Mimi ni mwenyeji wa Kenya, nilishangaa sana huyu jamaa akikadhiria matukio ya huku kwetu hata kuliko Wakenya wengi mbali na kuwa msanii shupavu huyu Dudu Baya anaelewa maswala ya kisiasa na hata duniani...msomi huyu.
@msowamhokole771421 күн бұрын
Uwe mtangazaji wa radio nakukubari dudu ni zaidi ya baba Revo na mwijaku una IQ mkubwa sana
@JJ-fb9jp21 күн бұрын
Dudu ni mchambuzi wa siasa mashuhuri nchini Tz
@MalangaMartin21 күн бұрын
🎉
@feisalkhamis737021 күн бұрын
Big brain dudu
@salisali373821 күн бұрын
Mashenzi majizi yana kula haki za watu 😂😅
@allysudi442921 күн бұрын
Fact sana ankal KONK💥
@ntakirutimanarukundo623721 күн бұрын
Dudu baya namukubari
@Kuminamoja199521 күн бұрын
Tatizo mondi mzulumati
@janiafaomaa512021 күн бұрын
WEWE MATAGAZAJI WA MPALLA UPDATES NA DUDU BAYA NYOTE MNAMATATIZO YA AKILI NIMTUGANI WAKWEDAKUMULIZA MASWALI YEYE MWEYEWE HAJIELEWI NIMTU TU HATA JAMI ATAIAMBIA NINI IMUELEWE AJIWEKEVIZU KWAZA AWE MTU WA MUONEKANO WA HISHIMA