MAMBO YA KUJIFUNZA: 1. Linda ( kuwa makini ) mambo yanaingia au kutoka katika moyo wako. 2. Mungu anahukumu mabaya yaliyo ndani yako hata kama wengine wa nje wanaona unatenda vyema. 3. Chunga unachowaza, kwakuwa ijapokuwa wengine hawakijui, lakini Mungu anayajua yote na kuyaona mawazo ya moyo wako.
@CatherineNduku-os5zoКүн бұрын
Bwana akubariki kwa vile unatumika kutuongoza katika maombichaya
@lydiabenjaminmgalula61892 күн бұрын
Mungu atusaidie sana 😔
@lydiabenjaminmgalula61892 күн бұрын
Amen 😔🙌
@lydiabenjaminmgalula61892 күн бұрын
Mungu atuhurumie sana 😔
@AnnaLimbe3 күн бұрын
Amen
@sarahkishaluli60873 күн бұрын
Amen
@lydiabenjaminmgalula61893 күн бұрын
Mungu atuhurumie sana kwakweli wanawake tumetekwa😔
@sabratally76884 күн бұрын
Eeh Mungu wengine wametoa gharama yakukutumikia mpka kuwekwa gerezani.......sijui Mimi nitatoa gharama Gani nikupendeze Mungu ulie hai.......nitetee baba kaa mbele yangu
@sophiawilliam73294 күн бұрын
Amen
@Nenolamaarifa4 күн бұрын
Amen amen
@Nenolamaarifa4 күн бұрын
Amen amenbarikiwa sana Pastor
@ObedJKatunzi4 күн бұрын
Naam
@revojomo4 күн бұрын
Amen
@wasongaedina79524 күн бұрын
Powerful message Nimebarikiwa katika Ibaada Hii Nikiwa live na kanisa takatifu la Mungu.Nimejifunza mengi sana pia nikajifunza kumfanyia Mungu kazi na kujifunza watu wa MUNGU hawakufi bila taarifa ni lazima ujuwe na upate kuwa na taarifa ama Atumane taarifa nikajifunza waliyo wa MUNGU hawakufi vibaya nikajifunza pia dalili ya kuwa na Mungu ndani yangu nikutokuwa na hofu ndani yangu Kwa hiyo waliyo wa mungu hawaogopi kifo...Mungu Azidi kuwatunza Wazazi Wangu Amen Nimebarikiwa sana
@ObedJKatunzi4 күн бұрын
Amen
@Mwl.WalterMrisha4 күн бұрын
MAMBO MUHIMU NILIYOJIFUNZA LEO 1. Unapokutana na hofu ya kifo, OMBA AMANI YA BWANA ndani yako. 2. TAMBUA: Mungu amekuacha ubaki hapa duniani hata sasa ili ufanye kusudi alilokupa katika Ufalme wa Mungu. 3. Tumia nafasi uliyopewa duniani kutengeneza na Mungu ili kifo kikija, usikihofu 4. Kristo akikaa ndani yako kikamilifu, utaondolewa hofu ya kifo 5. Usiweke tumaini katika mwili wa asili kwakuwa mwisho wake huharibika na kupotea 6. Unapaswa kuogopa DHAMBI kuliko kifo.
@shaddycollins97605 күн бұрын
Huu ujumbe nauamini kabisa mie, watu wa mungu tunahitaji kuomba msamahaa Kwa mungu,
@Moses-caisedo6 күн бұрын
2024 tena
@franciscomosha41257 күн бұрын
Hakika na barikiwa sana na shuhuda
@godsfavour16038 күн бұрын
Ni kitambo tiskie testimony ya Mch Jonathan..anaendela aje kwa sasa
@MabelKaaya-hl2je8 күн бұрын
HALLELUYA HALLELUYA HALLELUYA
@ABDULKARIM-sx1tb8 күн бұрын
Mtumishi una unakulupuka tu na maandiko hakuna andiko lolote linalosema makanisa yanayo chungwa na wanawake wataenda jehanamu
@ABDULKARIM-sx1tb8 күн бұрын
Naludia tena acha kupotosha watu hii Timotheo walikuwa wanaandikiwa watu gan Kulikua na nini Beba fundisho na siyo andiko Alikuwa anatatua mgogoro gani
@ABDULKARIM-sx1tb8 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu acha kupotosha watu wa Mungu maana utalipwa wakornto ni watu watu gani na na kulikua nini mpaka wazuiliwe
@Nenolamaarifa9 күн бұрын
Powerful
@Nenolamaarifa9 күн бұрын
Amen amen
@PrisPeter-f2g9 күн бұрын
Dah shuhuda hiz za nijenga nakufungua akili ,nifanye nn jmn niwe mtakatifu kila wakat😢
@user-lq6dd9pt7k10 күн бұрын
Yesu nishike mkono,bila wewe siwezi,
@kashahubarnaba971910 күн бұрын
Amen ubarikiwe mchungaji
@rosemaryalex978610 күн бұрын
Nimebarikiwa
@user-lq6dd9pt7k10 күн бұрын
Baba naomba huruma zako nipe nguvu na hekima ya kufanya kazi yako
@user-lq6dd9pt7k10 күн бұрын
Mungu niondolee uoga nikienda kutafuta roho zilizo potea
@user-lq6dd9pt7k10 күн бұрын
Nasamehea kila mtu katika jina la Yesu Kristo
@user-lq6dd9pt7k10 күн бұрын
Yesu nionyeshe penye nimekosea nirekebishe,ili ukija ukute nguo yangu ikiwa nyeupe kabisa,sitaki kwenda jehanamu.Yesu naomba huruma yako
@kayajaexpress831311 күн бұрын
Atukuzwe bwana
@ElishaBensoni11 күн бұрын
amen
@rowenalilie99311 күн бұрын
Nimebarikiwa sanaa
@rowenalilie99311 күн бұрын
Asante sana kwa somo zuri sana. Mbarikiwe sana ninyi nyote
@Nenolamaarifa10 күн бұрын
@@rowenalilie993 amen
@revojomo11 күн бұрын
Amen
@gracemuthoni165811 күн бұрын
Amen barikiwa sana
@marywanjiru43811 күн бұрын
Amen
@Nenolamaarifa11 күн бұрын
Nimebarikiwa
@Nenolamaarifa11 күн бұрын
Amen amen amen
@maikojohny34511 күн бұрын
Amen 🙏
@Mwl.WalterMrisha11 күн бұрын
MAMBO YA KUJIFUNZA Ni muhimu kujifunza nini maana ya jina lako. Kila jina limebeba roho inayomfuatilia mtu alilonalo. Jina linaweza kuzuia hatua zako za maisha katika nyanja mbalimbali. Jina linaweza likawa sio tatizo moja kwa moja, bali anayekupa alimaanisha nini wakati anakupa jina. Usimpe mtoto jina kutokana na mazingira uliyokuwa unapitia wakati anazaliwa. Si kila jina la kwenye Biblia linafaa kumpa mtoto. Muulize Mungu kwanza ili akupe jina. Abednego - linaamisha mtumishi wa Nebo, aliye mungu wa hekima wa Babeli. Meshaki - mgeni wa mfalme. Shedraka - Linahusishwa na mungu wa mwezi aliyeabudiwa Babeli. Belteshaza - Baali alimlinde mfalme au mkuu wa Baali. Anajulikana kama mungu wa uzazi aliyeabudiwa Babeli. Majina ya miungu, hayawezi kuandikwa katika kitabu cha uzima wa milele. Mch. Obedi Katunzi
@Mwl.WalterMrisha11 күн бұрын
iBADA ILIKUWA NJEMA SANA. UTUKUFU WOTE UMWISHIE MUNGU WETU