Mungu akubariki na azidi sana tena sana kukupatia uwepo wa kuendelea kutuelimisha. Pamoja sana Paster
@JohnMwita-dv4fl3 күн бұрын
It's true
@ryeidaupendo4834Ай бұрын
Niliotaga sana izi ndoto za Vito vya dhahabu na pesa na magari lakin kukawa kuna mtu ananinyanganya ckuelewa ,nimeokoka napenda Yesu but cjui nn kilipita,ahsnt Mtumishi wa Mungu
@GraceBayyoАй бұрын
Amen dada
@mathiaskagndakaganda6452 ай бұрын
Asante Dada
@ZainabuAbdul-wb2mxАй бұрын
Je!kuota kama unatema mate au unavuka kinyesi hii ndoto inamahana gani?
@Cynthia-nw8kgАй бұрын
Mm nimeota mvuwa inaninyeshea ikiwa na balafu nikawa naokota zile balafu badae nikaona zile balafu zikayayuka nikaona ni mchele mbichi jaman apo sijaelewa
@VeronicaMtesigwa-zi4ze22 күн бұрын
Naukiota mmeo anamke mwingine mala kwa mala unamaanisha nini
@scholasticakasiso95592 ай бұрын
Juzi nmeota napewa elfu tano
@ElizabethMahahiraАй бұрын
Mimi niriota nimeibiwa🎉 7:24 7:26
@ElizabethMahahiraАй бұрын
Yes
@beatriceauma3260Ай бұрын
Nliota niko ofisini
@NiceboyTzАй бұрын
Weeeeee izo ndoto uoti ng, o labda unite mbwa
@annkatumbiАй бұрын
Ukiota ukiumbiri watu wengi alafu unangeuka unaona watu wamengawayika wengine wanasikiza neno la mungu na wengine wako kwa matanga
@Emmanuel-cp1no22 күн бұрын
Dah jitahidi kuandika vizuri nimepata shida sana kukuelewa
@melodious2Ай бұрын
Mmmh yan uote hela tu au biblia haha ndoto haziko ivo bana
@morrismusili5171Ай бұрын
Nitamepata ujumbe najua nitafanikiwa❤❤❤
@BasilisaGulamali18 күн бұрын
Mi huwa naota niko na wasanii wakubwa kama vile diomond nini maana yake
@rehemaamidu-wn5phАй бұрын
Ukiota unapigiwa mawe
@pastor_Estersamwel3 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/Y8yWgceptJvPZnU.htmlsi=8tS8xmGJTWqXhidj NDOTO ZA VIATU ZENYE Mafanikio
@JoyceMsigwa-gt4rj3 ай бұрын
Amina nimefunguliwa ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@morrismusili5171Ай бұрын
Thanks nitabarikiwa
@damalove813926 күн бұрын
Mie naotanga nikiwa na kisima cha pesa nyingi yaan zimejaa kwenye kisima adi juu adi zimetapakaa
@neemakarisa14965 күн бұрын
Hmmm 🤔 hapo usiamke endelea ku lala 😂😂
@user-rj4gr3om9hАй бұрын
Mimi niliota 4 days ago eti nimejifungua mtoto wa kiume iyo inamanisha nini
@thekingdragon835825 күн бұрын
utakunya mavi magumu so epukana na vyakula kama mapera na mihogo
@leahmgunda4154Ай бұрын
Naomba andiko la nitarejesha vitu ulivyoibiwa na adui
@nataliacheupe7860Ай бұрын
Yoeli:2;25
@emmamtengule963714 күн бұрын
ZEKARIA 1,:3
@edwinmbunda670926 күн бұрын
Hiyo ya mvua inanihusu
@marywambui678917 күн бұрын
Mvua ni baraka
@sarahmdindile43013 ай бұрын
Mimi niliota napewa sh 700
@pastor_Estersamwel3 ай бұрын
Ni ndoto njema ila inakujulisha kiwango chako cha uchumi kipo chini Sana Ongeza bidii ya Maombi ili milango yako ya Fedha ifunguke Zaid