Mr. Daudi Mbaga akielezea kwa kina jinsi mfuko wa Ukwasi unavyoweza kuwanufaisha wawekezaji wote.
Пікірлер: 7
@estergasper3 күн бұрын
❤❤❤
@GraceNkondola3 күн бұрын
🎉
@komboratz5 күн бұрын
Naomba kujua kati ya mfuko ukwasi na bond upi mzuri zaidi
@mkiramwenitv69485 күн бұрын
Yote Ni Mifuko Bora Na Mizuri Mnooo, Naona Katika UTT ni Moja Ya Mifuko Imara Na Bora, Ila Inautofauti Mdogo Sana, Maana Kwenye Bond Tunazungumzia Dhamani Za Serekali, But Kwenye UKWASI hapo pesa ikiingia inaenda kuwekezwa kwenye Dhamani, Mabank Na Makampuni, So Bond Inabezi kwenye Hatifungani tu za Serekali(Dhaman?, Kwa uelewa wangu,
@boniphacegervas81183 күн бұрын
Kwanini hapo kwenye verification msifanye kama walivyo fanya DSE , weken sehem ya mtu kuweka no ya nida ili taarifa ziji update zenyewe maana kila no ya nida iko na picha