Ongea kiswahili, wenye elimu ndogo watakosa haya madini, ni ya wote, sio graduates oeke yao. Thank you bro.
@user-wo5fr5jp7bАй бұрын
Asante sana kaka Luvanda kwa elimu nzuri sana!!!
@lizybagamba2067Ай бұрын
Mbona Kama nilichelewa kufatilia hawa watu..
@user-gn7xd1yg3t2 ай бұрын
Viingereza vingi niwajibuwako unaetaka kujifunza kuuliza ili ujue kwani ni sehemu yajifunza pia.
@MursalnaHassan2 ай бұрын
❤❤❤
@KazarePaul2 ай бұрын
Kunawatu wanaamini huwezi timiza ndoto bila kupita kwa waganga wa kienyeji hivi hiyo ni kwel au vp hapo
@Abdulrahmanhassan182 ай бұрын
Yaani amengea kwa dakika 49 ila amefundisha mambo mawili 2 tu loh. Jambo la kwanza alilofundusha ni ANZA NA ULICHONACHO jambo la pili ni ONGEZA THAMANI ya liobakia ni maelezo mengi ila nihaki yao kwasababu ni semina ya bure.
@Fadhilbenedicto2 ай бұрын
Appreciated
@merylatieno37312 ай бұрын
Thanks my brother
@annamazengo9752 ай бұрын
Sijaelewa vizuri mbona kama unawakatisha watu tamaa ya kusoma,ina maana kila kitu sio muhimu?
@josephmigila2672 ай бұрын
Good
@johnsololo65653 ай бұрын
Madini safi kabisa
@NelekwaDuma3 ай бұрын
Luvanda...unatumia kiingereza Sana...mengine yananipita tuu...
@brysonkaaya51514 ай бұрын
Thank you for your good encourage me
@user-ky5cs4ey9p5 ай бұрын
Honour
@samwelnyambuya19205 ай бұрын
Hizi nondoooo nimezielewaaaa sana,Mungu azidi kutumiaa kwa ukombozi wa jamii
@erickmsele62746 ай бұрын
Bro unaongea point
@robertmgori81656 ай бұрын
Thanks so much brother luvanda
@ninjaisma79836 ай бұрын
Tatizo lenu motivational speakers wa Tz mnajisifia sana na kukosoa sana badala ya kuwapa watu moyo...Joel nanauka anajielewa sana na anajua sana kutia watu moyo na kuwapa ushauri tofauti na wengine
@dulieone93748 ай бұрын
Kwel anakaaa Sana kimya
@salma_749 ай бұрын
The interview was very short maana hukuwakilisha kila kitu. Luvanda nakukubali sana kwa speech zako.
@amoslumawa43159 ай бұрын
Nakukubali sana kwa madini mzee cjui kwa nini unakaaga kimya MDA mrefu, ni ombi langu atleast uwe unatoa kitu kila week
@nkomollaob73619 ай бұрын
Darasa zuri saana mkuu
@user-eo1xx2js5g9 ай бұрын
Nimepend
@rosemarysulle92889 ай бұрын
😂😂yaan wtz kiingereza ndo shida kubwa maskini
@richardlugata576710 ай бұрын
Nimekuelewa sana ndg
@user-cc1fs3os8x11 ай бұрын
Shukran kaka
@user-bw5rt8up1s Жыл бұрын
be blessed
@joycejacob6263 Жыл бұрын
You're Good teacher
@ImmanuellyWilliamAyo-jt8kg Жыл бұрын
Unaongea point kwa ufafanuzi ubarikiwe kwa somo nzuri
@AdamSamwely-rn1zc Жыл бұрын
Life is not ize
@sofiarugoye7929 Жыл бұрын
Kk nimeshindwa hata kuongea kwajinsi yote uliyotoa yote madini + Dimond Thanks so much
@abdul-razakichinenda8250 Жыл бұрын
chuo kipo sehem gn
@editormeda6250 Жыл бұрын
Here this One """"you are not the business and the business is not you""". I love this one.....
@ephraimkabeya9648 Жыл бұрын
Somo ni zuri Sana, hongera. Mimi najua wewe ni msomi, ujitahidi kutumia Kiswahili pekee ili iakisi uhalisia WA elimu yako na kuondoa matabaka maana wanaofanya biashara na kufanikiwa SIO hao tu, tukumbuke na Sisi wanakijiji kaka.
@tashingasithole9718 Жыл бұрын
Milkshake information
@imanimwamasangula3467 Жыл бұрын
Product of Tafes, i love Tafes
@asimiladomohamedi5354 Жыл бұрын
Nasikitika kuchelewa kukufatilia wow wow
@christopherderrell8470 Жыл бұрын
What a reminder, applicable to the Caribbean region as well. The way American companies scale may not always be applicable to the way we need to scale, in the context of our environments.
@virginiamumbua2972 Жыл бұрын
Wow
@bernieh6179 Жыл бұрын
Believe in what you are doing. Have real friends and partners.
@lucaswami2388 Жыл бұрын
Asante sana
@ismailmohamed-sc1hg Жыл бұрын
Nakuelewa Sana bro Sina kaka we ndo nimeona uwe kaka angu kwa mara uku DVD zako tunazipataje
@mohamedothumanhussein2792 Жыл бұрын
Thnx
@naston-sc1lr Жыл бұрын
MUNGU akubariki
@spiderelexander9977 Жыл бұрын
Lait kama ningekufuatilia cku nyingi ningekuwa mbali ila bado mda ninao kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu kwa hiki nilichojifunza ntafanikiwa Mungu anisimamie
@castorbanda9626 Жыл бұрын
Uko vizur ubarikiwe kwa kufungua ubongo wa vijana
@peterjama1725 Жыл бұрын
audio isnt great
@evansonmwaura163 Жыл бұрын
How will I get contact with Mr.Strive
@evansonmwaura163 Жыл бұрын
Listen from Kenya 🇰🇪, interested to talk to Mr.Strive