@rosemaryogallo418313 күн бұрын
Makonda l love you very much Mungu akubariki
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww15 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mkuu chapa kazi saidia wanyonge
@EmmanuelMurula16 күн бұрын
Mimi huwa naona ipo siku huyu makonda atakuja kuwa Rais wa Tanzania, hifazini hii comment mtaniambia hiyo siku ikifika
@anthonymgina389319 күн бұрын
Makonda ni kiongozi sana na huruma tele mimi ninamwomba Mungu akulinde sana na akuepushe na shari yoyote, na iwe hivyo. Amina
@goodluckjohnuiso-gt1fg20 күн бұрын
Si vizuri kumuanika huyo mtoto hadharani hivyo ni kzidi kumdhalilisha yangetengezwa mazingira rafiki kushughulikia hilo tatizo
@dickymediapro417919 күн бұрын
Ni kweli ila watu wamechokaa mno mana haki hazitendeki,wanajiamulia angalau wapate haki zao kwa namna yoyote wawezavyo
@paulinahussen912915 күн бұрын
Mungu baba wa yatima, mume wa wajane simama na watu wako ee Bwana
@nurdinahmed906315 күн бұрын
Yani wallahi wabillahi Mungu akupe maisha marefu makonda maana una roho ya uncle magufuli hakika wewe ni kiongozi bora
@JacksonEstomi15 күн бұрын
Makonda chukua nchii ww raisi wa hii nchii unamaamuzi ya kifalme mkuu kuraaa yangu bilaa mjadala
@zulfajuma689416 күн бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@GreciousMolleli14 күн бұрын
Hili jambo limeniumaaa sanaaah JAMANI mtoto Mdogo JAMANI Kwanini jamaniii😭😭😭😭😭
@roseriwa695116 күн бұрын
Inauma sana , pole sana mtoto wetu..Pls muwe mnaficha uso wa mtoto ili kulinda utu wake..naweka kivuli kwa sura yake pls...najua tunadhamira ya kusaidia ila tusaidie katika njia inayolinda utu wake.
@user-pe9cl1bc7h15 күн бұрын
Watu kama hao ni wanyama inafaa wauliwe....msenge kweli unabaka watoto wadogo
@magrethelias873415 күн бұрын
Daaaaaah huyu mama kaniliza it so Painfully, Mungu saidia haki itendeke
@TynerGodfrey17 күн бұрын
Mungu akulinde makonda
@user-sj1rf8ij7f15 күн бұрын
Hii dunia tunapita mliopewa dhamana, Muwe na huruma hata kidogo wa Tanzania wa hari ya chini wanayeseka sana
@edinakyaruzi922615 күн бұрын
Kweli kubaka unakula pesa kubaka kweli tena katoto vipi maumivu ya mtoto uyo jamani haki ni muhimu
@husseinbachwa837221 күн бұрын
Mungu mwenyezi akubariki mh Makonda hakika Kazi hii unayofanya inataka moyo saana....
@user-nf1tg3kt3y20 күн бұрын
Mkuu wa kituo Cha polisi Tengeru ndio tatizo kwa sababu hata RB amesema alipewa feki baadae kaenda kapewa original na mahakama pia imemnyima haki huyo mtoto
@FrankPhilimon-e3n11 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mh. Makonda
@SarahK-l5k9 сағат бұрын
Mungu ndo mtetez wanyonge, awe ufunguo wa njia ya haki
@Yusuf-fo3gl14 күн бұрын
That guy kwisha
@TheSalma199914 күн бұрын
Jamani natamani kumuadapt jamani kama hajasaidiwa namuomba
@elizabethmsaho719114 күн бұрын
machozi ya jasiri ni matumaini kwa wanyonge na wasio kuwa na uwezo wewe nijemedali imala
@mohammedmakarani280210 күн бұрын
Nice one R c makonda mungu atakuongoza
@danieljosephodada31958 күн бұрын
Mh Makonda Mungu akupe nafasi ya juu katika nchi hii
@samsonsanga436818 күн бұрын
Mkuu, Mungu akubariki San,,, ndo maana hata mm hutumia hyo lugha kwamba km kweli Mungu yupo. Umekuwa ukitatua matatizo ya wengi. Ninachoweza kusema nardia Imani yangu nikm yko,,, Yan km kweli Mungu yupo basi akupe maisha marefu San, ten San, maana huishi maisha ya kinafki unauishi ukweli mtupu, hakika una kitu ndani yko.
@YefthaKornelio19 күн бұрын
Hadi nimejikuta nalia mimi mwenyewe kwauchungu
@elizabethmunishi49286 күн бұрын
Kesi zinapindishwa mwishoni sio sahihi jamani . Mungu akumbukwe kuna moto..
@user-on5zr6vq3iКүн бұрын
Daaaah pesa mwanaharamu kwkwel😢😢haki za wanyonge na maskini zinadhulumiwa na wenye navyo hii n mbaya sana
@chifuwasalimatz29717 күн бұрын
Dah😢 inauma mno Ukichanga na maumivu walioipata Simba siku hiyo ya 5/11😢😢😢
@KefaHamisi-k7x9 күн бұрын
😢😢 ila jamani kwa watoto mnatafuta nini
@anointedhandmaiden526118 күн бұрын
I hurt deeply for the little one. May justice prevail in Jesus Name
@RachelKinasha6 күн бұрын
Mungu akutie nguvu kak yangu makond
@eddytheophil76265 күн бұрын
Pole sana mtoto.. Huyo mshenzi akamatwe upesi..
@ellah-t9z5 күн бұрын
pole saluma mungu yupo pamoja nawe
@mwajabually67385 күн бұрын
Mungu akulinde ww na kizazi chako mzee wetu maana Tanzania yetu ni nchi ngumu mno😢😢😢😢
@paulinekamau963314 күн бұрын
Wa Tanzania make kama wakenya‼️ chomeni huyo mbakaji ‼️
@jasirimjasirimedia794018 күн бұрын
My leader makonda Mungu akusimamie
@philomenastephen336419 күн бұрын
MHESHIMIWA MAKONDA UNABII ULIOPEWA ZAMANI UTARIMIA. MAANA NAONA UTAKUWA KIONGOZI MKUBWA WA TAIFA KAMA ALIVYONENA MTUMISHI. SIJUI KAMA UNAKUMBUKA UNABII HUO. MUNGU AKUTUNZE KWA KUTETEA WANYONGE.
@mohdpogba84214 күн бұрын
Haya maisha sisi masikin tunapitia meng😢
@RehemaKassim-nm9zc17 күн бұрын
Nakupenda Kwa uchapakaz mzuri kaka, Mungu akufanyie wepes na akuongoze ktk utendaji wa kaz yako
@SumasSam5 күн бұрын
Mungu hebu tusaidie jamani hasa,sisi wanyonge napia mpiganie makonda maana,nchi yetu mtu kama makonda,huwa hahitajiwi kabisa uwiii😢
@ScolaMwansasu16 күн бұрын
Mungu akulinde akutunze najua mama anakuuamini ndio maan uko hapo baba utunzwe nabMungu
@frankmaeda428410 күн бұрын
Makonda adhihirisha wazi demokrasia haitendeki ila domokrasia
@mohammedmussa73784 күн бұрын
Kulia sio suluhisho kama watoto wanaendelea kufanyiwa vitendo viovu kisha hao wanaowafanyia wako huru huu ni uovu mkubwa sana kuwacha hai watu kama hawa wanatakiwa wafe wabakaji walawiti wote wanyengwe ndio suluhisho , nyie viongozi mtamjibu nini mwenyezi mungu eti mlishindwa kuwalinda wanyonge na ilihali wanafanyiwa vitendo viovu 😢
@MiliyaMhehe16 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@SamweliBoma12 күн бұрын
Mungu akubariki sana mueshimiwa maana unafanya kaz kubwa sana asee.....
@z-1il9 күн бұрын
Ni kweli kabisa mungu yupo na atamsaidia
@elinemakundi50116 күн бұрын
Makonda hoyeeeee ❤
@VailethKivuyo11 күн бұрын
Muheshimiwa Mungu azidi kukubariki 🙏🏻
@RooneyKonga-qd4oo8 күн бұрын
Mheshimiwa makonda tunakushukuru sanasana watu wanateseka sana wanyonge hivi watu wanaofanya vitendo hivyo hawamwogopi Mungu kweli akatendewe watoto wake atafurahi kweli