A-Z kilimo cha CHIKICHI/Soko kubwa la mafuta yake

  Рет қаралды 5,262

AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA

AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA

2 жыл бұрын

#kilimobiashara
#AJEFARMS
#KILIMOBIASHARA

Пікірлер: 83
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
AJE FARM HONGEERA SANAAA
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 3 ай бұрын
Shukran na tafadhali SUBSCRIBE na kubonyeza kitufe cha kengele ili kuendelea kujifunza zaidi kutoka mashambani kwetu.
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
MUNGU AKUJAALIE NA AKUPE AFYA NJEMA
@vicentkamwaya3542
@vicentkamwaya3542 2 жыл бұрын
Nakukubali sana mkuu.Mungu akubariki
@richardmatete9679
@richardmatete9679 2 жыл бұрын
Napenda sana unavyo elekeza maan unaenda hatua kwa hatua ukiona anaesema unawek clip ndefu ujue hapendi kujifunza au amekwisha kujua nini kinatokea.
@abdallakassim9124
@abdallakassim9124 4 ай бұрын
Mche bei gani
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 4 ай бұрын
Ni TZS 6,000 kwa mche uliyo tayari kupandikizwa shambani.
@work24onme
@work24onme 2 жыл бұрын
Hongera sana AJE FARM🤝, Naomba Muongozo wa kilimo cha Chikichi 🙏🏽
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Tafadhali WhatsApp ili tukutumie.
@serijuswilliam9313
@serijuswilliam9313 2 жыл бұрын
Mongozo kilimo cha chikichi
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Tafadhali tuma ujumbe kwa WhatsApp 0757 757 968 ili nikutumie muongozo
@magabirodavid5284
@magabirodavid5284 Жыл бұрын
Nimewapigia Simu hampokei na post nyingi yapata mwaka sasa muendelezo wa mlicho anzisha hauonekani ili kujifunza zaidi . 1.Toeni namba 2.Location mlipo
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Videos nyingine za mwendelezo zitakuwa posted hivi karibuni ,stay tuned. Namba ya simu 0757757968.
@deusmathew4172
@deusmathew4172 Жыл бұрын
Mimi naomba niulize hili zao la mchikichi linapandwa Kila mahali nchi nzima au
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Si kila mahali bali inafaa kufanya survey kabla ya kuamua kupanda zao lolote ili kujiridhisha kama zao hilo linafaa kulimwa hapo
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
NITAKULETEA ZAWADI KWA ROHO YAKO SAFI
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 3 ай бұрын
KARIBU AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tunakushukuru kwa kuutambua mchango wetu kwenye KILIMO NA UFUGAJI. Zawadi pekee unaweza kutupa ni kuhakikisha unaSUBSCRIBE ,kulike na kuShare video hizi. Unaweza pia kuagiza VITABU VYA KILIMO NA UFUGAJI ambavyo utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp BURE. Kwa mawasiliano zaidi tupigie :0757757968
@babzymc5587
@babzymc5587 2 жыл бұрын
Naomba mwongozo wa kulima nataka nilime kyela
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Hello tupigie simu 0757757968 kwa maelezo zaidi
@josephatkashendwa1177
@josephatkashendwa1177 2 ай бұрын
Mbegu ya Mchikichi ikisiwa kwenye kiliba uchukua muda gani kuchipua ikiwa kwenye kiliba
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 ай бұрын
Itachukua muda wa takribani miezi 2-3 ili kuchipua. Tafadhali SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi juu ya kilimo na ufugaji.
@mgemagk6543
@mgemagk6543 Жыл бұрын
Nimewakubali mpo vema
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Karibu
@othmanmasilamba3844
@othmanmasilamba3844 8 ай бұрын
Naomba muongozo kwa maandishi na Mimi
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 8 ай бұрын
Karibu AJE-FARMS. Kupata mwongozo wa kilimo cha pasheni unachingia sh.10,000 tu ;unaweza kutumiwa kwa WhatsApp au email. Wasiliana nasi kwa WhatsApp 0757757968
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 8 ай бұрын
Kitabu kipo tayari. Bei ya ofa ni sh 2000 kwa soft copy na sh.10,000 kwa hard copy. Wasiliana nasi kwa WhatsApp 0757757968 tukutumie kitabu. Karibu sana.
@nasraabdallah7868
@nasraabdallah7868 2 жыл бұрын
Tayar nmesha like na kusacrb
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Hello Nasra, karibu sana AJE-FARMS . Na kwa msaada wa karibu zaidi wasiliana nasi kwa WhatsApp 0757757968.
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 2 жыл бұрын
Kama ni mita 7.8 kwa mita 9 sio kwamba kwa ekari moja itaingia miche 56 tu? Kwa hekta ndo itaingia miche 138?
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Slip of the tongue. Kwa hekta ndio inaingia miche 142 na ekari inaingia miche 56.
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Slip of the tongue. Kwa hekta ndio inaingia miche 142 na ekari inaingia miche 56.
@omarissamashaallahpresiden2920
@omarissamashaallahpresiden2920 Жыл бұрын
Nimependa hicho kilimo
@ramadhanitingatinga605
@ramadhanitingatinga605 2 жыл бұрын
Nataka kujua umbali wa shimo Hadi shimo jengine na heka moja unatumia Miche mingapi
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Shimo hadi shinobi mita 7 na mstari hadi mstari ni mita 8. Katika ekari inaingia miche 57.
@ramadhanitingatinga605
@ramadhanitingatinga605 2 жыл бұрын
@@aje-farmsmashambayanayotem7392 hekalimoja inawestani wa Lita ngapi za mafuta?
@ramadhanitingatinga605
@ramadhanitingatinga605 2 жыл бұрын
Sawa naomba kuuliza je mchikichi unaweza kupandwa sehem zinazo tuwama maji?kama vile mbugani ?
@anithajustus50
@anithajustus50 11 ай бұрын
Mbona umesema kwenye video yako shimo mpaka shimo ni mita 7.8 na mstari Hadi mstari umesema ni mita 9 halafu hapa umejibu tofauti
@Sifa_film_tv72
@Sifa_film_tv72 Жыл бұрын
Ofa imeishaaaaaa? 🙏
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Ofa ilishaisha
@kassongokittapa3201
@kassongokittapa3201 2 жыл бұрын
Unazungumza maneno mengi ambayo nadhani Wadau wako hatuyahitaji mpaka unatia shaka! Elezea mambo ya msingi tu. Hizo historia hatuzihitaji
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Ahsante kwa ushauri 🙏
@miramboy.3645
@miramboy.3645 Жыл бұрын
Mimi naona style ya presentation. Na awali anesema kuna wanaoelewa kwa haraka wengine ni wazito. Yuko sawa.
@kuziririzaisabatosiitegeko7088
@kuziririzaisabatosiitegeko7088 Жыл бұрын
Nipe namba yenu haionekani vizuri
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
0757757968 WhatsApp
@cossydsipulwa4743
@cossydsipulwa4743 2 жыл бұрын
Mchikichi unalimwa sehemu yoyote tz
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Kuna baadhi ya maeneo inaweza kushindwa kufanya vizuri. Inafaa shamba lako litembelewe na wataalam kabla ya kuanza mradi wa kilimo cha chikichi.
@georgekiruwa
@georgekiruwa 2 жыл бұрын
Ardhi yenye kuingia maji wakati wa mvua linafaa kwa michikichi?
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Inafaa, ila hakikisha unatengeneza mitaro maji yasituame
@ndayitwayekomoise4950
@ndayitwayekomoise4950 Жыл бұрын
Mwalimu nimekufuata sana lakini ninaswali hivi michikichi hii inapandwa mahali pakame au wastani kwenyebonde?
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Pawe na unyevu kiasi.
@mutabebwa-bm6pm
@mutabebwa-bm6pm Жыл бұрын
Nimependa sana maelezo yenu mazuri na ya kina . Kumbe nimepoteza muda wangu mwingi na hela nyingi kwa kuwekeza kwenye kilimo cha miti ya mbao. Nimeamua kuing'oa na kupanda michikichi maana bado miaka kama kumi nivune na kwa miaka 10 kama nitapanda michikichi nitakuwa mbali.
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Karibu
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Subscribe ili kuendelea kujifunza
@nyawamwichande9133
@nyawamwichande9133 Жыл бұрын
Vipi naweza panda michikichi huku Tanga
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Maeneo mengi Tangu /pwani inastawi
@SPORTSKILLS272
@SPORTSKILLS272 2 жыл бұрын
tayari nmesha subscribe
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Hongera sana,safi sana.
@SPORTSKILLS272
@SPORTSKILLS272 2 жыл бұрын
naomba kuuliza mbegu za tenera (mise) naweza pata?
@ndayitwayekomoise4950
@ndayitwayekomoise4950 Жыл бұрын
Kitukingine mnapanda kipindigani masika ama kiangaazi? Asanteni sana
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 11 ай бұрын
Muda mzuri ni wakati wa mvua zinapoanza kunyesha
@mwashubilaj
@mwashubilaj 2 жыл бұрын
Unaweza clip ndefu sana Ni kazi kuangalia Summarize bro
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Shukran, tutaisummarize! Bila shaka imekuwa msaada kwako, plse reply 📩
@bisekomakene4846
@bisekomakene4846 Жыл бұрын
Hi
@vallentinemakuka6965
@vallentinemakuka6965 2 жыл бұрын
Naomba namba yenu Ili nipate kitabu cha kilimo cha mchikichi. Nauliza kwa wilaya ya handeni tunaweza kupanda mchikichi?
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Tafadhali tupigie kwa 0757757968,Karibu.
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 2 жыл бұрын
@@aje-farmsmashambayanayotem7392well
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Kwa sasa tupo Chalinze ,kata Miono
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 Жыл бұрын
@@aje-farmsmashambayanayotem7392 Kaka, tunaomba mawasiliano yanayopatikana whatsapp, hii namba ya sasa siioni
@pamodzi9331
@pamodzi9331 2 жыл бұрын
Unachosha bro
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Ahsante Kwa feedback , tazama video zetu nyingine ambazo ni fupi .
@user-jl5rc6fx2b
@user-jl5rc6fx2b 9 ай бұрын
Unaongea sana fupisha
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 9 ай бұрын
Shukran sana kwa maoni yako -tutaboresha video zijazo. ENDELEA kutufuatilia kwa kuSUBSCRIBE.
@georgekiruwa
@georgekiruwa 2 жыл бұрын
Naomba namba yako ya cm tafadhali...
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
0757757968 ,karibu
@pamodzi9331
@pamodzi9331 2 жыл бұрын
Fundisha hacha blabla ya vitambi...
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Ahsante sana kwa feedback yako 🙏
@nyakisasaempire5594
@nyakisasaempire5594 2 жыл бұрын
Boring,you keep repeating the same!
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 2 жыл бұрын
Good feedback
@miramboy.3645
@miramboy.3645 Жыл бұрын
Mimi naona style ya presentation. Na awali anesema kuna wanaoelewa kwa haraka wengine ni wazito. Yuko sawa.
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
MUNGU AKUJAALIE NA AKUPE AFYA NJEMA
@aje-farmsmashambayanayotem7392
@aje-farmsmashambayanayotem7392 3 ай бұрын
Amina 🙏
KILIMO CHA NYANYA KWA MTAJI KIDOGO - UTUNZAJI WA SHAMBA KWA SIKU 60 ZA MWANZO
40:15
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
Рет қаралды 268
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma aelezea maajabu ya mbegu mpya ya Chikichi - 1
14:54
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 81 МЛН
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 2,4 МЛН
Me: Don't cross there's cars coming
00:16
LOL
Рет қаралды 15 МЛН
KILIMO CHA CHIKICHI - MASOKO NA MCHANGANUO WA MAPATO
10:17
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
Рет қаралды 447
#KILIMO CHA CHIKICHI MASWALI YOTE NA MAJIBU YAKE
16:03
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
Рет қаралды 218
UTAFITI WA ZAO LA NAZI DODOMA
7:28
B Tv
Рет қаралды 2,2 М.
UTAFITI WA ZAO LA NAZI DODOMA
2:43
B Tv
Рет қаралды 2 М.
Kilimo cha CHIKICHI - Live MASWALI NA MAJIBU // Shamba Darasa
14:24
AJE -FARMS ; MASHAMBA YANAYOTEMBEA
Рет қаралды 1 М.
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 81 МЛН