Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: / azamtvtz ►INSTAGRAM: / azamsports2 ►TWITTER: / azamtvtz ►FACEBOOK: / azamtvtz ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 73
@williamdetkvant13132 жыл бұрын
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@rafoursamiol524415 күн бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@yasameja2241Ай бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@chidiomari.652 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@jumannemlacha74292 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@RamadhanAli2 жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@felixmagulu61422 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@marylibaba2589Ай бұрын
NI KWELI
@stephenaxwessp70875 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@marylibaba2589Ай бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@marylibaba2589Ай бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@thelixyn13152 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@marylibaba2589Ай бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@marylibaba2589Ай бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@mohamedkondo-tq2bm6 ай бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@marylibaba2589Ай бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba2589Ай бұрын
HONGERA SANA
@marylibaba2589Ай бұрын
❤Amen
@mutahangarwasamwel46432 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@marylibaba2589Ай бұрын
❤❤❤❤
@marylibaba2589Ай бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@marylibaba2589Ай бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@marylibaba2589Ай бұрын
TUWAOMBEE SANA
@marylibaba2589Ай бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba2589Ай бұрын
Uwiiiiii
@isackmgema73765 ай бұрын
What an interview 🎉
@marylibaba2589Ай бұрын
DUUUUUH
@michaelndilima62104 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@marylibaba2589Ай бұрын
WACHAAA
@juliusmlula16585 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@user-xi7oe1xr9j6 ай бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@marylibaba2589Ай бұрын
KARAMAAAAA
@marylibaba2589Ай бұрын
NIKWELI KABISA
@freddymtashi50203 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba2589Ай бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@hasaabdi71995 ай бұрын
Maashallah kiboko
@abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@jumamwanga66345 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba2589Ай бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba2589Ай бұрын
HAKUNA KULALA
@marylibaba2589Ай бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@marylibaba2589Ай бұрын
POLENI SANA
@marylibaba2589Ай бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba2589Ай бұрын
KUMBEEEE
@marylibaba2589Ай бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@vanpzle67106 ай бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@marylibaba2589Ай бұрын
HONGERENI
@marylibaba2589Ай бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba2589Ай бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba2589Ай бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@marylibaba2589Ай бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba2589Ай бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba2589Ай бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba2589Ай бұрын
UAMINIFU
@marylibaba2589Ай бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@lawskuli98765 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@marylibaba2589Ай бұрын
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
@marylibaba2589Ай бұрын
BUSARA
@marylibaba2589Ай бұрын
NUNDU ZAKUTOSHA
@marylibaba2589Ай бұрын
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
@hazjay46712 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri4315 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea