Jazakallahu kheyra Shiekh letu kwa Urekebishaji upotovu wa Mawahabi
@abasialiy46477 жыл бұрын
kishki bado mdogo sana kwenye watu wenye elimu muacheni arekibishwe waislamu tusomeni tusifuate mkumbo,mungu akuzidishie elimu na akuruzuku ufahamu shekh
@sabrajuma8597 жыл бұрын
safi sana sheikh mohamed al hatimy kwa kutuweka sawa na endelea na moyo huohuo
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
KABISA dadangu
@abdula4014 Жыл бұрын
Maasha Allah sheikh Muhammad. Nimeelewa Kuna wanazuoni waliosoma na wenye ilm, na wengine hawajasoma nawamejaaliwa ilm, na wale waliosoma lakini hawana ilm.
@hamidmaulid52328 жыл бұрын
ndugi yangu fatma buyusuf sheikh al hady yuko sahihi hata allah shahidi wa hilo MANA NI MARA YA TATU MTU MMOJA YY KUTOLEWA MAKOSA MBONA KUNA MASHEIKH WINGI TANZANIA MA YY SHEIKH AL HADY HAJAWAFANYIA RADIY allah akulinde na kila hasidi sheikh alhady Amiin
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Mashaallah ustadh Mohamed umejibu vizuri hata kama umeelekezwa na masheikh zako ujibu hivyo.Kinachoniudhi mimi marudio ya nurdin kishki ni mengi Sana na yanachosha sana.majibu umemjibu vizuri na jibu lake ni ndani ya dakika tano tu
@nassormohamedmwarizo44336 жыл бұрын
Kwa mwenye kufikiri atajua kweli Kishki amekosea. Huyu sheikh anatoa hoja kielimu sana. Mimi pia nilikua nna ufahamu huo wa Kishki lakini huyu sheikh kanishibisha.
@luuqmanabdi60524 жыл бұрын
Nassor Mohamed Mwarizo ..nko Pamoja nawe kiukweli kishk kakosea sna.ila mungu ndie mjuz wa yote
@bakarihamisi56384 жыл бұрын
Allah Akbar Allah tuongoze sheikh wangu wa kenya maneno yako mazuri
@omarisimba8864 Жыл бұрын
MashaAllah Allah azidi kukupa muongozo Shekh Alhatimy
@slamecktz7 жыл бұрын
Shekh Alhatym kadri Mwenyezi Mungu anavyokuwezesha mrekebishe ipasavyo hawezi wakufurisha Mashekh wetu kiasi hicho.
@lamarwazza43238 жыл бұрын
sheikh al hatimy ahsante sana wallah... E'limu za ujanja ujanja hazina nafasi tena. sheikh kishki ludi sheikh darasani
@kakamama51049 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤mashaalaah shekhewangu alihtimiy
@manishbishar8822 жыл бұрын
Weh sheikh una wivu bona husema hivo sheikh nurdin kishki ako sawa kwa maneno yake basi tupe tafsiri
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Laula muhammadun maujudun makunna muhtadina Wala baqina alal hidaya( s.a.w)
@murshidjaffer20232 жыл бұрын
short and clear.
@nganzirashidi14636 жыл бұрын
Huyu sheikh nimemuelewa vzur sana. Huyu sheikh Elimu yake kubwa sana. kishki Ukasome zaidi
@saadjahadhmy1036 жыл бұрын
Mawahabi muna shida sanaa . Hamuezi kukubali ukweli . Na mukielimishwa mwatuita wanafki
mashallah sheikh muhammad alhady mungu akuzidishie elimu yenye manufaa ya kutufaa sote ni kuutoa umma ktk giza mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila balaa amiin jazaka llahul khayri
@khaulatmohammed37654 жыл бұрын
Hana uma sha allah eli ya zamn tofaut na sasa
@nadeemadams-mr3bsАй бұрын
Mashallah Al-Habib.
@juma6454 Жыл бұрын
Mashalh wasomi wapo kenya .na mungu kuzidishie elimu na kutusomesha ktka hili n mengine
@asiaissa9763 жыл бұрын
صلى الله عليه وسلم
@Halimabintmafitah8 жыл бұрын
Subhana Llah.
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Unarudia Sana kauli za sheikh kishki na kupoteza muda mpaka inatuchosha Sana .Dakika 30 nzima unarudia maneno yake.Bora ungerudia mara moja tu.Ungejibu tuhuma moja kwa moja ingependeza Sana.Afwan
@razaqwalulu5306 жыл бұрын
ungemwendea tu kishki mwenyew bila cc kujua lakini sikukatakata maneno yake nakuyakosoa .shekh naona wapenda sana sifa .mche Allah shekh
@omariomari33933 жыл бұрын
Angeanza kwanza kishk kuwaendea wasomaji wa kitabu hiki kabla hajawakufurisha waislam
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Allahu ya Allahu ya Allahu ya majaalkasidi ya ghathau iko hiyo tangu zamani
@abdallahathman70137 жыл бұрын
asalam aleikum sheikh una wazo zuri masha Allah walakin unachofanya kumjibu kwenye mtandao ni makosa. kila muumin hukosa na akikosa unamrekebisha walakin si kwa video
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Shekhe wa kenya nimekuelewa Allah akuhifadhi alkamalu llah yy ni mtu na kukoseya ni kawaida fadhakr
Weww na kishki ni vitu viwili tofauti hata baada ya 10 years Huwezi kumkuta Nurdin kishki ...Qur'an yenyewe hujui kosoma
@kitotaabdillahi46095 жыл бұрын
Kishki yupo sahihi. Hicho kitabu kina shirki ndanimo. Usituletee upumbavu hapa.
@sefuidi45355 жыл бұрын
We nirashaia
@khalidmuhammed29034 жыл бұрын
Kitota Abdillahi unajua watu wanafuata mkumbo tu hawafanyi utafiti ila kina makosa kweli
@allymbasha87942 жыл бұрын
Ufafnuzi juu ya mstari huo wa kufuru sheikh tuelimike
@fettykhalfan73376 жыл бұрын
wa sema shekhe kishki kakufurisha watu kwenye mimbar nawe wamkufurisha kwenye mitandoao inna lilahi
@aliabdalla92976 жыл бұрын
Fetty Khalfan hajakurishwa kishki hapa
@hamzashaaban6942 Жыл бұрын
Mashekhe wetu nyote tunawapenda lkitokea kosa ktika dini basi elezaneni kwa uslubu mzuri .dini haijaeleza mkoseaji akosolewe kwa njia ya hasira sote ni binaadam na kila mmoja nimkoseaji kosoananeni kiheshima.tunajua nyote mna uchungu na dini Nyote Allah atawalipa kwa nia zenu msigombane jamani .
@fahadhilal78876 жыл бұрын
Kishki Ako juu ....from kenya
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
kasome tena hakuna aliye mchukiya hana ilimu huyo KISHKI
@khalidmuhammed29034 жыл бұрын
Ulie huna elim ni wewee
@khalidmuhammed29034 жыл бұрын
Ulie huna elim ni wewe na uyo sheikh wenu
@suleymanhureyn70134 жыл бұрын
ya sheikh Allah akuoneye huruma wallah na asikuazibu kwa husda yako , ayo mawaidha amekua anaeleza wenye husda ,
@shekhkuraishi1564 жыл бұрын
V
@najibfatma54766 жыл бұрын
Subunallah nadhani ungemfuata pembeni au ungetuelimisha kuhusu kitabu sio kumtaja jina
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Jemeni musi fuateni mashia siwa kweli
@mustafaabdullah91243 жыл бұрын
watu wamatwariqa mtabaki huko mliko nasi masalaf tutabaki tuliko.Nakuheshimu sheikh lakini pia katika ukosoaji wako umejichanganya,pole...
@abdurashidi45345 жыл бұрын
Kichiki Namba Wani Allah Akbaru Mungu Amuhifaz Chekhi Nurudini Kichiki
@lydianasike26293 жыл бұрын
Nimekisoma sana Kwa kweli tulipokuwa madrasa kila asubuhi tukiingia madrasa
@user4126 жыл бұрын
Dah alhadiy unamkosoa kishk wakati wewe mwenyewe kiswahili haukijui.... ebu fahamu hutba ya kishk... hakumkufurisha sheikh nabahaniy..
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
Khattab Khamis ila kafanyaje???
@user4126 жыл бұрын
Mohamed Alli Omari kiufupi Nenda kasome tawhiid utalipata jawabu lakn ukiulizia kwa mashekhe watakwambia ya kuwa hapa hakumkufurisha sheikh kama tunavyoona... Sikatai kuwa kishk amekosea lakini ndugu uyo anaekosea naye ana udhaifu wa kibinadamu na pia unaipima elimu yake ikoje ila ndugu nikusturiana na kutumia njia nzur Katika kukosoana......
@khalfankhalfan78138 жыл бұрын
khery tupu masha allah
@sadikiyahaya63255 жыл бұрын
shekhe uko swa ila ungemuita,ungemfuta au ungempgia hta cmu mana nikpindi cha utandawazi.ila umejipanga kuja kumzihaki mwenzio wote nia ni moja kuilingania din ya hki na jua ndomana yy hajakujibu na kusema yy anamabomu ya nyuklia alisema .Jua hkuna anae ijua dini ila watu wanpishana kielimu kwa uwezo wake Allah aweke amani juu yenu.
@amishcadey88066 жыл бұрын
namu penda sheikh kishki Allah amuhifathi
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
HAKUNA ALOMCHUKIYA KISHKI LAKINI ANAKOSEYA LAZIMA AKA SOME KWAUTULIVU
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Hakuna aliye mchuki ana koseya sababu yaku koseya ni kuwa hana ilimu
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Kishiki unanichekesha na hizo nyimbo zako hhhhhh shekhe wee du
@ahmedmohamed-wm5ec6 жыл бұрын
Shekh ahsante sn upo sahihi Jamaa aka some huyo huwez kumkosoa mwanazuoni kw matakwa yko mwenyewe watu wamejitahid ktk din wametung vitab zaid ya 50 uje ww ulosom miaka saba ujitie ujanja ktk dini asante shekh wasiilat shafy haijui undan wake yule angejua asinge sema hajawahipo kutokea mwanazuon ht mmoja akakosoa wasilat shafy wamepita vigogo wngp aje yy shekh wa juzi amkosoe ulamaa dah kweli kiama kipo karibu aombe msamaha huyo
@mwajumahassan58776 жыл бұрын
Nampen6a sana shekh kishki
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
UNA MPENDA HATU KATAI LAKINI HANA ILIMU HIBU MWABIYE AKASOME KWA MASHARIFU
@ibrahimabdulrahman43018 жыл бұрын
Shekhe Alhady watoto wa kitwarika wenyewe wasema kuwa hzo raddi zko zte waandkiwa na fatha na kasra watiliwa na mwanafunzi wa mambrui. kuwa na ikhlasw kaa uchuwe!!!
@shifaa33276 жыл бұрын
Hapo AllhAhu yaalam
@sammo60905 жыл бұрын
Kwaiyo tumeletwa na Allah kwa lengo gani hata useme hatujaumbwa kwa lengo na husda zako moyoni
@allychambale32425 жыл бұрын
Mimi sijapenda mambo hayo tumezoea kuyaona kwa wanabongo move wasanii wa muzik sasa mpaka mashekh mbona hawawasio na muongozo sahihi viongoz wao hawafany malumbano mitandaon
@slamecktz8 жыл бұрын
Ni swahihi kabisa maamuma wanatakiwa kuelimishwa lakini kabla mtu hajapanda juu ya Mimbari ni vyema ukaaliza kitu ambacho huna uhakika nacho au hujaelewa vizuri Mkoa wa Dar Es Salaam kuna wasomi wakubwa saaana achilia mbali mkoa wa Tanga, Kigoma na Kisiwa cha Zanzibar ni kweli alikosa Shekh wa kumfata akamuuliza uhakika wa Shekh YUsuph Ismail Nabahany, masikitiko makubwa saaaaana.
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
Upo sahihi ndugu
@abdirahmanvideos5557 жыл бұрын
am sry for u sheikh.may Allah gaide us.kumsisitizia makosa kwa mtu asiye kuwa na makosa si vizuri.
@abdirahmanvideos5557 жыл бұрын
wewe ndio hukosea,jirekebishe kwanza
@ahmedalmahrooqi95427 жыл бұрын
Mnamuonea donge tu ,nenda mbele uko na husda zako ,Kishki yupo juu
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
TWASIKITIKA HANA ILIMU
@zubeeihamisi84395 жыл бұрын
Wehamed wacha upumbavu mtoto mdogo sana unawezakufananisha elimu ya kishki na SHEKH mohamad
@taitaomar63094 жыл бұрын
Aliepewa hekma hakika amepewa kheri nyingi mno! innalillah wainnaailaih rajiuun!
@khatibujuma20805 жыл бұрын
unasaut mzur kwakutanhaza mpira
@abuahmad12065 жыл бұрын
Ww kweli wamfikia kishki katafute elmu
@mohamudyaya82788 жыл бұрын
Wewe sheikh mbona iyo video unaikatakata
@shifaa33276 жыл бұрын
Mm nawapenda mashekhe wt ela mt nikiona makelele meng hw simtizami tena
@ahmadchitanda61495 жыл бұрын
Una lolote unatafuta kiki mpumbavu
@mohamudyaya82788 жыл бұрын
Wacha mungu hua hawashindani lakini duh kweli ni ustadh wa kujimba video ya kish hujamalizia mpka mwisho sijui una maana gani Allah knows best
@sizasaidi6715 Жыл бұрын
Bd anaufahamu vizuli ao mawahabi niwauwaji kwaiyo tumsamehe bure sioakiliyake
@razaqwalulu5306 жыл бұрын
Huna lengo lakumrekebisha kishki Bali unatafuta kiki tu shekh wangu nalemba lako kubwa kweli
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Hahaha akitowa mawaidha haha atowa utendi haha ajifanya sana
@nassrajape22806 жыл бұрын
Kosa la sheikh kishk ni kwamba hajauliza kabla kusema ,angeuliza hapa kuna mania gan
@msramadhan28102 жыл бұрын
Hata kama nikweli kakosea lkn sio vzr kukosoana mitandaoni
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Mukitaka musitake Kishki hana ilimu aende madarasa
@adamjutto78935 жыл бұрын
Mwanaume wao qaasim mafuta,nawashauri wote wakasome kwake
@amirikhatbu38506 жыл бұрын
Wewenikiboko wawa habi
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Mpelekeni huyo kishki madarasa lamu akasome ajifanya sana na hana ilimu
punguza ushindani kama mwenzio amekosa unamfuata private.ukimstiri muislam mwenzako na ALLAH atakustiri.kama hoja yako kua kishki amewakufurisha watu kwenye mimbar basi ww na yy una tofauti gani? ?
@hamaddede4648 жыл бұрын
elimu haifati ila inafatwa hlo la kusema afatwe ni kosa kubwa
@fatmabayusuf5958 жыл бұрын
+Hamad Dede hapo ni sawa. iloniudhi ni vile anavyoongea.ukimtoa mwenzako makosa kwa uzuri hata alokosa atakufahamu zaidi na wengine wanaoskiza pia.
@oyay28217 жыл бұрын
amekashif hadharani na yeye arekubishwe haradharani
@neemaabdi47915 жыл бұрын
Fatma Bayusuf ,hiyo hana lolote ,Ni kutaka kumdhoofisha tu nurdin
@salumkawa73335 жыл бұрын
kwann yy alisema private au kwenye member
@mzeemwamguno93674 жыл бұрын
wewe ukisema hautasamehe allah atamsamehe shekhe kishki
@achiwaachiwa34257 жыл бұрын
sheikh kwa njia kama hii ya utoaji wa mawaidha hujengi dini na ni dalili ya unafiki na ugombaninashaji wa waislam.... wewe kama umeona Sheikh Kishky amekosea huna haja ya kutoa cd mfate mwenyewe ukamrekebishe... Tuwache unafiki waislam utatufikisha pabaya
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
Aah Mawahabi tunakujueni kwa kutetea uovu nyie mnajitahidi sana tu yani
@bintalhwamer52916 жыл бұрын
Achiwa Achiwa hana alipo kosea ila kishky amemzid elimu ndo mana
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
Alhatimiy yuko sahihi kabisa Anaondoa kufru zilizoletwa na kishki
@mohamedkuziwa33155 жыл бұрын
We unawaza nini?? Hauko sawa humjui kishk ww kaa tulia
@abuaminmadi99112 жыл бұрын
Nyote wawili sio wasome ispokua muna punzi za kunguzungumza
@abdulrazaq2125 жыл бұрын
Hawawez kuku elewa shekh muhamad elimuzao ni ndogo wenyewe wanafata matamanio kwakua wanampenda kishki hiyo tunaita elmu bahari hawa wezi kukuelewa
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Hwataelewa HAO NI WA POTOFU Kishki hana ilimu huyo nabahero
@khalidmuhammed29034 жыл бұрын
Sasa musiambiwe ukweli hem nenda kaangalie icho kitabu maneno ya shirki hayapo kweli
uko sahihi kijana, kaweke sawa hako kashehe ubwabwa, yeye no bingwa wa bongo flavour tu.
@ramadhanmwandambotuntufye59726 жыл бұрын
ni bingwa wa bongo flavour
@halimahamza4064 жыл бұрын
Astakafirullah
@Officialmasaikhan7 жыл бұрын
Mwenye zimungu amese ma man satara musaliman satara llahu youmal qiyamah
@salaamclinicoftraditionalm36416 жыл бұрын
Hadithi hiyo hapo siyo sehemu yake Haihusiani kabisaaa Maana kama Muhabiya wewe ni mkweli nasiye Munaafiq bac ungemwambia Kishki amstiri Sheykh Nnabahaan kama yeye kaona kuwa kakosea Lakini waapi...!
@mohamedumri4176 Жыл бұрын
Sheikh Muhammad waislam wanakutegemea, Sheikh Kishk tunanawategemea Elmu haina tofauti na bahri tunaomba barka za elmu zenu musidhalilishe uislam. Uislam unamaanisha Amani
@safari344107 жыл бұрын
Acheni kushindana waislam
@abdisalamshee36982 жыл бұрын
Nyie watu wa maulidi hamna elimu yyte ,, hamusikii uzuri kabsa
@abdulahrasambi2357 жыл бұрын
tofauti na Huyu Hatton.. hata kwa dawa kishk awezi mfikaa she ismail nabahanii kielimu doo kishhk Omba msamahaa tafadhali
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Kabise aombe msamah kwa mngu na kwa shekh wetu
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Hajuwi hata kuhutubu anatowa utendi huyo mimi ni mimi hahaha kishki
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Wambiyeni wapigao maulidi hata lini haukomi uhasidi mauli yako tawasuli iko mutake musitaki kasomeni bahero kishki
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Asalmu alekum kabisa ajifanya sana akizungumza kama yeye ni yeye hakuna shekh mungine nimashiaa hao usi stop edeleya kuwa faha misha shekh weto mungu akuweke ndiomana akapigwa huyo bahero huyo na huyo rafiki yaki kishki
@mzeemwamguno93674 жыл бұрын
wewe hizo ni nyimbo au ni mashairi kishki hajakosea maana hata enzi za mtume kulikua na washairi bwana mbona una ligi zakijinga lakin kusoma hujui picha pia huoni
@RekhaRekha-es8br5 жыл бұрын
Muhammadil hadi Ali mkizi apinga qur'an katika nikkah Cd part2 11.380 weergaven 68 14
@hawraymuncw98934 жыл бұрын
مشكلة الوهبية لا يفتهمون لأن في قلوبهم أقفال
@jumanasoro89033 жыл бұрын
أنت مجنون أو معتوه
@abdulshakurabdilah25885 жыл бұрын
Na izo ibara hujamfahamu weye
@meyramahir90556 жыл бұрын
Sheikh kishki mungu ampe umri mrefu enye baraka. But wewe sheikh mwengine tafadhali wacha wivu
@aishakinia49573 жыл бұрын
Ungemtafta private mukachambua vitabu lkn sio kwa hali hii.... Subhanaallah lzm mushikamane ndio umma upate elmu. Kama kakosea mtafteni pravate hakuna mkamilifu
@salimlutfimohamed8323 жыл бұрын
Amesema mwnywe aje ajibiwe na yeyote angemfuata private ungeelimika vp
@jailanirazack30744 жыл бұрын
Kishki Walahi haujui balagha,
@yasminhussein44026 жыл бұрын
imefika waislamu kwa waislimu wagomba da! mnatufundi nini sisi wanafunzi wakesho dunia inaisha my Allah protect us all
@SociedadeSust1234 Жыл бұрын
Allahuma Amiin🙏
@salimmohamed6945 жыл бұрын
Unatafuta kiki na followers ... mnafiki ww
@bakarizaharani142 Жыл бұрын
Sidii kama hini
@ramadhanmwandambotuntufye59726 жыл бұрын
kishki ni mzushi tu hata shehe rogo alishawahi kusema madhaifu yake.
@latifahmulanda6826 жыл бұрын
Ramadhan Ibrahim shetani ww unaye Sema kishki ni mzushi rogo ndie aliye kua mzushi mkubwa akafa kifo cha uzushi