Kwenye fomu zetu kuna sehemu ya kuweka tiki ikiwa unataka gawio lako kila mwezi au kila baada ya miezi 6 kwa mfuko wa Bond, kwenye App utaona gawio hilo ikiwa limekuza mtaji au kutolewa tu. na Gawio ikiwa litatoka litaingia katika benki akaunti yako uliyotujazia kwenye fomu.
@salvatorybakilana237818 сағат бұрын
Unachukuaje gawio lako
@uttamisplc474616 сағат бұрын
Kwenye fomu zetu kuna sehemu ya kuweka tiki ikiwa unataka gawio lako kila mwezi au kila baada ya miezi 6 kwa mfuko wa Bond, kwenye App utaona gawio hilo ikiwa limekuza mtaji au kutolewa tu. na Gawio ikiwa litatoka litaingia katika benki akaunti yako uliyotujazia kwenye fomu.
@salvatorybakilana23787 сағат бұрын
@@uttamisplc4746 nilijaza kupata gawio kila mwezi ila na naona imeongezea łąki 2 lakini hakuna kitu kimeingia kwenye account yangu
@magrethzakaria7659Күн бұрын
Ukienda crdb utakutana na watoa huduma wa Utt na wanatoa elimu kuhusu hii mifuko?
@BOASHAURI.09Күн бұрын
❤❤❤❤
@abdlhaleem83805 күн бұрын
Big up hii nimeipenda.. good idea.. Each one Teach one 🙌 UTT amis 🔥🔥
@uttamisplc474616 сағат бұрын
Karibu UTT AMIS.
@user-wl9ry9tk7p5 күн бұрын
Inahuzunisha sana kuona vijana na watu wengi hatujui wala hatuchunguzi kwa kina michongo ya maana kama hii badala yake tumeishia kuwekeza katika kuangalia mimovie, miziki ya kipuuzi na mapicha picha ya ajabu ajabu mara kununua mafuta na maji eti ya upako kwa manabii, kujua majina ya wachezaji, ushabiki wa mechi za mpira, kubeti na kuangalia season za kwenye TV yaaani mh! Kimbia UMASIKINI wekezeni huku UTT AMIS, "Mshirika hakika katika uwekezaji" huku tunajidai na Interest rate za kuanzia 12%.....benki gani au nani anayethubutu kutoa riba kama hii kwa mwaka? Hapo hatujaongelea ajabu la 8 la Dunia" COMPAUND INTEREST" kama umejielewa nipe like na tukutane ofisi za UTT AMIS Dar Sukari house, Mwanza Nyamagana jengo la NSSF gorofa Mezanine n.k "STUKA" amkeni kutoka usingizini aisee!
@othumntz69535 күн бұрын
Nawapata vizuri sana
@uttamisplc474616 сағат бұрын
Karibu UTT AMIS.
@ZinadiniMmou6 күн бұрын
Kuna kitu kinaitwa " vipande" hii imekaaje maana nashindwa kuelewa vizuri.
@user-wl9ry9tk7p7 күн бұрын
Amin, Amin nawaambia; Hizi ndo habari za kusikiliza for the better 2morrow. "Mshirika hakika ktk uwekezaji"
@uttamisplc47466 күн бұрын
Karibu UTT AMIS.
@othumntz69538 күн бұрын
Aise vizuri sana nafanya mpango nakuja kuwekeza
@uttamisplc47466 күн бұрын
Karibu sana.
@Elikiyosaki_Күн бұрын
Make fast vipande vinakuwa value kila siku
@user-wl9ry9tk7p10 күн бұрын
Ni mfuko upi kati ya hiyo 6 una Compaund intetest ??????
@user-wl9ry9tk7p12 күн бұрын
Tunaojua umuhimu wa hii kitu tumewahi na naombeni like zenu aisee
@songweairport760214 күн бұрын
AISEE MAELEZO MAZURI SANAAAAAAAAAA
@uttamisplc47468 күн бұрын
Karibu UTT AMIS.
@user-so3gy2io8l18 күн бұрын
Naomba kuuliza kila siku napewa kiasi flani cha hela kwenye bond fund je na mwisho wa mwezi ntapewa gawio
@uttamisplc474617 күн бұрын
SIFA ZA MFUKO Habari, Mfuko wa Bond Fund unatoa machaguo matatu ya uwekezaji kama ifuatavyo; (a) TZS. 50,000 kwa mpango wa kukuza mtaji; (b) TZS. 10,000,000 kwa mpango wa gawio kila mwezi; na (c) TZS. 5,000,000 kwa mpango wa gawio kila baada ya miezi sita. Kiwango cha chini cha nyongeza katika uwekezaji ni TZS. 5,000 kwa mipango yote ya uwekezaji.
@uttamisplc474617 күн бұрын
ikiwa utachagua mpango wa kukuza mtaji mwisho wa mwezi gawio ulilotakiwa kupata litawekwa kwenye mtaji wako. Kumbuka: Gawio ni sehemu ya Faida
@user-so3gy2io8l17 күн бұрын
@@uttamisplc4746 nilikua wapi mimi jmn 🙏
@johnstonemwesiga23613 күн бұрын
@@uttamisplc4746 ni kiasi gani cha gawio kinachotolewa?
@gaiadgets891318 күн бұрын
❤
@isacklaizer677618 күн бұрын
👏👏👏🙏🙏🙏🙏....UTT Mshirika hakika katika uwekezaji.
@boniphacegervas811822 күн бұрын
Kwanini hapo kwenye verification msifanye kama walivyo fanya DSE , weken sehem ya mtu kuweka no ya nida ili taarifa ziji update zenyewe maana kila no ya nida iko na picha
@uttamisplc474612 күн бұрын
habari, Asante kwa mpendekezo tumepokea.
@GraceNkondola22 күн бұрын
🎉
@estergasper23 күн бұрын
❤❤❤
@mkiramwenitv694825 күн бұрын
🎉
@komboratz25 күн бұрын
Naomba kujua kati ya mfuko ukwasi na bond upi mzuri zaidi
@mkiramwenitv694825 күн бұрын
Yote Ni Mifuko Bora Na Mizuri Mnooo, Naona Katika UTT ni Moja Ya Mifuko Imara Na Bora, Ila Inautofauti Mdogo Sana, Maana Kwenye Bond Tunazungumzia Dhamani Za Serekali, But Kwenye UKWASI hapo pesa ikiingia inaenda kuwekezwa kwenye Dhamani, Mabank Na Makampuni, So Bond Inabezi kwenye Hatifungani tu za Serekali(Dhaman?, Kwa uelewa wangu,
@mosescompany591328 күн бұрын
💯..
@abdlhaleem838029 күн бұрын
I'm 24 now 📈
@mwanamakahaji2402 ай бұрын
Nambari ya simu haipokelewi nina shida kila siku nasubirishwa sijawahi kupokelewa simu mpaka sasa nina shida ya app siipati ile ya kuonyesha account
@uttamisplc47468 күн бұрын
Habari, Pole kwa changamoto.
@uttamisplc47468 күн бұрын
Tafadhali tumia msimbo wa *150*82# kupata Huduma hiyo.
@DpN-rk8xz5 ай бұрын
Utt oye
@uttamisplc47468 күн бұрын
Karibu UTT AMIS.
@catherinegideon46895 ай бұрын
Mm nimependa hii presentation Ila nashauri uoneshe ukuaji kwa kila mfuko
@uttamisplc474612 күн бұрын
Asante, Tumelipokea.
@AmaniMacha6 ай бұрын
App haifunguki inaleta error kila masaa
@uttamisplc47466 ай бұрын
Tipigie simu 0800 11 20 20 au tuandikie barua pepe [email protected], kwenye barua pepe usisahau kuweka namba yako ya simu na namba yako ya uwekezaji.
@franciscathadei20458 ай бұрын
Jinsi ya kudeposit kwny simu
@uttamisplc474612 күн бұрын
habari, unatumia mtandao gani ?
@kaundimemwinyi6644 Жыл бұрын
Naomba form
@uttamisplc474612 күн бұрын
habari, Tafadhali ingia kwenye website yetu www.uttamis.co.tz kupata fomu hiyo
@vincentlaizer Жыл бұрын
Mkitoa na video inayoelekeza jinsi ya kuuza vipande ingekua vizuri zaidi.