Michikichi ni zao mojawapo ya mazao ya biashara linalotengeneza mafuta na hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Kigoma, Mbeya na Tanga hapa nchini Tanzania.
Пікірлер: 29
@AizackWay5 жыл бұрын
Kama umekubali reporter ayo TV gonga like tukale mawese vp hapo kiwanda hakiitajiki? swali kwa atakae guswa
@neemajosephatneemajosephat325 жыл бұрын
Kinahitajika
@AizackWay5 жыл бұрын
@@neemajosephatneemajosephat32 selikali ya viwanda hawaoni fursa ya mawese? Au kwakua ni mkoa ulio sahaulika?au wawakilishi Wa mkoa hawaon kitu iko
Kigoma safiii kila kitu tumejaaliwa wasanii motoo wote bongo ni Team KIGOMAAA Nimepamiss sana kwetu jaman mwisho wa Reliiiii
@neemajosephatneemajosephat325 жыл бұрын
Oyeeee
@minskbelarus72555 жыл бұрын
Wewe kweli umechelewa!!! Hivi unajivunia WASANII hawa ambao wanakaa UCHI na skendo kibao. Jivunie kwanza watu wachapa kazi; Ziwa Tanganyika; mto Malagarasi; hifadhi ya SOKWE; Chumvi na madini mbalimbali; Radhi yenye Rutba sana na sio hawo WASANII wako ambao wengi wanaishi DAR ES SALAAM
Kuhusu bei ya mawese sio kweli kwamba ni elfu 20 ni 35 elfu sijawahi sikia bei hiyo.
@minskbelarus72555 жыл бұрын
Yeye katoa bei ya Mkulima shambani na sio ya muuzaji sokoni au Dukani
@thaubannaftali14395 жыл бұрын
Sasa wewe na yeye anaetengeneza nani mkweli
@yousouph87925 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nafanya biashara hio nanunua kigoma nasafirisha mikoani. mkongoro, bitale, kalinzi pote huko tunafika kaka pia hata ilagala, sunuka mpaka konkwa kigoma kusini yote hio tunafika kusaka life ndomana nakwambia sijasikia bei hio kaka
@kabulakibogoti32562 жыл бұрын
@@yousouph8792 Habari bado unauza mafuta
@glorylaizer81015 жыл бұрын
Tu naomba no ili tunaohitaji Mafuta ya mawese tupaje Naomba utusaidie plzzzz