unatunza sana kumbumbukumbu kaka issa mungu akulinde bloo
@amosimussa33602 ай бұрын
Bro Dotto Allah awape maisha marefu ww na boss wako mnaishi vizur see you when you see me bro
@abdulthabit_2 ай бұрын
3:33 Simba Anavaa Kiflana Kimeandikwa Kondom😂😂😂😂🙌
@manfredgeorge4865Ай бұрын
ila doto we comedy sana blees my brother
@user-mu1uf2rl4x2 ай бұрын
Issa ni mtu mmoja humble Sana hana majivuna afu ana mawe ya kutosha aisee
@user-lk9ld5zo6u2 ай бұрын
Ukikutana na isa tambuu road huez dhania mi fogo coz ni mtu amani kinom yaan
@DarliotonTumaini14 күн бұрын
Maneno ya doto yaligeuzwa hela😂😂😂😂😂😂
@saidkanji98822 ай бұрын
Saizi tena
@ilynpayne74912 ай бұрын
Dotto noma aseee😂😂
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Ila dotto wewe kiboko uwiiii 😂😂😂 sio kwa kuongea hivyo ila raha sana kuwa kalibu na boss ivyo alafu wala anuni
@PatrickMsaki2 ай бұрын
😅😅😅😅😅 ila doto......
@daudichoghoghwe50352 ай бұрын
Wivuwann watz wanemtambua kwa kazizake
@mitv902 ай бұрын
😂😂😂 Doto Fala sana
@petercharles37872 ай бұрын
So hiyo ndiyo Habari kweli bongo nyoso
@kamalmreh84732 ай бұрын
Now doto
@user-rf7ni6tr2o2 ай бұрын
Msukumaaa mtaniwakeee
@nkunzurwandakatibu96942 ай бұрын
DOTTO ANACEKESHA SANA
@TALLUBOY2 ай бұрын
Sasa mwaka 2017 mbona Diamond Ella anayo
@nourlaboratory2 ай бұрын
😢😢😂😂😂😂
@user-zr5rg5ul3q2 ай бұрын
Ilaaa dotto😂😂😂
@user-to6cg8uf3f2 ай бұрын
Uongo mno eti 2018 uongo tu
@JacquelineMmari2 ай бұрын
Mnipe pesa yangu
@josephguerino74162 ай бұрын
Wamekutapeli dada?
@JacquelineMmari2 ай бұрын
@@josephguerino7416 ndio Nina mdai make waki pesa yangu hawanipi Mimi ninafanya biashara ya vitenge nilimpati make wake na sasa wamenibock kwanye simu
@JacquelineMmari2 ай бұрын
@@josephguerino7416 make wake na yy mwenyewe nilikutana naye nikamwambia shemej unaniju naomba umwambie mkeo mbona nampingia simu yangu hapokei ndio nikabock kabisa
@SilasChitui-xk2sw2 ай бұрын
Kwani Tanzania watu wanauza Gari kama maembe pembeni mwa barabara. Hapa Kenya hamna Tajiri ambaye utamuona akisifiwa, na pia hawapendi kuonekana. Utapigwa risasi 🔫🔫🚔
@mussaabdul35272 ай бұрын
Ni huko kweny
@SilasChitui-xk2swАй бұрын
@@mussaabdul3527washamba nyinyi magari yenyu ni bei ya baiskeli hapa Kenya
@amirisaid63412 ай бұрын
Hivi jamaa ni kweli hajui kusoma?
@westcijosh2 ай бұрын
Anajua
@DanielLaurent-pl4rg2 ай бұрын
+254 chorodo
@user-hi8le2vb7z2 ай бұрын
ULIPATA CHANS NZURI YA WA TZ KUKUTAMBUA,,KOMAA NA MAGARI ACHA POROJO,,,MAGARI YENYEWE MNAPIGA WATU TABU TUPU AH😊
@kakaaignas36752 ай бұрын
Kapige na wewe
@user-hi8le2vb7z2 ай бұрын
@@kakaaignas3675 DAWA KAMA INAKUINGIA UNASOMA UNAUGULIA TU,,ACHA KUPANUA PANUA 😊
@allahisone63862 ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@mohammadfahad31862 ай бұрын
Acha chuki ww MGANGA MUNGU MITISHAMBA IMANI kwenda na kichogo chako na meno yako ya kunguwa njaa tuu 😂😂
@Official836402 ай бұрын
Acha makasiriko km hujui Issa na Doto ni watani Shinyanga, Mwanza,Tabora ni watani wa Wazalamo km hujui sasa ndy maana unaona utani upo sana hawakasirikiani ss ww mwenye kisirani chako peleka huko kwa watani zako 😂😂
@user-ne3ev7qo9i2 ай бұрын
Ni 2008 huko sio 2018 hapana
@ramadhanomar68052 ай бұрын
2008 mondi alikua Bado hajatok maan ngoma yake yakwanza kumleta mjini ilitok 2010