Mfano kama ukiota ndoto halafu ukawa unazisahau inamaa Isha Nini.
@WaziaCharles-ll2vt4 күн бұрын
Kuotaumevaa viatu vikubwa
@wilfredluhwago92464 күн бұрын
Mimi niliota kuna dhababu nimeipata nikaificha chini ya Meza lakini kuna mtu akaichukua.... na nilimuona. Tafri ni nini...
@AshaKinyogori5 күн бұрын
Mimi niliota Nna ela nyingi sana mpaka sina pa kuziweka adi adi nafunga kwenye kanga malundo malundo
@JoyceKayombo-y3g11 күн бұрын
Amen barikiwa sana pastor ester kwatufungua
@user-yp5mu3yc9y12 күн бұрын
Ndoto zote nmeota ktk hii uliyo ongerea
@rogerslwitiko391514 күн бұрын
Mimi niliota nipo nchi ya mbali wakawa wanajaza mbolea(Mboji) yenye ardhi ambayo haitumiki lakini yenye udongo wenye rutuba na udongo ambao hauna rutuba kwa ajili ya kilimo hii ndoto ina maana gani Mtumishi?
@BettyMaboko15 күн бұрын
Kuota unaolewa na mume mwingine wakati uko kwenye ndoa
@ScolaMwamlima21 күн бұрын
Mimi huwa naota nipo kanisani mara shuleni hospitali
@IbrahimJoseph-p8w21 күн бұрын
WW SIO HIVYO BANA
@pastor_Estersamwel20 күн бұрын
😂😂 Kwanini mwana wa Mungu
@user-mv6pj6hq3z21 күн бұрын
Paster estar unaongea na MFALME SIMBA
@pastor_Estersamwel20 күн бұрын
😊😊
@JohnMwita-dv4fl25 күн бұрын
It's true
@MalackRichard25 күн бұрын
Mungu akubariki na azidi sana tena sana kukupatia uwepo wa kuendelea kutuelimisha. Pamoja sana Paster
@BasilisaGulamaliАй бұрын
Mi huwa naota niko na wasanii wakubwa kama vile diomond nini maana yake
@VeronicaMtesigwa-zi4zeАй бұрын
Naukiota mmeo anamke mwingine mala kwa mala unamaanisha nini
Mie naotanga nikiwa na kisima cha pesa nyingi yaan zimejaa kwenye kisima adi juu adi zimetapakaa
@neemakarisa149627 күн бұрын
Hmmm 🤔 hapo usiamke endelea ku lala 😂😂
@FaithKabiaАй бұрын
Na ukiokota mayai ya kuku unaona mengi mengi
@FaithKabiaАй бұрын
Na ukiokota mayai ya kuku
@TehsHdhdh-lm3owАй бұрын
Naomba namba yako mtumishi
@TehsHdhdh-lm3owАй бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@NiceboyTzАй бұрын
Weeeeee izo ndoto uoti ng, o labda unite mbwa
@rehemaamidu-wn5phАй бұрын
Ukiota unapigiwa mawe
@ElizabethMahahiraАй бұрын
Yes
@ElizabethMahahiraАй бұрын
Mimi niriota nimeibiwa🎉 7:24 7:26
@user-yg9fh9sj1wАй бұрын
Amen
@barakakifwalo3958Ай бұрын
Hongera mwana wa mungu kwa kazi nzuli barikiwa
@pastor_EstersamwelАй бұрын
Amen Amen God bless you Man of God🎉❤❤
@annkatumbiАй бұрын
Ukiota ukiumbiri watu wengi alafu unangeuka unaona watu wamengawayika wengine wanasikiza neno la mungu na wengine wako kwa matanga
@Emmanuel-cp1noАй бұрын
Dah jitahidi kuandika vizuri nimepata shida sana kukuelewa
@barakakifwalo3958Ай бұрын
Akika bwana atufundishe jinsi ya kuenenda katika njia zake barikiwa sana mwana wa mungu
@pastor_EstersamwelАй бұрын
Amen Amen Zidi kubarikiwa Sana kwa Maombi yako Kwangu Mtumishi wa MUNGU Uzidi kutunzwa sana na Mungu wa mbinguni kwa Utukufu wa jina lake Amen Amen
@isaya.c.malekelaАй бұрын
🎉🎉❤
@pastor_EstersamwelАй бұрын
🎉🎉🎉🎉❤
@Asifiweemmanuel2604Ай бұрын
Be blessed 🎉
@pastor_EstersamwelАй бұрын
Amen Amen Barikiwa sana mwana wa MUNGU🎉🎉❤
@Singa-rw9vq2 ай бұрын
Mm nimeota vita Kati ya Somali na tanzani sielewi
@Singa-rw9vq2 ай бұрын
Mimi si na big laminitis nimeota usiku wa Jana vita Kati ya Somali na tanzania
@user-fr7en3wu2z2 ай бұрын
Ukweli niliota. Mama. Amekufa. Namchana. Jion. Yake akafa. Babangu mkubwa
@user-fr7en3wu2z2 ай бұрын
Naukiota mtu. Akojuu. Yamnazi. Manake. Nini
@Rizonetz2 ай бұрын
Aah iyo ni balaa
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
Hallelujah Utukufu kwa MUNGU juu mbinguni milele yote
@amansamson-if6qc2 ай бұрын
Asante mama
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
Zidi kubarikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU
@isaya.c.malekela2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa MUNGU
@felistergabriely93392 ай бұрын
Waooo hakika atabaki kuwa Mungu Barikiwa mama
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
Amen Amen Zidikubarikiwa Sana My lovely Queen Daughter
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/pNxjnsWmybCdm6c.htmlsi=izOAGW0LfgMSxjBO Pastor_Ester Samwel Unabaki kuwa Mungu (Official Music 🎼 Video) Available on KZfaq now
@AubreySwillah-ug7ff2 ай бұрын
beautiful song,,,,, mama go deeper ,,,,,
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/pNxjnsWmybCdm6c.htmlsi=izOAGW0LfgMSxjBO Pastor_Ester Samwel Unabaki kuwa Mungu (Official Music 🎼 Video) Available on KZfaq now
@pastor_Estersamwel2 ай бұрын
Amen Amen Barikiwa sana mwana wa
@melodious22 ай бұрын
Mmmh yan uote hela tu au biblia haha ndoto haziko ivo bana
@Cynthia-nw8kg2 ай бұрын
Mm nimeota mvuwa inaninyeshea ikiwa na balafu nikawa naokota zile balafu badae nikaona zile balafu zikayayuka nikaona ni mchele mbichi jaman apo sijaelewa
@beatriceauma32602 ай бұрын
Nliota niko ofisini
@GraceBayyo2 ай бұрын
Amen dada
@leahmgunda41542 ай бұрын
Naomba andiko la nitarejesha vitu ulivyoibiwa na adui
@nataliacheupe78602 ай бұрын
Yoeli:2;25
@emmamtengule9637Ай бұрын
ZEKARIA 1,:3
@user-rj4gr3om9h2 ай бұрын
Mimi niliota 4 days ago eti nimejifungua mtoto wa kiume iyo inamanisha nini
@thekingdragon8358Ай бұрын
utakunya mavi magumu so epukana na vyakula kama mapera na mihogo