Your teaching very well mwalimu Ivan kibiki and God blesses you in greater amount
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww25 күн бұрын
Ongera sana mtumishi Mungu akupe mafunuo zaidi
@user-tn9zj1oy8e27 күн бұрын
Mpotoshaji
@dansonmk392628 күн бұрын
Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28
@servantivankibiki76828 күн бұрын
Mbarikiwe sana mnaoshiriki
@ebengapierre8826Ай бұрын
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
@elisantennko8222Ай бұрын
Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen
@NicolausMgosi-sz5qvАй бұрын
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
@georgeasalla85422 ай бұрын
Umeeleza vizuri sana Ila hao wabishi, hata hiyo bibilia wanayoitumia inatafsiriwa na vyoo vya bilibilia vya kikatoliki Dodoma na Nairobi
@RoseMville2 ай бұрын
Amina
@user-gu6bl9tc3xАй бұрын
Aminaa sana father be blessed natamani nipate karama ya kuhubiri km ww
@azerageorge20322 ай бұрын
Amina mtumishi,hakika nimebarikiwa🙏
@priscamwalongo11902 ай бұрын
Amen.
@user-vy8tb2hq9w2 ай бұрын
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
@IssaMkwata2 ай бұрын
Acha ujanjaujanja
@mariamashale66912 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu, noted and thanks 😊😊 I will change from now
@suzieluharambaa96072 ай бұрын
Amina , somo nzuri ,Mungu akubariki sana ❤
@msatibongonyuzi142 ай бұрын
Hueleweki
@hassankimaro36332 ай бұрын
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
@immanuelngosha-oq3zt3 ай бұрын
Amina mutumishi wa Mungu
@wisdomhalisi......88913 ай бұрын
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN2 ай бұрын
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
@godwinkileo77023 ай бұрын
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
@neliusgosbertbaguma86933 ай бұрын
Nimekuelewa umefafanua vizuri:
@parfectdaniel89203 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa somo
@azerageorge20323 ай бұрын
Namshukuru MUNGU nami nimo ndani ya mfungo wa chakula toka tulivyoanza kwaresma, asante mtumishi kwa somo hilo.
@JohnKapinga-wo1ow3 ай бұрын
Kwanini filipo alimbatiza yule mkushi katika maji pale mtoni?
@richardmwandanji653 ай бұрын
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava92833 ай бұрын
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru