ZUMARI || Kamanda Abdallah W. Mssika mshindi wa tuzo ya nishani ya vita vya Kagera

  Рет қаралды 10,807

Azam TV

Azam TV

Жыл бұрын

Amewahi kuwa mkuu wa Uhusiano kwa Umma Makao Makuu Dar es Salaam -Mstaafu
Amewahi pia kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera na Shinyanga
Ni miongoni mwa Makanda wa mwanzo kuanzisha Kanda Maalum ya Kipolisi Dar es Salaam.
Miongoni mwa washiriki wa vita ya Kagera na kutunukiwa nishani ya vita
-Akiwa RCO Kituo cha Polisi Osterbey ndie aliyeongoza polisi kuweka Ulinzi kwenye tukio la kulipuliwa Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam

Пікірлер: 18
@Amoskyakajumba
@Amoskyakajumba 26 күн бұрын
Hongera Sana kamanda,nimekuwa much interested na history yako pamoja na udhoefu wako,Zaid Kwa kaz uliyofany mkoan kwangu Kagera na henzi hizo kumkamata mhaini WA nchi yetu.Well done.
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 4 ай бұрын
Mashallah alinisaidia sana shinyangaAllah amlipe.
@getrudemadeko3703
@getrudemadeko3703 5 ай бұрын
Hongera sana Kamanda Mssika, history nzuri mno ya KAZI zako.
@dicksonmoshi7480
@dicksonmoshi7480 Ай бұрын
Namkumbuka mtoto wake Mohamed msika nimesoma nae o level
@elvisbunde6454
@elvisbunde6454 4 ай бұрын
Respect sir ,and we'll trained officer,to the current officers pay visit to him for more advice, Afande sir.
@hajjsuleiman3317
@hajjsuleiman3317 6 ай бұрын
Hongera saana kamanda Sheikh Abdalla msika kwa kuweza kustaafu vyema na kumaliza majukumu yako vyema kabisa ulik I wa mchapakazi mwenye weledi kabisa hongera saana nkuu
@kudramunisi2370
@kudramunisi2370 Ай бұрын
Kamanda mssika alikua Sio mtu wa kujiona. Alikua akifika Njia ya ng'ombe akitokea kwake Bucha.. Anawapa lift Watu Hana Makuu.. Naikumbuka discover yake nyekundu BSD na Mitsubishi colt yake.. Mama amuangalie ampe hata kitengo na Allah amjalie Afya njema kamanda
@jisrainomwa4015
@jisrainomwa4015 2 ай бұрын
Mtoto wa wazir hiyo watt wa mawazir mpoooo
@lamecklaurentius8936
@lamecklaurentius8936 5 ай бұрын
Huyu Kamanda ni Mwalimu mzuri sana
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 5 ай бұрын
Be blessed Mzee wangu 🏹🙌
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 Жыл бұрын
Shukrani
@hajjsuleiman3317
@hajjsuleiman3317 6 ай бұрын
Tunaiomba serikali yetu iwakumbuke watu kama hawa lamanda msika alikuwa ni mfano bora wa kuigwa hivyo tunaishauri serikali yetu iwakumbuke sana wakongwe wetu hawa walilitumika taifa letu hili kwa uweledi wa hali ya juu mno na izidi kuwatumia ili waweze kufanikisha mengi,huyu kamanda hana do na alikuwa hana ubabaishaji wowote
@ShamimuAbasi
@ShamimuAbasi Ай бұрын
Kazi nzuri saana Babu yangu🇹🇿🥰😍🙌🤝
@aziza9093
@aziza9093 5 ай бұрын
Kazizur
@orgenesdigina
@orgenesdigina 8 ай бұрын
Daah, vyuma vimeondoka na vinazidi kuondoka, natamani kuona wanaobaki jeshini wawe conki km hawa wazee
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 7 ай бұрын
kamanda msomi huyo,kumbe alipigana uganda paia hongera zake
@rashidimwambichi3340
@rashidimwambichi3340 Жыл бұрын
Naiomba hii part 2 yake tafadhari Jafari mponda
@johnhosea1321
@johnhosea1321 5 ай бұрын
Kongole kwa utumishi bora
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 8 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 63 МЛН
The 25 Richest Families In Tanzania 2022...
22:32
The New Tourist
Рет қаралды 240 М.
Inside Mark Zuckerberg's AI Era | The Circuit
24:02
Bloomberg Originals
Рет қаралды 1,2 МЛН