POMBE NA UKRISTO

  Рет қаралды 7,365

Servant Ivan Kibiki

Servant Ivan Kibiki

6 ай бұрын

Пікірлер: 29
@harunizephania6154
@harunizephania6154 16 күн бұрын
Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
Umeeleweka vizuri mwalimu.
@ubongosahihi
@ubongosahihi 5 ай бұрын
Waoooo Mwalimu siku fahamu Kama upo humu barkiwa 🎊🎊🎊🎊
@blessingbisimwajanesbisimw6966
@blessingbisimwajanesbisimw6966 5 ай бұрын
Ubarikiwe mwalimu,naona mwengi ne hapo Tanzania anajiita mzee WA upako anasema pombe sio zambi
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 3 ай бұрын
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 28 күн бұрын
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
@user-tn9zj1oy8e
@user-tn9zj1oy8e 24 күн бұрын
Mpotoshaji
@roseombay2086
@roseombay2086 5 ай бұрын
Amina
@gregorymhanze
@gregorymhanze 3 ай бұрын
Kuna sehenu ktk bilia inasema ole wao waamkao asubuhi na mapema kufata pombe /mvinyo hiyo imekaaje
@kalistokyando1670
@kalistokyando1670 3 ай бұрын
Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 3 ай бұрын
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava9283
@isayakigava9283 3 ай бұрын
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 2 ай бұрын
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
@user-fq3xt6fe4n
@user-fq3xt6fe4n 5 ай бұрын
Mwalimu mwenzangu umenijibu maswali ambayo nilishindwa kuyapata na watu wote wa dini zote wameshindwa kupata majibu juu ya pombe
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 3 ай бұрын
Uelewa wako ndipo ulipoishia
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 3 ай бұрын
Usilewe kwa mvinyo ambamo humor Kuna uchafu vipi kamamtu anasema hiki chakula ni kichafu. Wawezakusema amekupa ule au wewe ndo umeamua ule uchafu
@lucaspaulo5371
@lucaspaulo5371 3 ай бұрын
We ndo umefundisha vizuri mno ila walokole hawataki kusikia hivi.
@paulndosa2649
@paulndosa2649 4 ай бұрын
Bora umekiri kuwa huo ni mtazamo wako and you stand to be corrected. Unapokuwa na Roho mtakatifu ndani yako ni udhihirisho wa kuwa unatembea na Yesu. Uko ndani ya Yesu na Yesu yuko ndani yako. Kama pombe inakuondolea Roho mtakatifu maana yake hauna Yesu ndani yako na hutembei naye na hujampokea, hivyo hauko salama kiroho. Biblia inasema wale waliompokea Yesu aliwafanya kuwa wanae. Sasa kama wewe si mwanae mbinguni utapitia mlango upi?
@NicolausMgosi-sz5qv
@NicolausMgosi-sz5qv Ай бұрын
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
Rozi Mhando.kaleta agenda.
@servantivankibiki768
@servantivankibiki768 5 ай бұрын
Kivipi Rose mwando?
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 5 ай бұрын
@@servantivankibiki768 Ametoa wimbo unaohusu pombe
@user-oi5bi2ey2v
@user-oi5bi2ey2v 5 ай бұрын
Tusome wagalatia 5:19-21
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 3 ай бұрын
Ulevi na ulafi ni miongoni mwa matendo ya mwili. Hapa Biblia haijazungumzia kunywa pombe wala kula chakula bali ulevi na ulafi. Kunywa pombe si ulevi, vivo hivyo kula chakula si ulafi. Kunywa pombe + kula chakula kupitiliza ndio matendo ya mwili.( Wagalatia 5:19-21)
@hassankimaro3633
@hassankimaro3633 2 ай бұрын
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
@user-eb3jk4lc4s
@user-eb3jk4lc4s 3 ай бұрын
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
@JohnKapinga-wo1ow
@JohnKapinga-wo1ow 3 ай бұрын
Wewe ndugu fundisha vizuri pombe ni dhambi
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 3 ай бұрын
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN
@LearntowinLTN 2 ай бұрын
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
DARASA LA KIINGEREZA   HATUA YA PILI
10:27
Smart Education
Рет қаралды 19 М.
KUNENA KWA LUGHA
11:31
Servant Ivan Kibiki
Рет қаралды 1 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 11 МЛН
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,4 МЛН
SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
55:48
Valentine Oseso
Рет қаралды 62 М.
DARASA LA KIINGEREZA  HATUA YA KWANZA
10:24
Smart Education
Рет қаралды 17 М.
Kipindi cha Nyota Zenu cha Tarehe 15-3-2010 - Utabiri wa mpira
8:01
English Bora: Jifunze Kiingereza cha kuongea kwa kutumia
5:08
ENGLISH BORA
Рет қаралды 10 М.
TAFUTA MFARIJI SAHIHI UNAPOPATA MATATIZO
10:59
Servant Ivan Kibiki
Рет қаралды 178
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 170 #shorts
00:27