ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021

  Рет қаралды 32,786

Azam TV

Azam TV

2 жыл бұрын

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 73
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 жыл бұрын
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@rafoursamiol5244
@rafoursamiol5244 15 күн бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@yasameja2241
@yasameja2241 Ай бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@chidiomari.65
@chidiomari.65 2 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@jumannemlacha7429
@jumannemlacha7429 2 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@RamadhanAli
@RamadhanAli 2 жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NI KWELI
@stephenaxwessp7087
@stephenaxwessp7087 5 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@thelixyn1315
@thelixyn1315 2 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm 6 ай бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HONGERA SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
❤Amen
@mutahangarwasamwel4643
@mutahangarwasamwel4643 2 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
❤❤❤❤
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
TUWAOMBEE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
Uwiiiiii
@isackmgema7376
@isackmgema7376 5 ай бұрын
What an interview 🎉
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
DUUUUUH
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
WACHAAA
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 5 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@user-xi7oe1xr9j
@user-xi7oe1xr9j 6 ай бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
KARAMAAAAA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NIKWELI KABISA
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 3 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 5 ай бұрын
Maashallah kiboko
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 2 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@jumamwanga6634
@jumamwanga6634 5 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HAKUNA KULALA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
POLENI SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
KUMBEEEE
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@vanpzle6710
@vanpzle6710 6 ай бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HONGERENI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
UAMINIFU
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@lawskuli9876
@lawskuli9876 5 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
BUSARA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NUNDU ZAKUTOSHA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
@hazjay4671
@hazjay4671 2 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri431
@josephlorri431 5 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
@sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
@sheikhabdul-raufalmunaawiy3367 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ma9-p6-quLmqhYk.html FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Utumishi ulio tukuka mzee wetu
@elifadilykagossy1030
@elifadilykagossy1030 2 жыл бұрын
Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore
@elifadilykagossy1030
@elifadilykagossy1030 2 жыл бұрын
scauti pale same
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
HONGERA SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
DUUUUUH
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
NIKWELI KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 Ай бұрын
POLENI SANA
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 13 МЛН
ZUMARI:  WAZIRI WA ULINZI MSTAAFU - EDGAR MAJOGO MAOKOLA
53:53
HOTUBA YA MNADHIMU MKUU WA JWTZ - AZAM TWO
5:24
Azam TV
Рет қаралды 61 М.
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 289 М.
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН