ZUHURA YUNUS " Nilipata kazi BBC miaka 12 iliyopita | Sijaolewa,sina mtoto | sipo kwenye mahusiano.

  Рет қаралды 578,767

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

4 жыл бұрын

Matangazaji wa Idhaa ya Kiswahili kutoka BBC Zuhura Yunus leo amefunguka mengi kuhusu kazi na maisha yake kwenye #LeoTena

Пікірлер: 912
@restitutamelchiades902
@restitutamelchiades902 4 жыл бұрын
Asante sana sio kila mwanamke anataka kuwa na mume na sio wote wametendwa. Asante Zuhura
@rosemarydeograthius7041
@rosemarydeograthius7041 4 жыл бұрын
Nami nimejifunza kupitia zuhura,kuolewa na kuwa na mahusiano ni maamuzi
@yohananjoekipada4737
@yohananjoekipada4737 2 жыл бұрын
Hongera sana mama zuhura japo tuta kukumbuka bbc sana tuna kuombea maisha mapia
@shakiru-y7g
@shakiru-y7g 4 күн бұрын
hongera mama,zuhura yunusu,nisaidie mwanangu anataka kuwa mtangazaji .
@shakiru-y7g
@shakiru-y7g 4 күн бұрын
yupo mwanangu Zakia,aniuliza sana zuhura baba ni mtangazaji mzuri,anakupenda sana,aliipenda kazi yako.
@selejecha2320
@selejecha2320 4 жыл бұрын
Watangazaji wanauliza wao , wanajibu wao . Bizura wape lesson vijana za utangazaji
@burkardkayombo5271
@burkardkayombo5271 4 жыл бұрын
Namkumbuka Zuhura Yunus, alinifurahisha sana, alivyombananisha Edward Lowasa wakati anamsindikiza Jembe Rais wa Tanzania JPM.
@abouhafs2891
@abouhafs2891 4 жыл бұрын
Majirani zetu mumebarikiwa Alhamdillah.....hongereni sana kama sjakosea Bi.Sluma Kassim pia niwe kutoka Tz.....254 ndio kwe2
@helenamwaipopo967
@helenamwaipopo967 4 жыл бұрын
Nampenda sana Zuhura Yunus ni mtangazaji mzuri anasauti nzuri inshalaaa mwenyezi Mungu mjalie afya njema aendelee kutuelimisha ndani ya BBC in swahili
@karolinamasawe8978
@karolinamasawe8978 2 жыл бұрын
Ana miaka mingapi??
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 2 жыл бұрын
Yaani nampeda Zuhura kasauti kake uwa kananikosha rohoni
@richardkirenga1112
@richardkirenga1112 2 жыл бұрын
Happy birthday Mama samia tunasherekea siku moja mwezi mmoja na mwaka pia ni huo huo ,Hongera Mama
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
Duh fikila za kusema nimechelewa kuolewa nizifute kabisa 😊😊 mungu nipe mume mwema
@hoseabichila255
@hoseabichila255 2 жыл бұрын
Watangazaji wetu bado sana wapo nyuma mno!!karibu Tanzania dada zuhura yunus hao ndio watangazaji wetu wape shule mpya
@moodychanday9220
@moodychanday9220 4 жыл бұрын
Mi nampenda sababu ni Mwanamke mwenye Stara zake
@sharifahmed7346
@sharifahmed7346 2 жыл бұрын
Zuhura Yunus, tutaku miss kweli, nakukumbuka khasa ktk Mwezi wa Ramadhan nakutakia kila la kheri na fanaka
@abdallahlastb5355
@abdallahlastb5355 3 жыл бұрын
I like so much this girl.. Zuhra yunuss ...Allah bless you
@saidmboya40
@saidmboya40 4 жыл бұрын
MTU mzima hatafuniwi dawa,Dada Zuhura inshalah kujisitiri na kuzingatia maadili na utamaduni wa mtanzania na Mwafrika
@allymgosi2851
@allymgosi2851 2 жыл бұрын
Huyo dada mtu mzima ana akili zake sasa huwezi ukamfungukia bila kuonana nae lazima nionane nae je kaolewa au ana mtu
@Cheetah837
@Cheetah837 4 жыл бұрын
“SINGLE BUT NOT AVAILABLE”simple but tactical answer.Only genius can catch it 🤞🏼
@edsontennie8622
@edsontennie8622 4 жыл бұрын
AMMY CARDO you don't need to be genius to catch that shit bro
@Cheetah837
@Cheetah837 4 жыл бұрын
Edson Tennie yes I don’t need coz am genius already 😃😃😃😃#
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 2 жыл бұрын
Basi wataolewa wakiwachwa
@alexkalonga3632
@alexkalonga3632 4 жыл бұрын
Ila jamani Dada Zuhura Ni mzuri jamani
@gabrieldevid9
@gabrieldevid9 4 жыл бұрын
Nampenda sana huyu zuhura yunis jaman.
@stanleygeorge6638
@stanleygeorge6638 4 жыл бұрын
Hivi hizi like hua zinapikiwa na chakula gani maana kila mtu anaziomba
@mahmoodallyturkman6523
@mahmoodallyturkman6523 4 жыл бұрын
Na like ukiwa na Salim kikeke Kwenye matangazo fantastic
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 4 жыл бұрын
MUNGU AKUHIFADHI ZUHURA
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
Napenda sauti yake pia nafikiri ndio maana alipata kazi.
@colinehelmas1458
@colinehelmas1458 4 жыл бұрын
Ninampenda sana binti kiziwi maisha ni safari akiteleza kakiri kosa kaelimika katumikia kifungo na sasa yuko huru kwa rehema za mwenyezi mungu sisi ni nani tuhukumu,welcome sis binti kiziwi
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 4 жыл бұрын
Mbona hamkumuuliza umri bi zuhura yunus, ila nimependa kipindi big up
@rehemaaithumani3076
@rehemaaithumani3076 4 жыл бұрын
Umri na ni kabila gani
@omarnzeyimana1973
@omarnzeyimana1973 4 жыл бұрын
Assalam Aleykum, dada Zuhura vizuri kua wazi Alhamdulillah Basi mimi ninaujumbe wako naomba namba if you don’t mind please
@bravojuma7715
@bravojuma7715 4 жыл бұрын
Watangazaji/waandishi wa Habari wabongo wengi wao mnauliza weak questions mumejawa na maswali ya umbeya tu.
@onesmomayala370
@onesmomayala370 2 жыл бұрын
Hongera sana zuhura Yunus kwa umahili wako ulionao wa utangazaji
@hatujuanisalum9354
@hatujuanisalum9354 2 жыл бұрын
siangalii habari tv yoyote zaidi ya Zuhra Yunus Wallah naipenda sana
@amrkellykelly1382
@amrkellykelly1382 4 жыл бұрын
Mama zuhra Kama hujabahatika kupata mme Bc Allah akufanyia wepesy inshaAllah
@husnajohn7466
@husnajohn7466 4 жыл бұрын
Insha Allah
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Hajasema hajabahatika, kasema HATAKI na hayupo available elewa basi. Sio kila mtu anatamani ndoa
@ramakazina170
@ramakazina170 4 жыл бұрын
Muache aendelee kuwakataa waume kunasiku atakumbuka lkn atakua kachelewa kwani haja zake anatimizaje Dunia inamdanganya sana Allah atujalie mwisho mwema Inshallah.
@artemisneoy9596
@artemisneoy9596 4 жыл бұрын
@@ramakazina170 sio kila mwanamke anahitaji kuolewa wala kuwa na watoto
@halisiherbalandnaturalremedies
@halisiherbalandnaturalremedies 4 жыл бұрын
Rama Kazina Kila mmoja anampangilio wake wa maisha, usikalili kwamba kila mwanamke ana haja ya mwanaume maishani mwake, wengine wako tayari kufa bila kukaa na mwanaume, wanaume wenyewe wako wapi! wapo kuwapa stress tu wanawake, huo ni uamuzi mzuri kwake hukumu anaijua Allah na sio wewe.
@mkutubikijanaonlinetv4342
@mkutubikijanaonlinetv4342 4 жыл бұрын
Waandishi wa kibongo aisee wanapenda sana kuhlji vitu vya mahusiano sana kuliko mambo mengine ya kimaendeleo zaidi
@ramadhanwilbard4685
@ramadhanwilbard4685 4 жыл бұрын
Mausiano ndio msingi wa maendeleo make kila mtu anafanya kazi sana ili familia zipate mahitaji muhimu,sasa kama hauna anayekutegemea unafanya kazi kwa ajili ya nini?
@fadhilidamson4956
@fadhilidamson4956 4 жыл бұрын
Hapo ndo tunapofel vitu vya msing awahurzi
@mkutubikijanaonlinetv4342
@mkutubikijanaonlinetv4342 4 жыл бұрын
Angalia interview za zuhura akiwa anahoji mtu mpaka mtu unataman kukimbia waoo wana deal na uhusiano tu
@user-zq1hy1ec5n
@user-zq1hy1ec5n Жыл бұрын
Hongera Zuhura inaonyesha wazi umelelewa na wazazi vizuri Mungu. Akupe maana maswali ya wa siojua maadili umeyajibu vizuri
@tawakaliramadhani1352
@tawakaliramadhani1352 2 жыл бұрын
Sister Zuhura uko vizuri nakubal iitikadi zako .. hongera.
@mauaomar3692
@mauaomar3692 4 жыл бұрын
Huwa natamani Sana zukhra ungeolewa na Salim kikeke 😍
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 жыл бұрын
Zuhura kaoa mzungu na ana watoto pia
@swaumumshamuswaumumshamu1155
@swaumumshamuswaumumshamu1155 4 жыл бұрын
Salimu kikeke ana mke
@selejecha2320
@selejecha2320 4 жыл бұрын
Hawa watangazaji full zongo maswali mabaya heri wangemuwachua Bi zuhra tugelefaidi kutoka kwa binti kiziwi . Bigup zuhura yunus
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
Ndio sababu hatuendelei. Utaona tofauti ya kufanya kazi Ulaya na Tanzania. Zuhura katokea huko huko , lakini baada ya kufanya kazi na wazungu sasa unamuona.... hakurupuki tu.
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
Mahojiano na zogo la mziki
@salamamohd9653
@salamamohd9653 4 жыл бұрын
Dada angu zuhra yunus nimtangazaji mzr cn pmj na kaka Salum kikeke nawapenda cn na kila ck napenda nitizame BBC habar kila ck na sipendi nikose kutazama hongera kwa kipaji mlichonacho Allah barik
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 жыл бұрын
Sijaona maswali ya msingi mlomuuliza legendry wa tasnia ya habari Zuhura Yunusi!! Wabongo bwana!!
@mutalemwagabriel3525
@mutalemwagabriel3525 4 жыл бұрын
Binti kiziwi mzuri jamani 😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘
@nacsuleyman6541
@nacsuleyman6541 4 жыл бұрын
Daaaaaah kwl kbx
@karnerashid9504
@karnerashid9504 4 жыл бұрын
Unaomba like uipeleke wapi, mm ctaki like zenu aah
@mashakaisinika7434
@mashakaisinika7434 3 жыл бұрын
Bi Zuhura inamaana hujpata kweli basi mi nataka.
@mombamedia5904
@mombamedia5904 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah dada zuhura nakupenda kwaajili ya Allah, nakuombea Dua Allah akupe mume achana na mawazo hayo
@alkenyjanson4778
@alkenyjanson4778 4 жыл бұрын
Nimependa ZUHURA ulivyosema kuwa ulidhani ni maswali ya kitaaluma zaidi ila wabongo maswali yao ndo ayo
@johnkanuda9355
@johnkanuda9355 4 жыл бұрын
Zuhura.tunakuhitaji xna nyumbani hukuhuku wa kukuoa tupooo.!---One love kwa zuhura yunus..........
@Itarusii
@Itarusii 4 жыл бұрын
Maswali ya watangazaji wetu kwa Zuhura yanaonyesha kiwango kilivyo kidogo. Mmekazia mahusiano!.
@sharifahmed7346
@sharifahmed7346 2 жыл бұрын
Zuhura Yunus namkumbuka sana katika BBC Swahili Service MashaALLAH
@dismasdonald745
@dismasdonald745 4 жыл бұрын
Hizo like huwa mnakula?
@omaryndali6238
@omaryndali6238 4 жыл бұрын
😁😁😁🙌
@samirasalumu8378
@samirasalumu8378 4 жыл бұрын
🤣🤣
@ladytatu2139
@ladytatu2139 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka Sasa
@ashaali7154
@ashaali7154 4 жыл бұрын
Like zingekuwa zinaliwa watu wangavimbiwa wa kweli.
@raymondmelele1911
@raymondmelele1911 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 eti wanakula
@mutalemwagabriel3525
@mutalemwagabriel3525 4 жыл бұрын
Maamuzi yako nimeyapenda sana
@mnubimnubi9664
@mnubimnubi9664 4 жыл бұрын
Gheri sana
@mahmoodallyturkman6523
@mahmoodallyturkman6523 4 жыл бұрын
Mashallah zuhra mtoto wa kitanga
@adambritish435
@adambritish435 4 жыл бұрын
Mtoto wa kizanzibar uyo
@mwakahassan7685
@mwakahassan7685 2 жыл бұрын
@@adambritish435 mzanzibar mwezangu wapemba tunajuana
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Uyu Dada nampenda sana, najiuliza mbona ckuoni kwenye taarifa ya habar, Kumbe uko TZ, Namuona *Wazir hamsini* na *Salim Kikeke* nawakubali sana team kikeke 😍😘
@user-ps3fz7od7m
@user-ps3fz7od7m 8 ай бұрын
Our teacher used a listening material today, the anchor is Zuhura and I saw this video about Zuhura today.
@kapendalubowa534
@kapendalubowa534 4 жыл бұрын
Zuhura nakukubali Sana,na binti zangu Karen (7)na Given (10)wanakupenda sana,na wameanza kuipenda taarifa ya habari ya BBC.na lejendary Salim Kikeke.
@hamadbajaj6663
@hamadbajaj6663 4 жыл бұрын
Hongera sana kwa kuhangaikia maisha ila kumbuka mchumba juani hulia kivulini maskini na watoto tajiri na pesa zake je unategemea mwanao kuwa mjukuu wako
@abdulhalim3840
@abdulhalim3840 2 жыл бұрын
Majina ya heruf ZU achana nayo kwa msimamo utachok wew yeye yupo pale pale nakupnd san zuhra yunus Allah akuhifadh na kila baya Na akupe mwish mwem amin
@nicokabonge197
@nicokabonge197 5 ай бұрын
Nampenda sana....
@fettyameir4514
@fettyameir4514 4 жыл бұрын
Nakupenda Zuhra jinsi unavyotangaza 💞
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Hayo ndio matatizo kuionea Dini yako aibu ni sawa nakuto kuridhia chaguo la mola wako
@saidwayawaya5356
@saidwayawaya5356 4 жыл бұрын
As alykum hbri zako. Dada Zuhra yunus.
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
Mtu Professional utamjua tu ebu ona maswali anayouliza zuhura 😃
@maryumhijja9037
@maryumhijja9037 4 жыл бұрын
Nakupendang wew dada
@nanjanjau3467
@nanjanjau3467 4 жыл бұрын
Maashallah Zuhra Yunis kwel ni mtangaji anayenivutia sana.Allah akuongoze zaidi.Amiini
@bindawood978
@bindawood978 4 жыл бұрын
Zuhra Yunnus yuko makini sana na ni mcha Mungu, Maashaallah na pia c mtu wa kuropokwa nimemfahau vizuri sana
@ramakazina170
@ramakazina170 4 жыл бұрын
Kwakigezo kipi au kwakipimo gani ulicho kipima.
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 4 жыл бұрын
Umejuaje ni mcha Mungu?
@bindawood978
@bindawood978 4 жыл бұрын
Anavyojistiri na namna anavyojistiri na muonekano wake, lakini yeye ndo anajuwa zaidi, hayo ni maoni yangu
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 4 жыл бұрын
@@bindawood978 sasa mkuu siku nyingine usimuangalie mtu anavyojistiri ukasema mcha Mungu...wangapi wanavaa mabaibui lakin ni mafox wakutupwa? Hii ni siri yake yeye na Mungu wake..
@bindawood978
@bindawood978 4 жыл бұрын
@@tumlakimwaitumule Ahsante nimekuelewa.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 ай бұрын
Zuhura nampenda sana hasa pale alipomtia maswali Lowassa na Lowassa akawa akajibu kwa jazba'nitakwenda kuchunga ngombe kijijini😂😂❤❤❤
@abukheri2054
@abukheri2054 4 жыл бұрын
Haya ndo maisha mwenzako anahojiwa mafanikio yako mwingne anaulizwa ulifel wap
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 4 жыл бұрын
Ana sauti nzuri saana
@mailacamillius
@mailacamillius 4 жыл бұрын
Mzanzibari huyo!! 😂, halafu pia anasema yupo SINGOOOOOOOOOO
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
sauti yake ndio
@alaintoriteka6905
@alaintoriteka6905 2 жыл бұрын
Nani ukizungumzia?
@edwardmusuti3085
@edwardmusuti3085 4 жыл бұрын
Jamani watangazaji muuliza awe anakuwa mmoja siyo wote mnapiga kelele ,halafu mnashindwa kuuliza vitu vya musingi mnauliza mahusiano
@isackkiteve5975
@isackkiteve5975 4 жыл бұрын
Ukimsikiliza vzuri Zuhura utagundua ana mtazomo tofaut kuhusiana na mahusiano ukilinganisha na wanaomhoji. Mahojiano yanaboa kwani wanainglia wakat Zuhura akihojiwa. Pia wanaonekana kama wana free style maswal yao n km vle hawakufanya utafit wa kutosha kwa ajiri ya kumhoji ukiachilia maswal yaliyoulizwa na wasikilizaji. Kiswahil chake kmenyooka zaid ya wanaomhoji ambao ambao tunashnda nao na kuamka tanzania
@isackkiteve5975
@isackkiteve5975 4 жыл бұрын
Wangemuachia Zuhura kumhoji Binti Kiziwi tungefrahia zaidi. Zuhura akihoji ainglii ktk ya maelezo ya mhojiwa. Ss wanahabar wetu wakibongo dah
@barakaalmas3399
@barakaalmas3399 4 жыл бұрын
Bora nikafungwe China kuliko TANZANIA
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 2 жыл бұрын
Pole Sana Binti Kizi Ajallikazi Nakuombeni Tuu Vijana Acheni Tamaa...
@TheSalma1999
@TheSalma1999 4 жыл бұрын
Nimempenda sana huyu dada kuhusu mahusiano nimependa mno ana busara sana nimemuona anavyocheza mziki wow God bless you my sis
@fidelismrosso4300
@fidelismrosso4300 4 жыл бұрын
salma luhombero aje kwangu
@johnmollel8885
@johnmollel8885 4 жыл бұрын
Mm nampenda naomba awe mke wangu nimsalie watoto john Arusha
@pongwebeachhotel2806
@pongwebeachhotel2806 2 жыл бұрын
@@johnmollel8885 Kumsalia mana ake no kumuombea lugha unaiharibu ya kiswahili kaka, sa na za huaga zinabadilisha maana
@officialstoner771
@officialstoner771 4 жыл бұрын
Basi tunakuombe na ww inshallah upate mume na ww uanze family panapo majaliwa
@t.v.a.i.s.s6842
@t.v.a.i.s.s6842 2 жыл бұрын
Pole saaana bint kiziwi, na zuhura yunus. Huaga tunawafuatilia saaaana
@bennie7239
@bennie7239 4 жыл бұрын
Kiswahili chako tuu Bi Zuhura...🙌.
@officialstoner771
@officialstoner771 4 жыл бұрын
Mashaallah
@halimasulaimani9085
@halimasulaimani9085 4 жыл бұрын
Musa hussein maswali yako!! Hongera zuhura!! Bint kiziwi pole kw matatizo vizur umejua makosa yako maisha yaendelee!!
@farajakivuyo9389
@farajakivuyo9389 4 жыл бұрын
Bi.zuhura uko vizuri kweli kwa utangazaji
@abuuashyam8417
@abuuashyam8417 4 жыл бұрын
mi namshauri amuogope allah zuhura,
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
Watanzania baada kuuliza masuali ambayo yatawasaidia katika kazi zao wameng'angania masuali ya mapenzi.
@salehsaleh548
@salehsaleh548 4 жыл бұрын
She is so romantic
@mr.dbenchannel727
@mr.dbenchannel727 2 жыл бұрын
Mashaallah, akiridhia nimuoe Mimi na watoto atapata
@bahatihthoya8997
@bahatihthoya8997 4 жыл бұрын
favourite news anchor!!!
@allykigatta7564
@allykigatta7564 4 жыл бұрын
Kawakomesha...wao wanadhani kila mwanamama lazma awe mzinifu tu...HUYU KAPOKEA MALEZI BORA TOKA KWA WALEZI WAKE..YEYE C MWAMKE MZINIFU BASI!!!..
@monicamwanjisi693
@monicamwanjisi693 2 жыл бұрын
Hata hivyo si lazima aeleze habari zake hata kama ana mahusiano,maana ni maisha yake binafsi
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 4 жыл бұрын
Huyu mama amewazidi kuepeo wa akili na ujanja wa kujibu maswali na uzoefu
@zuhurahussein
@zuhurahussein 3 жыл бұрын
Mashaallah somo yangu nakupenda bure majina ya zuhura wataratibu na wakarimu nasauti mashaallah
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 2 жыл бұрын
Mmmh jamani
@ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op
@ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op Жыл бұрын
Kabsa yaan jina zuhura....ni utajir wa hekma....ubarikiwe sana somo
@geraldsenkondo4334
@geraldsenkondo4334 4 жыл бұрын
Ndo Anaitwaa Dhuhura Younis kwa kweli yupo makini mtafuteni na Kikeke
@djmeza411a58
@djmeza411a58 4 жыл бұрын
Duu ikali number aipatikani👊🇹🇿
@drtobias_
@drtobias_ 4 жыл бұрын
Kiziwi hawezi kujieleza,Elim,elim,Elim
@mikidadiaboubakar315
@mikidadiaboubakar315 2 жыл бұрын
Mashaallah upo vzr sana karibu sana
@michaeltuingilegewaubaridi8570
@michaeltuingilegewaubaridi8570 4 жыл бұрын
Namkubali sana zurah 3 no yangu africa
@mahersaid258
@mahersaid258 4 жыл бұрын
Ninavy kupend ww naitizama ii video mpak mwish welcome tu Zanzibar
@mangishop6643
@mangishop6643 2 жыл бұрын
Mashallah Allahumma baarik laha wajiaal khaira fy hayatiha
@stevensteve7519
@stevensteve7519 4 жыл бұрын
Plz Z. Kuwa available 🤩
@mtanzaniahalisimungunimwem673
@mtanzaniahalisimungunimwem673 4 жыл бұрын
Dada Zuhura,naomba nitafute Nina shida na wewe
@alhaji6094
@alhaji6094 4 жыл бұрын
Nampenda sana Bi Zuhura Yunus
@venancytesha126
@venancytesha126 4 жыл бұрын
Uko sawa
@stephenkinisa7468
@stephenkinisa7468 4 жыл бұрын
Uko vizuri ZUHURA
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 4 жыл бұрын
Bizuhura mi nakupenda unavojiheshim na kujistiri vyema mda wote
@daprince7545
@daprince7545 4 жыл бұрын
Zuhura yunus wee mrembo Sana nakupenda mpaka naumia moyoni mwangu 😢😢😢
@rosemarydeograthius7041
@rosemarydeograthius7041 4 жыл бұрын
😁😁
@daprince7545
@daprince7545 4 жыл бұрын
@@rosemarydeograthius7041 nampenda zuhura nivile hajui tu . Hua sikosi kutazama habari za BBC kwa ajili yake nimuone tu moyo wangu utulie.
@ericbahizi6526
@ericbahizi6526 Жыл бұрын
Hongela sana dada ya ngu zuhura nasi wa nyarwanda tu mefuata mno
@ibrahimally7554
@ibrahimally7554 4 жыл бұрын
duh zuhra bhana, kwa single n not available? njoo tz tutimize nusu ya pamoja
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah
@josephlutatina9416
@josephlutatina9416 4 жыл бұрын
Sauti ya huyu mama inanikosha roho sana
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Ulaya hakuna izo za kujuana kama nyumbani. Huku elimu, kujiamini na usmati wako. Single but not available, it is a very smart answer. She doesn’t miss anything you guys don’t you get it? Ulaya hasa Uingereza wanajali sana heshima na dini ya mtu bila upendeleo. Ukitaka utavaa hutaki sio lazima kuvaa hijabu.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Waeleze hao wabongo, hata mie mbongo lakini naelewa. Pia swala la mahusiano nje single au kuwa na boyfriend kitu Cha kawaida Sana. Nyumbani kuelewa dili hata kama hufaidi mahusiano
@mwanaidimuhindi6671
@mwanaidimuhindi6671 4 жыл бұрын
Daah yani binti kiziwi ni mzuri MashaAllah 😍😘
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
Allah atakujaalie upate mume mwenye kheri na wewe. Amin.
@arkammuslekh6582
@arkammuslekh6582 4 жыл бұрын
Good
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Mashaallah may Allah bless you' lkn you are v pacinality lady!!!
Salama Na Zuhura Ep 13 | DADAKE Part 1
28:06
YahStoneTown
Рет қаралды 341 М.
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 61 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.
9:44
WANAWAKE SIKU HIZI KAMA GARI LA MKAA / YESU HATUJUI
36:45
Mjini FM
Рет қаралды 36 М.
Vituko vya salimu kikeke akiwa studio bbcswahili uingereza
18:26
MIXtv online
Рет қаралды 186 М.
Я НЕ ОЖИДАЛ ЭТОГО!!! #Shorts #Глент
0:19
ГЛЕНТ
Рет қаралды 2,1 МЛН
AAAAH
0:10
F L U S C O M A N I A
Рет қаралды 17 МЛН
小丑与白天使遇见丧尸?#short #angel #clown
0:32
Super Beauty team
Рет қаралды 34 МЛН
tom with Jerry 😱 #funny
0:12
Nemi Shorts
Рет қаралды 22 МЛН