Matangazaji wa Idhaa ya Kiswahili kutoka BBC Zuhura Yunus leo amefunguka mengi kuhusu kazi na maisha yake kwenye #LeoTena
Пікірлер: 912
@restitutamelchiades9024 жыл бұрын
Asante sana sio kila mwanamke anataka kuwa na mume na sio wote wametendwa. Asante Zuhura
@rosemarydeograthius70414 жыл бұрын
Nami nimejifunza kupitia zuhura,kuolewa na kuwa na mahusiano ni maamuzi
@yohananjoekipada47372 жыл бұрын
Hongera sana mama zuhura japo tuta kukumbuka bbc sana tuna kuombea maisha mapia
@shakiru-y7g4 күн бұрын
hongera mama,zuhura yunusu,nisaidie mwanangu anataka kuwa mtangazaji .
@shakiru-y7g4 күн бұрын
yupo mwanangu Zakia,aniuliza sana zuhura baba ni mtangazaji mzuri,anakupenda sana,aliipenda kazi yako.
@selejecha23204 жыл бұрын
Watangazaji wanauliza wao , wanajibu wao . Bizura wape lesson vijana za utangazaji
@burkardkayombo52714 жыл бұрын
Namkumbuka Zuhura Yunus, alinifurahisha sana, alivyombananisha Edward Lowasa wakati anamsindikiza Jembe Rais wa Tanzania JPM.
@abouhafs28914 жыл бұрын
Majirani zetu mumebarikiwa Alhamdillah.....hongereni sana kama sjakosea Bi.Sluma Kassim pia niwe kutoka Tz.....254 ndio kwe2
@helenamwaipopo9674 жыл бұрын
Nampenda sana Zuhura Yunus ni mtangazaji mzuri anasauti nzuri inshalaaa mwenyezi Mungu mjalie afya njema aendelee kutuelimisha ndani ya BBC in swahili
@karolinamasawe89782 жыл бұрын
Ana miaka mingapi??
@winifridakasibu29002 жыл бұрын
Yaani nampeda Zuhura kasauti kake uwa kananikosha rohoni
@richardkirenga11122 жыл бұрын
Happy birthday Mama samia tunasherekea siku moja mwezi mmoja na mwaka pia ni huo huo ,Hongera Mama
@isunga19644 жыл бұрын
Duh fikila za kusema nimechelewa kuolewa nizifute kabisa 😊😊 mungu nipe mume mwema
@hoseabichila2552 жыл бұрын
Watangazaji wetu bado sana wapo nyuma mno!!karibu Tanzania dada zuhura yunus hao ndio watangazaji wetu wape shule mpya
@moodychanday92204 жыл бұрын
Mi nampenda sababu ni Mwanamke mwenye Stara zake
@sharifahmed73462 жыл бұрын
Zuhura Yunus, tutaku miss kweli, nakukumbuka khasa ktk Mwezi wa Ramadhan nakutakia kila la kheri na fanaka
@abdallahlastb53553 жыл бұрын
I like so much this girl.. Zuhra yunuss ...Allah bless you
@saidmboya404 жыл бұрын
MTU mzima hatafuniwi dawa,Dada Zuhura inshalah kujisitiri na kuzingatia maadili na utamaduni wa mtanzania na Mwafrika
@allymgosi28512 жыл бұрын
Huyo dada mtu mzima ana akili zake sasa huwezi ukamfungukia bila kuonana nae lazima nionane nae je kaolewa au ana mtu
@Cheetah8374 жыл бұрын
“SINGLE BUT NOT AVAILABLE”simple but tactical answer.Only genius can catch it 🤞🏼
@edsontennie86224 жыл бұрын
AMMY CARDO you don't need to be genius to catch that shit bro
@Cheetah8374 жыл бұрын
Edson Tennie yes I don’t need coz am genius already 😃😃😃😃#
@tahiraabdul17012 жыл бұрын
Basi wataolewa wakiwachwa
@alexkalonga36324 жыл бұрын
Ila jamani Dada Zuhura Ni mzuri jamani
@gabrieldevid94 жыл бұрын
Nampenda sana huyu zuhura yunis jaman.
@stanleygeorge66384 жыл бұрын
Hivi hizi like hua zinapikiwa na chakula gani maana kila mtu anaziomba
@mahmoodallyturkman65234 жыл бұрын
Na like ukiwa na Salim kikeke Kwenye matangazo fantastic
@abullahkabaka87744 жыл бұрын
MUNGU AKUHIFADHI ZUHURA
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
Napenda sauti yake pia nafikiri ndio maana alipata kazi.
@colinehelmas14584 жыл бұрын
Ninampenda sana binti kiziwi maisha ni safari akiteleza kakiri kosa kaelimika katumikia kifungo na sasa yuko huru kwa rehema za mwenyezi mungu sisi ni nani tuhukumu,welcome sis binti kiziwi
@mrsliverpool42354 жыл бұрын
Mbona hamkumuuliza umri bi zuhura yunus, ila nimependa kipindi big up
@rehemaaithumani30764 жыл бұрын
Umri na ni kabila gani
@omarnzeyimana19734 жыл бұрын
Assalam Aleykum, dada Zuhura vizuri kua wazi Alhamdulillah Basi mimi ninaujumbe wako naomba namba if you don’t mind please
@bravojuma77154 жыл бұрын
Watangazaji/waandishi wa Habari wabongo wengi wao mnauliza weak questions mumejawa na maswali ya umbeya tu.
@onesmomayala3702 жыл бұрын
Hongera sana zuhura Yunus kwa umahili wako ulionao wa utangazaji
@hatujuanisalum93542 жыл бұрын
siangalii habari tv yoyote zaidi ya Zuhra Yunus Wallah naipenda sana
@amrkellykelly13824 жыл бұрын
Mama zuhra Kama hujabahatika kupata mme Bc Allah akufanyia wepesy inshaAllah
@husnajohn74664 жыл бұрын
Insha Allah
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Hajasema hajabahatika, kasema HATAKI na hayupo available elewa basi. Sio kila mtu anatamani ndoa
@ramakazina1704 жыл бұрын
Muache aendelee kuwakataa waume kunasiku atakumbuka lkn atakua kachelewa kwani haja zake anatimizaje Dunia inamdanganya sana Allah atujalie mwisho mwema Inshallah.
@artemisneoy95964 жыл бұрын
@@ramakazina170 sio kila mwanamke anahitaji kuolewa wala kuwa na watoto
@halisiherbalandnaturalremedies4 жыл бұрын
Rama Kazina Kila mmoja anampangilio wake wa maisha, usikalili kwamba kila mwanamke ana haja ya mwanaume maishani mwake, wengine wako tayari kufa bila kukaa na mwanaume, wanaume wenyewe wako wapi! wapo kuwapa stress tu wanawake, huo ni uamuzi mzuri kwake hukumu anaijua Allah na sio wewe.
@mkutubikijanaonlinetv43424 жыл бұрын
Waandishi wa kibongo aisee wanapenda sana kuhlji vitu vya mahusiano sana kuliko mambo mengine ya kimaendeleo zaidi
@ramadhanwilbard46854 жыл бұрын
Mausiano ndio msingi wa maendeleo make kila mtu anafanya kazi sana ili familia zipate mahitaji muhimu,sasa kama hauna anayekutegemea unafanya kazi kwa ajili ya nini?
@fadhilidamson49564 жыл бұрын
Hapo ndo tunapofel vitu vya msing awahurzi
@mkutubikijanaonlinetv43424 жыл бұрын
Angalia interview za zuhura akiwa anahoji mtu mpaka mtu unataman kukimbia waoo wana deal na uhusiano tu
@user-zq1hy1ec5n Жыл бұрын
Hongera Zuhura inaonyesha wazi umelelewa na wazazi vizuri Mungu. Akupe maana maswali ya wa siojua maadili umeyajibu vizuri
@tawakaliramadhani13522 жыл бұрын
Sister Zuhura uko vizuri nakubal iitikadi zako .. hongera.
@mauaomar36924 жыл бұрын
Huwa natamani Sana zukhra ungeolewa na Salim kikeke 😍
@youngsachafurniture54824 жыл бұрын
Zuhura kaoa mzungu na ana watoto pia
@swaumumshamuswaumumshamu11554 жыл бұрын
Salimu kikeke ana mke
@selejecha23204 жыл бұрын
Hawa watangazaji full zongo maswali mabaya heri wangemuwachua Bi zuhra tugelefaidi kutoka kwa binti kiziwi . Bigup zuhura yunus
@farhatfatma124 жыл бұрын
Ndio sababu hatuendelei. Utaona tofauti ya kufanya kazi Ulaya na Tanzania. Zuhura katokea huko huko , lakini baada ya kufanya kazi na wazungu sasa unamuona.... hakurupuki tu.
@farhatfatma124 жыл бұрын
Mahojiano na zogo la mziki
@salamamohd96534 жыл бұрын
Dada angu zuhra yunus nimtangazaji mzr cn pmj na kaka Salum kikeke nawapenda cn na kila ck napenda nitizame BBC habar kila ck na sipendi nikose kutazama hongera kwa kipaji mlichonacho Allah barik
@upendoeliya93292 жыл бұрын
Sijaona maswali ya msingi mlomuuliza legendry wa tasnia ya habari Zuhura Yunusi!! Wabongo bwana!!
@mutalemwagabriel35254 жыл бұрын
Binti kiziwi mzuri jamani 😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘
@nacsuleyman65414 жыл бұрын
Daaaaaah kwl kbx
@karnerashid95044 жыл бұрын
Unaomba like uipeleke wapi, mm ctaki like zenu aah
@mashakaisinika74343 жыл бұрын
Bi Zuhura inamaana hujpata kweli basi mi nataka.
@mombamedia59042 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah dada zuhura nakupenda kwaajili ya Allah, nakuombea Dua Allah akupe mume achana na mawazo hayo
@alkenyjanson47784 жыл бұрын
Nimependa ZUHURA ulivyosema kuwa ulidhani ni maswali ya kitaaluma zaidi ila wabongo maswali yao ndo ayo
@johnkanuda93554 жыл бұрын
Zuhura.tunakuhitaji xna nyumbani hukuhuku wa kukuoa tupooo.!---One love kwa zuhura yunus..........
@Itarusii4 жыл бұрын
Maswali ya watangazaji wetu kwa Zuhura yanaonyesha kiwango kilivyo kidogo. Mmekazia mahusiano!.
@sharifahmed73462 жыл бұрын
Zuhura Yunus namkumbuka sana katika BBC Swahili Service MashaALLAH
@dismasdonald7454 жыл бұрын
Hizo like huwa mnakula?
@omaryndali62384 жыл бұрын
😁😁😁🙌
@samirasalumu83784 жыл бұрын
🤣🤣
@ladytatu21394 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka Sasa
@ashaali71544 жыл бұрын
Like zingekuwa zinaliwa watu wangavimbiwa wa kweli.
Uyu Dada nampenda sana, najiuliza mbona ckuoni kwenye taarifa ya habar, Kumbe uko TZ, Namuona *Wazir hamsini* na *Salim Kikeke* nawakubali sana team kikeke 😍😘
@user-ps3fz7od7m8 ай бұрын
Our teacher used a listening material today, the anchor is Zuhura and I saw this video about Zuhura today.
@kapendalubowa5344 жыл бұрын
Zuhura nakukubali Sana,na binti zangu Karen (7)na Given (10)wanakupenda sana,na wameanza kuipenda taarifa ya habari ya BBC.na lejendary Salim Kikeke.
@hamadbajaj66634 жыл бұрын
Hongera sana kwa kuhangaikia maisha ila kumbuka mchumba juani hulia kivulini maskini na watoto tajiri na pesa zake je unategemea mwanao kuwa mjukuu wako
@abdulhalim38402 жыл бұрын
Majina ya heruf ZU achana nayo kwa msimamo utachok wew yeye yupo pale pale nakupnd san zuhra yunus Allah akuhifadh na kila baya Na akupe mwish mwem amin
@nicokabonge1975 ай бұрын
Nampenda sana....
@fettyameir45144 жыл бұрын
Nakupenda Zuhra jinsi unavyotangaza 💞
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Hayo ndio matatizo kuionea Dini yako aibu ni sawa nakuto kuridhia chaguo la mola wako
@saidwayawaya53564 жыл бұрын
As alykum hbri zako. Dada Zuhra yunus.
@latriciah01augustino674 жыл бұрын
Mtu Professional utamjua tu ebu ona maswali anayouliza zuhura 😃
@maryumhijja90374 жыл бұрын
Nakupendang wew dada
@nanjanjau34674 жыл бұрын
Maashallah Zuhra Yunis kwel ni mtangaji anayenivutia sana.Allah akuongoze zaidi.Amiini
@bindawood9784 жыл бұрын
Zuhra Yunnus yuko makini sana na ni mcha Mungu, Maashaallah na pia c mtu wa kuropokwa nimemfahau vizuri sana
@ramakazina1704 жыл бұрын
Kwakigezo kipi au kwakipimo gani ulicho kipima.
@tumlakimwaitumule4 жыл бұрын
Umejuaje ni mcha Mungu?
@bindawood9784 жыл бұрын
Anavyojistiri na namna anavyojistiri na muonekano wake, lakini yeye ndo anajuwa zaidi, hayo ni maoni yangu
@tumlakimwaitumule4 жыл бұрын
@@bindawood978 sasa mkuu siku nyingine usimuangalie mtu anavyojistiri ukasema mcha Mungu...wangapi wanavaa mabaibui lakin ni mafox wakutupwa? Hii ni siri yake yeye na Mungu wake..
@bindawood9784 жыл бұрын
@@tumlakimwaitumule Ahsante nimekuelewa.
@aminaomary55674 ай бұрын
Zuhura nampenda sana hasa pale alipomtia maswali Lowassa na Lowassa akawa akajibu kwa jazba'nitakwenda kuchunga ngombe kijijini😂😂❤❤❤
@abukheri20544 жыл бұрын
Haya ndo maisha mwenzako anahojiwa mafanikio yako mwingne anaulizwa ulifel wap
@zaitunisinamenye17994 жыл бұрын
Ana sauti nzuri saana
@mailacamillius4 жыл бұрын
Mzanzibari huyo!! 😂, halafu pia anasema yupo SINGOOOOOOOOOO
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
sauti yake ndio
@alaintoriteka69052 жыл бұрын
Nani ukizungumzia?
@edwardmusuti30854 жыл бұрын
Jamani watangazaji muuliza awe anakuwa mmoja siyo wote mnapiga kelele ,halafu mnashindwa kuuliza vitu vya musingi mnauliza mahusiano
@isackkiteve59754 жыл бұрын
Ukimsikiliza vzuri Zuhura utagundua ana mtazomo tofaut kuhusiana na mahusiano ukilinganisha na wanaomhoji. Mahojiano yanaboa kwani wanainglia wakat Zuhura akihojiwa. Pia wanaonekana kama wana free style maswal yao n km vle hawakufanya utafit wa kutosha kwa ajiri ya kumhoji ukiachilia maswal yaliyoulizwa na wasikilizaji. Kiswahil chake kmenyooka zaid ya wanaomhoji ambao ambao tunashnda nao na kuamka tanzania
@isackkiteve59754 жыл бұрын
Wangemuachia Zuhura kumhoji Binti Kiziwi tungefrahia zaidi. Zuhura akihoji ainglii ktk ya maelezo ya mhojiwa. Ss wanahabar wetu wakibongo dah
@barakaalmas33994 жыл бұрын
Bora nikafungwe China kuliko TANZANIA
@muhammadmuhammad50432 жыл бұрын
Pole Sana Binti Kizi Ajallikazi Nakuombeni Tuu Vijana Acheni Tamaa...
@TheSalma19994 жыл бұрын
Nimempenda sana huyu dada kuhusu mahusiano nimependa mno ana busara sana nimemuona anavyocheza mziki wow God bless you my sis
@fidelismrosso43004 жыл бұрын
salma luhombero aje kwangu
@johnmollel88854 жыл бұрын
Mm nampenda naomba awe mke wangu nimsalie watoto john Arusha
@pongwebeachhotel28062 жыл бұрын
@@johnmollel8885 Kumsalia mana ake no kumuombea lugha unaiharibu ya kiswahili kaka, sa na za huaga zinabadilisha maana
@officialstoner7714 жыл бұрын
Basi tunakuombe na ww inshallah upate mume na ww uanze family panapo majaliwa
@t.v.a.i.s.s68422 жыл бұрын
Pole saaana bint kiziwi, na zuhura yunus. Huaga tunawafuatilia saaaana
@bennie72394 жыл бұрын
Kiswahili chako tuu Bi Zuhura...🙌.
@officialstoner7714 жыл бұрын
Mashaallah
@halimasulaimani90854 жыл бұрын
Musa hussein maswali yako!! Hongera zuhura!! Bint kiziwi pole kw matatizo vizur umejua makosa yako maisha yaendelee!!
@farajakivuyo93894 жыл бұрын
Bi.zuhura uko vizuri kweli kwa utangazaji
@abuuashyam84174 жыл бұрын
mi namshauri amuogope allah zuhura,
@farhatfatma124 жыл бұрын
Watanzania baada kuuliza masuali ambayo yatawasaidia katika kazi zao wameng'angania masuali ya mapenzi.
@salehsaleh5484 жыл бұрын
She is so romantic
@mr.dbenchannel7272 жыл бұрын
Mashaallah, akiridhia nimuoe Mimi na watoto atapata
@bahatihthoya89974 жыл бұрын
favourite news anchor!!!
@allykigatta75644 жыл бұрын
Kawakomesha...wao wanadhani kila mwanamama lazma awe mzinifu tu...HUYU KAPOKEA MALEZI BORA TOKA KWA WALEZI WAKE..YEYE C MWAMKE MZINIFU BASI!!!..
@monicamwanjisi6932 жыл бұрын
Hata hivyo si lazima aeleze habari zake hata kama ana mahusiano,maana ni maisha yake binafsi
@abdallaabdulrahman83194 жыл бұрын
Huyu mama amewazidi kuepeo wa akili na ujanja wa kujibu maswali na uzoefu
@zuhurahussein3 жыл бұрын
Mashaallah somo yangu nakupenda bure majina ya zuhura wataratibu na wakarimu nasauti mashaallah
@rashidikanyama72272 жыл бұрын
Mmmh jamani
@ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op Жыл бұрын
Kabsa yaan jina zuhura....ni utajir wa hekma....ubarikiwe sana somo
@geraldsenkondo43344 жыл бұрын
Ndo Anaitwaa Dhuhura Younis kwa kweli yupo makini mtafuteni na Kikeke
@djmeza411a584 жыл бұрын
Duu ikali number aipatikani👊🇹🇿
@drtobias_4 жыл бұрын
Kiziwi hawezi kujieleza,Elim,elim,Elim
@mikidadiaboubakar3152 жыл бұрын
Mashaallah upo vzr sana karibu sana
@michaeltuingilegewaubaridi85704 жыл бұрын
Namkubali sana zurah 3 no yangu africa
@mahersaid2584 жыл бұрын
Ninavy kupend ww naitizama ii video mpak mwish welcome tu Zanzibar
Bizuhura mi nakupenda unavojiheshim na kujistiri vyema mda wote
@daprince75454 жыл бұрын
Zuhura yunus wee mrembo Sana nakupenda mpaka naumia moyoni mwangu 😢😢😢
@rosemarydeograthius70414 жыл бұрын
😁😁
@daprince75454 жыл бұрын
@@rosemarydeograthius7041 nampenda zuhura nivile hajui tu . Hua sikosi kutazama habari za BBC kwa ajili yake nimuone tu moyo wangu utulie.
@ericbahizi6526 Жыл бұрын
Hongela sana dada ya ngu zuhura nasi wa nyarwanda tu mefuata mno
@ibrahimally75544 жыл бұрын
duh zuhra bhana, kwa single n not available? njoo tz tutimize nusu ya pamoja
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Mashallah
@josephlutatina94164 жыл бұрын
Sauti ya huyu mama inanikosha roho sana
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Ulaya hakuna izo za kujuana kama nyumbani. Huku elimu, kujiamini na usmati wako. Single but not available, it is a very smart answer. She doesn’t miss anything you guys don’t you get it? Ulaya hasa Uingereza wanajali sana heshima na dini ya mtu bila upendeleo. Ukitaka utavaa hutaki sio lazima kuvaa hijabu.
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Waeleze hao wabongo, hata mie mbongo lakini naelewa. Pia swala la mahusiano nje single au kuwa na boyfriend kitu Cha kawaida Sana. Nyumbani kuelewa dili hata kama hufaidi mahusiano
@mwanaidimuhindi66714 жыл бұрын
Daah yani binti kiziwi ni mzuri MashaAllah 😍😘
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
Allah atakujaalie upate mume mwenye kheri na wewe. Amin.
@arkammuslekh65824 жыл бұрын
Good
@zahraalbaloochi28414 жыл бұрын
Mashaallah may Allah bless you' lkn you are v pacinality lady!!!