UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA
2:42
Пікірлер
@shabanhassan8464
@shabanhassan8464 3 күн бұрын
Asante kwa mafunzo
@user-lw4hr8xh6v
@user-lw4hr8xh6v 15 күн бұрын
Je unaweza kuwapa kuku hydroponic pekeyake bila kuwa changanyiya chakula chochote kile?
@noellyamuya3844
@noellyamuya3844 17 күн бұрын
NAOMBA NAMBA ZA OFISI PLS
@noellyamuya3844
@noellyamuya3844 17 күн бұрын
NAITAJI MASHINE YAVKUFUNGA MAJANI PLS
@Zaburi-
@Zaburi- 19 күн бұрын
Umeeleza vizuri ila hujazungumzia magonjwa na kuyakabili
@dominickndomba4474
@dominickndomba4474 Ай бұрын
Nahitaji mbegu bora mkuu nahitaji kulima hekari tano ahsant
@MartiniJohn-ew6us
@MartiniJohn-ew6us Ай бұрын
Pia mbengu nzuri inayoota vizuri nayenye mapato
@MartiniJohn-ew6us
@MartiniJohn-ew6us Ай бұрын
Naomba elimu jamani niko Mbulu vijijini
@user-ls2uj3fl1o
@user-ls2uj3fl1o Ай бұрын
Habari naomba no yako
@BarakaAbudul
@BarakaAbudul Ай бұрын
Follow me
@HappynessAmos
@HappynessAmos Ай бұрын
🎉
@MBASELIMOLLEL-dm7gy
@MBASELIMOLLEL-dm7gy 2 ай бұрын
Nitawapataji hao waalim WA shamba darass?
@MBASELIMOLLEL-dm7gy
@MBASELIMOLLEL-dm7gy 2 ай бұрын
Naitwa mbaseli kimboi ninafurai Sana Kwa kupata elimu ya kilimo cha nyanya
@YavanStafford
@YavanStafford 2 ай бұрын
vizuri sana na hongera sana
@hajikubeja477
@hajikubeja477 2 ай бұрын
Safi sana
@user-uy8cr4yn6n
@user-uy8cr4yn6n 2 ай бұрын
Hongeraa Sana mwalimu wangu kwa elimu yako
@user-uy8cr4yn6n
@user-uy8cr4yn6n 2 ай бұрын
Asanteee sana mwalimu wangu congratulations
@hajikubeja477
@hajikubeja477 2 ай бұрын
Safi sana, na mm nataka kilima
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 2 ай бұрын
Nataka
@IssaAdam-id6tw
@IssaAdam-id6tw 2 ай бұрын
Mbegu ya nyanya aina ya asila
@bettymrisho1668
@bettymrisho1668 3 ай бұрын
Naomba namba yao
@user-by7wj3cw9u
@user-by7wj3cw9u 3 ай бұрын
HP Moshi tech
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 3 ай бұрын
Asante kwa elimu
@yusufugopel2922
@yusufugopel2922 3 ай бұрын
Iv mtaji kianzio iafaa uwe na kiac gani?
@aminielelimringimaro7791
@aminielelimringimaro7791 3 ай бұрын
Nimeifurahia makala yako na jinsi ulivyonielimisha kwa kutengeneza mabanda bora kwa mbuzi na kondoo. Asante kwa elimu hii. Je, urefu wa kutoka ardhini hadi ulikoanzia banda, ninaona kama mita moja ni urefu mfupi. Sehemu zenye fisi, wanaweza kubomoa na kuvuta wanyama hao, mbuzi na kondoo kirahisi sana. Urefu uzidi mita na nusu au mbili kabisa, hawajafikia kutoka chini. Kwa ujumla, asante kwa elimu njema na muhimu kwa wafugaji.
@onesmoalphonce3676
@onesmoalphonce3676 4 ай бұрын
Kondoo wa sufi nawapatikana wap mwalim
@augustinerwabikinga1400
@augustinerwabikinga1400 4 ай бұрын
Napenda kujua mnapatikana wapi
@bukharysaid
@bukharysaid 4 ай бұрын
Shamba kukodi bei gani kwa eka
@geophreyponera4254
@geophreyponera4254 4 ай бұрын
Asante kwa elimu,
@user-xl6ud2yf3g
@user-xl6ud2yf3g 4 ай бұрын
Habari,,vp kwa mkoa wa dar es salaam hatuwezi kulima vitunguu
@bukharysaid
@bukharysaid 4 ай бұрын
Kama udongo uko vizuri unaweza kulima, lakini hali ya hewa inaweza ikafelisha
@MalemberaSululu
@MalemberaSululu 4 ай бұрын
Mbegu Bei gani
@gracekitomary2239
@gracekitomary2239 5 ай бұрын
Karstas ya juu mnauzaje kwa mita
@danieltekato3417
@danieltekato3417 5 ай бұрын
Ikiwa kilimo kipo kwenye mfano wa contour farming zile sm 30 unazizingatia vipi
@danieltekato3417
@danieltekato3417 5 ай бұрын
Ooh SOMO umefunza vizur
@hamadimziraymziray-ry4vi
@hamadimziraymziray-ry4vi 5 ай бұрын
Tumejfunza kitu
@erickclaudio2978
@erickclaudio2978 5 ай бұрын
Nataka kulima vitunguu maji mwezi huu wa pili,nitafanikiwa?
@user-ix8eb5zj5c
@user-ix8eb5zj5c 6 ай бұрын
Je ekari moja unabeba mashina mangapi
@JuliusMusika
@JuliusMusika 6 ай бұрын
Nahitaji ushauri wenu zaidi,je,mnapatikana wapi? Je,hua mnauza mbegu,na kama mnauza nitazipataje?niko mkoa wa mara,wilaya ya bunda.
@AnastaziaMichael-ro3zr
@AnastaziaMichael-ro3zr Күн бұрын
Kuvuna vitunguu siku 90,nitofauti na siku 45 za kwenye kitalu?
@faustinelucas7235
@faustinelucas7235 6 ай бұрын
Naomba vipimo vya mbanda
@faustinelucas7235
@faustinelucas7235 6 ай бұрын
Nimewaelewa sanaaaa
@jhonbanza
@jhonbanza 6 ай бұрын
Samaki n'a nguruwe kipi ni bora zaihidi
@alittlemoretime
@alittlemoretime 6 ай бұрын
abari dada naitwa halima ng'ombewangu anatokausaa.masikioni niugonjwagani huo?
@user-ch6fc8ri5p
@user-ch6fc8ri5p 8 ай бұрын
Mimi ni mwalm nataka kulima nyanya kibiashara naomba ushaur nataka kulima nusu hekar
@nickolousrajabu5001
@nickolousrajabu5001 8 ай бұрын
Kwambigu hz zitasaidia sana wafugaji wa tanzania
@elizabethlweya5011
@elizabethlweya5011 8 ай бұрын
Asante 🙏🙏🙏
@AbdulNdanzi-ce9yt
@AbdulNdanzi-ce9yt 9 ай бұрын
Abduli ndanzi
@anithaherman7260
@anithaherman7260 10 ай бұрын
Naitaji ng'ombe wa maziwa sh ngapi
@danielmasaganda1614
@danielmasaganda1614 10 ай бұрын
Naomba kufahamu ili kupata ng'ombe mwenye maziwa mengi na yenye mafuta mengi nampataje kwani ng'ombe aina ya frecian hutoa maziwa mengi hayana ubora huo
@evarestmaji5141
@evarestmaji5141 10 ай бұрын
Mnatuwekea naomba za siku lakini hampo teyari kupokea simu
@idahnachona8189
@idahnachona8189 11 ай бұрын
Asante kwa elimu nzuri
@idahnachona8189
@idahnachona8189 11 ай бұрын
Nimejifunza asante sana